Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
😢😢😢 hii nyimbo imenitoa machoz nafunga ndoa hali ya kuwa nishamzika mama eeeh allah nakuomba mpunguzie mama yangu azabu na kaburi na umeweke mahali pema pepon
Maaso maso mwanangu asimuone jicho la hasid mwanangu lisimuonee🥰🥰🥰naipenda had bass ii nyimbo tokea mdogo naisikia maharusin had namie nimeolewa nimeimbiwa 🥰♥️
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
The song reminds me those days in Primary School coming back home from school for lunch and then you find Mom is starting prepare lunch while singing this song, you want to rush back to school before luch was over for fear of being punished......But she insist you....subiri kwanza ule mwanangu. Nakuombea kila la heri mama.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Allah amsamehe makosa yake. Alikuwa legend. Alikuwa akija kwa jirani nyumba ya pili Magomeni Zanzibar. Mzee alikuwa hodari sana. Hakuna marejeo yetu sote ni kwa Allah. Mashairi yake yalikuwa ya kipekee.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Nimeshindwa hata kucoment Maana Wenzangu Mliocoment Mmeshamaliza kila Kitu Kusema kweli Huuu Wimbo wanaitafuta Ndoa hebu Sikilizeni Mafunzo haya Ndoa Itakuwa tamu Nawaambia
Pwani raha sana mgeni unakalibishwa na kikombe cha tangawizi watu hawatumi nguvu yani wabembelezwa taratibu, wapi watoto kinondon magomeni na kariakoo wazee waminuso enzi hizo 😅
Wanaosikiliza hii nyimbo 2024 gonga like tukisonga
Daah hizo ndio nyimbo za kusikiliza 2024
Anayeskiliza 2024 🎉
Anayaeangalia kimasomaso 2024 like hapa👌
Siku ukija tena kusikiliza kimasomaso achia like yako
😂
2023
Tuko pamoja
2023
❤❤❤❤❤😂
Hizi ndonyimbo sasa za kuelimisha sio zile moyoyo anae kubar nyimbo za mzee wetu issa tuonane hapa dore juu hpo tujuane
Tangu 1997 mpaka sasa 2022 naisikiliza huu wimbo hakika old iz gold......R.i.p waliotutangulia kwa Allah
Anayesikiliza mwaka 2020 anyooshe mkono juuu
☝️
Mani anasikiliza nyimbo za ISA matona minipo tanga nawewe taja ulipo kamaunasikiliza nauumpenzi wataarabu zazamani
Npooo
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
🙋♂️
Allahuma aghfirlahu warhamhu waskinhu FIL jannah
😢😢😢 hii nyimbo imenitoa machoz nafunga ndoa hali ya kuwa nishamzika mama eeeh allah nakuomba mpunguzie mama yangu azabu na kaburi na umeweke mahali pema pepon
2021 tujuae tunaosikiliza huu wimbo mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi ulijua kutunga nyimbo zenye mafundisho issa matona rip
Mwajina
Mwanga wamilele humuangaziye ee bwana mungu wamajeshi
Wimbo mtamu huu, nani ausikiza mwaka 2023. Radha kama ya jana..
Nipo hapa April 21, 2023
Nipo hapa omani Raha km zote 25 ,4,2023😅
Oo@@hawarajab
Maaso maso mwanangu asimuone jicho la hasid mwanangu lisimuonee🥰🥰🥰naipenda had bass ii nyimbo tokea mdogo naisikia maharusin had namie nimeolewa nimeimbiwa 🥰♥️
2020 nani askia wimbo uyu? Congo nipo
Nami Niko Bukavu/ Congo. Naendeleya kumpenda Mzee Issa kabisa.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
The song reminds me those days in Primary School coming back home from school for lunch and then you find Mom is starting prepare lunch while singing this song, you want to rush back to school before luch was over for fear of being punished......But she insist you....subiri kwanza ule mwanangu. Nakuombea kila la heri mama.
c
Ha ha ha ha duh ni mm kabisa
@@halimatossa7065 Hahahahaha mama huyo
Praise to all mothers in the words
Jmon thats mothers love 💕
This will forever be "THE BEST"wedding song. ..rabbii amrehemuuu
Masha allah ujumbe mzuri si ishi hamu kuisikiliza hii nyimbo inanikumbusha harusi ya dada yangu mpendwa mungu awalaze mahari pema peponi.
On top of its strong wedding message, I like its poetry! Superb poetry indeed. Issa Matona sang over 16 poetic verses very smoothly.
2023 and this song still lit🔥 i remember listening to it at weddings when young till played on my wedding. Mashaallah haichoshi
Isa matona mungu akuondo shekhe adhabu ya kabru hii nyimbo haishi fasheni big up kwako
R.I.P maashaallah ulikuwa na ujumbe mzuri sanaaa hii nyimbo naiona mpya kila ninapoickiza
Mariam Issa dah kwakweli Yani nikisikiliza mpaka nalia yani
Good morning everyone
Can't wait for my mum to request it to be played during my wedding while dancing with her InshaAllah
insha Allah
@@farhiyawarsame9697 thanks darling
Insha Allah..
Inshallah 🙏
Usikose kunialika 😅
This is and will always be the classic East African wedding song
That's true
TheFamilesso thats true
mzee alikua moto si mchezo
Absolutely 👌
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Its year 2021 bado nasikiliza huu wimbo.😭😭 Rest in Peace Issa Motana
September 2021 bado ni mtamu
Obrigado pela músicas Bwana issa
Can't wait for this to be played on my wedding.....
when is ur wedding
Insha Allah
All the Best Ukhty...
Allah amsamehe makosa yake. Alikuwa legend. Alikuwa akija kwa jirani nyumba ya pili Magomeni Zanzibar. Mzee alikuwa hodari sana. Hakuna marejeo yetu sote ni kwa Allah. Mashairi yake yalikuwa ya kipekee.
Mm ni kijana wa zama za kileo lkn marafki zangu hunicheka nikiskiza na kuenjoy hizi zilizopendwa...Old is Gold...Zina message hizi nyimbo
mashallah babayet issa matona Allah akufanyie wepesi
Wanao angalia kwa mwaka huu wa 2023 tujuane kwa like
2023 nipo jaman inanikosha
Nice 👍
He was one of his kind. R.I.P Issa Matona, Bi Kidude, Sitti Bint Saad, Omar Kopa and all the great Zanzibar voices
Mohd Mussa nice comment!
mungu awapumzishe salama
kiboko uyo mtu mungu ampe wepesi kaburini
Mohd Ni?ssan
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
ALLAH amrehemu mzee ISSA MATONA
Nikiolewa nataka niweke huu Wimbo… kwasbabu ndio aloekewa mama angu alivyoolewa😔❤️
njoo tuoane mwakani
Kwahiyo Unataka Kushindana Na Mama Yako
wavuvi warudi mbio, na vyombo vimegongana..kuna papa usingizi jitahadharini vijana..papa limetoa penzi mawimbi linatawanya,..vidagaa na mikizi leo mtaliwa mnaona...ati aje apaaah! 😃
hicho kiswahili huwa kinanipagawisha aisee
Mashaallah
@@nzaumusyoka hiyo ndio ladha na hazina ya lugha ya Kisw kimejaa vionjo na nahau za kuvutia
Huu wimbo jamani. Ni mzuri.Huyu jamaa alikuwa na kipaji
sana
Mwenyezi Mungu amuweke mahali pema Mzee Issa Matona, alikuwa ana uwezo wa ajabu wa kuimba. Mashairi yake ni kama mwalimu vile anafundisha!
Yani daaah
Smash the like below if u r still listening to this 2019 jun# mwacha mila ni mtumwa.....Mombasa city
Gooood long time sana nipo kijj kimoja kinaitwa mandera korogwe tanga 1987
Kweli we muhenga Hongera sana
R.I.p kwa hakika nyimbo za huyu mzee zilikua nzury....na kuelimisha🥰nazipenda sana nyimbo zake
Nyimbo za uyu baba mashaAlaah!,huchoki kusikiliza mungu akupunguzie adhab ya kabri
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
1989 harusi ya mjombangu,,asante Issa hajatokea mwny ana nyimbo tamu km zako,Allah akuweke pema
Wana Pangani bado mpoo kumbukeni enzi zetu tinga tinga na juhudi 1970 malindi na mitaa juu raha tupu.
Inalillah wainalillah rajaun
Pangani home maeneo ya boza
Allah akupe mwanga kabrin ......naakupunguziee adhb xa kbrii...........old ix gold ..ixaa nkupenda mnoo
Daima tuta kukumbuka, daima tutakuenzi, mungu akulaze mahali pema peponi
Amiiiiin"""
Mwenyezi mungu akulaze mahari pema pepon aaaaamina
Nyimbo nzuri 2024
Allah aiweke roho yake mahali pema peponi.
AMEEN
Mariam K
Bi moza
Amina!
😮😮😮😮 I'm from the Comoros Island and this song is always played on wedding celebrations 🤔
#Swahili #Bantu
Niyah DELAJUNGLE HV
Niyah DELAJUNGLE
That nice to hear
Nice song
You're so beautiful Niyah
🎹👏👏kimasomaso hii ngoma ilifana saana kwa kiba wedding in 254 mc
Penda sana kimasomaso jamanii issa matona mungu akuepushie azabu za kaburii🙏🙏🙏
jamani isa matonya mungu amleem alikuwa na nyimbo msuli sana
2024 twende sambamba na mzee wetu issa matona
Mashoga wakija sema nao dirishani🤣
😂😂ndio Wata muiba mume
Asante sana for this - Tanzania - I miss you so much!!!!
Wako Wapi Manyakanga Wanaocheza Mkinda Wakataze Wari Wao Wasiniombe Kwainda Mara Nipe Mara Nipe Vingine Vitawashinda Eti Aje Hapa.
2022 we still here,Issa was a legend, may he keep on Resting In Peace.
Old is gold taarab Zanzibar
Vya kale ni dhahabu,,Viva Zanzibar
Our be loved Marhoum Issa Matona
Our be loved Zanzibar taarab
Ni mtanganyika kutoka Tanga sio zanzibar
allah amuweka mahali pema popeni awapunguzi adhabu ya karibu waliotutangulia mbele ya haki.....🙏🙏🙏🙏
2019 June. Haishi fasheni. From dubai
Aswaaa
@@halimamohammedy9247 nikweli yaani kila unataka niisikilize
Yani inanikosha vilivyo haswaa
Isihaka Konde From Tanzania izondio zetu kipindi hichoo
🥰👌💯
Verry nice hongera ya kiiasili thank's kwa wale wotutilia na Mungu amrehemu babu aloitunga Ishallah amlaze pema peponi Amin
Tutauona mpambanoooo leo 2020...continue to rest in peace
Ngoma yenye ladha sio vitu ivi ivi. Hongera
Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana,marehemu baba yangu. ..
I'm listening to this in 2022 n maybe inshaallah i wish to play this in my wedding someday in the future
In Shaa Allah.
2019 bado IPO kilelen janaa firdaus iwe pepo yako amiin
Firdaus kwa kuimba jmn
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa CZcams. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Beautiful Tanzania,we will always remember our Hero and Legend Issa Matona.R.I.P Mzee
Babuu Shilla mimi mkenya nimeolewa na mzungu na hii nyimbo ndio ilichezwa. Sikujua kama kafa jamani 😣😣😭😭
Inna lilah wa ina lilah rajuin mble yk nyuma yetu
Ardh inatubeba weng jaaman ivy pnd tutapotembea juu ya ardh tutembee kw heshma n unynyekev kbw
Tunakukumbuka kwa tungo zako zenye ujumbe mzuri
Marehemu issa matona allah akurehemu akupunguzie azabu za kaburini na akuweke mahala pema.
Nimeshindwa hata kucoment Maana Wenzangu Mliocoment Mmeshamaliza kila Kitu Kusema kweli Huuu Wimbo wanaitafuta Ndoa hebu Sikilizeni Mafunzo haya Ndoa Itakuwa tamu Nawaambia
Nazipenda sana nyimbo zahuyu mzee ❤❤❤
Cette chanson, ma grand-mère (paix à son âme) l’aimait beaucoup et ça me fait plaisir de la réécouter en 2023🥰❤❤
Nyimbo nzuri sana haichoshi kusikiliza
safar yetu. nimoja mungu akupunguzie. Adhabu ya kabur babu yetu issa matona mshaul wetu
Mungu akulaze mahalapema peponi shekhe issa matona.
Waoh mzee wangu mungu akulaze mahali pema peponi amen amen
Mungu akupunguzie adhabu za kaburii😭😭
napenda sana hii nyimbo inaujumbe mazuri sana
Daima Utakumbukwa Mzee wetu Issa Matona. RIP
Masomaso eeeh 2019 may he RiP mzee
I remember my late mother when I was young...
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi yaarab awarehem wote waliotangulia mbele ya haki
2019 naangalia pumzika kwa amani baba🙏
Allah akulaze pema aliko laza walotangulia in shaallah
Pwani raha sana mgeni unakalibishwa na kikombe cha tangawizi watu hawatumi nguvu yani wabembelezwa taratibu, wapi watoto kinondon magomeni na kariakoo wazee waminuso enzi hizo 😅
Nautaka wimbo huu katika harusi yangu in shaa Allah
Me na ww
Wacha ww
Unae mchumba? Sema In Sha Allah
Ishallah habithi
Inshaallah mngu akupe mume mwenye kheri nawe
Nani anaesiklz 2020 km yup gonga like twendesawa
Jannah firdaus 2023 tuko wangapi nipewe like.
Hizi ndo zenyewe sasa❤
old is gold kma 2023 kma bdo upo unasikiliz hii ki2 gonga like
old is gold! R.i.p issa matona
Naipenda nyimbi zote za issa matonya pumzika kwa amani baba.
Mola akulaze pema maneno kuntu mafunzo kwa maharusi mashaallah
Tarehe 10/01/2021 tupo wapiiiiiiiii kimasomaso
ALLAH Ampe jannah amiin
rashidi julius Aamiin.
rashidi julius Ameen
rashidi julius mzeemajuto
Amiin
i love it, mume ukampe raha usiende kumpa tabu....
saizi tena hakuna mwanamme wakumpa ra hawapo tena loo
mwanamme gani saivi ukimwambia e anakwambia oo aaaaaa hakuna wanaume kunavifuu dume
wasanii wa zamani walikuwa wakijtahd kuandaaa nymbo zao kwa makini
sana..
Kweli kabisa
Mwenyez mungu ailaze roho ya mpenz wetu issa matona amina
Mzee wetu wa pwani ,mashairi yake mazito yataka makini kuyafahamu
Mw/akusamehe makosa yko, hii ni kali sana 2019/06/27
dah yani wimbo wamaana maneno mazima matupu good znz beg up.never day