Hicho kitu sibure usizue makhuruku shida wee mita ya luku Fanya ndimi za unyama tia ulimi puani kama bado unaxikiliza hili coma 2020 unamxikia sabaha salum kipenz cha watu gonga like hapo chini jamani
Like fishermen of octopus will meet in rocky ocean . Meaning ( u will know u are empty tin that make loudest noise) this song is dip kiswahili and bantu
Wangapi wanasikiliza hii 2024 piga like ❤
😂😂😂😂
Kama unasikiliza 2024gonga like apo
Mimi toka Congo 2024❤
2024 button here
Wangap tunaskilza hii tarab jaman ndani ya 2023😍
May 2023 🥰🥰
June 2023
🎉🎉🎉
Tuko hapa😁
@@kibusuprofessional5465 heee 🤔 🤔 watu Bado wapo may we ushafika June 😮
Kama unaskilza hii ngoma hii 2023 Gonga like mziki mzur Haufii
If you're still watching this till now you're the really legend 🇹🇿
My brothaaaa🤝🤝🤝🤝🤝
Wangapi tuko 2023 the best song ever wueeeh 😋🥰🥰🥰🥰
Utakufa na shauku nice voice ❤
Km unaskiliza hii taarab hadi mwa 2020 weka like yako hapa
Favourite song nikiwa primary 2009.hadi leo 2021 about kuzama 22 likes zangu na comment ziwe kibao
Bado tunaisikiliza 2023 taarabu Kali sana imenibamba sana
❤❤❤June 2023 listening every morning 😂❤❤Naikubali sna toka Mombasa ❤📍📍📍🔒🔒
Wangapi tunasikiliza hii taarabu nzuri jmn ndani ya 2021 🥰🥰
Leo tu🥰
Tuko apa wotee😂
Bado tupo
Pambee tu!
🔥🔥🔥🔥
Nairobi well represented ❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mama Sabaha pongezi kwako. Mungu akupe afya njema na umri mrefu. Kazi zako zinatupunguzia stress hasa hao wa mita ya Luku. Tunakukubali sanaa zako.
Haki taarab inaniburudisha sana, uhondo usio na kifani
Amakweli enzihizo Hadi Leo Bado imo jmn
Wangapi wanasikiza hadi sahi 2020 nikiwa mmoja wao... 💖
Mimi naskiza
@@faizamahfudh8076 nice 😉
@@faizamahfudh8076 can we chart through whatsapp please beautiful
Me
Mimi
Old is Gold🤩👌
Ndani ya Jiji Nairobi
Wapi likes za 2020
"Kama mvuvi wa pweza tutakutana mwambani" Santhaa swabaha😘
Deeeeebeee tuuu weeeewee ACHA ZAKO KELELE 👌👌👌2020
2024 Taarab bado yatamba, iko kitu si bure
Nani yupo 2024🙌🙌💪
Kama unasikiliza na mim adi 2019 gonga like yako hapaaa😍😍..weraa kanichagua mim bibieee.👌😍
Tuko pamoja Jojo +971
Waooo
Nunu mambo
Nani mwezangu
Asantaaa 😘 representing, 254 .
weeeeuuuuweee bado jimbo la kosha moyo wang aiseee hakun nymbo kam izii jmn uwiii.tunawamiss wagenga🥰🥰🥰22/2/2020 bado naupendaa saanaaaaa
Hicho kitu sibure usizue makhuruku shida wee mita ya luku Fanya ndimi za unyama tia ulimi puani kama bado unaxikiliza hili coma 2020 unamxikia sabaha salum kipenz cha watu gonga like hapo chini jamani
Iko kitu si bure
Fanya ninakutazama unachelewesha nini, fanya timiza unyama tia ulimi puani
2019 nani bado upon nikwa Qatar much love
Fatma qatar kama zenji ukiskiza hizi
Fatuma tuko pamoja
Much love Jeddah baibe 😍
Mimi sis nice song 💯👌
Sina Mambo
Sijawai ona wimbo mrefu kama huu salut kipenzi yani ao kina aisha mashauzi wote wakasome kwako
Ata nenda ukaliwe pesa pia mrefu, Top in town Khadija kopa pia mrefu
Iko kitu si bure 2019 anyone???
Taaaam hizi ndo nyimbo bahna sio mijimbo yakisasa makelele matupu huu ndo wimbo maneno yametulia.
Kbs
5/4/2019 gonga like kama bado upo naunaikubali ngoma hii
Who still listen 25/12/2018 happy New year 2019 InshaAllah Nipeni like jamani za end off year plz ..👌❤..nawapendeni sanaaa
Ndani yakenya
Yngu nimekupa somu wangu
Am here in 2020 as well
2020 quarantine 😪
Who's listening 2021 and still loves it ❤️🎶mashallah.
Oct 2022 hapa
tumbo joto limempata shoga apelekwe mpelampelaaaa hihihiiiiyyaaa ahsantee mumy sabaha hukwel nazipenda sana nyimbo zako mashaallah
Mad love 4 taarab frm Somalia 🤗🤗🤗✊🏿✊🏿🇸🇴🇸🇴🇸🇴 we Somalis nd waswahili share lots in common
mind elaborating what's common btn somalis and swahilis?
@@mariambintsaid3814 Anaaba yaapan pee 😂😂😂 Somali sujuu iga dheh
@@mariambintsaid3814 qqqy
@@mariambintsaid3814
Wezaaaa
@@mariambintsaid3814 Indian Ocean 😂
2019 weraaaaaa👌👌....mtaosikiliza 2019 tujuane kwa likes ama comments...
Nmby muu
Hapo sawa
Uko peke yako sabah salum huna mpinzani.. those words lol 😍 old is gold
Zuhura Shaaban vipi? Ligi kubwa ile
sauti nyororo ya sabaha salum na uwezo wake wa kukaa kwenye njia ndio vitu vinavyonikosha saana
2020 who's with me
AAA Akkkkk
Me
Me
mimi apa
Meh ✌
Nipo hapa 2024❤
Listening to this song again and again Jan -7-2023 love this song🥰🥰🥰🥰🥰
Bora ujengewe boma simtu wehayawani! ujumbe xfii mama swabah!!
Mlingoti chuma.....
Pia kamba chuma.....
Na bendera chuuuuuuma....
Kama mvuvi wa pweza tutakutana mwambani,Debe tupu wewe acha zako kelele .....asantaaa Sabah Salum.💚💛❤
Like fishermen of octopus will meet in rocky ocean . Meaning ( u will know u are empty tin that make loudest noise) this song is dip kiswahili and bantu
Wow still tupo 2020/3/29 nipe like kama mpo 2020 hellow there my brothers and sisters
Iko kitu si bureee.. 2019 fanya tena fanya himaaa... kinichagua Mimi chumaaa kaniweka ndaniiiiii
Napenda sana hii taarabu
Am still listening even now.. Beautiful indeed
Tupo tele mbona hiii tarabu big song
Tupo hapaaaa
Tune wewe, tutakusiiza hadi mwisho. Hongera kubwa sana. DRC ❤
best melodies. I still remember my childhood
Iam somalia i like this song old is cold 2022❤❤❤
2020 mko wapi mashabiki
2020 na Bado tuko hapa tieni ndimu puani.nairobi Kenya.
Niulimi puani😂😂
Maneno mengi ya nini i love it ♥♥♥♥♥♥♥♥ sitingishiki wow
Mko wapiii jmn tunao skiliza taarabu safiii jioni hiii 2020...16/2/2022🤣🤣gonga like zako hapaaa rahaaaaaa
Michael Dzombo a.k.a mwalimu Habwe.
Mashallah ,umegonga ndipo dada.zidi kuzidi unawakera wambea kweli kweli !! ..
Mwezi wa 7 2020 kma bado upo na hii melody gonga like
23/8/2023
Huu wimbo hauzeeki ni kama asali, mwaaaa mwaaaaaa!!
2020 tukutane hapa na like nyingii
Hiiko kiitu sibuuureee👌👌
sasa unababaika waendeshwa mbio wewe, kama njiwa kaniweka wewe umekua mwewe, tena unafadhaika wataka unikosoe, miti mimi nimeshika wataka tule tugawe 😗😍😍
uko vizur
2019 mko wapi please..never gets old
Hujalishi hasilanii 😋😋 2019 shida we mita ya luku
Poa
inanini hiomta ya luku unatia umeme japo buku
I like that
Mhhhhhmhh L.O.L SABAHA HATWARIIIIII
Hadi sasa me naskiliza huu wimbo ata nikiwa ofisin wallah tena , tamu tamu ❤❤❤❤ mwaah ❤❤❤
All the way +971 nakupemda sana Sabah nyimbo zako za ustaarabu😍
Still listening to this beautiful song 2022
Old is gold ningependa iwe kwa download list
@2023 still going strong 💪
Who is here 2023 ?😊
Me
Me
Me
Am here 2024
😂2024 Haswaa
kama mvuvi wapweza tutakutana mwambani luv this taarab song thanx sabah salum
awadh tevez really good song
Hii inatisha nampenda sana huyu nyimbo zake konk laid
Machungu uliopika umejizoza mwenyewe.... The Swahili folks have got a special way of creating a scene.
Hapo chacha shida we mita ya luku
A great song that has a message that is beyond expiry.
😊😊😊😊
😊😊😊😊@@mutumatema4566
Hii tarabu inanikumbushaga mbali sanaa
Inalipa mashaallah nabado inadai
wonderful song with a good message to all.
🔥🔥🔥🔥
The beat is crazy, talented
shepu Kama komba mwiko😂😂😂😂 iko shidaaaaaa.......
😀😀😀😀
😂😂
😂😂😂😂
Jamani😂😂
Jameni taarab naipenda toka zama hizo nkiwa shule ya msingi mpaka wa leo.kongole kwenu waimbaji wa taarab m,mola awazidishie kudura zake
I head this song first time travelling from meru back to Nairobi after meru show 2013 in sunbird bus it took me 4 years to trace in CZcams
Melodic voice Sabah Salum
صوت جميل للفنانة صباح سلوم
nampenda sana sabaha gonga like km unckilikiliza 20/10/2019
Kama unapenda kama mm gonga like
Taraabu za Zanzibari my favorite
I never get enough of this
Jmni ni yangu miaka ytee naipenda sanaa
Keep falling in love with this song 2018
Big up sabah salum...malkia wa vina...swadaktaa
Asal hi ndio mimbo yaa macnaa,❤
Mimi uyu hapa tamu sana
Jamani Hao wadada wanacheza style hio hio mpka mwisho WA wimbo hawachoki😢😢🤣
Naipendaje hii ngoma yaani najiskia km namchamba mtu flani ivi
We mshari ee😛😁
Used to listen to this song since I was young
Nice tarab indeed
Who still listens in 2021? Mkono juu
I can't get enough of this song. 2019
2021 km tupo tujuane!! kweli mziki ulikua zamani jmn
Tuko pamoja Malaika
2023. Na bado ikisawa. Best taarab song singer ever. Simply composed and the message, wacha tu
Depe tupu acha zko kelele uwii wallah song tamu sna
Haha ni shidahh pole my
they dont make music like this anymore
hatari sana uhu wimbo yani umenikumbusha enzi bimkubwa wangu ameachwa na mzee
Mashallah .. karudi?
I am ok😣😁😁
Hahahha
🤣🤣🤣🤣
Hatar
I'm somali Amirican i like this music Mombasa nice
Abnash Abnash what is somali American? Be somali or American.
keep up
Its Tanzanian tarab
good
Say u r niggah
Mashallah taarabu ndiyo mziki kweli
Wangapi wako hapa 2021. Mlingoti chuma, bendera chuma pia kamba chuma.
Maneno mengi ya nini maneno mengi ya nini haaaloooooo #debetupu
I like this song very much... if you are listening from Mogadishu 2020 gonga like yako hapa