ALIFANYA MAMBO YA AJABU KWENYE MAISHA YAKE KABLA HAJAOLEWA MWISHO YAKAMTAFUNA | HER DARK PAST
Vložit
- čas přidán 19. 04. 2024
- ⚠️CREDITS:
Movie name : HER DARK PAST
Genre : Drama
Year : 2023
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka - Zábava
Jamani huyu sio kwamba anachelewa ila kinachofanyika ni mpaka aangalie movie yote afanye analysis ndio arushe aiseeee sio kazi rahisi waungwana kuweni wavumilivu tu ❤❤❤
Andika namba aako nkutumie kakitu
@@e7bits_tzBro naomba utuletee mzigo unaitwa ME OR YOU nayo Nollywood pia kali sana🔥
Mashabiki wa yanga tudondoshe like zakutosha💛 na nyingine kwa @izkonka❤
Wanahusikaje na hii movie
WAKWANZA NAOMBENI LIKE ZANGU ACHENI WEVU
Achana hiyo story nipe like kadhaa kwanzaaa😅
Leo nimewahi nimekuwa wa 36😂😂😂asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha mwamba tunainjoi ❤❤❤
Wa kwanza leooooo
Wanakera mnaoomba like. Mmefanya kazi gani.
iko Poa kabisa❤❤😮😮🎉🎉
Cku zote uwongo haujifichi na ukweli humuweka mtu huru more love ❤😂❤
😅😅😅😅😅😂 wakwanza mimi woyooooo
Si ndiooo sasa
Bro wewe ni noma hakuna kama wewe humu,unajua had unajua tena❤❤
Unyamaaa KONKAAA 🔥🔥🔥⚡
IKO VERY SMART SANA KWELI 👑🥇🌺🥀 FROM RDCONGO UVIRA 🇨🇩
Shukrani
Uku kuna mangekimambi alochangamkaa asee 😂
WA KWANZA WAZEEE...❤
Leo wakwanzaa😂❤❤ nakupenda bureee Dj wng 🎉🎉asant sane mungu akubari❤❤❤ haya like yng❤❤
Asante dj love from tegeta❤❤❤
Mnaomba like hivi nyinyi ndo mumeleta hii movie?like mpeni dj bwanaaa,halafu mnaomba like ni washabiki wa Simba 😂😂😂😂😂
😂😂😊
Sasa hapo mashabiki wa Simba wameingiaje aah msituzonge sana 😢😢
🔥🔥🔥Bro kama ukiweza naomba utuletee mzigo unaitwa ME OR YOU nayo ni Nollywood pia ni kali
Maanina
Unyama sana
Sio umeuonaje Huo unyama e 7bits ni noma sana
Naomben likes familiar❤❤❤❤ #konkaa one love respect ❤
Nipe like jaman nimekuwa wanza
WAKWQNZA NAOMBENI LIKE
Huu unyama ni unyama kinyama 😂😂😂😂
Tunaomba utufanyie ya THE ONE WHO STOLE MY HEART
All the way From Zenji#Marashi ya Karafuu....🔥🔥🔥❤❤🙌🙌
Wa nne leo❤
.yaan Naona Kama cjasubscribe vile😂😂🙌...konka the storm sound💜💜
Leo Amna mipinduko
Ciku hz uko fasta safi sana kiongoz tupe vitu KOOONKAAAAA
Twende kazi
KUNA MAISHA NAPITIA KMA YA HUYO DADA KIUKWEL HII MOVIE IMENIGUSA SANAAAAAAA 😢😢😢😢
Pole kipenz Mungu akutie nģuvu uweze kuvuka
@@edinahamisi531 amina edina asante
pole sana Dada yangu.
Allah will grant you ease
Pole sana
Asanten wapenz ni kushukuru tu Mungu kwa kila changamoto maana siri anaijua yy ndan ya hzo changamoto kuna kher na shari.😔
@izkonka gonga like twende wote pamoja sana❤❤❤
konkaaaa unyam ni mwingi
Asante bj 😊😊
Unyama mwingi nzuri sana❤❤
Good work mungu akuweke duniani miaka mingi🎉🎉❤❤
Leo hujaitoa vzr hilo neno KONNNNKA ❤😂❤
Umetisha kaka 🎉🎉
Unajuwa mpak.unakera bro ❤
Uko vizuri
Nimekuwa wa kwanza leo
TUNAKUBALI KAZI ZAKO KAKA UBARIKIWEEE❤
Nakubar mzee
Daa nilikusubili kwa hamu sana mwamba❤
Kali sanaaa
Jameni naomba like
Nzuri sanaaaaa
Nakubalii maniga funiko
huu unyama umetisha sana
Asante
Unyama uko pow sana huu😮
Naenjoy sanaaaaaaaaaa
Nzuri sana❤
Duh kusema kweli huwa napnda san kuzcheki hiz muvu ni
Mm wakwanza
Guys kila siku mm nachelewa bas like tu yako pls 🎉
wa mbili❤❤❤nipe like
broo unachelewa sana kuzipandishaaaa😢😢😢😢😢
Mwanetu unajua san👍👍
Yanga bingwa
Hakii kweli inamafunz kwl mana watu tumepitiye mengi😢
Yanga mbele nyuma mwiko mpoo
nikiwa kama mwn family wa E7 bt na E7 max hamna baya wakuu
Noma Sana
Mwanzoniiiiii kbxaaa❤😂
Wa kwanza naombeni like zangu 😂
na omba like 6
Inatouch sana
Unyama mkalli sanaaa❤❤
Mbn mange 😅😅
Unatuwaishia sikuizi si haba
Kaliiiih
Hatuachi kuvibe 🎉❤
Ila imeka vzr kichiz
God is good 🙏
Sema nini movie sana❤❤❤
Wa kwanza leo nipeni maua yang😂😂😂
Oya hili ngoma lina story kali kinoma,,
Wambea awanaga mwili jaman 😂😂
Unyama sana
Sema uyo mange wamefananq live
juhudi imefika baba
Wakwanza leo 😂😂😂🎉❤
Jamani like zamange😂
Wanasimbaaaaaa
Wakwaza Leo nipen like jaman
Konkaaa🎉🎉
Mnajuaa sana ila ongezeni mda
Hahahahahaha eti mange
Ila mange 😂😂😂😂😂
Sikuhiz nakupenda bure
WE JAMAAA UNATUFALIJI SANA MWANAGU
😂😂😂ilaa mangeeee
Heeeeee watu hamjamboooo😂😂😂
Uwakika 💯 saaana
Wakwanza leoo❤
Mashaal ❤❤🎉🎉🎉😂😢
🔥 🔥 🔥