Msukuma Amlipua Lowassa, Asema Alipitishwa Kugombea Urais kwa Hati ya Dharura
Vložit
- čas přidán 2. 07. 2017
- Mbunge Wa Geita Vijijini Joseph Msukuma Amesema Kuwa Mgombea Wa Uraisi Kupitia Cha demokrasia Na Maendeleo Edward Lowassa Alipatikana Kwa Dharula
Msukuma Ameyasema Hayo Wakati Akichangia Mjadala Wa Mswada Wa Sheria Ya Madini Ambapo Aliwashukia Wabunge Wa Upinzani Kwa Kusema Wanashangaa Mswada Uho Wa Sheria
Kuletwa Kwa Hati Ya Dharula
Ikiwa Ata Wao Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo Walimpata
Mgombea Wao Kwa Hati Ya Dharula Ikumbuke Uchanguzi Mkuu wa Mwaka 2015 Chadema Walimsimamisha Waziri Mkuu Wa Zamani Edward Lowassa Kugombea Urais Kupitia Chama HIcho Baada Ya Kuachana Na Chama Cha Mapinduzi
Big up Musukuma. yaani wewe siku zote unaongea vitu vya maana. Wasaifie hao wanaoshindwa kutwa nzima wanalalamika tu hadi wanasahau majimbo yao. Nimeona kitu cha tofauti sana kwako msukuma, yaani unawapa vipande vyao hau wasiojielewa, lakini pia hujalisahau jimbo lako kulitetea juu ya mambo ya msingi. namna hii ndiyo inatakiwa. sio mtu anakisoa tu na kulalamika mwanzo mwisho na hakuna hata sehem 1 anawatetea wapiga kura wake. Geita wasipokuchagua tena 2020 watakuwa hawana akili. asante sana jembe la geita
Xanaaaa
We msukuma huna lolote wew,
Big up msukuma; nakupenda sana
big up sana...
upo vizuri msukuma
msukuma kiboko wa mabishoo👏👏👏👏
safi sana wape hao mana hawajielewi nakukubali sana msukuma
mikataba ya madini tusiingize kwenye siasa hapa tuungane kutetea madini musukuma penye ukweli usilete mambo ya kapeni uchanguzi ulipita
wape dawa msukuma
+Big up msukuma Mungu akuwezeshe
Msukuma upo vizuri nakukubali asilimia%100
Uongozi siyo elimu!!! MUSUKUMA ni zaidi ya wasomi 10,000/= walotupotezea uelekeo wa nchi yetu.
Anatumika kutetea masilahi yetu hasa tulio wanyonge kwa muda mwingi.
Watanzania tulio wengi tunahangaikia matumbo yetu tu. Na si maendeleo lakini kwa mwenendo huu soon nchi yetu watu wengi watakuwa vizuri sana kwani tumepata watetezi.
Hatar msukum
Kila Mtu kwa nafasi yake kwani Msukuma kaonesha ushamba gani hapo ? je ulitaka aongeaje hapo ! TUWE NA HAKILI NZURI ZENYE KUMTHAMINI KILA MTU.
TUJIHESHIMUNI NDG ZANGU.
Mweshimiwa dkt John pombe magufuli muangalie msukuma kwa jicho la pili an huyu jamaa anaakili mpaka bac anafaakuwa wazili flani kwani anajua uchungu wa wananchi hongera sana msukuma
Hongera ongea kaka Msukuma
hogera sana msukuma
salute sana msukuma
du msukuma kweli ni shida sana no one like yy pale bungen
haha haha haha haha safiiii msukuma.
magufuli mpe msukuma uwaziri ana point za muhimu saana hongera msukuma
Uwaziri wanapewa wendawazimu??
Immanuel Catylyn Platnumz Aaawapi huyo ni mlopojaji tu!
sawa kabisa
Nakuomba raisi muone msukuma kwa jicho la tatu
Immanuel Catylyn Platnumz nikweli
Uko vizuri una elimu dunia
Kwa hakika Msukuma unatuamsha tuliolala, wenye kuelewa wamekuelewa, Mungu akubariki uendelee kua na, Pia tuzidi kumuombea Raisi wetu Magufuli Mungu amlinde kama alivyomteua, amen.
hongera sana msukuma
shikamoo Msukuma
Huyu jamaa Moto kweli kweli awakandamizaaaaa
msukuma respect sana broo unaweza
Hongela jembe
safi sana..waambie hao
Duuu ila uyu baba nampenda sana 😀😀😀😀😀😀😀
Mboe anacheka anajua kajamaa kameongea ukweli ha ha ha ha
ben branco ww ili jina la kajamaa ni langu bwana
Big up
Global TV mbona mmesema anaeongea ni Godless lema? huyo ni msukuma mzee wa kazi
Msukuma ana Akili sana ingawa hakwenda Shule. Ni msema ukweli muda wote
Hongera msukuma kwa kupiga nyundo.
safi sana huo no ukweli
ila unanifurahisha sana Msukuma
Tunawaomba wenye mbunge wao msukuma msiache kumchagua maana bunge bila muheshimiwa msukuma halinongi
Wambie hao mana hawajui kua viongozi wao wote mpaka watoke CCM ndoo wao wachukue
SHIKAMOO MSUKUMA MAANA UKWELI UMEONGEA NASUBILI WAKINA NANILIIIII WAROPOKE YA KWAO YANAYOTOKA MIDOMONI......... CCM OYEEEEE
huy ndio mmbunge anayependwa na watu uku you tube
Kwel kabsa
safi hapo umewapata, hata mbowe hapo hana chakusema
Msukuma hongera sana mboye kwa aibu mpaka kacheka
jamaa anaakili sana, angekuwa ameenda shule huyo angekuwa tishio zaidi ya hapo jamaa anaongea ukweli ahahahahaaaa
Kelvin Mella
kwakweli huyu jamaa kama unavyosema Kelvin Mella angepata japo elimu kidogo pale UD angesumbua kuliko hata Tundu Lissu anahoja ambazo kwa kumuangalia na uongeaji wake unawezakumpuuuza ila kuna kitu cha maana ameongea
Big up sana msukuma
Hongera Sana mwenzetu msukuma tetea wanyonge
mtan wangu msukuma upo vzur
Hati yazarura imemfanya mboe acheke
nakupenda xana msukuma , tetea wanyonge ila ggm duh!
umewagusa pabaya msukuma 😅😅😅😅😅
Msukuma Hoyeeeeeeeeeeee! Sema, sema Kasheku.
uko vzr msukuma
Nimempenda huyu jamaa
nakuelewa sana musukuma
hivi msukuma hawezi kua raisi?
msukuma namkubali sana
Msukuma aendelee kubaki Bungeni miaka mingi na zaidi Yeye ni msema ukweli na msemo wake ni Busara kwa mengineo
uko vizuri
yani hawa Chadema wanafiki sana, mbona hawakupinga kumpa Lowasa uraisi
makoiga mg wambie mkuu
Yuko sawa
uko vzr sn
Noma sana mxukuma! Wambie waelewe
huwa namkubali sana Msukuma
Pomoja sana msukuma
saf sana mh
Mnaongea wasomi wasom ndo wez
Josk Plotas kwel we noma
Msukuma Mungu alikuona,anakuona na kwa Jina la Yesu ataendelea kukuona 😅😅😅aaaa!!!!
Daaah,sukuma kibokooooo
Tatizo ni MSUKUMA hata afanye nn atabaki kuwa msukuma
msukuma anatafta uwaziri Dah ataupata lakin sio Leo wala kesho
wongera sana msukuma yaan nimeamini kusoma sana sio akili hata alio soma akaishia 7 ndie yuko juu waelimishe baba watakuelewa tu yaani ww ungekua mbunge wetu wa Arusha tungeinjoi sana
ahsanteee hlo gogo kwa hao
Honga katoka usingizini
Msukuma we ni moto wa kuotea mbali
Hahaaaaaaaaaaaaa! Wape vidonge hahaaaaaaaa! Mbavu zangu jamani uwiiiiiiiiiiiiiiii
Msukuma uko vzr tutetea baba kwenye hiyo 1% nasi tufaidike nayo aise pia hongera kwa kuongea ukwel ndg
hahahahaaa!!, ila musukuma ni hatariii
Francisco sindo lazima atoe ufafanunuzi
Nakukubali sana msukuma
SANA WAZIRI MTARAJIWA
aisi kumbe asilimia moja yanini hiyo ni kulopoka haito tosha hata kidogo kwani madini yana ingiza kipato kikubwa sana asilimia 10 ita kua ndio haki ya kupewa sehemu ilio kua na madini nihayo
ww msukuma ww munguakujalie kwa ujaxilionao maana haupindixhi kwakumuogopa mtuuu
msukuma uko vzr sana
2020 watapitia wapi hawa wapinzani
Msukuma ni jiwe, full nondo! Gestura anashangaa 😂😂
King huyo
Mbowe katabasamu tu na kukuna pua!msukuma wewe ni kiboko!
msukuma oyeeeeeeee
big up king msukuma
Amsha dude
point zinafanana na makinikia,tatizo ni uelewa mdogo
huyu ni mnafiki, yeye ndio MTU Wa kwanza kusema lowasa anafaa kuwa rais watanzania na akaongeza huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono, wakati lowasa yuko ccm, Leo yupo chadema ndio kaona hafai.
Mtu angemsema magufuli apo angetolewa nje
Safii msukuma
saf sana bunge liwe live tu ili tuone jinsi gan mnatutetea bungen.
wewe Msukuma mnafiki .
Unakumbuka Lowasa alipotangaza nia ulipaa kwa helkopta hadi Arusha kumuunga mkono...leo unajifanya unamkandya...unafiki mtupu ndo maana siwaamini wana ccm.
yaani ukishangaa ya magufuli hujayaona ya msukuma....
Andrew Gadi Mrinji alimuunga mkono alipokuwa ccm, lakini alipochukuliwa kwa hati ya dharura chadema, akamtema😅😅😅😅😅
Andrew Gadi Mrinji msukuma anaongea point wew
kweli
mmmmh kwani hujui kwamba alikuwa bdo ccm,, acha mckuma aseme ukweli
Hahaahahahaha kweli kabisa Msukuma hongera sana
DJ anacheka tu
jembeewwee
marhaba msukuma
Upo vzr msukuma
Lusinde uishi mill unawapeleka na wapinzan😀😀😀😁😁😁
Wasukuma oyeeeeeee!
Kasome kidogo uje ugombee cheo kikubwa zaidi uchagulie
Msukuma noma sna
W ungekuw chamA pizan ungewasumbua sn
sawa baba
Jamila part one
ata magufuli naye ivoivo alipatikana kwa zarula Lowasa anausiana nanini kwenye mswada msukuma mlopokaji
msukuma unachana sana n unaongea ukweli
Fallacy,angekuwa amesoma angejielewa,atapitisha muswada upi wenye akili mtu mburura kama huyu.
Mimi ndio nipo chuo sasa kaka
hakuna chochote lowassa ni mtu wa watu wew mheshimiwa msukuma
Nice
uko bzr Mh msukuma
kiboko yao huyo
HUYU NDIO KING MUSUKUMA
Gongo cgara