VIUMBE wa AJABU wanaopatikana MARIANA TRENCH, sehemu ya BAHARI yenye kina KIREFU zaidi, Wanatisha!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 100

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Před rokem +25

    Nikisikia HABARINI ZA SAIZI WANA SNS huwa natabasamuu ❤sns❤

  • @lovvy854
    @lovvy854 Před rokem +6

    Mwenyezimngu aliiumba dunia na maajabu yake Subhhanallah

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 Před rokem +10

    ...ukiambiwa chukua kalamu na karatasi chora kiumbe chochote ambacho unakifikilia na hujawahi kukiona hakika nakuthibitishia huo mchoro wako kiumbe chake halisi kipo ktk uumbaji wa Mungu..

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Před rokem +9

    Mungu ni mungu tu kaumba vitu vingi ambavyo Mimi na wew hatujawahi kuviona na kuvisikia kabisa pengine.

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 Před rokem +3

    Allah akbar.hongera ndugu viumbe bahari vinatisha lkn pia hivo walivojaliwa kuviona naamini bado kabisa hata theluthi hawajaikaribia kujua siri iliomo ndani ya ulimwengu wa kwanza wenye ukubwa wa asilimia zaidi ya 70 ukilinganisha ulimwengu tunaoishi binadam na wanyama wenye asilimia 25 pia hatujaufikia hata theluthi seuze bahari.tumuogope muumba jamani.

  • @Cadabrizzo
    @Cadabrizzo Před rokem +7

    Makala yanayo husiana na bahari pamoja na anga yanavutia sana lau watu wangeijua hii channel sns mngkuwa na kazi ya ziada kukata kiu ya wafwatiliaji wenu MPO VIZURI SANAAA

  • @allyseba172
    @allyseba172 Před rokem +3

    God bless you my brother..... Mungu akujaalie na akuzdishie

  • @rdanmohd8003
    @rdanmohd8003 Před rokem +6

    GOD is Great

  • @MashakaMkama-gr9hi
    @MashakaMkama-gr9hi Před rokem +1

    Hatareeeeeee

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Před rokem +3

    Huwa nafurahia simulizi yako Skywalker

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před rokem +3

    allah anamaajabu mengi sana

  • @barakaamani8657
    @barakaamani8657 Před rokem +1

    Umenikumbusha kauli ya hayati Nyerere,,tupeleke shule wameru ili tujue thamani halisi ya madini,,,,,daaaaah the way u can exprole and express my dear ur the role model of real resechers ,,,🎉🎉🎉🎉🎉CHUKUA MAUA YAKO,,,,ITS ME Baraka Amani(CHAMWINO IKULU-DODOMA-TZ)

  • @SamirBSam
    @SamirBSam Před rokem +1

    bro sky ongeara sana, unajua sana , you are the best more than all. napenda sauti yako na utulivu

  • @dinosmack
    @dinosmack Před rokem +1

    🎉🎉maua yaki hayo bwana sky...saut itasikilizika milele hii

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 Před rokem +8

    Mungu ni mkubwa kwa kweli.
    Sky una sauti ya dhahabu kwa kweli. Inavutia kusikiliza makala kama hizi.

  • @HamisAkida-bz9sg
    @HamisAkida-bz9sg Před rokem +1

    Asante sana mwana sns tupe makala zaidi kuhusu ulimwengu🙏

  • @titokyando4222
    @titokyando4222 Před rokem +1

    Sns nawakubali Sana 🤘🤘🤘

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 Před rokem +1

    Nakukubali sana bro

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před rokem +2

    I love the article 100%
    Keep up the good work sky

  • @andrewmallya1704
    @andrewmallya1704 Před rokem +1

    Upewe maua yako tu..frdk bundala👍 👍

  • @micheleminem2032
    @micheleminem2032 Před rokem +1

    Haho samaki wanatisha sana Kuna hainangapi ya samaki dunian Emi from burundi 🇧🇮

  • @mohamedturanardan8871

    ALLAAH AKBAR

  • @Eliaommytz-
    @Eliaommytz- Před rokem

    Very nice

  • @bishweko
    @bishweko Před 7 měsíci

    Mwenyezi Mungu kasema kuwa kaumba viumbe 400 Nchi kavu. Na viumbe 600 kaviweka Baharini. So kwa dalili hiyo sishangai kusikia viumbe vipya mashikioni mwangu. Alhamdulillah.

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +1

    Mm ndyo maana naogopa baharin hata kuogelea, Baada ya hii makala yaan hata mikadi siwez ogelea🙌🏼🙌🏼

  • @saidmwasemu-do5tp
    @saidmwasemu-do5tp Před rokem +2

    Maajabu ya Mungu

  • @budodiun6269
    @budodiun6269 Před rokem +1

    Well done sns

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Před rokem

    SNS YOUR THE BEST ❤RECEIVE LOVE FROM OMAN

  • @idysco
    @idysco Před rokem +5

    Dunia bado inasiri kubwa sanaa😮

    • @onekisstv8412
      @onekisstv8412 Před rokem +2

      Umeambiwa tunavyovijua kwenye bahari ni asilimia tano tu mzee 😂😂😂😂

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Před rokem

      ​@@onekisstv8412duh

    • @idysco
      @idysco Před rokem

      @@onekisstv8412 oyaah!! siyo poa mzee

  • @mbwanangudede7973
    @mbwanangudede7973 Před rokem +1

    Gud

  • @mgalulamatongo4079
    @mgalulamatongo4079 Před rokem +2

    Napenda sana story km hizi

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před rokem

      Mambo ya ajabu Yana furahisha kusikiliza kwa makini

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 Před rokem +1

    Wanatisha sana, Monsters

  • @RajabuJean-z6f
    @RajabuJean-z6f Před 25 dny

    🎉🎉🎉

  • @koscienly6341
    @koscienly6341 Před rokem +1

    No 1

  • @kennedyprime3630
    @kennedyprime3630 Před rokem +1

    SKYWALKER!!🧐

  • @26_DRAGON
    @26_DRAGON Před rokem +2

    😀

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 Před rokem +1

    Mambo vipi kaka AMANI KWAKO.uko sawa sana tulete hutuba ya mwisho ya gadafi KWA kutuchambulia kama itawezekana

  • @saumusalimuhassan2499

    Yani katika channel zote, Naipenda sana *SNS* Allah haidumishe SNS ❤

  • @shoshifataki5825
    @shoshifataki5825 Před rokem

    ❤❤❤❤❤❤

  • @hamzambasha6647
    @hamzambasha6647 Před rokem +2

    Hata hizi habari za watu samaki mm naamini baharini kuna mambo mengi sana

  • @MashakaMkama-gr9hi
    @MashakaMkama-gr9hi Před rokem +1

    Huyo samaki hatari

  • @FistonDaniel-ps3cq
    @FistonDaniel-ps3cq Před rokem +1

    niwatari sana

  • @barakaamani8657
    @barakaamani8657 Před rokem +1

    WANETU SIO WAMERU

  • @theprince5253
    @theprince5253 Před 8 měsíci

    Sky please pitia bermuda triangle

  • @Megadreamzfx1
    @Megadreamzfx1 Před rokem +3

    Mimi na bahari ndo basi tena staki hiz mambo😂

  • @SheikhNassorMuhammad
    @SheikhNassorMuhammad Před rokem

    هَٰذَا خَلْقُ اللَّهِ فَأَرُونِي مَاذَا خَلَقَ الَّذِينَ مِن دُونِهِ ۚ بَلِ الظَّالِمُونَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ
    Huu ni uumbaji wa Mwenyezi Mungu. Basi nionyesheni wameumba nini hao wasio kuwa Yeye! Lakini madhaalimu wamo katika upotovu uliyo dhaahiri.

  • @yusuphmashallah3732
    @yusuphmashallah3732 Před rokem

    Mwenyez mung ni mkubwa sana yan tuombe mung kila siku

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před rokem +2

    Wavuvi tujuane hapa %%

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před rokem +2

    Ila bahari inatisha nyie.🙌

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 Před rokem +3

    STORI KAMA HIZI NA MTIGA ABDALLAH ATATISHA SANA

  • @evemurugi3399
    @evemurugi3399 Před rokem +1

    Swali ni wana kula nini huko kwa hiyo kina ,juu i dont think kuna kitu kinaweza ingia huko

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem +1

    👊✌👍.

  • @abuubaya7614
    @abuubaya7614 Před rokem +2

    Tunamtaka dj Sma atuletee habari za wanetu wa ukrein bhana

  • @IshimweDangote-ib4lc
    @IshimweDangote-ib4lc Před rokem +1

    Sauti imetulia hadi unaelewa makala😊😊😊

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před rokem +1

    Ebana tembea uone duh 🙋🏾‍♂️

  • @severinaseverinanyoni707

    Mm wote nawaogopa 😂samaki gan hao wanatisha kam shetani Ila Mwacheni. Mungu aitwe Mungu

  • @AndrewPaul-wy6qq
    @AndrewPaul-wy6qq Před rokem +1

    bundala✊

  • @user-dr8un4ng1v
    @user-dr8un4ng1v Před rokem

    Ni maajab kwel

  • @mohdswahili7219
    @mohdswahili7219 Před rokem +2

    samaki

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +1

    Barery ndiyo anatisha jmn samaki wa ajabu🙄🙄kwa ujumla kunatisha sn baharini

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala6677 Před rokem +3

    Sisi waislamu tunasema AllahuAkbar 🥰
    Na bado kuna viumbe zaidi ya ivyo tunavo viona na kusikiya
    Itoshe kusema ya kwamba kwamara nyingine tena Mungu ni Mkubwa 😊

    • @gfvh7282
      @gfvh7282 Před rokem

      ALLAH ni mjuzi 💯 💯 💯 💯 💯

    • @gfvh7282
      @gfvh7282 Před rokem +1

      ALLAH mjuzi zaidi na bado kunaviumbe wengi sisi hatuwajui yeye pekee ndo anajua ALLAH huakbar

  • @Dummy_photographer
    @Dummy_photographer Před rokem +4

    Fredrick bundara unafanya Kaz nzur san na SNS kwa ujumla hasa kwenye upende makala nashauri pia kufanya review za movies na trailers kama Wana sns tuendelee ku enjoy 😉

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 Před rokem

      Aje na stroy za movie za kizaman Kama kuzungumzia wa uhusika wake wakuu Striker Commando, War Bus, Easter condonad nk

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 2 měsíci

    Nilipitiwa nai

  • @abdallahmabula4612
    @abdallahmabula4612 Před rokem

    Karibia wote wana macho makubwa

  • @jujujujuuu-zu7ez
    @jujujujuuu-zu7ez Před rokem +1

    Dunia kuna vingi vya ajabu kweli Kama huyu black see davil

  • @fabianmdachi3560
    @fabianmdachi3560 Před rokem +2

    Alafu bado darasani tunajifunza , mkia wa samaki😅😅

  • @maxiellmillians9pl278
    @maxiellmillians9pl278 Před rokem +1

    The first to comment is me

  • @brownie_dee8655
    @brownie_dee8655 Před rokem

    Usikute hadi mermaids🧜 wapogo kweli huko baharini

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +2

    Mariana Trench🙄🙄🙄

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před rokem +3

    Apo ndo alipoangukia shetani alipotupwa duniani

  • @IshimweDangote-ib4lc
    @IshimweDangote-ib4lc Před rokem +1

    Uyo wa tatu Zombie anatisha😢😢😢😢

  • @BMFURAHAKWANZA
    @BMFURAHAKWANZA Před rokem +1

    Mh sasa hapa najiuliza kitu, hawa bionea wa nne na mtoto wao, INAMAANA hiki chombo kinacho shuka kilomita kumi na moja, awakukiona kweli?
    Hadi waparamie sabufa la mchina?
    Ama kweli nyani haoni kundule, wengine wanasema nyani kifo kikimfikia miti yote huteleza.

  • @abdilahmohamed148
    @abdilahmohamed148 Před rokem +2

    Nawakubali xn xn sns

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Před rokem +1

    Ila satan anatisha sana

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Před rokem +1

    HUYO WAKWANZA NI PIRANHA

  • @Eliaommytz-
    @Eliaommytz- Před rokem

    Sans❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹

  • @dinosmack
    @dinosmack Před rokem +1

    🎉🎉maua yaki hayo bwana sky...saut itasikilizika milele hii