Innalillah wainaillah rajuin Allah akulaze pahla pema Pepon na akupe mwanga na nuru akupe mwanga wa milele 😫😫😫😫😫😥😥mbele y2 nyuma yako mama angu daaah dunia hii jmn
Mbele yako mama yangu mzazi bi fatuma daimu nakukumbuka sana mama yangu umeondoka kwenye uso huu wa dunia mwanao uliniacha bado mdogo cjaanza kujitemea ujawai kula hata mia kma kifuta mgongo chako kwa yale uliyonifundisha jinsi ya kuishi na wanazengo waja wasiokuwa na haya wala vibaya
Mama thamani yako naijuwa mimi namuomba Allah hazidi kutuweka salama hapa duniani ili uje uione thamani yangu na mie naandika huu ujumbe kwa hisia Kali moyoni kwakuwa uko mbali na mie nakupenda mama "I will love my mummy than my son"
Tuwapende I Mama zetu,haijarishi ,wanepitia nahumu mengi kutukuza , allah awafanyie wepesi inshallah,na waliotangulia basi mwenyezimungu awape kauli thabiti inshallah.kina Mama wate ni masuper woman's
Wimbo huu na maneno yake yatadumu milele hakuna wa kuushusha Mama ni mama tuu hata awe kichaa hakuna kama mama .Kila kitu kwenye wimbo huu kinetulia na umeimbwa kwa ubunifu sana Hongera sana Aisha na Hongereni sana wote mlioitwa MAMA kwani hakuna kopy ya mama .Mama atabakia kuwa mama tuu
Cwez kusema chochote mama yangu ulinifunza jinsi ya kuish na watu pia ulikosa kulala pale me nilipokuwa naumwa ulikosa kula pale nilipokuwa najisikia homa ulipambana wewe na mumeo yaan baba yangu mzaz mzee dua hili me na dada zangu tuweze kusoma na kujitambua mbele ya kikaz hiki jeur
Pumzika kwa amani kipenzi Chang u hakika ulikuwa nguzo muhimu sana kwangu na huu wimbo ulikuwaga unaupenda sana kumdedicate Bibi yetu gaani mama yako ambae umetangulia ukamuacha😭😭 mama unaniuma sana bado nilikuwa nakuhitaji mnoooooo ktk maisha yangu😭one year past naona Kama Miaka kumi haupo
Wanao itazama hii video ya isha hadi sasa tujuane hapa, hii nyimbo imebeba ujumbe mzito sana, uko juu isha ila pole kwa kuondokewa na mama ( Allah ampe amuepushie adhabu ya kabri Inn Shaa Allah )
Wanao tizama hii nyimbo huu mwaka twende like
Still hitting different in 2023 💯💥💥
Nimefiwa na mama a few weeks ago!huu wimbo una maana nyingi kwa nyie ambao mna mama!the best person ever
Allah amrehemu mama yangu kipenzi ila mungu amempenda Zaid hii nyimbo inanigusa sanaa kwelii kuishi nawatu kazi sanaa
Rip bi rukia juma Allah akuwe penye wema peponi
Kuishi kwingi ndio kuona mengi kwa hiyo mwanangu kwenye wengi kuna mengi.... Kama umesikia hiyo gonga like
❤️❤️❤️❤️😍
Ukipata radhi maishani utanyookewa ukimdharau muzazi mwishoni utararukiwa
Akuna kama mama miaka 💯 msj nzuri ya mama na mwana 2024 nyiee isha anajua ❤
Mama ni number moja hana mpizani naipenda sna hii nyimbo ongera my somu
Innalillah wainaillah rajuin Allah akulaze pahla pema Pepon na akupe mwanga na nuru akupe mwanga wa milele 😫😫😫😫😫😥😥mbele y2 nyuma yako mama angu daaah dunia hii jmn
Wanano itazama 2020 gonga like
Kwel kuishi na watu kazi
Napata shida sana natamani kukurudisha mama angu ila mungu kakupenda zaidi yangu pumzika kwa amani tu mama angu
Mungu amlaze mahali pema
Pole Sana ndgu yang u🤔🤔🤔
Pole sana
Pole my
RIP MAMA 😭😭😭 HII DUNIA TUNAPITA DAH 2019 LIKE APA
Mama angu popote ulipo nakupenda sana umetulea kwashida mpaka tumekuwa wakubwa Mungu akutunze mama angu,,
💥💥💥
nimekumbuka mwaka 2010 nilikua naupenda sana mpakaleo 2018
Wanaoitazama 2023 tujuane ❤rathi ya mama mhimu sana🎉🙏
Nakuhasa mwanangu hii dunia tunapita kuisha na walimwengu yahitaji uvumilivu wema wako utaukuta kwa mungu ❤2022 nimeelewa sana hicho kipengele
Ukweli kabisa
Wanaotazama ngoma hii 2021 wagonge like💜
Inanikumbusha mbali
Still watching 2022
@@annakaijage9205
Asante xna
Ngoma nzuru sanaaaaaa
Mbele yako mama yangu mzazi bi fatuma daimu nakukumbuka sana mama yangu umeondoka kwenye uso huu wa dunia mwanao uliniacha bado mdogo cjaanza kujitemea ujawai kula hata mia kma kifuta mgongo chako kwa yale uliyonifundisha jinsi ya kuishi na wanazengo waja wasiokuwa na haya wala vibaya
Wangapi wanatizama 2020 Tujuane hapa..gonga like kaa zote❤️💜💜💜💜
Tupo weng pia hii nyimbo inamaadir Sana
MUNGU msamehe MAMA yangu makosa yake😭😭😭😭😭 pumzika MAMA yangu one day tutaonana
Pole my yn m nikion Mt anmama bs naumia lkn ndo ivyo TN y mung meng
Amina
Pole Sana na KUFIWA na mama yako mzazi Bi rukia juma hakika apumzike KWA AMANI :"""!:""
R.i.p bi rukia juma mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi
Duniani Tunapita
@@juliusmwinga4051 kbs
R.I.P mama Rukia Jumaa😭😭😭😭
Innalilahi waina ilahi rajuin hta habari sina kma hatunae tena bi rukia jumaa Allah ampunguzie adhab ya kabri
Mwanaha ariy
Nakupenda san mama angu bi khadija mungu akupe maisha marefu ya kuishi hapa duniani kweli kuishi na watu kazi
nakupenda mama mengi umenijalia japo kitu sina utu wangu pokea ,,,hongera ishaa
kweli katika hii dunia utapambana na mengi cha msingi kuvumilia yarabi nipe uvumilivu
Mama mwalimu'docter ;masibu kwa kweli ni kilakitu
.... still listening 2021. Mama ndiyo kila kitu; Love you Mama.😘🙏
Hii nyimbo nzuri sana nakupenda sana mama ang kipenz mungu
R l P mama yangu uliko mungu akuodolee Adhabu ya kaburi
No kwer msera wangu
Ahsante mama kwakunileta duniani mama yangu ndonguzo yangu
Wanaoitazama 2019 gonga like
R.I.P mama Rukia yaan kwa haya nnayopitia haukukosea kuishi na watu kazi sana tena kazi mzito kila ufanyalo kwao ni baya tu
Pole kipezi
Nimekuta tuh leo napenda kusikiliza nyimbo zako
September 2018??? 🙌🙌 One of my best song ever kwny taarab😋😋😋.
Qan hapa nilipo mashetani apa una mashetani weh..
Nani anaeicheki hii ngoma mpk sasa 2019 gonga like twende sambamba
penda sana ili songi
Mimi pia
Mimi apaaa
Tuko pamoja mama
Hapana chezeyaa ww
Hakuna kama mama, safi sana
Namkubali mashauzi ,nimekua sasa nimeona kazi ya mamangu alioipitia.ewe mola msamehe madhambi yake aliyoyatanguliza na yajayo amin
Mashaallah sst isha mashauzi nakumbuka mbali sana kila nikiona hii nyimbo nakupenda sana 😍 2021tujuane tulioingaliaa🥰🥰
Pamoja
Yaan hp ndy nimeweka 🤣🤣🤣🤣🤣
2022
@@jasmine.mayala7597 mom9m9
Mama nipe radhi.. Love u isha Ramadhan. Mashauzi iko yu
Kama unaicheki hii nyimbo 2021 twende sawa
Mama thamani yako naijuwa mimi namuomba Allah hazidi kutuweka salama hapa duniani ili uje uione thamani yangu na mie naandika huu ujumbe kwa hisia Kali moyoni kwakuwa uko mbali na mie nakupenda mama "I will love my mummy than my son"
kwakweli inauma
Wewe naipenda sana ahaha hahaha wape
Asante na nimekuelewa musa
Da tuko wengi tuko mbali s na mm zetu
Best naso
aaaah isha hii nyimbo kali sana mno yaan uwifanye tena remix
by babu jay (ATHENS)
Tuwapende I Mama zetu,haijarishi ,wanepitia nahumu mengi kutukuza , allah awafanyie wepesi inshallah,na waliotangulia basi mwenyezimungu awape kauli thabiti inshallah.kina Mama wate ni masuper woman's
Jamani nikiskiliza wimbo huu machozi yanatoka😭😭😭😭😭
Pole sana jamani
Ujumbe mzur nimeipenda asanten kina Mama
Nani Kama mama
Kuishi kwingi kuona mengi mungu mjaalie huyu mwana sanaa
Hakuna kama mama.
Wenye tnaangaliaaa 2020 gonga like
Wimbo huu na maneno yake yatadumu milele hakuna wa kuushusha Mama ni mama tuu hata awe kichaa hakuna kama mama .Kila kitu kwenye wimbo huu kinetulia na umeimbwa kwa ubunifu sana Hongera sana Aisha na Hongereni sana wote mlioitwa MAMA kwani hakuna kopy ya mama .Mama atabakia kuwa mama tuu
Nakupenda sana mamangu,bila wewe sipati Rana duniani
Akuna kama mama nampenda sana mama yangu mungu ampe kauli thabit uko alipo
Tunaongalia 2020 gonga like
Napenda xna hii Taraabu na ntaipenda daima
Hii imetulia kuna mzigo wa Mossi sasa ukikaa na huu
kama nikupenda taarab basi za aisha mashauzi nimefika
Tupo wakenya 2019 apa tunaoisikiza hii ya mama???kidole juu tusonge mbele jamani☝❤💕
Mama nipe Radhi.2019 tuko pamoja hapo ulipo tuwape pongezi zao
Kweli kabsa
Mama nipe radhi,kuishi na watu ni kazi inahitaji ujuzi !!
Nice song
Masungwa Masungwa sister upo vzr xana umeniburudisha xan pia umenikumbuxha mbal xan
Penda sana mama yangu sema mungu kampenda zaid penda isha
Mamanipe
*Insha Allah, kwake M/Mungu asiyekosa kwake ndio marejeo yeke*
2019 jameni nipe tano
Kweli huu ujumbe mpa mwisho wa dunia
Pumzika kwa Amani Shilwa Magema Mungu akupunguzie adhabu za kabri 2020
pamoja na ujane aliokuwa nao mama yangu wallah hatukuwahi kulala njaa..alikuwa radhi akae na njaa wanawe tule
Seif Ally mamag.mahabube.nakupenda
Big big sana mamaa
Sefu
penda sana umwimbo
Alihamdulilah mama ndy kila kitu kwang love mom
Mama umenivumilia mengi nakupenda sana,big up sis Isha utunzi mzuri
shukuran sana kwa mama ang mzaz!!
Memkumbuka mama leo rip ma, ulonifunza nayaona, mpaka leo isha naickiza hii nyimbo
Pole mpenzi mungu yu pamoj na wewe my
Kwakweli kabisa kabisa
Daima nakukumbuka mamaanqu kwakweli toka Munqu akuchukue nimekuwa mpweke saana
R. I. P my luvely mumy!!! Ahsantee kwa kunifunza mengi katika hii dunia.
R.i p my mom too
Mamauko vizur
lightness mbise kwer nani kama mm nimekumic mm angu mpendw munguakupe miaka ming rove you my mother
Kweli kabisa hakuna kama mama
Pl
Wangap wanatizam mpak sasa 2019 tujuwane
2020
Wangapi 2020 wanatizama mpaka Sasa hii nyimbo tujuwane
Tupo bb
Gonga like kama unamkubali mashauz class
wangapi wanaangalia leo 2020 siku ya mama duniani nani kama mama
nakupenda sana mama yangu. wee mwenyezi. Mungu nakuomba unitunzie mama yangu. Umzidishie afya njema aishi miaka 1000
Nakupenda mama angu
2020 mpo. Pumzka kw amani mama aisha
Mama yake na isha au isha mwenyewe
nice sanaaa hakuna kama mamaaaaaaa
Waooo dada angu mie msoma hakuna mchovu akiwa mchovu uyo kachanganya Asante sn
Unaweza ukadhania wana act kumbe ni kweli ni mama na mwanae...mama anaonekana mdogo sana....I love Isha...hasa mashauzi yako
sijajua kama ni mtu na mama ake kabsaa. aisee safi sana hii nyimbo haiish utamu
Penda sana aise inanikumbusha Mbali mno
Hongera mama nani kama mama
walah niisikiza natokwa na machozi maana siko karibu na mamangu mda sasa
Naupenda Sana uwimbo nani kam mama
Mama ni mama RIP mom
Victor Fredrick pole sana hakuna kama Mama ,mkumbuke Mama kwa Dua njema
Victor Fredrick pole
Nampenda my Mama
Kuishi na walimwengu yahitaj uvumilivu aisee good song my sister
from dom tz. 2019
Cwez kusema chochote mama yangu ulinifunza jinsi ya kuish na watu pia ulikosa kulala pale me nilipokuwa naumwa ulikosa kula pale nilipokuwa najisikia homa ulipambana wewe na mumeo yaan baba yangu mzaz mzee dua hili me na dada zangu tuweze kusoma na kujitambua mbele ya kikaz hiki jeur
bila ladhi ya mama peponi uingii ndugu yangu kmukimfulahisha mzazi ndiio umemfurahisha mungu
kweli wazuri na wabayo wamo duniani waja wana roho mbaya wamesahau hisani penda sana hapo hongera sana na Mungu akujaze na akupe maisha marefu
Omore
Jamn napend San taarab i jamn sitoichok never inaujumb san
Wimbo huu ambao upo katika mtindo wa call and responding...umeimbwa vizuri sana na kwa utulivu.Pia ala zimepigwa vizuri sana.Hongera kwao.
2020 sichoki kuisikiza hii nyimbo
Haiishi ladha kamwe
Pumzika kwa amani kipenzi Chang u hakika ulikuwa nguzo muhimu sana kwangu na huu wimbo ulikuwaga unaupenda sana kumdedicate Bibi yetu gaani mama yako ambae umetangulia ukamuacha😭😭 mama unaniuma sana bado nilikuwa nakuhitaji mnoooooo ktk maisha yangu😭one year past naona Kama Miaka kumi haupo
Wanaoutuzama 2019 likes zenu hapa
Panda sana isha mashauz
Hahaha. Nyimbo tamu
Katika nyimbo nayoipenda yA kwanza hii
Wanao itazama hii video ya isha hadi sasa tujuane hapa, hii nyimbo imebeba ujumbe mzito sana, uko juu isha ila pole kwa kuondokewa na mama ( Allah ampe amuepushie adhabu ya kabri Inn Shaa Allah )
penda sana mama yng kipenz bi Elizabeth love you my Apple
mwenyewe penda sana mama yangu, ahsante mama kwakunilea vizuri.
2019 bado wimbo mkali sana kwangu
Kwa kweli hakuna kama mama!!!mama nipe radhi kuishi na watu kazi,,, song litadumu miaka kama yote!big up ISHA
Llooop
Nape da Sana hii taarab
I love my mom Allah akupe wepes ktk maisha ya dunia na akhera my everything
I love you my mom
Unaweza bi dada, na wala hubahatishi
👍
Wanao tazama 2019 twende sawa apa
Haichuji kwangu hii ngoma tamu sana kweli ukimzarau mzazi utaharibikiwa
2020 April
Nakumbuka Mama yang anapenda sana huu wimbo..nice
wamesahau hisani kweli mm sema kweli
Wimbo mzuri wa muda wote. When taarab was real. Nani kama mama? Wameimba kwa mtindo wa call and responding... Yaani kwa kuitikiana. What a great song!
Una sauti mashaAllah dada... Queen of best melodies
Tulokuja hapa baada ya kusikia kifo cha mama aisha 💁
Naam mungu amlaze mahali pema peponi😭😭😭
Allah ampe kauli thabit
Aise pole sana isha mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu ameen
Polen jaman
Tupo pamoja nawe
Tunao sikiliza hadi 2020 tujuane jmn, wapenzi wa taarab tupo???
Tupo
Tupoo
P 1
saf Sana hii taharabu na itakua ngumu Sana kuchuja
Tupo
MY BEST TAARAB EVER IN TANZANIA 🇹🇿. MWENYEZ MUNGU UWAPE MAMA ZE2 MAISHA MAREFU 🥰🤲
hata mimi nina mashetani ahsantha mama umenipunga sio siri one love from Kenya now in saudia
Mama ninamba moja nakupenda sana mama yanguu mama umenifunza mengi sana ninakuombea kila heri nikisikiliza ngoma hii nakupenda mama
wimbo ukopowa Sana jamani
Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Kweli dunia Tunapita.Allah Akurehemu Mama.Wimbo Una Mafunzo Mazuri.
wanaotizama 2018 gonga like to show love
Dada ukovizuri sana
Iko vizur na wala haichuji
Rama khan, kumbusha mbali sana
Mama
Mama,mm
Mohamedi Chaugwade. Tutakukumbuka mama
100% isha ramadhan mama n mama allahu arhamha. ...R.I.P mom kwa malezi yko 😂
I LOVE U MAMA
R.I.P Bi Rukia Juma tutakukumba daima MUNGU akupumzishe kwa Amani
Nani kam mama jamani ❤❤