Freeman Mbowe : Niliambiwa na Polisi Nimpigie Simu IGP Sirro Kumuomba Brass Band

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2017
  • Akizungumza Uwanja wa Mashujaa jana, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema: "Sina hakika nizungumze nini kwani jambo hili kwetu ni gumu sana kulizoea, utahitaji muda mwingi sana kumwelezea Ndesamburo ni nani, unaweza kumaliza hata siku nzima au wiki nzima, ni baraka tosha huyu mzee si wa kawaida.
    Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    “Inafika mahali tunapita hakuna mahali pa kulala kwa sababu wote wenye nyumba za kulala ni watu ambao pengine ni wa chama kingine, chama kile au pengine ni watu wao wanatunyima mahali pa kulala, tumelala kwenye magari na Ndesamburo mara nyingi kwa kunyimwa mahali pa kupumzika tukiwa katika harakati za kisiasa,” alisema.
    WANYIMWA BENDI YA POLISI
    Akizungumzia magumu waliyokutana nayo katika msiba huo, Mbowe alisema ni pamoja na kunyimwa uwanja na bendi ya polisi.
    Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    “Kwanza tuliamini kwa tukio hili la kihistoria ni vema mzee wetu tungemsindikiza kwa ‘Brass Band ya Polisi’, tukaenda Chuo cha Polisi Moshi ambacho Mzee Ndesamburo amewafanyia mambo mbalimbali.
    “Brass Band hiyo hukodishwa kwa Sh 300,000 na kama wafiwa tayari tulishajiandaa kulipia gharama hizo.
    Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    “Wanaogopa kutoa Brass Band, wananiambia niongee na IGP, yaani Mbowe nimpigie IGP simu kumuomba Brass Band, mimi?
    “Band hii hukodishwa kwenye Send off za maharusi eti leo polisi wanaogopa hata kufanya kazi kwa sababu hawajui bwana mkubwa atafurahi ama atakasirika.
    “Tukahitaji kiwanja tukiamini kwamba Majengo si kwamba hapakuwa panafaa bali tuliamini historia ya Moshi, Uwanja wa Mashujaa kama unavyoitwa unastahili kuwa uwanja wa kumuaga Mzee Ndesamburo, polisi wameweka vigingi,” alisema.
    WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
    FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpubli. .
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1

Komentáře • 82

  • @sideniuskatula6616
    @sideniuskatula6616 Před 6 lety

    safi sana mbowe na tujipe pole Mzee wetu mungu aipokee roho yake mahali pema peponi?

  • @verenabusanda4044
    @verenabusanda4044 Před 7 lety +3

    that's a nice speech...

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 Před 7 lety +2

    pole nyingi sana kwa familia ya mzee wetu Ndesamburo. Mungu ampe nafasi kwenye jumba la Mashahidi

  • @verenabusanda4044
    @verenabusanda4044 Před 7 lety +5

    huyu mzee alikua na roho nzur sana jaman,mnoo....kweli vizur havidumu...rest in peace Mr Ndesamburo.

  • @petromashauriimekaapouwa5953

    mwenyezi Mugu anataka tupendane pia hayati ml nyerere hakutufundisha utengamano haya yanakuwa mapya tuyakatae kwanguvu sana

  • @samwelmzava1174
    @samwelmzava1174 Před 7 lety +4

    hata mm imenisikitisha kwenye matukio kama haya tunatakiwa tushirikiane

  • @nessa4899
    @nessa4899 Před 7 lety +5

    Kweli wame mfanyia Vibaya Lakini Mungu atalipa tena watakosa msaada.

  • @delebm543
    @delebm543 Před 7 lety

    Mungu ilaze pema ROHO ya marehem Ndesamburo

  • @jasminasha9551
    @jasminasha9551 Před 7 lety +2

    Mh. Mbowe asante sana kwa hutuba yako Shukran kwa yote. R.I.P.

  • @isaacmmasi5905
    @isaacmmasi5905 Před 2 lety

    Chairman🙏🙏🙏

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 Před 7 lety +1

    Malipo hapa hapa dunian kesho mahesabu

  • @isaya9758
    @isaya9758 Před 7 lety

    sis ni watanzania tuwe wamoja ,tupendane tudumishe aman kwa faida ya vizaz vyetu , plz tusikubal kuganyw na wanasiasa wana chuki zao binafs kwan wanapita tyuuu lkn Tanzania yetu itabaki pale pale

  • @mathayomkumbuchile1569

    Mbowe unastahili kubeba dhamana kuu katika demokrasia yetu

  • @doctoranord8498
    @doctoranord8498 Před 6 lety

    Poleni sana

  • @rajabojunju8183
    @rajabojunju8183 Před 7 lety

    salute chadema chama changu

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 Před 7 lety

    kwakweli hii speech imenigusa hili linalotokea Tanzania likiachwa hivi mwisho wake nikuuwana mheshimiwa rais alitutangazia kwamba yeye amejieleza kwamba hana chama kama tu kwenye msiba mnaweka uchama kwakweli ni hatari sana

  • @godfeymnyagila1202
    @godfeymnyagila1202 Před 4 lety

    Achaa siasa

  • @bushmendatoga4754
    @bushmendatoga4754 Před 7 lety +5

    Najivunia kutoka kilimanjaro.... Mungu yupo nasi Mh Mbowe iko siku tutashinda

  • @gridkibanda2582
    @gridkibanda2582 Před 4 lety

    Acheni upuuzi hawa wafiwa ingebidi wamtoe mbele akae uko kuwafariji wagonjwa umegeuka kuwa mkutano wa kisiasa

  • @jisamjose2184
    @jisamjose2184 Před 7 lety

    Ila vitendo hivi sio vizuri

  • @yasinmuona8198
    @yasinmuona8198 Před 7 lety

    siasa msibani sio mahara pake haya ni mambugufu ya kisiasa tumpumzishe mzee wetu kwa Amani siasa ni mapito mh.mbowe acha kupata chuki ya ujimbo

  • @tintz3157
    @tintz3157 Před 7 lety

    Sipendi tabia ya kumsifia mtu wakati ameshakufa,,mbona hamkumpa sifa wakati yuko hai..sio hai wilaya bali kwann hakupewa sifa hizo wakati anaishi...?? Acheni unafiki

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    HAJAJENGA MAWENZI KAZI YAKE KUNUNUA MAJOKOFU YA MOCHWARI NA AMBYULENSI! TAJA SHULE ALIYOJENGA NCHINI,

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal4014 Před 7 lety

    mm cyo bwege ila ulifualitilia kuanzia mwanzo had mwisho,aloyce tokea wakina rowasa

  • @nelibaba
    @nelibaba Před 7 lety

    maturity

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    WACHAGA KWA UKABILA! SASA MNAJIVUNIA KUWA WACHAGA KWA HIYO KINA MSIGWA WAMEPOPOTEA NJIA?

  • @georgefaustini5679
    @georgefaustini5679 Před 7 lety

    yaan kila mkisimama ni uhasama tuu.hivi rohon mwenu kumejaaa hasira za nini na chuki tele badiliken jaman.kuna saa MNA point ila mnazipoteza Kwa maelezo mengine ya mashitaka kila mahal.yeye baba yetu ndesamburo hakuwah kulalamika au amekutuma? uwalaumu watu msiban

  • @richardmganyasi3807
    @richardmganyasi3807 Před 7 lety

    Hii ni siasa uchwara hadi misibani na ukabila juu

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    NDESA MFANYA BIASHARA YA MADANGURO NA MMILIKI WA KIWANDA CHA VIROBA! MUNGU ATAMUADHIBU

  • @mkakatimaluhwago74
    @mkakatimaluhwago74 Před 7 lety

    Tatitizo, mzee Ndesamburo ndiye yule aliyesurubiwa na Friederik Sumaye akiwa waziri mkuu na kwamba siasa za kiitikadi za vyama ndio tatizo, ndiyo maana sasa badala ya kuongelea msiba kinachoongelewa ni itikadi za kivyama. Lakini maombolezo hayo ni yanini? Ndesamburo mwacheni alale salama, nyie mbaki na vyama vya siasa mkutane na vyama kwa vyama mtuache wananchi tuendelee na msuguano wetu baina yetu na kazi tunazo zifanya. Inasumbua kwanini ulazimishe wagombanao hata katika maswala ya msingi wazikane? Pengine wana ccm wameonesha ukomavu wao katika maswala ya itikadi za kivyama vya siasa ambazo haipingiki ni vita kubwa za kimasilahi kama ambavyo wengine huwafikisha hatua ya kuingia vita vya mtutu, nani asiyejua? Tumeshuhudia kina Samuel Doe , Savimbi na wengine wengi wakiuawa kwa mitutu, ninyi mnatudanganya nani atakuachia keki kiulaini? acheni kuwahadaa watanzania.

  • @tintz3157
    @tintz3157 Před 7 lety

    msiba+siasa=chuki
    chuki(times)siasa=uchochezi
    tafakari chukua hatua Mtz

    • @lucky9285
      @lucky9285 Před 7 lety

      Augustino Mapunda
      Wala rambirambi ni shidaaaaa😀😀😀Mwafaaaaa

    • @nurukakisungu4648
      @nurukakisungu4648 Před 6 lety

      Augustino Mapunda big up mr mbowe

  • @masungamnganya8678
    @masungamnganya8678 Před 7 lety

    Nchi hii imevyamiwa na adui siasa

  • @DeusNchembah
    @DeusNchembah Před 7 lety +2

    Najua siku moja nitakuwa Rais wa Tanganyika ama wa Tanzania na au kuwa Waziri mkuu, Hapo sitainyoosha Tz kama afanyavyo magufuli...bali itanyooka kwa njia ya Umoja, haki,usawa na uwajibikaji

  • @solomonmwisala157
    @solomonmwisala157 Před 7 lety +1

    kuna maumbwa humu ,wanachangia kijinga. chadema ni yetu. walaaaaaaaaaaaniwe! milele.

  • @hassanrwitita5237
    @hassanrwitita5237 Před 7 lety

    hahahaaa dereva wa loli anaganya tz kwa hilo najua anashindwa ila anaweza kuigawa tz kisiasa kuwa kuna tz ya upinzani na tz ya ccm nalo ni janga la uelewa hata kama ana cheti cha udhamivu.

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    BRASS BAND YA NINI MSIBANI?

  • @vallencmtui7606
    @vallencmtui7606 Před 7 lety

    Mungu atabaki kuwa Mungu na atafuta kila chozi nakuganga kila moyo uliovunjika.

  • @lenardbubinza6559
    @lenardbubinza6559 Před 7 lety +1

    Viongozi mjiepushe na siasa za matukio ni hatari sana

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    WEE MBOWE ACHA UKABILA! NANI ANAOGOPA KUJIITA MASSAWE? UCHAGA WENU PELEKA HUKO! NA WEE NGOJA SIKU UTAKAMATWA KAMA KINA LEMA NA HAYO MAKENGEZA YAKO

  • @robertwanda6743
    @robertwanda6743 Před 7 lety +3

    tijo wa bunda kwakweli waacheni hawajui walitendadalo pengine wengine watazikwa na familia tu.

  • @emmanueldagharo9462
    @emmanueldagharo9462 Před 7 lety

    Mbowe amesema ukweli mtupu,

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 Před 7 lety +8

    Serikali ya awamu hii inaigawa Tanzania vipande vipande ila kwa uwezo wa Mungu hawataweza

  • @togowelfare
    @togowelfare Před 7 lety

    UPELEKE MAITI SOKONI? AISEE MAKENGEZA NOMA! HALAFU NYANYA NDIO MPELEKE MOCHWARI?

  • @justinchriss3778
    @justinchriss3778 Před 7 lety

    💪💪💪

  • @younghustler5530
    @younghustler5530 Před 7 lety +1

    mmmmh siasa msibani sielewi yoyote anaekubaliana na hayo

  • @ndulukimola7542
    @ndulukimola7542 Před 7 lety

    politics

  • @josephmwanakijiji8283
    @josephmwanakijiji8283 Před 7 lety +1

    hotuba yenye chembe za mashikamano na mafundisho ya kiwango kikubwa kwa watawala

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 Před 7 lety +1

    wacha waendelee ipo ck watatoka kwenye viti walivyovikalia

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 Před 7 lety +1

    Kuna mijitu humu in vichwa maji hatari. Kama huna la Ku - comment is ukae kimya tu....

  • @robati.majwajwamajwajwa4152

    kwaeri.mzee.tesamburo.tutakukumbuka.daima

    • @catherinemarcel695
      @catherinemarcel695 Před 7 lety

      jamaan kwenye msiba tuweke siasa pembeni tushikamane ,ccm mnatia aibu hiyo dhambi mtaulizwa siku ya mwisho.

    • @catherinemarcel695
      @catherinemarcel695 Před 7 lety

      jamaan kwenye msiba tuweke siasa pembeni tushikamane ,ccm mnatia aibu hiyo dhambi mtaulizwa siku ya mwisho.

    • @catherinemarcel695
      @catherinemarcel695 Před 7 lety +1

      Robati.majwajwa Majwajwa Yb

    • @colethasimon2848
      @colethasimon2848 Před 7 lety +2

      kwa ufup serikal yetu,iliyopo inatugawa na kutupeleka kubaya wakat baba wa taifa alikataa ukabila udin ukanda zaid yakuhubr umoja na ushirikiano lakn hakn kiiongoz anaemuenz,baba wa taifa

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 Před 7 lety +4

    i hate ccm haki tena

  • @josephjosephat7826
    @josephjosephat7826 Před 7 lety

    mhnn

  • @maryammaryam-jp2zg
    @maryammaryam-jp2zg Před 7 lety

    IPO siku yatafika mwisho.

  • @paulemmanuel9512
    @paulemmanuel9512 Před 7 lety

    mbowe n unaongea nn ndugu

  • @hawawezidianakukushusha756

    Mboweeeeeeee mz wa totozi

  • @godfreykanelela9448
    @godfreykanelela9448 Před 7 lety

    fly to kia haaaaaa

  • @shijamalole2153
    @shijamalole2153 Před 7 lety

    unaweka ukanda

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal4014 Před 7 lety

    hivi huu msiba au mkutano

    • @maryammaryam-jp2zg
      @maryammaryam-jp2zg Před 7 lety +1

      Habiba Feithal ww unaonaje? acha ujuaji. yalifanywa na waponzani midomo juu mfanye nyie tu shwayn😏😏😏

    • @aloycekiwia8613
      @aloycekiwia8613 Před 7 lety

      Habiba Feithal We BWEGE..! Hiyo inaitwa WOSIA..Inaelezea alichofanya au aliyoyaacha Marehemu

  • @younghustler5530
    @younghustler5530 Před 7 lety +1

    hii hutuba imenifanya nisiupende upinzani wa nchi hii hakuna hutuba mbovu niliopata kuisikia kama hii mbovu mbovu mbovu mbovu inatapisha inatapisha inatapisha mbovu mbovu mbovu mbovu na upinzani huu ni sasa ni wakati wake wa kufa

    • @shadiluck9015
      @shadiluck9015 Před 7 lety +4

      duh kwel tuna safar ndef... yaaan hii hotuba unaiita mbov... sasa sijui ulitaka aseme maguful oyee ndo umsifie

    • @venancenkuwi768
      @venancenkuwi768 Před 7 lety +2

      young hustler. kilaza mkubwa km ww ni sawa na saruji ya nyati. magu ana hotuba gani hapa tz

    • @barakakaria1341
      @barakakaria1341 Před 7 lety

      young hustler www n kenge hotuba ya baba yako kwa mama yako ndo mbovu

    • @benedictosemeda7855
      @benedictosemeda7855 Před 6 lety

      young hustler ni lazima ikuumize

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal4014 Před 7 lety

    ongea kama ulivyombembeleza wema

    • @shakirashafy9030
      @shakirashafy9030 Před 7 lety

      we choko muuza sukar kwenye maswala ya msiba unaleta utoto