RAIS DKT. SAMIA ANAZUNGUMZA NA MACHIFU CHAMWINO IKULU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Anazungumza na Machifu Chamwino Ikulu Dodoma leo tarehe 20 Julai, 2024.

Komentáře • 6

  • @elishamaginya6827
    @elishamaginya6827 Před měsícem

    Mmmmmmm

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry Před měsícem +2

    Kama kweli nyie ni machifu na mnajua machifu waliotangulia mbele za haki walipigania nini... Mwambieni chifu HANGAYA kuuza au kukabidhi Ardhi ya Tanganyika kwa wageni ni kosa lisilosameheka.. Atunze na kulinda raslimali za Tanganyika. Vinginevyo nanyi mtaingie kwenye hukumu na machifu waliowatangulia watainuka.

  • @user-yc1tm4hp4n
    @user-yc1tm4hp4n Před měsícem

    Mimi shida yangu ni kumuona Rais nitapataje fulsa hiyo?

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka Před 14 dny

    Chifu??chifu qiyo!! Kwiyo?

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 Před měsícem

    MUHESHIMIWA RAIS UMEONGEA KITU MUHIMU MNO LA WAFUGAJI,HAWA NI WAHARIBIFU MNO NA NI VEMA SERIKALI IKAZIREJEA TENA SHERIA ZA UFUGAJI NA KUHAMA HAMA,WEKENI MIPAKA YA MAPORI YA SERIKALI ILI WASIWEZE KUYAVAMIA

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Před měsícem

    Nape anaporopoka wewe unakas kimys vipi machifu wao.unawataka waseme.!!
    Wizi wa kura kwako harari????