Swahili: Kimasomaso

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 03. 2013
  • Swahili music by Issa Matona (Tanzania)
  • Hudba

Komentáře • 566

  • @mwana2731
    @mwana2731 Před měsícem +25

    Wanaosikiliza hii nyimbo 2024 gonga like tukisonga

  • @hafidhame6433
    @hafidhame6433 Před 5 měsíci +18

    Daah hizo ndio nyimbo za kusikiliza 2024

  • @anonymoussaid5986
    @anonymoussaid5986 Před 3 měsíci +14

    Anayeskiliza 2024 🎉

  • @JumaAlly-fb5pc
    @JumaAlly-fb5pc Před 2 měsíci +31

    Anayaeangalia kimasomaso 2024 like hapa👌

  • @ahmadothuman190
    @ahmadothuman190 Před 2 lety +179

    Siku ukija tena kusikiliza kimasomaso achia like yako

  • @willfredychazz2845
    @willfredychazz2845 Před 3 lety +28

    Hizi ndonyimbo sasa za kuelimisha sio zile moyoyo anae kubar nyimbo za mzee wetu issa tuonane hapa dore juu hpo tujuane

  • @masoudsigali4523
    @masoudsigali4523 Před 2 lety +32

    Tangu 1997 mpaka sasa 2022 naisikiliza huu wimbo hakika old iz gold......R.i.p waliotutangulia kwa Allah

  • @ndolasaid6323
    @ndolasaid6323 Před 4 lety +213

    Anayesikiliza mwaka 2020 anyooshe mkono juuu

    • @saumsuleiman9794
      @saumsuleiman9794 Před 4 lety

      ☝️

    • @mgayarashidi34
      @mgayarashidi34 Před 4 lety +1

      Mani anasikiliza nyimbo za ISA matona minipo tanga nawewe taja ulipo kamaunasikiliza nauumpenzi wataarabu zazamani

    • @hadijahamisi3709
      @hadijahamisi3709 Před 4 lety

      Npooo

    • @Hesbonful
      @Hesbonful Před 4 lety

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

    • @mrismail5437
      @mrismail5437 Před 4 lety

      🙋‍♂️

  • @ummusalmaan9063
    @ummusalmaan9063 Před 2 lety +9

    Allahuma aghfirlahu warhamhu waskinhu FIL jannah

  • @Jumasaidi-iv8cj
    @Jumasaidi-iv8cj Před 3 dny

    😢😢😢 hii nyimbo imenitoa machoz nafunga ndoa hali ya kuwa nishamzika mama eeeh allah nakuomba mpunguzie mama yangu azabu na kaburi na umeweke mahali pema pepon

  • @faridaramadhan2509
    @faridaramadhan2509 Před 3 lety +54

    2021 tujuae tunaosikiliza huu wimbo mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi ulijua kutunga nyimbo zenye mafundisho issa matona rip

  • @chegewainaina8038
    @chegewainaina8038 Před rokem +12

    Wimbo mtamu huu, nani ausikiza mwaka 2023. Radha kama ya jana..

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla2170 Před 4 lety +12

    Maaso maso mwanangu asimuone jicho la hasid mwanangu lisimuonee🥰🥰🥰naipenda had bass ii nyimbo tokea mdogo naisikia maharusin had namie nimeolewa nimeimbiwa 🥰♥️

  • @asyaateteatete6179
    @asyaateteatete6179 Před 4 lety +69

    2020 nani askia wimbo uyu? Congo nipo

    • @johnkahekwa8962
      @johnkahekwa8962 Před 3 lety

      Nami Niko Bukavu/ Congo. Naendeleya kumpenda Mzee Issa kabisa.

  • @Hesbonful
    @Hesbonful Před 4 lety +5

    Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 Před 5 lety +64

    The song reminds me those days in Primary School coming back home from school for lunch and then you find Mom is starting prepare lunch while singing this song, you want to rush back to school before luch was over for fear of being punished......But she insist you....subiri kwanza ule mwanangu. Nakuombea kila la heri mama.

  • @halimamshami3279
    @halimamshami3279 Před 5 lety +42

    This will forever be "THE BEST"wedding song. ..rabbii amrehemuuu

  • @fatimanzota1440
    @fatimanzota1440 Před 8 lety +18

    Masha allah ujumbe mzuri si ishi hamu kuisikiliza hii nyimbo inanikumbusha harusi ya dada yangu mpendwa mungu awalaze mahari pema peponi.

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Před rokem +25

    On top of its strong wedding message, I like its poetry! Superb poetry indeed. Issa Matona sang over 16 poetic verses very smoothly.

  • @aishaomar8305
    @aishaomar8305 Před rokem +12

    2023 and this song still lit🔥 i remember listening to it at weddings when young till played on my wedding. Mashaallah haichoshi

  • @ziadayasiniziadayasini9978
    @ziadayasiniziadayasini9978 Před 7 lety +58

    Isa matona mungu akuondo shekhe adhabu ya kabru hii nyimbo haishi fasheni big up kwako

  • @mariamissa8761
    @mariamissa8761 Před 8 lety +54

    R.I.P maashaallah ulikuwa na ujumbe mzuri sanaaa hii nyimbo naiona mpya kila ninapoickiza

  • @AminaAmina-cl9fe
    @AminaAmina-cl9fe Před rokem +21

    Can't wait for my mum to request it to be played during my wedding while dancing with her InshaAllah

  • @TheFamilesso
    @TheFamilesso Před 7 lety +121

    This is and will always be the classic East African wedding song

    • @yasinmakandalau4414
      @yasinmakandalau4414 Před 7 lety +4

      That's true

    • @myreennao9434
      @myreennao9434 Před 7 lety +3

      TheFamilesso thats true

    • @jumamgangaibrahimunguguru6066
      @jumamgangaibrahimunguguru6066 Před 5 lety +1

      mzee alikua moto si mchezo

    • @halimamasare6838
      @halimamasare6838 Před 5 lety +1

      Absolutely 👌

    • @Hesbonful
      @Hesbonful Před 4 lety +5

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 Před 3 lety +50

    Its year 2021 bado nasikiliza huu wimbo.😭😭 Rest in Peace Issa Motana

  • @sirderanym7986
    @sirderanym7986 Před 4 lety +39

    Can't wait for this to be played on my wedding.....

  • @issaali1321
    @issaali1321 Před 2 lety +2

    Allah amsamehe makosa yake. Alikuwa legend. Alikuwa akija kwa jirani nyumba ya pili Magomeni Zanzibar. Mzee alikuwa hodari sana. Hakuna marejeo yetu sote ni kwa Allah. Mashairi yake yalikuwa ya kipekee.

  • @ahmedhassanadam7248
    @ahmedhassanadam7248 Před 3 lety +2

    Mm ni kijana wa zama za kileo lkn marafki zangu hunicheka nikiskiza na kuenjoy hizi zilizopendwa...Old is Gold...Zina message hizi nyimbo

  • @ramahuwezjua9743
    @ramahuwezjua9743 Před 5 lety +19

    mashallah babayet issa matona Allah akufanyie wepesi

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 Před rokem +7

    Wanao angalia kwa mwaka huu wa 2023 tujuane kwa like

  • @mohdmussa7749
    @mohdmussa7749 Před 8 lety +87

    He was one of his kind. R.I.P Issa Matona, Bi Kidude, Sitti Bint Saad, Omar Kopa and all the great Zanzibar voices

    • @raymondtuli1518
      @raymondtuli1518 Před 6 lety

      Mohd Mussa nice comment!

    • @jamilajabu2902
      @jamilajabu2902 Před 6 lety

      mungu awapumzishe salama

    • @zianaally9412
      @zianaally9412 Před 5 lety

      kiboko uyo mtu mungu ampe wepesi kaburini

    • @bahatia6626
      @bahatia6626 Před 5 lety

      Mohd Ni?ssan

    • @Hesbonful
      @Hesbonful Před 4 lety

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @kibwanajuma6370
    @kibwanajuma6370 Před 6 lety +16

    ALLAH amrehemu mzee ISSA MATONA

  • @sabrinathequeen4628
    @sabrinathequeen4628 Před 2 lety +2

    Nikiolewa nataka niweke huu Wimbo… kwasbabu ndio aloekewa mama angu alivyoolewa😔❤️

  • @namisara6859
    @namisara6859 Před 7 lety +33

    wavuvi warudi mbio, na vyombo vimegongana..kuna papa usingizi jitahadharini vijana..papa limetoa penzi mawimbi linatawanya,..vidagaa na mikizi leo mtaliwa mnaona...ati aje apaaah! 😃

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 Před 3 lety +7

    Huu wimbo jamani. Ni mzuri.Huyu jamaa alikuwa na kipaji

  • @johnmapunda99
    @johnmapunda99 Před 6 lety +6

    Mwenyezi Mungu amuweke mahali pema Mzee Issa Matona, alikuwa ana uwezo wa ajabu wa kuimba. Mashairi yake ni kama mwalimu vile anafundisha!

  • @aminamahmoud8784
    @aminamahmoud8784 Před 5 lety +28

    Smash the like below if u r still listening to this 2019 jun# mwacha mila ni mtumwa.....Mombasa city

  • @saidimhina4632
    @saidimhina4632 Před 5 lety +7

    Gooood long time sana nipo kijj kimoja kinaitwa mandera korogwe tanga 1987

  • @nurumwamboga8115
    @nurumwamboga8115 Před rokem +1

    R.I.p kwa hakika nyimbo za huyu mzee zilikua nzury....na kuelimisha🥰nazipenda sana nyimbo zake

  • @pillykenedy2140
    @pillykenedy2140 Před 5 lety +8

    Nyimbo za uyu baba mashaAlaah!,huchoki kusikiliza mungu akupunguzie adhab ya kabri

    • @Hesbonful
      @Hesbonful Před 4 lety

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @natepam4486
    @natepam4486 Před 2 lety +1

    1989 harusi ya mjombangu,,asante Issa hajatokea mwny ana nyimbo tamu km zako,Allah akuweke pema

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086 Před 4 lety +4

    Wana Pangani bado mpoo kumbukeni enzi zetu tinga tinga na juhudi 1970 malindi na mitaa juu raha tupu.

  • @janathyjuma8706
    @janathyjuma8706 Před 4 lety +2

    Allah akupe mwanga kabrin ......naakupunguziee adhb xa kbrii...........old ix gold ..ixaa nkupenda mnoo

  • @ramadhanmseba4689
    @ramadhanmseba4689 Před 9 lety +13

    Daima tuta kukumbuka, daima tutakuenzi, mungu akulaze mahali pema peponi
    Amiiiiin"""

  • @omaryahmed7914
    @omaryahmed7914 Před 4 lety +6

    Mwenyezi mungu akulaze mahari pema pepon aaaaamina

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl Před 4 měsíci +1

    Nyimbo nzuri 2024

  • @hamisiramadhan2453
    @hamisiramadhan2453 Před 7 lety +44

    Allah aiweke roho yake mahali pema peponi.

  • @niyahdelajungle3717
    @niyahdelajungle3717 Před 6 lety +39

    😮😮😮😮 I'm from the Comoros Island and this song is always played on wedding celebrations 🤔
    #Swahili #Bantu

  • @kingwigo2961
    @kingwigo2961 Před 4 lety +7

    🎹👏👏kimasomaso hii ngoma ilifana saana kwa kiba wedding in 254 mc

  • @halimamajaliwa5404
    @halimamajaliwa5404 Před 3 lety +1

    Penda sana kimasomaso jamanii issa matona mungu akuepushie azabu za kaburii🙏🙏🙏

  • @zainabualhinai3934
    @zainabualhinai3934 Před 7 lety +10

    jamani isa matonya mungu amleem alikuwa na nyimbo msuli sana

  • @MussaKingu255
    @MussaKingu255 Před 4 měsíci

    2024 twende sambamba na mzee wetu issa matona

  • @maryamsalim8703
    @maryamsalim8703 Před 3 lety +11

    Mashoga wakija sema nao dirishani🤣

  • @KarimMarango
    @KarimMarango Před 8 lety +9

    Asante sana for this - Tanzania - I miss you so much!!!!

  • @muddyaforeal1145
    @muddyaforeal1145 Před 5 lety +11

    Wako Wapi Manyakanga Wanaocheza Mkinda Wakataze Wari Wao Wasiniombe Kwainda Mara Nipe Mara Nipe Vingine Vitawashinda Eti Aje Hapa.

  • @majaller6951
    @majaller6951 Před rokem +11

    2022 we still here,Issa was a legend, may he keep on Resting In Peace.

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 4 lety +2

    Old is gold taarab Zanzibar
    Vya kale ni dhahabu,,Viva Zanzibar
    Our be loved Marhoum Issa Matona
    Our be loved Zanzibar taarab

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před měsícem

      Ni mtanganyika kutoka Tanga sio zanzibar

  • @hadijasaidy2598
    @hadijasaidy2598 Před 5 lety +3

    allah amuweka mahali pema popeni awapunguzi adhabu ya karibu waliotutangulia mbele ya haki.....🙏🙏🙏🙏

  • @stephenwambugu3977
    @stephenwambugu3977 Před 5 lety +47

    2019 June. Haishi fasheni. From dubai

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 Před 9 lety +13

    Verry nice hongera ya kiiasili thank's kwa wale wotutilia na Mungu amrehemu babu aloitunga Ishallah amlaze pema peponi Amin

  • @capramlacky8152
    @capramlacky8152 Před 3 lety +3

    Tutauona mpambanoooo leo 2020...continue to rest in peace

  • @nzaumusyoka
    @nzaumusyoka Před 9 lety +8

    Ngoma yenye ladha sio vitu ivi ivi. Hongera

  • @ronarona2200
    @ronarona2200 Před 6 lety +3

    Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana,marehemu baba yangu. ..

  • @allyjaphary8108
    @allyjaphary8108 Před 2 lety +9

    I'm listening to this in 2022 n maybe inshaallah i wish to play this in my wedding someday in the future

  • @beautylight987
    @beautylight987 Před 5 lety +9

    2019 bado IPO kilelen janaa firdaus iwe pepo yako amiin

    • @shaythabdul2717
      @shaythabdul2717 Před 4 lety

      Firdaus kwa kuimba jmn

    • @Hesbonful
      @Hesbonful Před 4 lety

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @babuushilla3435
    @babuushilla3435 Před 11 lety +13

    Beautiful Tanzania,we will always remember our Hero and Legend Issa Matona.R.I.P Mzee

    • @aishaelias986
      @aishaelias986 Před 6 lety

      Babuu Shilla mimi mkenya nimeolewa na mzungu na hii nyimbo ndio ilichezwa. Sikujua kama kafa jamani 😣😣😭😭

    • @syksyk7295
      @syksyk7295 Před 5 lety

      Inna lilah wa ina lilah rajuin mble yk nyuma yetu

    • @syksyk7295
      @syksyk7295 Před 5 lety

      Ardh inatubeba weng jaaman ivy pnd tutapotembea juu ya ardh tutembee kw heshma n unynyekev kbw

  • @user-fh4ql8ed1k
    @user-fh4ql8ed1k Před 5 měsíci

    Tunakukumbuka kwa tungo zako zenye ujumbe mzuri

  • @bashiramissi4250
    @bashiramissi4250 Před 10 lety +1

    Marehemu issa matona allah akurehemu akupunguzie azabu za kaburini na akuweke mahala pema.

  • @nyabisemaro8885
    @nyabisemaro8885 Před 3 lety +4

    Nimeshindwa hata kucoment Maana Wenzangu Mliocoment Mmeshamaliza kila Kitu Kusema kweli Huuu Wimbo wanaitafuta Ndoa hebu Sikilizeni Mafunzo haya Ndoa Itakuwa tamu Nawaambia

  • @user-yv8zw5lm9g
    @user-yv8zw5lm9g Před 10 měsíci +1

    Nazipenda sana nyimbo zahuyu mzee ❤❤❤

  • @mymy_myriammgomri6303
    @mymy_myriammgomri6303 Před 9 měsíci

    Cette chanson, ma grand-mère (paix à son âme) l’aimait beaucoup et ça me fait plaisir de la réécouter en 2023🥰❤❤

  • @bazilycharles888
    @bazilycharles888 Před 3 lety +3

    Nyimbo nzuri sana haichoshi kusikiliza

  • @babat5272
    @babat5272 Před 3 lety

    safar yetu. nimoja mungu akupunguzie. Adhabu ya kabur babu yetu issa matona mshaul wetu

  • @mwanawetumwagora6283
    @mwanawetumwagora6283 Před 6 lety +1

    Mungu akulaze mahalapema peponi shekhe issa matona.

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 Před 5 lety +1

    Waoh mzee wangu mungu akulaze mahali pema peponi amen amen

  • @Rahma-it4jj
    @Rahma-it4jj Před 4 lety +3

    Mungu akupunguzie adhabu za kaburii😭😭

  • @BeatriceKavishe-lu4tw
    @BeatriceKavishe-lu4tw Před 26 dny

    napenda sana hii nyimbo inaujumbe mazuri sana

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri Před 10 lety +2

    Daima Utakumbukwa Mzee wetu Issa Matona. RIP

  • @habibaswalha9912
    @habibaswalha9912 Před 5 lety +13

    Masomaso eeeh 2019 may he RiP mzee

  • @tatujumamaro3607
    @tatujumamaro3607 Před 3 lety +5

    I remember my late mother when I was young...

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 Před 5 lety +2

    Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi yaarab awarehem wote waliotangulia mbele ya haki

  • @mauajohn949
    @mauajohn949 Před 5 lety +11

    2019 naangalia pumzika kwa amani baba🙏

  • @khadijaissaeddd6334
    @khadijaissaeddd6334 Před 7 lety +8

    Allah akulaze pema aliko laza walotangulia in shaallah

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 lety +1

    Pwani raha sana mgeni unakalibishwa na kikombe cha tangawizi watu hawatumi nguvu yani wabembelezwa taratibu, wapi watoto kinondon magomeni na kariakoo wazee waminuso enzi hizo 😅

  • @saudaabdallah8468
    @saudaabdallah8468 Před 5 lety +27

    Nautaka wimbo huu katika harusi yangu in shaa Allah

  • @jaffarali7093
    @jaffarali7093 Před 4 lety +1

    Nani anaesiklz 2020 km yup gonga like twendesawa

  • @zaitunsalem3319
    @zaitunsalem3319 Před 10 měsíci +1

    Jannah firdaus 2023 tuko wangapi nipewe like.

  • @RehemaSaid-mk2sp
    @RehemaSaid-mk2sp Před měsícem

    Hizi ndo zenyewe sasa❤

  • @amneayoub5267
    @amneayoub5267 Před rokem +1

    old is gold kma 2023 kma bdo upo unasikiliz hii ki2 gonga like

  • @mwajumasalehe1856
    @mwajumasalehe1856 Před 7 lety +5

    old is gold! R.i.p issa matona

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 Před 4 lety +1

    Naipenda nyimbi zote za issa matonya pumzika kwa amani baba.

  • @hawaabdallahsaid9220
    @hawaabdallahsaid9220 Před 5 lety +1

    Mola akulaze pema maneno kuntu mafunzo kwa maharusi mashaallah

  • @aminachaulaya278
    @aminachaulaya278 Před 3 lety +3

    Tarehe 10/01/2021 tupo wapiiiiiiiii kimasomaso

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius6511 Před 7 lety +30

    ALLAH Ampe jannah amiin

  • @joanrwegoshora785
    @joanrwegoshora785 Před 6 lety +8

    i love it, mume ukampe raha usiende kumpa tabu....

    • @mwanalikhamis9875
      @mwanalikhamis9875 Před 3 lety

      saizi tena hakuna mwanamme wakumpa ra hawapo tena loo

    • @mwanalikhamis9875
      @mwanalikhamis9875 Před 3 lety

      mwanamme gani saivi ukimwambia e anakwambia oo aaaaaa hakuna wanaume kunavifuu dume

  • @haullahtwahir7026
    @haullahtwahir7026 Před 10 lety +7

    wasanii wa zamani walikuwa wakijtahd kuandaaa nymbo zao kwa makini
    sana..

  • @khadijauledy8206
    @khadijauledy8206 Před 4 lety

    Mwenyez mungu ailaze roho ya mpenz wetu issa matona amina

  • @hassanali4838
    @hassanali4838 Před 4 lety +3

    Mzee wetu wa pwani ,mashairi yake mazito yataka makini kuyafahamu

  • @hafidhame8565
    @hafidhame8565 Před 5 lety +4

    Mw/akusamehe makosa yko, hii ni kali sana 2019/06/27

  • @milova7552
    @milova7552 Před 10 lety +2

    dah yani wimbo wamaana maneno mazima matupu good znz beg up.never day