Balozi amy mpungwe ndio mtu wa kwanza aliyefaidika sana na mfumo mbaya wa ubinafsishaji/uwizi wa mashirika yetu ya umma kwa makaburu uliosimamiwa na Rais Mkapa. tuliaidiwa ajira kwa wingi matokeo yake viwanda na mashirika yalikwenda watanz wamezidi kuwa masikini wao akiwemo Mpungwe wametajirika.
Balozi amy mpungwe ndio mtu wa kwanza aliyefaidika sana na mfumo mbaya wa ubinafsishaji/uwizi wa mashirika yetu ya umma kwa makaburu uliosimamiwa na Rais Mkapa. tuliaidiwa ajira kwa wingi matokeo yake viwanda na mashirika yalikwenda watanz wamezidi kuwa masikini wao akiwemo Mpungwe wametajirika.
Alishiriki katika upumbavu wa kubinafsisha nchi