Kona izo tunazijua sana. Kubwa umakini na kutambua kila eneo uendapo safari. Wenye magari watengeneze magari yao. Ukiwa makini izi kona azina tatizo,napita kila mwezi mara 4 . Mungu mkuu aturehemu sote.AMEN.
Hapo pakawaida sana tofauti na zaman kbl hapajawekwa lami kuna barabara mbaya sn hlf rafu rodi ukitoka babati kwenda mbulu kuna mlima magara unakona kibao unapita juu ya mlima huk bonde na huku bonde barabara katkat
Nyangoro ni kona tu lakini hakuna kuteremka wala kupanda tofauti na kolo,kolo ni kilima tena kikali kimesima inawezekana wewe ndo hujatembea kolo ni ya tofauti sana
Kuna Kona Kali Sana hapo Ila Kama hujawahi kufika unaweza ukazarau watu wakifikaga hapo kila mtu na maobi yake wa yesu nayesu wake wa mtume na mtume wake
Nendeni Magara huku pande za Mbulu. Ninyi hamuijui hii njia. Ukifanikiwa kupita mara mmoja tu, utasema sitawahi kujaribu kurudia kupita hii njia ya Magara. Ina kona zaidi ya mia mbili 200. Ndo barabara yenye kona mingi zaidi kupita barabara zote hapa Tanzania. Njoeni Mbulu, ukianzia Haydom kwenda Arusha, kupitia hapa Magara.
Hapo pakawaida sana tena ni mlima na kona za kawaida sana. Dereva anaeshangaa happ huyo bado hajatembea. Kama una gari lako lina breki za kunjunga ndio itakupa shida. Tembelea njia ya kutoka kigali kwenda bugarama ndio utajua milima.
Mbona njia nzuri na ina extra lanes kuepusha ajali brake ziki-fail! Hapo ajali ikitokea ni sababu ya mwendokasi au ubovu wa gari yaani brakes! Pita kwa mwendokasi wa 30 km/h utavuka salama!
Tatizo si kona, bali watumiaji wa barabara, madreva wanashindwa kuchukua tahadhari na maoni wanayopewa, hizi kona si kona kama vile Rocky Mountains Marekani ambako hata wakati wa winter barabara zinajaa barafu lakini ajali ni chache sana.
Unawauliza maswali magumu watu wasio na uelewa nayo na mbongo hawezi kusema sijui, hilo wala sio jamvi ni zege au concrete kali iliosukwa kwa nondo ndani kama barabara za BRT na ni zege sio lami sababu lami ina kawaida ya kumeguka kwenye kona Tembelea kona zote za lami lazima utakufa mmeguko na maeneo mengine mashimo kabisa sababu lami ni laini ukilinganisha na zege (sababu ya breaks na kukata kona) Pia Tembelea maeneo barabara zenye ubora zilipojengwa utaona kwenye kona au makutano wameweka zege mfano mzuri ni barabara za kuingia na kutoka stendi mpya ya Dodoma
Hiyo mbona ni barabara nzuri kabisa…. Nenda sehemu moja inaitwa kaburi wazi.. Ipo sumbawanga barabara ya kuelekea majimoto mpanda kupitia kijiji cha muze kuna kona kali sana zaidi ya kona 12 na njia ni nyembaba
M8lad ayo ukitaka kujua bara bara yenye kona hatari na bara bara nyembamba nenda mgeta morogoro huko naona uzajifunza mengi na utapaaza sauti yako. Najua hujatrmbelea huko karibu uone milima ya uluguru ila usije piga kelele kwa uoga
Hapa umenena dadaangu Tena ile njia ya chunya wakati ule wa miaka ya 80 na 90 ilikuwa ni vumbi tuu Mlima mkali na kona kali na madereva walikuwa wanapanda na kushuka ...na ajali zilikuwa chache...dada Mary mara yangu ya kwanza kupanda roli la mbao toka isanga mpaka kawetere mkojo ulinibana na tumbo la kuhara...sister yaani nawasifu madereva walivyo na roho ngumu...na uso ulikuwa mwendo wa poda... sasa hivi barabara mwake mwake, ila kona ndio usiseme
@@vincentmushi1247 hao niwavivu hawatembelei sehemu tofauti tofauti za nchi kuna barabara ziko milimani mpaka unatamani ushuke utembee maana mkidondoka mmejizika hukohuko.
Hiyo njia nilipita nili soma dua njia nzima. Ukipita eneo la Bonga tu unakutana na ma corner ya ajabu. Pamoja nakua barabara ni pana na ni lami bado inatisha. Sijui wakati wa barabara za vumbi hali ilikua vipi
Tuishukuru selikari ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuboresha miundo mbinu hasa barabara zetu zinapitika vizuri kipindi cha miaka ya 1990 waulize madereva wa new Arusha Mwanga star Mtei na Tashiriff ndio ambao wanaijua hiyo barabara vizuri na hapo Bonga walikuwa wanamwaga maji wanateka magari tuishukuru serikali ya Rais wetu Mh samia suluhu hasani kwa kuboresha miundo mbinu
Huyu hajfika wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera,kama anaogopa hapo tuu duuuuh,tembeeni muone kunasehemu gari likianguka ata ukiwambia watu wakakate sikelepa hawaendi,ruyenze nendeni mkapaone😛😛😛😛
Mbona Pako vzr kikubwa madreva wafate Sheria za barabaran pia wahakikishe vyombo vyao vya usafiri vinakuwa na service ya kutosha tii Sheria bila shuruti usalama ni jukum letu sote.
Acheni ufala, Serikali ifanyeje tena wakati barabara ni pana sana na ina climbing lane tena 4 lanes, hukueni tahadhari, Huwezi linganisha kitonga na hii barabara, kitonga ina magari mengi sana na barabara ni finyu ninyi mna climbing lanes bado mnalalamika huo ni upumbavu, Mwingine anasema serikali ijenge njia nyingine, sasa kuna uwezekano wa kushuka au kupanda mlima bila kona? Elimu ndogo sana mnayo na akili za madereva kama ndio ndogo hivyo ajali haikwepeki hapo.
Kona izo tunazijua sana. Kubwa umakini na kutambua kila eneo uendapo safari. Wenye magari watengeneze magari yao. Ukiwa makini izi kona azina tatizo,napita kila mwezi mara 4 . Mungu mkuu aturehemu sote.AMEN.
Barabara nzuri Sana ukilinganisha na zamani
Am kweli sitaisahau kolo kwenye maisha yangu ni kumshukuru mungu sana nilinusurika sna
Dah niliwahi pita hizo kona ni hatariiiiiiiiiiii sana
Maeneo hayo sio mazuri Tena afadhali wameweka rami Kwa sasa tunaishukuru serikali 🙏
Hapo pakawaida sana tofauti na zaman kbl hapajawekwa lami kuna barabara mbaya sn hlf rafu rodi ukitoka babati kwenda mbulu kuna mlima magara unakona kibao unapita juu ya mlima huk bonde na huku bonde barabara katkat
kuna maeneo hatar zaid ya hayo,nyang'olo baada ya kutoka mtera,acheni uwongo tatizo hamtembei
Nyangoro ni kona tu lakini hakuna kuteremka wala kupanda tofauti na kolo,kolo ni kilima tena kikali kimesima inawezekana wewe ndo hujatembea kolo ni ya tofauti sana
bro gari ikipita salama iyo sehem unamshukuru m.mungu
Kona mbaya zaidi zipo Barabara ya Mbinga-Mbamba bay
Kuna Kona Kali Sana hapo Ila Kama hujawahi kufika unaweza ukazarau watu wakifikaga hapo kila mtu na maobi yake wa yesu nayesu wake wa mtume na mtume wake
😂😂😂😂
aaah mbona barabara nzuri hiyo nenda Rukwa ukaone
Hivi Mmekosa habari auuuu duh nendeni upareni
Tatizo Ni madreva lakini barabara Ni nzuri sana,Bora uwenatahadhari kuliko kulibuluta gari,kwani ukitembea na gear ndogo kunatatizo gani,
Huyu dreva vipi,anaomba bumps na rasta barabarani.. watanue zaidi hii njia
Nendeni Magara huku pande za Mbulu. Ninyi hamuijui hii njia. Ukifanikiwa kupita mara mmoja tu, utasema sitawahi kujaribu kurudia kupita hii njia ya Magara. Ina kona zaidi ya mia mbili 200. Ndo barabara yenye kona mingi zaidi kupita barabara zote hapa Tanzania. Njoeni Mbulu, ukianzia Haydom kwenda Arusha, kupitia hapa Magara.
sio kona mia200 ban
I suggest speed of moving car should be slowed
#Hancinho dos sàntos njoo utoe neno hapa
Yaani hapo mara ya kwanza kupita kwenda Arusha kutoka Mbeya du ni noma, pia kizunguzungu lazima ukipate.
Hapo pakawaida sana tena ni mlima na kona za kawaida sana. Dereva anaeshangaa happ huyo bado hajatembea. Kama una gari lako lina breki za kunjunga ndio itakupa shida. Tembelea njia ya kutoka kigali kwenda bugarama ndio utajua milima.
Hii mbon iko pouw tu
Hapo mbona pazuri sana njooni mombo soni mjifunze kona zaidi ya kumi njia nyembamba kona nyingi
Jamani hebu nendeni Upareni huko Mtaona Mambo ajabu
Millard ayo Mmoja ni sawa na Wasafi Tv 200
.from twitter to youtube 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Siku nyingine ingefaa utumie drone kupata picha nzuri.
Hujawah kuona njoo huku kagera Kama unaelekea Uganda njia ya kuelekea Uganda panaitwa rwabunuka ndo atariiiiiiiiiiiiiii sas Zaid ya hizo
Mbona njia nzuri na ina extra lanes kuepusha ajali brake ziki-fail! Hapo ajali ikitokea ni sababu ya mwendokasi au ubovu wa gari yaani brakes! Pita kwa mwendokasi wa 30 km/h utavuka salama!
Mlima.hatari sana ni mlima magara ukitokea arusha kuelekea haydom
Katika safar zangu zooote Arusha Dom..Dom Arusha nilinusulka maana nmepta hapa mala nyingi mnooo
Kuna lane Tano hapo na Bado dereva analalamika
Kona zipo barabara ya Mbinga- Mbamba bay hizo za Kolo Cha mtoto nazifahamu
Waambie hawajafika buruma kuelekea chunya mpaka mbaba bay
Hatari sana
Hajatembea uyuu,,anapajua nyang'olo na kitonga
Kona ya hara Kona ya kolo ni balaa
Oyooo
Hapo hapafai kuweka bamsi itakua hatari zaidi
Jaribu kutembelea eneo moja lipo RUKWA eneo muze ile bara bara sio poa mnapita pemben ya mlima kushuka chini sehem ilipopita bonde la ufa
Kuna sehemu nyingine inaitwa Mbinga Mbamba Bei.Ile barabara kiboko.
Tatizo si kona, bali watumiaji wa barabara, madreva wanashindwa kuchukua tahadhari na maoni wanayopewa, hizi kona si kona kama vile Rocky Mountains Marekani ambako hata wakati wa winter barabara zinajaa barafu lakini ajali ni chache sana.
Swali
Nin kifanyike?
Kwa Babati nafikiri njia ya Dabil to Dongobesh hapo kwenye kimlima ndo mtihani
Jamani kasimu nimekuona . ..
Hapo kweli bro
Lakini kuna escape ramp hapo kolo
Kasimu idowa
Njoo kuruya ukiwa unatoka tarime uone kona hatali
Unawauliza maswali magumu watu wasio na uelewa nayo na mbongo hawezi kusema sijui, hilo wala sio jamvi ni zege au concrete kali iliosukwa kwa nondo ndani kama barabara za BRT na ni zege sio lami sababu lami ina kawaida ya kumeguka kwenye kona
Tembelea kona zote za lami lazima utakufa mmeguko na maeneo mengine mashimo kabisa sababu lami ni laini ukilinganisha na zege (sababu ya breaks na kukata kona)
Pia Tembelea maeneo barabara zenye ubora zilipojengwa utaona kwenye kona au makutano wameweka zege mfano mzuri ni barabara za kuingia na kutoka stendi mpya ya Dodoma
Kolowasi Kondoa
Kuna kitonga,kuna k9,kuna machinjioni rusumo sasa sijui kama hilo eneo ni hatari kuliko hayo maeneo niliyotaja
Hiyo mbona ni barabara nzuri kabisa…. Nenda sehemu moja inaitwa kaburi wazi.. Ipo sumbawanga barabara ya kuelekea majimoto mpanda kupitia kijiji cha muze kuna kona kali sana zaidi ya kona 12 na njia ni nyembaba
"Escape Rane Lamp" ni wangapi wanaelewa maelekezo haya kwa nini isiwekwe na kwenye lugha inayoeleweka hasa kiswahili?
Hv ninyi mnao Sema pakawaida hapo mliwah pita? Ss ambao Wa Arusha Sngd tunapaelewa Sn achen ushabig wanao ongea wanahakil timam
Kabla ya kuwekwa lami ndo zilikua hatari sana
Pesa zinatafunwa na safari za Samia na mafisadi wenzake.
Ila hiyo barabara ingepitia Galapo kule hakuna milima
Unaifahamu Magara???〰️〰️
Punguza mwendo si mmeambiwa
M8lad ayo ukitaka kujua bara bara yenye kona hatari na bara bara nyembamba nenda mgeta morogoro huko naona uzajifunza mengi na utapaaza sauti yako. Najua hujatrmbelea huko karibu uone milima ya uluguru ila usije piga kelele kwa uoga
Nenda lushoto mlalo kutokea mkomazi kuna kona 120 na hakuna ajali madereva tuache uzembe
Kuna maeneo hatari zaidi ya Kolo. Nenda Dabili, Magara, Nenda njia ya kwenda Usangi ukitokea Mwanga, nenda Kitonga,
Kitonga usiseme mi nilipata homa sku ya kurud safari yangu nilipofikiria ile njia .
We utakufa kwajili ya kuu tembea na gari lako huyu mzee hamuami. Dele wake
KOLO ni hom
interview nzur kam hzi ndo znatakiw cyo kilack umbea
Ayo tv 📺🤣😂ina watangazaji viraza eti jamvi wakati anaona ni ZEGE 🏃🏃🏃🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@Hancinho Dos Sàntos njoo utupe uzoefu
Pitia Marangu mtoni uje Rombo ndo utafurahi hizi kona za Dodoma bora hata unaiona gari inakotoka kona zingine unashtukia mmekutana tu paap
NENDA MAGARA BASHNET HIYO CHA MTOTO,
Pale mliman unaiona lake balangida zile ndo kona sasa
Hapo kolo ikiwekwa mabamsi ndio itakua hatari zaidi. Nashauri hatazile zilizopo kule chini zitolewetu.
Mwenzenu nilipita hapo mwez wa 1 mwaka huu kutokea Arsh to Dom nilifurah kuona hizo kona kumbe ni hatar lkn Barbara zake ni pana za kutosha
Corner kawaida sana kuna k9 ngara chiweta milima hio cha mtoto tu
I'miis kolo ndo kwetu
🌹🌹🌹🌸🪷🪷🪷🇹🇿🌺🌺🌺🌺
Njooni barabara ya chunya ndiyo mtajua kuna kona kali kuliko hizo
Kama chunya mbeyaa
Jamani Mbona hizo Cha mtoto,miradi ayo nenda kazi angalie kona za kawetere kungia rwanjiro zile ndo kona sasa
Hapa umenena dadaangu
Tena ile njia ya chunya wakati ule wa miaka ya 80 na 90 ilikuwa ni vumbi tuu
Mlima mkali na kona kali na madereva walikuwa wanapanda na kushuka ...na ajali zilikuwa chache...dada Mary mara yangu ya kwanza kupanda roli la mbao toka isanga mpaka kawetere mkojo ulinibana na tumbo la kuhara...sister yaani nawasifu madereva walivyo na roho ngumu...na uso ulikuwa mwendo wa poda... sasa hivi barabara mwake mwake, ila kona ndio usiseme
@@vincentmushi1247 hao niwavivu hawatembelei sehemu tofauti tofauti za nchi kuna barabara ziko milimani mpaka unatamani ushuke utembee maana mkidondoka mmejizika hukohuko.
Nenda ziwarukwa kunakona15 afu sokamaizo panaitwa kaburi wazi
Kona Kali zipo Kiruka Kijiji cha Duma wilaya Same Kilimanjaro hizi mbona tambarare kabisa
Hiyo njia nilipita nili soma dua njia nzima. Ukipita eneo la Bonga tu unakutana na ma corner ya ajabu. Pamoja nakua barabara ni pana na ni lami bado inatisha. Sijui wakati wa barabara za vumbi hali ilikua vipi
Pa kawaida sana tembea uone
Waende India wakasome
Tuishukuru selikari ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuboresha miundo mbinu hasa barabara zetu zinapitika vizuri kipindi cha miaka ya 1990 waulize madereva wa new Arusha Mwanga star Mtei na Tashiriff ndio ambao wanaijua hiyo barabara vizuri na hapo Bonga walikuwa wanamwaga maji wanateka magari tuishukuru serikali ya Rais wetu Mh samia suluhu hasani kwa kuboresha miundo mbinu
Sasa serikali sasa ifanye nini mbona hueleweki
kwa dino kolo hiyo ukitokea babati kuja kondoa
Mmmmmhhh
Kwani madereva wa Tanzania hawajui kuendesha magari kwenye kona? Ujinga gani huo? Tena shida kubwa ni kuendesha magari mabovu
Madereva wenu wazembe nende mombo kupandi Soni lushoto ndio utajua madeleva wapo tofauti Tena mwaka unaisha hakujatokea ajali
Hiyo kona iyacheni tuu imenipoteslzea watu wagu wakaribu san
Polee Kaka
Du! Pole sana jamani
Huyu hajfika wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera,kama anaogopa hapo tuu duuuuh,tembeeni muone kunasehemu gari likianguka ata ukiwambia watu wakakate sikelepa hawaendi,ruyenze nendeni mkapaone😛😛😛😛
Mbona Pako vzr kikubwa madreva wafate Sheria za barabaran pia wahakikishe vyombo vyao vya usafiri vinakuwa na service ya kutosha tii Sheria bila shuruti usalama ni jukum letu sote.
Acheni ufala, Serikali ifanyeje tena wakati barabara ni pana sana na ina climbing lane tena 4 lanes, hukueni tahadhari, Huwezi linganisha kitonga na hii barabara, kitonga ina magari mengi sana na barabara ni finyu ninyi mna climbing lanes bado mnalalamika huo ni upumbavu, Mwingine anasema serikali ijenge njia nyingine, sasa kuna uwezekano wa kushuka au kupanda mlima bila kona? Elimu ndogo sana mnayo na akili za madereva kama ndio ndogo hivyo ajali haikwepeki hapo.
Kweli Madereva hawajitambui sasa kama breki ndy zinafeli serikali inahusikaje hapo.
Hiyo barabara huwa najiachia tu... haiko busy kabisa na ni pana
@@barakakusa7606 labda wanataka serikali ishike hizo breki 🤣
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
.*#..*#
czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html
Mjenzi alitakiwa aweke kingo za chuma kwenye curbs.
Hakuna hito dreva anakijuwa huko tu kuna kona mburu huko kona hatai na metelemuko hatali 120 utasema nini wewe!
Umesoma hadi darasa LA ngap wewe?
Unaongea kwakurudia sana improve kuongea
Kumbe Kolo ni jina maarufu
Msinikumbushe maana hata maumivu hayajaisha ilokuwa nusu kila mtu alishikilia roho.
Wew ndo unaye jikumbusha kwan kuna alye kuomba uingie huku kuchek😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@@shedracksteven3183 acha shobo dera litakuhusu
Usipitwe na hii
czcams.com/video/-2c5yHsFuvU/video.html
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
.*#.*#
czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
.*#..*#
czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html