#KutokaUghaibuni

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 20

  • @emanueljohn9601
    @emanueljohn9601 Před 5 měsíci +4

    Kutoka ughaibuni imeludiiii aiseee🎉

    • @ommy4k
      @ommy4k  Před 5 měsíci +1

      Tunakimbizana

  • @ChrisCross255
    @ChrisCross255 Před 9 dny +1

    🎉

  • @SalumuSalehe-om8zh
    @SalumuSalehe-om8zh Před 4 měsíci +1

    Roja moo salut bro

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana Před 2 měsíci +1

    Nihatalii sana

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Před 23 dny +2

    Mchiz meno ana kabsa namjua

  • @mutijimacedrick1622
    @mutijimacedrick1622 Před 4 měsíci +1

    trigo kkkkkkk.uyujama kbs ameishi Maputo

  • @farrelrasheed1724
    @farrelrasheed1724 Před 5 měsíci +2

    Tupandishie vitu kiongozi tupo pamoja na pindi letu la kijafanja

    • @ommy4k
      @ommy4k  Před 5 měsíci

      Dua sana kaka

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 Před 2 měsíci +1

    Mwanangu umeendaa wap tumemis hizii hii chaner mwananguu eeh lud hewan mwananguu

    • @ommy4k
      @ommy4k  Před 2 měsíci

      Narudi Kaka Usijali

  • @mutijimacedrick1622
    @mutijimacedrick1622 Před 4 měsíci +1

    kbs uyu anaongea ukweli,renamo na frelimo..vita imeisha 1994..

  • @josephkavindi3666
    @josephkavindi3666 Před 5 měsíci +1

    Dogo Janja 😂😂😂

  • @ramermohamedy4344
    @ramermohamedy4344 Před 5 měsíci +1

    Sorry zile zile kila cku acha ukuma

    • @ommy4k
      @ommy4k  Před 5 měsíci

      Samahani bro mambo Vipi HiZi zilipotea kaka ndo nazipandisha tena kuwa new Generation haijaona Lakini new zinakuja kaka Samahani sana Ndugu yangu

    • @emanueljohn9601
      @emanueljohn9601 Před 5 měsíci

      Oyaaaa we matako @ramermohamedy Unapata wapi Ujasiri wa kutukana humu Nini kimekuleta hapa mbwa we unajua haya material yanatengenezwa mda gani watu wanatumia mamillioni ya hela kutengeneza content ili wewe uje hapa na bando lako la ofa Au la mia 500 Alafu unakuja hapa unaanza kutukana We chizi nini Nyau we Nunua kamera na wewe ukashuti uje upost matako yako🖕 una bando la bule unasumbua watu Si upite kwene page zingine Unawashwa ninii kuja hapa Umefeli mzee😂

    • @NassorTwahiru-kf8fo
      @NassorTwahiru-kf8fo Před 4 měsíci

      Dah ww jamaa ni maana halisi ya gentleman(muungwana)kwa nafikir huyu aliyekutukana atajifunza kitu​@@ommy4k

    • @ommy4k
      @ommy4k  Před 4 měsíci

      brother kila kitu dua

    • @ommy4k
      @ommy4k  Před 4 měsíci

      shukran brother