Lowassa na Sumaye Wanena Mazito Kwenye Msiba wa Ndesamburo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2017
  • Lowassa na Sumaye, ambao wote ni Mawaziri Wakuu Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika vipindi tofauti, nao walikuwa miongoni mwa maelfu ya viongozi walioshiriki mazishi ya Mzee Ndesamburo, Moshi Mjini. Wamepata nafasi ya kupanda jukwaani na kuongea na waombolezaji. Kama kawaida hawakuacha kutumia nafasi hiyo kutupia neno na kutoa yao ya mayoni,
    SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
    kupata habari zaidi, WEBSITE: globalpublishers
    .co.tz/
    FACEBOOK: / globalpublishers
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpublishers
    #Ndesamburo. #Lowassa. #Sumaye

Komentáře • 110

  • @richjasi4850
    @richjasi4850 Před 7 lety +4

    Uko vizuri mh. S. nakukubari

  • @ombeninassari2691
    @ombeninassari2691 Před 7 lety +5

    one day we can

  • @mudrickchuma3716
    @mudrickchuma3716 Před 7 lety +4

    tutakukumbuk daima peoples power

  • @lameckbarnaba3739
    @lameckbarnaba3739 Před 7 lety +5

    rip ndesamburo tunakuombea ulale kwa aman

  • @octaaalyiii9539
    @octaaalyiii9539 Před 7 lety

    Katika maisha kuna mambo mawili kuishi na kufaa,katika maisha ambayo upo hai utapitia mengi mazuri na mabaya pia,ata katika kifo vivyohivyo utapitia mengi mazuri na mabaya....mungu amlinde kiongoz ndesamburo njia ni moja yeye katangulia sisi tutafuata. kwahiyo kila mtu apime harakati zake.msilie sana makamandaa sisi sote tutakufaa tu, cha msingi ni kumwomba mungu wako akupee akili na nguvu

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 Před 7 lety +2

    Safiel..... matusi si mpango nani asiyejua huyo mzee nimpinzani? lawama kwenye msiba wapi lini nchi hii inapaswa ipige hatua si malumbano kila kukicha mzee kapendwa na mungu wamuache hapumzike kwa amani!!!!

  • @emmanuelmwangwa3620
    @emmanuelmwangwa3620 Před 7 lety +4

    presidential materials

  • @paulokiwango21
    @paulokiwango21 Před 4 měsíci

    R.i.p Lowassa my first president

  • @HipHop_2024
    @HipHop_2024 Před 4 měsíci

    Lowassa dah😢😢😢😢😢

  • @lachmansingh4327
    @lachmansingh4327 Před 7 lety

    eeee mwenyezi MUNGU naomba umuweke MZEE wetu ndensamburo mahali pema.

  • @lachmansingh4327
    @lachmansingh4327 Před 7 lety

    pongezi sana kwa mchungaji gwajima ma ukweli ulio utoa kuhusiana na vieleele vya viongozi kujiaamlia vitu kabla ya kupata mamlaka kwa mkuu waoo.

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo6459 Před 7 lety

    RIP mzee ndesa mambo yamsiba niyamtu yyt aiusiani nachama mala sumaye ama lowasa yanini hayo nikukosa hekima kujadili watu ovyo

  • @jiwahassan523
    @jiwahassan523 Před 7 lety

    we are what we think

  • @derickmujuni7058
    @derickmujuni7058 Před 7 lety +4

    SUMA. HATA KUONGEA HUJUI

  • @kelvinmbena8463
    @kelvinmbena8463 Před 7 lety

    madash na ally polen uwezo wenu wakufikilia umeishia hapo kwani aliekufa in nani kwa status yake acheni unafiki mmechekwa na ccm yenu kwa mambo ya ajabu mnayofanya na raid wenu mungu anawaona sana nimesikitika sana hii nchi sujui lowasa love you still alive.

  • @kennytapwazy1877
    @kennytapwazy1877 Před 7 lety

    daaaaaaah pumzika kw aman mzeeee

  • @richjasi4850
    @richjasi4850 Před 7 lety +3

    Uko vizuri Rais wetu luwasa tupo pamoja

    • @jaafarmkatta1336
      @jaafarmkatta1336 Před 7 lety

      Rich Jasi Urais atausikia tu !

    • @jaafarmkatta1336
      @jaafarmkatta1336 Před 7 lety

      Rich Jasi Na wewe siyo Luwasa bwana. Watu wengine msiojua hats kuongea acheni kucoment mnatia aibu!

  • @jimlightmusic4635
    @jimlightmusic4635 Před 7 lety

    rip mzee tunakuombea sana

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 Před 7 lety

    S.l.p mengine umwachie mungu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 Před 7 lety +1

    hahaha msiba wa kaskazini ( chaggadema)

  • @thedriver.michael.3975

    Lowassa oyee

  • @nzilamashala3570
    @nzilamashala3570 Před 7 lety

    mmmh sherehe ilinoga jamani hizi siasa .

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 Před 7 lety

    Sumaye nilikuwa sikukubali wakati ukiwa ccm,kwani ukiwa na nyang' au nawewe unakuwa na FISI,SASA HIVI TUUNGANE WOTE KUHITAFUTA KWELI YA KWELI SIO DEMOTION STRATEGIC DEMOCRACY

  • @eradmdage8504
    @eradmdage8504 Před 7 lety

    R. I. P KAMANDA

  • @lachmansingh4327
    @lachmansingh4327 Před 7 lety

    viongozi waige kazi na haki anazo zifanya mh.rais wetu magufuli hana ubaguzi na anatoa haki sawa.

  • @richardsalvatory3186
    @richardsalvatory3186 Před 7 lety

    r.i.p

  • @homeboybeyondtheborders4935

    Si ulisema kipindi chote cha uwaziri wako ulikua hujui kwa nini Tanzania masikini,mpaka ulipoenda kusoma Havard...you got a problem with you Sumaye.

    • @erielmushi7219
      @erielmushi7219 Před 7 lety

      hv nyie mawzri wakuu wastaafu mnataka nn?wakati wenu umeisha msituchonganishe hatupgani wla htudnganyki hata msiba nnaleta siasa,polen

  • @somyfrank1
    @somyfrank1 Před 7 lety

    IMEPENDEZA TENA....!!!!!! MUNGU AILAZE MAHALA PEMA ROHO YA MAREHEMU MZEE NDESSA...HAYA MENGINE TUMWACHIE MUNGU

  • @fidelismalley8432
    @fidelismalley8432 Před 7 lety

    kwa kuwa mzee ndesamburo alikuwa mwanasiasa, si mbaya kasiasa kakifanywa kidogo kwa pande zote mbili

  • @pettermasika9120
    @pettermasika9120 Před 6 lety

    Amani Chadema imetoweka Busara za Ukweli za Mzee ndesamburo Kwelikweli Chadema nayo hatunayo tena ,IMETUTOKA

  • @ndikumanakalenzo2440
    @ndikumanakalenzo2440 Před 7 lety

    ukiona mtu anaipenda fisiem ujue Huyo ni zaidi ya mchawi

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    HAHAAAAA! MTACHUKUA JENEZA SI IKULU WEWEE

  • @zamudulla1918
    @zamudulla1918 Před 6 lety

    wenzao wapo kazini wao wanaishia kutwanga maji kwenye kinu

  • @rodneymadoshi2881
    @rodneymadoshi2881 Před 7 lety +5

    Wahsramu nawapongeza sana kwa utaratibu wenu Mfano mtu akifa asubuhi jioni wanampumzika mapema sana kuna punguza siasa misibani kupandikizia chuki nameno mengine yasio na msingi wwote ktk misiba

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 Před 7 lety +1

      Tambua aliefaliki Ni mwana siasa hivyo basi usitarajie kukosa kituhicho kwakua ndio utambulisho wa marehumu katika jamii husika inayomzunguka.

    • @maryhassan2755
      @maryhassan2755 Před 7 lety

      Utoto kwa Mzima ni aibu! Huyo sio mdogo azikwe kibubububu, alaf imaniyake haisemi mwili unapumzishwa ila roho ilisha toka hakuna ufaham wala maumivu anayosikia kupitia mwili ule. Acha kufikiriwa fikiri wewe c kila usikialo ni sawa. Siasa ni mfumo unaopenya kila eneo.

    • @markanthony5628
      @markanthony5628 Před 7 lety

      Mary hassan ukishapimwa akili itapendeza zaid

    • @frankbella5965
      @frankbella5965 Před 7 lety

      haujitambui

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 Před 7 lety

    huyu ndo mzee sumatra/sumaye?

  • @masininimkama3980
    @masininimkama3980 Před 7 lety

    baba anameremeta ngoja waumie

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Před 7 lety

    Zero zero kweli!

  • @neemamwanga7300
    @neemamwanga7300 Před 7 lety

    km mtu hayuko na point ajipe shughuli jaman

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před 7 lety

    MCHANGA WA DHAHABU UNAMUHUSU HUYU! AKINYIMWA KITI 2020 ATAKIMBILIA CHAMA CHA WENDAWAZIMU

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 Před 7 lety +2

    hahahaa aisee msiba au mkutano wa kampeni za kisiasa .jamani akili kukichwaa

    • @adambolingo8097
      @adambolingo8097 Před 7 lety +2

      Hussein H Kitambi --Hussein hujitambui wewe, sikiliza hotuba vzr na kuiingiza siasa hapo sio hatari coz mzee NDESA MBURO ni mwana siasa ambae ni mwanzilishi na kiongozi wa kisiasa, angalia jeneza lake hilo limepambwa na bendera ya CDM. wewe INZI huna hoja na bado ni mbwiga kimaono.

    • @adambolingo8097
      @adambolingo8097 Před 7 lety +1

      Hussein H Kitambi --Hussein hujitambui wewe, sikiliza hotuba vzr na kuiingiza siasa hapo sio hatari coz mzee NDESA MBURO ni mwana siasa ambae ni mwanzilishi na kiongozi wa kisiasa, angalia jeneza lake hilo limepambwa na bendera ya CDM. wewe INZI huna hoja na bado ni mbwiga kimaono.

    • @nasolojohn9232
      @nasolojohn9232 Před 7 lety

      Hussein H Kitambi we we mwehu unafikiri anakosea sumayi

    • @nasolojohn9232
      @nasolojohn9232 Před 7 lety

      Hussein H Kitambi msiba wowote lazima history itolewe maana ni mahali pazuri pakutolea shida maana demokrasia imeminywa

    • @nasolojohn9232
      @nasolojohn9232 Před 7 lety

      Hussein H Kitambi umesikia ya lowasa

  • @preciousmlangi8056
    @preciousmlangi8056 Před 7 lety

    Mzee uko poa unaimba vizuri ongera sana kija church yetu

  • @allyomary9318
    @allyomary9318 Před 7 lety +9

    mlisubirii sehemu ya kuaga muanze siasa zenu . hapa kaziii tuuuu.

    • @joshuanyonyi8820
      @joshuanyonyi8820 Před 7 lety +1

      ally omary Jpm balaa siasa mpaka kwenye mazishi.....mtanyoonka

    • @edisonmjema2620
      @edisonmjema2620 Před 7 lety

      ally omary unamavi kichwan huyo aliyekufa ni muasis wa chama hayo yanayomwa ni halali fisiem wakike wew

    • @barakamachamacha5823
      @barakamachamacha5823 Před 7 lety +1

      ally omary fanya yako acha yawatu

    • @barakamachamacha5823
      @barakamachamacha5823 Před 7 lety

      Safiely Togolani huu ni msiba

    • @edisonmjema2620
      @edisonmjema2620 Před 7 lety

      Baraka Macha Macha hayo yanayofanywa ni wasifu wa marehemu chek logo za chadema kilakona

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    WEE SUMAYE ULIPOIBA RANCHI ZA TAIFA HUKUJUA DEMOKRASIA NA UTAWALA WA SHERIA? AU ULIKUWA MZUNGU WAKATI HUO?

  • @samsonmwijage5301
    @samsonmwijage5301 Před 7 lety

    ajabu, watumia msiba kama turufu ya kisiasa.

  • @allyomary9318
    @allyomary9318 Před 7 lety +2

    kumbe ni shereheee tenaaaaa????makubwaaaa

    • @athonyfrancis8889
      @athonyfrancis8889 Před 7 lety +3

      tembea uone si kwa Ndesamburo tu hiyo ndo style ya wachaga msiba ni harusi ya tatu na ya mwisho ya kwanza ni
      kuzaliwa,pili ni kuoa au kuolewa,tatu ni kifo.

    • @allyomary9318
      @allyomary9318 Před 7 lety

      Athony Francis wewe ndo utembee uone.issue cio marehemu issue ni hao wasiokuwa na chembe ya aibu kupeleka siasa hapo.

  • @telesphoriwilliammuhikambe4826

    waacheni wazike mtu wao inawaumanini?

  • @hassanmwakatwila4185
    @hassanmwakatwila4185 Před 7 lety +3

    huna lolote sumaye we ulishafanya selikali zilizopita ulifanya nn

  • @mashaurchief5002
    @mashaurchief5002 Před 7 lety

    Msiba or kampen

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před 7 lety

    KUMBE NI MSIBA WA CHAMA DUH KUMBE HUYU NI ZERO KABISA

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 Před 7 lety

    Ridiculous

  • @jaafarmkatta1336
    @jaafarmkatta1336 Před 7 lety +2

    Mungependa demokrasia were na mwenzio musinge musingekimbia baada ya kutemwa urais

  • @bashilumatola5453
    @bashilumatola5453 Před 7 lety +5

    wewe unaye mlaumu sumaye ww ni nani sumaye ana haki ya kwenda chama chochote na kutoa maoni na kufanya siasa chadema oyee

  • @festombaba8820
    @festombaba8820 Před 7 lety

    ila huyu jamaa sumaye anajichora.MTU ulikua mkuu eti Leo hii unajua mwenyekit wa kanda ya pwani alafu chama chenyewe chadem

  • @transmadale
    @transmadale Před 7 lety

    mbona Cameraman Unaichezesha picha ya Rais wetu hivyo?acha wivu bhana

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 Před 7 lety +3

    huyu mzee mpumbavu sana ina maana hapo kwenye msiba wapo akina chadema tu

    • @edisonmjema2620
      @edisonmjema2620 Před 7 lety +1

      Hussein H Kitambi mpambav wew mbwa koko wa fisiem usiyejua kitu unaishi bila kujielewa mzee Ndesa nikiongoz wa chama hayo yanayofanywa nisawa angalia hata mapambo ni CDM wew mbwa ndiyo siku ukifa utazikwa kimya kimya

    • @stevenwalioba9863
      @stevenwalioba9863 Před 7 lety +1

      msiba wa kushangiliwa na makofi unatufundisha nini enyi wana siasi? au ndo Demokrasi yenu

    • @stevenwalioba9863
      @stevenwalioba9863 Před 7 lety

      Jamani watu wanaomboleza nyie mnatoa matusi hamna aibu

    • @allyomary9318
      @allyomary9318 Před 7 lety +1

      safiel hujitambui.na huijui siasa ya nchi hii endelea kutukanaaa hivo hivo.mwisho wa picha utaelewaaa.Rudi shule tenaaa.make huwezi kuwa sawa kiakili

    • @annacarlos7925
      @annacarlos7925 Před 7 lety

      Hussein H Kitambi mpumbavu mwenyewe kwani walivyosema mwanzo wanna ccm moshi mmetukimbilia ila viongozi ndo hakuna muakilishi ccm

  • @mudrickchuma3716
    @mudrickchuma3716 Před 7 lety +2

    tutakukumbuk daima peoples power

    • @petermwanyondo6459
      @petermwanyondo6459 Před 7 lety

      huo nimsiba mtu yyt aweza shirki hata ccm mambo yakukosoa watu nikutkuwa nafikra njema

  • @lameckbarnaba3739
    @lameckbarnaba3739 Před 7 lety

    rip ndesamburo tunakuombea ulale kwa aman

    • @ambasonkalenga215
      @ambasonkalenga215 Před 7 lety

      kuna watu wenye mapepo ya chama cha majuha wanavyo tuma ujumbe unashangaa kweli huyu mtu ni mzima kweli? mbona anamtazamo wa mapepo amejaa chuki,wivu, yachadema yanakuhusu nini wao wanjua wanayofanya lini fisi kamuongoza mbuzi wana ccm acheni unafiki hina chakuandika nyamaza mashetani

    • @djprincecharles5975
      @djprincecharles5975 Před 7 lety

      Lameck Barnaba

  • @ndikumanakalenzo2440
    @ndikumanakalenzo2440 Před 7 lety

    ukiona mtu anaipenda fisiem ujue Huyo ni zaidi ya mchawi