MSALABA Halisi ambao YESU KRISTO ALISULUBISHWA kumbe ulipatikana vipande vinatunzwa na MAKANISA haya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 128

  • @ModestaMassawe-br1bw
    @ModestaMassawe-br1bw Před rokem +6

    Amen tutembee Kwa Imani kwani Yesu alisema "heri wanaoamini pasipo kuona tusiwe Tomaso

  • @sabuomar2420
    @sabuomar2420 Před 10 měsíci +2

    Namkubali Nabii Issa kwa asilmia 100%. Hivyo namini dhahiri Yesu hakuwa Mungu bali ni Nabii wa Mungu.

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Před rokem +6

    Ee Yesu unizidishie imani . Nasadiki kwa. Roho Mtakatifu Kanisa moja takatifu Katoliki la mitume... Amina...

  • @josephwayesu338
    @josephwayesu338 Před rokem +8

    Yesu ni njia ya kweli naipo siku watu watashangaa maana ndie mfalme kati ya wote walio mtangaza Mungu baba wa mbinguni.akumjuwa mwanamke Wala wanamke akumjuwa yesu naalikuwa mwanaume timilifu hapo inatosha kuamini kuwa yeye ndie njia yetu.kumbuka kwa mama wa yesu bikila Malia Yani maliam akumjuwa mwanaume nawala mwanaume akumjuwa Malia tunao muamni yesu like 10 basi sijawah kupata like

  • @zainashendera9814
    @zainashendera9814 Před rokem +8

    Yesu Ndio njia ya kweli na uzima📖☦️✝️

  • @kanezajoella6663
    @kanezajoella6663 Před 26 dny

    Asante sana hi inanisaidia sana Mimi napenda kusoma bibilia nakujifunza mengi ila hizi historia hazipo kwenye bibiliana wafwata sana ili kuendelea kujifunza Asante sana MUNGU azidi kuku weka na kukupa afya njema

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem +12

    Kuna watu wanatesekaga wakisikia neno YESU TU wanaropokaaaaa wanasahau herode alianza kumtafuta YESU toka ciku kazaliwa tuacheni na YESU WETU tunachokiamini tokaaaaaa Pepo kwa JINA LA YESU

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 Před rokem +3

    Kipindi hiki ni kizuri sana hongera sana kwa.ubunifu naomba simulizi zaidi maana hata km nafanya kazi huwa naacha ili kusikiliza simulizi za kuvutia❤

  • @herrymajumbeni7971
    @herrymajumbeni7971 Před rokem +16

    Yesu pekee ndiye njia ya kwenda peponi

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 Před rokem +2

    Mkiendelea kubishana nani anaHaki basi Tambueni Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema anayaona yote na Akiamua ata leo hii migongano iishe basi Anaamua. Basi Yeye Aturehemu pale tunapokosea.

  • @lazarojoseph7541
    @lazarojoseph7541 Před rokem +2

    ma papa ni mafreemason sahv wanasupport ushoga

  • @neemambotola1139
    @neemambotola1139 Před rokem +1

    I love my Jesus ❤

  • @joycescophia2573
    @joycescophia2573 Před rokem +1

    Shukrani kwa hii jambo la msalaba halisi

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před 9 měsíci

    Historia nzuri sana hii hakika kaka umeiandaa vyema 🤝🤝

  • @johnjulius3092
    @johnjulius3092 Před 10 měsíci +1

    Sasa mimi nikiwa najiuliza mafindisho ya la seventday day nikiskiliza story hizi Yan wanapotosha saan watu hasa ukuskiliza kumuhus Konstantin

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 Před 3 měsíci

    Izo ni ibada za sanamu atakama ukipata nywele za YESU upaswi kutumia izo nywele ati kisa ni za YESU, yeye mwenyew anasema tumuite atatuitikia. Yermia 3:33

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Před rokem +1

    Sawaaa twendee kaz

  • @johnjulius3092
    @johnjulius3092 Před 10 měsíci +1

    Jamani mi naomba kujua kwanini wasabato ni wabishi kuhusu msalaba na mambo mengine

  • @theresiaseverino6947
    @theresiaseverino6947 Před rokem

    Amen Amen

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem +2

    Swali langu sky kwanini ugriki ya zamani ilikuwa na nguvu hasa dini ufumbuzi walipoteaje kwenye nguvu walikosea Nini imekuwa nchi ya kawaida Sana kwa sasa

    • @aliasaally
      @aliasaally Před 6 měsíci

      hata mimi najiulizaga hili jambo, japo wao ndio watu wenye elimu sana na wanafalsafa wengi wametoka kwao

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Před rokem

    Pole nakazi broh mungu akulinde

  • @hajiali8820
    @hajiali8820 Před rokem

    Ndiyo stori nzuri kabisa acha kutuletea habari ambazo azina maana baba nimependa,;abari ambayo aitatusaidia ata kufika habari izi ndo habari nzuri

  • @saumusalimuhassan2499

    Thank you sky.

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Před rokem

    Amina.🙏

  • @guillaumekambale8080
    @guillaumekambale8080 Před rokem

    Frédéric bundala your voice is 🙏🙏💥

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz Před rokem

    Safi sana SnS🔥🔥🔥

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před rokem +3

    Natamani siki moja nifike uko Roma

  • @janethegidius855
    @janethegidius855 Před rokem

    Amen

  • @user-cc6ce1vg2f
    @user-cc6ce1vg2f Před rokem

    Amen🙏

  • @princeyabili789
    @princeyabili789 Před rokem

    Amen 🙏 amen 🙏

  • @NelsonMerick
    @NelsonMerick Před 6 dny

    Linda imani yako safari inaendelea kadri tunavyokaribia mwisho vituko vitaongezeka na ufahamu utakuwa wa hali ya juu

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Před rokem

    Barikiwa sana.❤

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Před rokem +2

    Kaka sky nakufatilia sana hasa unapotuletea story za ukristo huwa nakuelewa sana na nakuomba siku ukipata muda jaribu kumtafuta mtu mmoja anaitwa Bishop ngonyani au jaribu kufuatilia video zake you tube akielezea kuhusu ukristo naamini atakupa madini

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 Před 2 měsíci

      Huyo ngonyani ana.historia ya uprotestant.. hana historia ya kweli

  • @stiangabrirl
    @stiangabrirl Před rokem +1

    Suala muhimu zaidi kwa Wakristo wa kweli linapaswa kuwa kama inafaa kuabudu kifaa kilichotumiwa kumuua Yesu. Iwe aliuawa kwenye mti wa mateso, msalaba, kwa mshale, au kisu, je, inafaa kutumia kifaa hicho katika ibada?

  • @ArnoPita-co7jk
    @ArnoPita-co7jk Před rokem +1

    Nilingoja nifike nyumbani nioge maji nile then nikae kwa utulivu nisikilize makala kwa umakini zaid NakubaL sana sns

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před rokem +2

    Alafu wanasema oh wakatoliki wanaabudu sanamu sijui nini

  • @piustombili9921
    @piustombili9921 Před rokem +1

    pale waliosulibiwa na yesu wanaitwa Alexander na Dismas ile siku nilikuepo nikaskia wakiita hivyo

  • @neemambotola1139
    @neemambotola1139 Před rokem

    Mi nilisikia kwamba katika hiyo vita walitekwa ma sister wawili na vitabu vya bible ndipo wakachukua baadhi ya vitabu kuweka kwenye kitabu chao...mungu awarehemu.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    ✌️🙏👊.

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Ila wayahudi walikuwa weusi sio wazungu,

  • @candidadilemile5882
    @candidadilemile5882 Před rokem +1

    Amen Amen Amen 🙏in Yesus Christ name ❤

  • @hafidhmohd8696
    @hafidhmohd8696 Před rokem +2

    ebwana weee issa hakuuliwa sasa msalaba wa nn huo

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Před 9 měsíci

    Ndio uyo ariye bebeshwa msaraba naomba kuriza kwasababu mimi simjuwi au uyo wapiri

  • @idrisakassim3533
    @idrisakassim3533 Před rokem

    Wakristo mpk leo bado mnatafta dini ma mungu alishawatabilia hlo mtaangaika sna coz mnaamini sna kweny miujiza na vitu ambayo vimeumbwa na mungu kuliko mungu mwenyew na mbaya zaidi ni wepesi kuaminishwa uwongo , ndio maana mnakufa kama kule kenya

    • @stellah3844
      @stellah3844 Před rokem

      Nenda kwa kina mwamposa akina Aisha,,,Shaban,, Ashura wapo kibao kama hujui

    • @user-oq7jw6kp6w
      @user-oq7jw6kp6w Před 5 měsíci

      Ukristo wa kweli hawaamini ktk miujiza ya kugushi kwani tunaamini kwa imani Mungu ndiye anaweza kuonekana kati yetu 🙏🏻🙏🏻

  • @FrankKashamakula-xb1pc

    YESU ALIANZA KUWINDWA KABLA HAJAZALIWA NA UKITAKA WATU WAKUCHUKIE WEWE MKILI TUU KUWA YESU NI BWANA NA MWOKOZI WAKO APO HATA NDUGUZO WATAAKUKATAA😭😭😭 SIKIA ANAVYO SEMA Mathayo 10:34-39
    “Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake. “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili. Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata.

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 Před rokem

    Kwanza mtangazaji yesu hakusulubiwa kama kasulubiwa leta ushahidu

  • @youngcleva7841
    @youngcleva7841 Před rokem

    Amem, Jesus our lord, quran 9:31

  • @KIMALEX254
    @KIMALEX254 Před rokem

    Na bna waislam wanasema yesu hakusurubiwa😢, Bible yenye tunasoma inasema yesu alikufia kwa msaraba,so kama quran yenu inasema sijui Issah was not crusified,huyo ni wenu na ni tofauti na Yesu mwenye sisi tunatabua sababu mwenye tunajua alisurubiwa,alah msituletee🦜

  • @Odogwu9667
    @Odogwu9667 Před rokem +2

    JESUS IS MY SAVIOR

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 Před rokem +1

    Ebana jamaa kabla ya kuchenjua vitabu na kuweka uongo wao walitumia akili kubwa sana waliondoa maneno ya ukweli baadhi wakaweka maslai mpaka leo watu wamepokea na wanatumia maandiko yao pasi na kujua ila bila shaka mashetani waliusika katka kutunga mana c mazingaobwe yale

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Před rokem

    Sns shikamo 🫶🏽🔥

  • @hussle03
    @hussle03 Před rokem

    Tupe historiya ya Baldwin IV king of Jerusalem

  • @EliTaarifa
    @EliTaarifa Před rokem

    1 Wakorintho 1:18

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem +2

    Kwanini Kila kitu Kiko uwarabuni na wakati sehemu hizo waumini wao ni waisilamu kimefichwa nini

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Před rokem

      Na ndio mana Allah akasema kwa mwenye kutafakkar!

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Před rokem

      Kwa sbbu ukitafakkar utaanza kusoma na kuutafuta ukweli na ukiutafuta ukweli utabaini ukiristo ni mpango mzima wa watu waovu wakishirikiana na mashaitwani wa kijini kupotosha wanaadamu.

  • @autoimmunesecurity2140

    Yesu alikufa juu ya mti wa mateso (nguzo) na sio msalaba yaani cross. Adhabu hii Yesu aliikuta we

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Před rokem

    Historia ya true cross inapatikana kwa Ethiopian Orthodox. Wanaamin kwamba kipande cha msalaba kilipelekwa kule. Kila mwaka wanasheherekea siku mbili kama sikukuu ya finding the true cross, sherehe inaitwa meskel.

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 Před rokem +8

    Hawakumuuwa wala hawskumsulubu bali wameshabahishiwa tuu

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před rokem

      Wewe usiejitambua endelea kusikiliza uongo WA Muhammad, Yesu amekufa miaka 500 kablaya ya Muhammad na uislam then anakuja Muhammad anasema hakufa sasa hizo ni akili au matope

    • @zaburi2386
      @zaburi2386 Před rokem +1

      ISSA ndo hawakuumua

    • @kristofuraha3369
      @kristofuraha3369 Před rokem

      Nyamaza Hujui Kitu!😒

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding Před rokem

      Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa kamwe huwez kueleweka

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 Před rokem +1

      ​@@francisjoseph1074 bwege ww mana bee wote ni wa mmungu mmoja na wote wameletewa mafundisho mwingine bada ya mwingine ww karate hao wazungu walio badilisha sasa mbona hukumfata ibrahim au musa na wote ni mana bee ibrahim ndio na bee alie anzisha uislam mmpaka leo watu wanahiji na ushahidi upo na isa ni muislam hakuna dini ukristo ni cheo ama mpaka mafuta

  • @siasia5469
    @siasia5469 Před rokem +2

    Msalaba'... Aah Wapi!
    Misalaba yote Duniani haina uhusiano na Dini ya Yesu
    Ushahidi ili uwache Ubishi ingia 'CZcams' andika(Zeitgeist-Part1)
    uone kabla Yesu kuzaliwa,Misalaba ilitumikaje?

    • @mapenziwilliam9382
      @mapenziwilliam9382 Před rokem +2

      Sasa wataka kulia 😂😂

    • @herbertygeofrey2724
      @herbertygeofrey2724 Před rokem +2

      Punguza ujuaji

    • @princegerard4704
      @princegerard4704 Před rokem +2

      Kwa Wayahudi Misalaba ilitumika kama Adhabu kwa Waarifu, Ndomaana Yesu alihesabika Kama Muarifu ndo maana akaunganishwa na wale wezi wawili kwakuwa Yesu alikuwa ni Myahudi

    • @JoJo-xh7ph
      @JoJo-xh7ph Před rokem +2

      Msalaba ulikuwa ni ishara ya laana kakini baada ya Yesu kutundikwa msalabani kwa ajili ya dhambi za wanadhamu msalaba umekuwa ishara ya ukombozi kwa wafuasi wa yesu yaani wakristu. Wayahidi na watu wengine si lazima mkaamini hili. Hili ni jambo letu sisi wakristu.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Před rokem +2

      @@JoJo-xh7ph. Msalaba ni ishara ya laana mpaka leo hii. Na Yesu Mtume wa Mwenyeezi Mungu haezi kulaaniwa.

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Před rokem

    Hzo ni stori za Paulo naakuffar wenziwe walizotunga kwa ajili ya kupotosha wavivu wasiotaka kusoma wakaujua ukweli! Someni mtafakkar.

  • @hajiali8820
    @hajiali8820 Před rokem

    Amen

  • @emanuelmwihambi7994
    @emanuelmwihambi7994 Před rokem

    Amen 🙏