UWANJA WA KINONDONI WA ZINDULIWA RASMI | KINONDONI VUMBI LA PEPEA KUTOKA KWA WAPENZI WA MPIRA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Jambo la kwanza lililotufanya tufike hapa ni kwamba zile ndoto zetu zimetimia. Tulianza na dhamira tulikuwa tunataka tuwe na kitu kama hiki (tuwe na uwanja wetu). Dhamira ya kuwa na timu miaka takribani Saba iliyopita. Tukisema sisi kama Kinondoni ni wakusanya ushuru. Tunaendeshwa na wananchi wauza karanga, wauza maji na vidogo vidogo wanavyochangia kwa halmashauri ya Kinondoni- Meya Manispaa ya Kinondoni Meya Mh Songoro Mnyonge
  • Sport

Komentáře • 21

  • @VenanciModrick
    @VenanciModrick Před 12 dny

    Wanahabari wa mchongo hamjatwonesha uwanja zaidi ya kupiga store

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 14 dny

    Kabla ya kuanza mahojiano mngetuonyesha uwanja wenyewe, na vyumba vya wachezaji nk

  • @mrpaulbinezekiel110
    @mrpaulbinezekiel110 Před 17 dny +1

    Tunazidiwa na KMC

  • @immasaid2938
    @immasaid2938 Před 17 dny

    Huyo meya ako na akili sana ya biashara

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu Před 15 dny

    Huyu meya ndo anatakiwa kuwa waziri wa michezo.

  • @mrpaulbinezekiel110
    @mrpaulbinezekiel110 Před 17 dny

    Simba tumeshindwa hata kutengeneza uwanja kama huu

  • @Hamissi-s1f
    @Hamissi-s1f Před 17 dny

    Acha uwongo mwadishi mwenge sio katikati ya jiji

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy Před 17 dny

      Katikati kati ya Kijiji sio?

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw Před 16 dny

      sasa mwenge wapi au unakariri tu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 14 dny

      ​@@NM-yl2uw Mimi naishi maeneo haya haya ya Mwenge. Katikati ya jiji (City Centre) ni Posta sio Mwenge.

  • @user-us7yu2cj9l
    @user-us7yu2cj9l Před 17 dny

    Kmc hawajajenga uwanja sema manispa yakinondoni ndio imejenga uwanja

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 14 dny

    Wizi mtupu huo kwakweli mbna hakuna sehemu ya kukaa watizamaji wa mechi uwanja mzima???

    • @petermogha7025
      @petermogha7025 Před 13 dny

      Baba shukuru hata kidogo Kuna vyam karine hakuna kitu