TAZAMA ENEO HATARI ZAIDI KONA TANO TISHIO DODOMA-ARUSHA "ENEO LENYE AJALI NYINGI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 04. 2022

Komentáře • 116

  • @uwezowamunguutendaokazi3043

    Kona izo tunazijua sana. Kubwa umakini na kutambua kila eneo uendapo safari. Wenye magari watengeneze magari yao. Ukiwa makini izi kona azina tatizo,napita kila mwezi mara 4 . Mungu mkuu aturehemu sote.AMEN.

  • @SongeaDistrict
    @SongeaDistrict Před 8 měsíci

    Barabara nzuri Sana ukilinganisha na zamani

  • @humphreyiddy2986
    @humphreyiddy2986 Před 2 lety

    Am kweli sitaisahau kolo kwenye maisha yangu ni kumshukuru mungu sana nilinusurika sna

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 2 lety +1

    Dah niliwahi pita hizo kona ni hatariiiiiiiiiiii sana

  • @zakiaferuz4561
    @zakiaferuz4561 Před 2 lety +4

    Maeneo hayo sio mazuri Tena afadhali wameweka rami Kwa sasa tunaishukuru serikali 🙏

  • @allymsega5639
    @allymsega5639 Před 2 lety

    Hapo pakawaida sana tofauti na zaman kbl hapajawekwa lami kuna barabara mbaya sn hlf rafu rodi ukitoka babati kwenda mbulu kuna mlima magara unakona kibao unapita juu ya mlima huk bonde na huku bonde barabara katkat

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 Před 2 lety +5

    kuna maeneo hatar zaid ya hayo,nyang'olo baada ya kutoka mtera,acheni uwongo tatizo hamtembei

    • @sereriadia6321
      @sereriadia6321 Před 5 měsíci

      Nyangoro ni kona tu lakini hakuna kuteremka wala kupanda tofauti na kolo,kolo ni kilima tena kikali kimesima inawezekana wewe ndo hujatembea kolo ni ya tofauti sana

  • @zarriaabushiri661
    @zarriaabushiri661 Před 2 lety +2

    bro gari ikipita salama iyo sehem unamshukuru m.mungu

    • @nyangehassan902
      @nyangehassan902 Před 2 lety

      Kona mbaya zaidi zipo Barabara ya Mbinga-Mbamba bay

  • @swaumukadidi7124
    @swaumukadidi7124 Před 2 lety +3

    Kuna Kona Kali Sana hapo Ila Kama hujawahi kufika unaweza ukazarau watu wakifikaga hapo kila mtu na maobi yake wa yesu nayesu wake wa mtume na mtume wake

  • @shangwehalisi7659
    @shangwehalisi7659 Před 2 lety

    aaah mbona barabara nzuri hiyo nenda Rukwa ukaone

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 Před 2 lety +1

    Hivi Mmekosa habari auuuu duh nendeni upareni

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Před 2 lety +2

    Tatizo Ni madreva lakini barabara Ni nzuri sana,Bora uwenatahadhari kuliko kulibuluta gari,kwani ukitembea na gear ndogo kunatatizo gani,

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 lety +2

    Huyu dreva vipi,anaomba bumps na rasta barabarani.. watanue zaidi hii njia

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 8 měsíci +1

    Nendeni Magara huku pande za Mbulu. Ninyi hamuijui hii njia. Ukifanikiwa kupita mara mmoja tu, utasema sitawahi kujaribu kurudia kupita hii njia ya Magara. Ina kona zaidi ya mia mbili 200. Ndo barabara yenye kona mingi zaidi kupita barabara zote hapa Tanzania. Njoeni Mbulu, ukianzia Haydom kwenda Arusha, kupitia hapa Magara.

  • @johnedward7843
    @johnedward7843 Před 2 lety +1

    I suggest speed of moving car should be slowed

  • @douglasmichael7494
    @douglasmichael7494 Před 2 lety

    #Hancinho dos sàntos njoo utoe neno hapa

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist666 Před 2 lety

    Yaani hapo mara ya kwanza kupita kwenda Arusha kutoka Mbeya du ni noma, pia kizunguzungu lazima ukipate.

  • @elihurumamatowo2872
    @elihurumamatowo2872 Před 2 lety +4

    Hapo pakawaida sana tena ni mlima na kona za kawaida sana. Dereva anaeshangaa happ huyo bado hajatembea. Kama una gari lako lina breki za kunjunga ndio itakupa shida. Tembelea njia ya kutoka kigali kwenda bugarama ndio utajua milima.

  • @zanzibar.
    @zanzibar. Před 2 lety

    Hii mbon iko pouw tu

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 Před 2 lety

    Hapo mbona pazuri sana njooni mombo soni mjifunze kona zaidi ya kumi njia nyembamba kona nyingi

  • @petershedrack4668
    @petershedrack4668 Před 2 lety +1

    Jamani hebu nendeni Upareni huko Mtaona Mambo ajabu

  • @fumbokhan1913
    @fumbokhan1913 Před 2 lety +2

    Millard ayo Mmoja ni sawa na Wasafi Tv 200

    • @tinnymarty
      @tinnymarty Před 2 lety

      .from twitter to youtube 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 2 lety

    Siku nyingine ingefaa utumie drone kupata picha nzuri.

  • @willyanastazi9115
    @willyanastazi9115 Před rokem +1

    Hujawah kuona njoo huku kagera Kama unaelekea Uganda njia ya kuelekea Uganda panaitwa rwabunuka ndo atariiiiiiiiiiiiiii sas Zaid ya hizo

  • @karyori69
    @karyori69 Před 2 lety +3

    Mbona njia nzuri na ina extra lanes kuepusha ajali brake ziki-fail! Hapo ajali ikitokea ni sababu ya mwendokasi au ubovu wa gari yaani brakes! Pita kwa mwendokasi wa 30 km/h utavuka salama!

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před rokem

    Mlima.hatari sana ni mlima magara ukitokea arusha kuelekea haydom

  • @madpusher2036
    @madpusher2036 Před 2 lety

    Katika safar zangu zooote Arusha Dom..Dom Arusha nilinusulka maana nmepta hapa mala nyingi mnooo

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před 2 lety

    Kuna lane Tano hapo na Bado dereva analalamika

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 Před 2 lety +3

    Kona zipo barabara ya Mbinga- Mbamba bay hizo za Kolo Cha mtoto nazifahamu

  • @Sengakarera
    @Sengakarera Před 4 měsíci

    Hatari sana

  • @arafathussein7910
    @arafathussein7910 Před 2 lety

    Hajatembea uyuu,,anapajua nyang'olo na kitonga

  • @mariamelia3906
    @mariamelia3906 Před 2 lety

    Kona ya hara Kona ya kolo ni balaa

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 Před 2 lety +1

    Oyooo

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko2965 Před 2 lety

    Hapo hapafai kuweka bamsi itakua hatari zaidi

  • @mrh2812
    @mrh2812 Před 2 lety +1

    Jaribu kutembelea eneo moja lipo RUKWA eneo muze ile bara bara sio poa mnapita pemben ya mlima kushuka chini sehem ilipopita bonde la ufa

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Před 2 lety

      Kuna sehemu nyingine inaitwa Mbinga Mbamba Bei.Ile barabara kiboko.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 2 lety

    Tatizo si kona, bali watumiaji wa barabara, madreva wanashindwa kuchukua tahadhari na maoni wanayopewa, hizi kona si kona kama vile Rocky Mountains Marekani ambako hata wakati wa winter barabara zinajaa barafu lakini ajali ni chache sana.

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi3980 Před 2 lety +1

    Swali
    Nin kifanyike?

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 Před 2 lety

    Kwa Babati nafikiri njia ya Dabil to Dongobesh hapo kwenye kimlima ndo mtihani

  • @hidodomagarasha5804
    @hidodomagarasha5804 Před 2 lety

    Jamani kasimu nimekuona . ..

  • @realheartomary2972
    @realheartomary2972 Před 2 lety

    Hapo kweli bro

  • @johnswai1622
    @johnswai1622 Před 2 lety +1

    Lakini kuna escape ramp hapo kolo

  • @josephmpunta1669
    @josephmpunta1669 Před 2 lety

    Kasimu idowa

  • @daudpius130
    @daudpius130 Před 2 lety

    Njoo kuruya ukiwa unatoka tarime uone kona hatali

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 2 lety +1

    Unawauliza maswali magumu watu wasio na uelewa nayo na mbongo hawezi kusema sijui, hilo wala sio jamvi ni zege au concrete kali iliosukwa kwa nondo ndani kama barabara za BRT na ni zege sio lami sababu lami ina kawaida ya kumeguka kwenye kona
    Tembelea kona zote za lami lazima utakufa mmeguko na maeneo mengine mashimo kabisa sababu lami ni laini ukilinganisha na zege (sababu ya breaks na kukata kona)
    Pia Tembelea maeneo barabara zenye ubora zilipojengwa utaona kwenye kona au makutano wameweka zege mfano mzuri ni barabara za kuingia na kutoka stendi mpya ya Dodoma

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 5 měsíci

    Kolowasi Kondoa

  • @jonasjackson987
    @jonasjackson987 Před 2 lety

    Kuna kitonga,kuna k9,kuna machinjioni rusumo sasa sijui kama hilo eneo ni hatari kuliko hayo maeneo niliyotaja

  • @dr.eliasm.chrisant4110
    @dr.eliasm.chrisant4110 Před 2 lety +1

    Hiyo mbona ni barabara nzuri kabisa…. Nenda sehemu moja inaitwa kaburi wazi.. Ipo sumbawanga barabara ya kuelekea majimoto mpanda kupitia kijiji cha muze kuna kona kali sana zaidi ya kona 12 na njia ni nyembaba

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 Před 10 měsíci

    "Escape Rane Lamp" ni wangapi wanaelewa maelekezo haya kwa nini isiwekwe na kwenye lugha inayoeleweka hasa kiswahili?

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi2854 Před 2 lety

    Hv ninyi mnao Sema pakawaida hapo mliwah pita? Ss ambao Wa Arusha Sngd tunapaelewa Sn achen ushabig wanao ongea wanahakil timam

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Před 9 měsíci

    Kabla ya kuwekwa lami ndo zilikua hatari sana

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Před 2 lety

    Pesa zinatafunwa na safari za Samia na mafisadi wenzake.

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před 2 lety +1

    Ila hiyo barabara ingepitia Galapo kule hakuna milima

  • @pastorbonnyphillip8945

    Unaifahamu Magara???〰️〰️

  • @ireneassey9943
    @ireneassey9943 Před 2 lety

    Punguza mwendo si mmeambiwa

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 Před 2 lety

    M8lad ayo ukitaka kujua bara bara yenye kona hatari na bara bara nyembamba nenda mgeta morogoro huko naona uzajifunza mengi na utapaaza sauti yako. Najua hujatrmbelea huko karibu uone milima ya uluguru ila usije piga kelele kwa uoga

  • @johnfrankmputa9915
    @johnfrankmputa9915 Před rokem

    Nenda lushoto mlalo kutokea mkomazi kuna kona 120 na hakuna ajali madereva tuache uzembe

  • @christopherdismas4092
    @christopherdismas4092 Před 2 lety +2

    Kuna maeneo hatari zaidi ya Kolo. Nenda Dabili, Magara, Nenda njia ya kwenda Usangi ukitokea Mwanga, nenda Kitonga,

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 4 měsíci

      Kitonga usiseme mi nilipata homa sku ya kurud safari yangu nilipofikiria ile njia .

  • @alfamgayatv872
    @alfamgayatv872 Před rokem

    We utakufa kwajili ya kuu tembea na gari lako huyu mzee hamuami. Dele wake

  • @SavegEfx
    @SavegEfx Před 4 měsíci

    KOLO ni hom

  • @frans_dede
    @frans_dede Před 2 lety

    interview nzur kam hzi ndo znatakiw cyo kilack umbea

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Před 2 lety

    Ayo tv 📺🤣😂ina watangazaji viraza eti jamvi wakati anaona ni ZEGE 🏃🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @douglasmichael7494
    @douglasmichael7494 Před 2 lety

    @Hancinho Dos Sàntos njoo utupe uzoefu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 lety

    Pitia Marangu mtoni uje Rombo ndo utafurahi hizi kona za Dodoma bora hata unaiona gari inakotoka kona zingine unashtukia mmekutana tu paap

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 Před 2 lety

    NENDA MAGARA BASHNET HIYO CHA MTOTO,

    • @frankmare1708
      @frankmare1708 Před 2 lety

      Pale mliman unaiona lake balangida zile ndo kona sasa

  • @sadikibaruti4733
    @sadikibaruti4733 Před rokem

    Hapo kolo ikiwekwa mabamsi ndio itakua hatari zaidi. Nashauri hatazile zilizopo kule chini zitolewetu.

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 Před 2 lety

    Mwenzenu nilipita hapo mwez wa 1 mwaka huu kutokea Arsh to Dom nilifurah kuona hizo kona kumbe ni hatar lkn Barbara zake ni pana za kutosha

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před rokem

    Corner kawaida sana kuna k9 ngara chiweta milima hio cha mtoto tu

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y Před 9 měsíci

    I'miis kolo ndo kwetu
    🌹🌹🌹🌸🪷🪷🪷🇹🇿🌺🌺🌺🌺

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 Před 2 lety

    Njooni barabara ya chunya ndiyo mtajua kuna kona kali kuliko hizo

  • @ireneassey9943
    @ireneassey9943 Před 2 lety

    Kama chunya mbeyaa

  • @marylutengano1555
    @marylutengano1555 Před 2 lety +1

    Jamani Mbona hizo Cha mtoto,miradi ayo nenda kazi angalie kona za kawetere kungia rwanjiro zile ndo kona sasa

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 Před 2 lety +1

      Hapa umenena dadaangu
      Tena ile njia ya chunya wakati ule wa miaka ya 80 na 90 ilikuwa ni vumbi tuu
      Mlima mkali na kona kali na madereva walikuwa wanapanda na kushuka ...na ajali zilikuwa chache...dada Mary mara yangu ya kwanza kupanda roli la mbao toka isanga mpaka kawetere mkojo ulinibana na tumbo la kuhara...sister yaani nawasifu madereva walivyo na roho ngumu...na uso ulikuwa mwendo wa poda... sasa hivi barabara mwake mwake, ila kona ndio usiseme

    • @marylutengano1555
      @marylutengano1555 Před 2 lety

      @@vincentmushi1247 hao niwavivu hawatembelei sehemu tofauti tofauti za nchi kuna barabara ziko milimani mpaka unatamani ushuke utembee maana mkidondoka mmejizika hukohuko.

  • @frenkjacob9841
    @frenkjacob9841 Před 2 lety

    Nenda ziwarukwa kunakona15 afu sokamaizo panaitwa kaburi wazi

  • @philemonmartine7317
    @philemonmartine7317 Před 2 lety

    Kona Kali zipo Kiruka Kijiji cha Duma wilaya Same Kilimanjaro hizi mbona tambarare kabisa

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 2 lety

    Hiyo njia nilipita nili soma dua njia nzima. Ukipita eneo la Bonga tu unakutana na ma corner ya ajabu. Pamoja nakua barabara ni pana na ni lami bado inatisha. Sijui wakati wa barabara za vumbi hali ilikua vipi

  • @jabirjabir4652
    @jabirjabir4652 Před rokem

    Waende India wakasome

  • @johnfrankmputa9915
    @johnfrankmputa9915 Před rokem

    Tuishukuru selikari ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuboresha miundo mbinu hasa barabara zetu zinapitika vizuri kipindi cha miaka ya 1990 waulize madereva wa new Arusha Mwanga star Mtei na Tashiriff ndio ambao wanaijua hiyo barabara vizuri na hapo Bonga walikuwa wanamwaga maji wanateka magari tuishukuru serikali ya Rais wetu Mh samia suluhu hasani kwa kuboresha miundo mbinu

  • @komudibwe866
    @komudibwe866 Před 2 lety

    Sasa serikali sasa ifanye nini mbona hueleweki

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 2 lety

    kwa dino kolo hiyo ukitokea babati kuja kondoa

  • @ayoubmbwambo4441
    @ayoubmbwambo4441 Před 2 lety

    Mmmmmhhh

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 2 lety +1

    Kwani madereva wa Tanzania hawajui kuendesha magari kwenye kona? Ujinga gani huo? Tena shida kubwa ni kuendesha magari mabovu

  • @jabirjabir4652
    @jabirjabir4652 Před rokem

    Madereva wenu wazembe nende mombo kupandi Soni lushoto ndio utajua madeleva wapo tofauti Tena mwaka unaisha hakujatokea ajali

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 2 lety +1

    Hiyo kona iyacheni tuu imenipoteslzea watu wagu wakaribu san

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Před 2 lety

    Huyu hajfika wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera,kama anaogopa hapo tuu duuuuh,tembeeni muone kunasehemu gari likianguka ata ukiwambia watu wakakate sikelepa hawaendi,ruyenze nendeni mkapaone😛😛😛😛

  • @francosemmy
    @francosemmy Před 2 lety

    Mbona Pako vzr kikubwa madreva wafate Sheria za barabaran pia wahakikishe vyombo vyao vya usafiri vinakuwa na service ya kutosha tii Sheria bila shuruti usalama ni jukum letu sote.

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 2 lety +7

    Acheni ufala, Serikali ifanyeje tena wakati barabara ni pana sana na ina climbing lane tena 4 lanes, hukueni tahadhari, Huwezi linganisha kitonga na hii barabara, kitonga ina magari mengi sana na barabara ni finyu ninyi mna climbing lanes bado mnalalamika huo ni upumbavu, Mwingine anasema serikali ijenge njia nyingine, sasa kuna uwezekano wa kushuka au kupanda mlima bila kona? Elimu ndogo sana mnayo na akili za madereva kama ndio ndogo hivyo ajali haikwepeki hapo.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Před 2 lety +1

      Kweli Madereva hawajitambui sasa kama breki ndy zinafeli serikali inahusikaje hapo.

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 2 lety +1

      Hiyo barabara huwa najiachia tu... haiko busy kabisa na ni pana

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety +1

      @@barakakusa7606 labda wanataka serikali ishike hizo breki 🤣

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 2 lety +2

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#..*#
    czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 Před 2 lety

    Mjenzi alitakiwa aweke kingo za chuma kwenye curbs.

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Před 2 lety +1

    Hakuna hito dreva anakijuwa huko tu kuna kona mburu huko kona hatai na metelemuko hatali 120 utasema nini wewe!

  • @brenthylland2507
    @brenthylland2507 Před 2 lety

    Unaongea kwakurudia sana improve kuongea

  • @ip_header
    @ip_header Před 2 lety +1

    Kumbe Kolo ni jina maarufu

  • @franciscaaugustino4305
    @franciscaaugustino4305 Před 2 lety +1

    Msinikumbushe maana hata maumivu hayajaisha ilokuwa nusu kila mtu alishikilia roho.

    • @shedracksteven3183
      @shedracksteven3183 Před 2 lety

      Wew ndo unaye jikumbusha kwan kuna alye kuomba uingie huku kuchek😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

    • @franciscaaugustino4305
      @franciscaaugustino4305 Před 2 lety

      @@shedracksteven3183 acha shobo dera litakuhusu

  • @smfkingdom9944
    @smfkingdom9944 Před 2 lety

    Usipitwe na hii
    czcams.com/video/-2c5yHsFuvU/video.html

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 Před 2 lety +2

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#.*#
    czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 2 lety

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#..*#
    czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html