Isha Ramadhan - Mama Nipe Radhi One of the greatest and classic taarab of all the time

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2012
  • Hudba

Komentáře • 1,3K

  • @Riziki-ek3ko
    @Riziki-ek3ko Před měsícem +15

    Wanao tizama hii nyimbo huu mwaka twende like

  • @nasib_filmwhip9957
    @nasib_filmwhip9957 Před rokem +85

    Still hitting different in 2023 💯💥💥

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 4 lety +33

    Nimefiwa na mama a few weeks ago!huu wimbo una maana nyingi kwa nyie ambao mna mama!the best person ever

  • @user-qy8lw4pd4v
    @user-qy8lw4pd4v Před 11 měsíci +5

    Allah amrehemu mama yangu kipenzi ila mungu amempenda Zaid hii nyimbo inanigusa sanaa kwelii kuishi nawatu kazi sanaa

  • @hadjiyussuf4566
    @hadjiyussuf4566 Před 5 lety +9

    Rip bi rukia juma Allah akuwe penye wema peponi

  • @jordanjustin7290
    @jordanjustin7290 Před 5 lety +28

    Kuishi kwingi ndio kuona mengi kwa hiyo mwanangu kwenye wengi kuna mengi.... Kama umesikia hiyo gonga like

  • @amnahleilah8589
    @amnahleilah8589 Před 6 lety +10

    Ukipata radhi maishani utanyookewa ukimdharau muzazi mwishoni utararukiwa

  • @happyjoseph5840
    @happyjoseph5840 Před 12 dny +3

    Akuna kama mama miaka 💯 msj nzuri ya mama na mwana 2024 nyiee isha anajua ❤

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 Před 6 lety +8

    Mama ni number moja hana mpizani naipenda sna hii nyimbo ongera my somu

  • @shadyjuma7688
    @shadyjuma7688 Před 4 lety +11

    Innalillah wainaillah rajuin Allah akulaze pahla pema Pepon na akupe mwanga na nuru akupe mwanga wa milele 😫😫😫😫😫😥😥mbele y2 nyuma yako mama angu daaah dunia hii jmn

  • @mariajoseph5347
    @mariajoseph5347 Před 3 lety +9

    Wanano itazama 2020 gonga like
    Kwel kuishi na watu kazi

  • @halimamohammedy9247
    @halimamohammedy9247 Před 5 lety +48

    Napata shida sana natamani kukurudisha mama angu ila mungu kakupenda zaidi yangu pumzika kwa amani tu mama angu

  • @abasisalum9691
    @abasisalum9691 Před 4 lety +24

    RIP MAMA 😭😭😭 HII DUNIA TUNAPITA DAH 2019 LIKE APA

  • @neemaiddy3750
    @neemaiddy3750 Před 5 lety +12

    Mama angu popote ulipo nakupenda sana umetulea kwashida mpaka tumekuwa wakubwa Mungu akutunze mama angu,,

  • @wilisonmbwambo7110
    @wilisonmbwambo7110 Před 5 lety +20

    nimekumbuka mwaka 2010 nilikua naupenda sana mpakaleo 2018

  • @user-wj6hw7df5r
    @user-wj6hw7df5r Před 9 měsíci +6

    Wanaoitazama 2023 tujuane ❤rathi ya mama mhimu sana🎉🙏

  • @malken8181
    @malken8181 Před 2 lety +18

    Nakuhasa mwanangu hii dunia tunapita kuisha na walimwengu yahitaji uvumilivu wema wako utaukuta kwa mungu ❤2022 nimeelewa sana hicho kipengele

  • @josephclemence4441
    @josephclemence4441 Před 3 lety +94

    Wanaotazama ngoma hii 2021 wagonge like💜

  • @allyduwa9914
    @allyduwa9914 Před 4 lety +5

    Mbele yako mama yangu mzazi bi fatuma daimu nakukumbuka sana mama yangu umeondoka kwenye uso huu wa dunia mwanao uliniacha bado mdogo cjaanza kujitemea ujawai kula hata mia kma kifuta mgongo chako kwa yale uliyonifundisha jinsi ya kuishi na wanazengo waja wasiokuwa na haya wala vibaya

  • @tusemezanenamariana5933
    @tusemezanenamariana5933 Před 3 lety +42

    Wangapi wanatizama 2020 Tujuane hapa..gonga like kaa zote❤️💜💜💜💜

  • @princessfettyrashidi2409
    @princessfettyrashidi2409 Před 4 lety +9

    MUNGU msamehe MAMA yangu makosa yake😭😭😭😭😭 pumzika MAMA yangu one day tutaonana

  • @barakambogera1667
    @barakambogera1667 Před 5 lety +26

    Pole Sana na KUFIWA na mama yako mzazi Bi rukia juma hakika apumzike KWA AMANI :"""!:""

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 Před 5 lety +82

    R.i.p bi rukia juma mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi

  • @najmamichael2208
    @najmamichael2208 Před 5 lety +6

    Nakupenda san mama angu bi khadija mungu akupe maisha marefu ya kuishi hapa duniani kweli kuishi na watu kazi

  • @angelsuleiman4668
    @angelsuleiman4668 Před 6 lety +31

    nakupenda mama mengi umenijalia japo kitu sina utu wangu pokea ,,,hongera ishaa

  • @florrybenjamin7372
    @florrybenjamin7372 Před 6 lety +18

    kweli katika hii dunia utapambana na mengi cha msingi kuvumilia yarabi nipe uvumilivu

    • @yngsavage6262
      @yngsavage6262 Před 5 lety

      Mama mwalimu'docter ;masibu kwa kweli ni kilakitu

  • @peteriranga5592
    @peteriranga5592 Před 2 lety +25

    .... still listening 2021. Mama ndiyo kila kitu; Love you Mama.😘🙏

  • @geonycoutinho5055
    @geonycoutinho5055 Před 5 lety +33

    Hii nyimbo nzuri sana nakupenda sana mama ang kipenz mungu

  • @halimakombe4734
    @halimakombe4734 Před 2 lety +3

    Ahsante mama kwakunileta duniani mama yangu ndonguzo yangu

  • @aishamohamed4412
    @aishamohamed4412 Před 5 lety +25

    Wanaoitazama 2019 gonga like

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 Před 5 lety +11

    R.I.P mama Rukia yaan kwa haya nnayopitia haukukosea kuishi na watu kazi sana tena kazi mzito kila ufanyalo kwao ni baya tu

  • @ntwangaisaya9424
    @ntwangaisaya9424 Před 4 lety +4

    Nimekuta tuh leo napenda kusikiliza nyimbo zako

  • @havijawaabdallah8026
    @havijawaabdallah8026 Před 5 lety +21

    September 2018??? 🙌🙌 One of my best song ever kwny taarab😋😋😋.
    Qan hapa nilipo mashetani apa una mashetani weh..

  • @zabibuissa7157
    @zabibuissa7157 Před 5 lety +117

    Nani anaeicheki hii ngoma mpk sasa 2019 gonga like twende sambamba

  • @vuzoblog2230
    @vuzoblog2230 Před 6 lety +17

    Hakuna kama mama, safi sana

  • @mohammedfundi545
    @mohammedfundi545 Před 6 lety +12

    Namkubali mashauzi ,nimekua sasa nimeona kazi ya mamangu alioipitia.ewe mola msamehe madhambi yake aliyoyatanguliza na yajayo amin

  • @neemaandrew4769
    @neemaandrew4769 Před 3 lety +33

    Mashaallah sst isha mashauzi nakumbuka mbali sana kila nikiona hii nyimbo nakupenda sana 😍 2021tujuane tulioingaliaa🥰🥰

  • @fatmanassib2823
    @fatmanassib2823 Před 6 lety +12

    Mama nipe radhi.. Love u isha Ramadhan. Mashauzi iko yu

  • @kilanyamohamedy7555
    @kilanyamohamedy7555 Před 3 lety +12

    Kama unaicheki hii nyimbo 2021 twende sawa

  • @msusamusa7178
    @msusamusa7178 Před 6 lety +49

    Mama thamani yako naijuwa mimi namuomba Allah hazidi kutuweka salama hapa duniani ili uje uione thamani yangu na mie naandika huu ujumbe kwa hisia Kali moyoni kwakuwa uko mbali na mie nakupenda mama "I will love my mummy than my son"

  • @babujay9132
    @babujay9132 Před 11 lety +9

    aaaah isha hii nyimbo kali sana mno yaan uwifanye tena remix
    by babu jay (ATHENS)

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 Před 3 lety +3

    Tuwapende I Mama zetu,haijarishi ,wanepitia nahumu mengi kutukuza , allah awafanyie wepesi inshallah,na waliotangulia basi mwenyezimungu awape kauli thabiti inshallah.kina Mama wate ni masuper woman's

  • @rahmarogath4067
    @rahmarogath4067 Před 2 lety +5

    Jamani nikiskiliza wimbo huu machozi yanatoka😭😭😭😭😭

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 Před 6 lety +25

    Ujumbe mzur nimeipenda asanten kina Mama

  • @jasintamushi2614
    @jasintamushi2614 Před 3 lety +6

    Wenye tnaangaliaaa 2020 gonga like

  • @abasomary7122
    @abasomary7122 Před 4 lety +5

    Wimbo huu na maneno yake yatadumu milele hakuna wa kuushusha Mama ni mama tuu hata awe kichaa hakuna kama mama .Kila kitu kwenye wimbo huu kinetulia na umeimbwa kwa ubunifu sana Hongera sana Aisha na Hongereni sana wote mlioitwa MAMA kwani hakuna kopy ya mama .Mama atabakia kuwa mama tuu

  • @abbassuleh9920
    @abbassuleh9920 Před 5 lety +41

    Nakupenda sana mamangu,bila wewe sipati Rana duniani

    • @mudrickabdallah8496
      @mudrickabdallah8496 Před 4 lety

      Akuna kama mama nampenda sana mama yangu mungu ampe kauli thabit uko alipo

  • @munnacarta7879
    @munnacarta7879 Před 4 lety +35

    Tunaongalia 2020 gonga like

  • @jumaayubu3048
    @jumaayubu3048 Před 6 lety +41

    Napenda xna hii Taraabu na ntaipenda daima

  • @suleimanathman2906
    @suleimanathman2906 Před 11 lety +9

    kama nikupenda taarab basi za aisha mashauzi nimefika

  • @norah2079
    @norah2079 Před 5 lety +4

    Tupo wakenya 2019 apa tunaoisikiza hii ya mama???kidole juu tusonge mbele jamani☝❤💕

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Před 5 lety +33

    Mama nipe Radhi.2019 tuko pamoja hapo ulipo tuwape pongezi zao

  • @alfredycheyo8847
    @alfredycheyo8847 Před 6 lety +89

    Mama nipe radhi,kuishi na watu ni kazi inahitaji ujuzi !!

  • @geofreyniyonkuru5724
    @geofreyniyonkuru5724 Před 5 lety +20

    2019 jameni nipe tano
    Kweli huu ujumbe mpa mwisho wa dunia

  • @neemaboniface7557
    @neemaboniface7557 Před 4 lety +3

    Pumzika kwa Amani Shilwa Magema Mungu akupunguzie adhabu za kabri 2020

  • @seifkuku3943
    @seifkuku3943 Před 6 lety +125

    pamoja na ujane aliokuwa nao mama yangu wallah hatukuwahi kulala njaa..alikuwa radhi akae na njaa wanawe tule

  • @getrudemauya8298
    @getrudemauya8298 Před 7 lety +39

    Mama umenivumilia mengi nakupenda sana,big up sis Isha utunzi mzuri

  • @agnessdaud6250
    @agnessdaud6250 Před 6 lety +14

    shukuran sana kwa mama ang mzaz!!

  • @jacklineedward9079
    @jacklineedward9079 Před 6 lety +47

    Memkumbuka mama leo rip ma, ulonifunza nayaona, mpaka leo isha naickiza hii nyimbo

  • @lightnessmbise1430
    @lightnessmbise1430 Před 7 lety +66

    R. I. P my luvely mumy!!! Ahsantee kwa kunifunza mengi katika hii dunia.

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 Před 5 lety +44

    Wangap wanatizam mpak sasa 2019 tujuwane

  • @leilashaban3519
    @leilashaban3519 Před 5 lety +7

    Gonga like kama unamkubali mashauz class

  • @zakiasongoro2004
    @zakiasongoro2004 Před 4 lety +4

    wangapi wanaangalia leo 2020 siku ya mama duniani nani kama mama

  • @babat5272
    @babat5272 Před 3 lety +2

    nakupenda sana mama yangu. wee mwenyezi. Mungu nakuomba unitunzie mama yangu. Umzidishie afya njema aishi miaka 1000

  • @zenakaide6604
    @zenakaide6604 Před 4 lety +6

    2020 mpo. Pumzka kw amani mama aisha

  • @ashiraali3954
    @ashiraali3954 Před 7 lety +35

    nice sanaaa hakuna kama mamaaaaaaa

    • @annasimon178
      @annasimon178 Před 3 lety

      Waooo dada angu mie msoma hakuna mchovu akiwa mchovu uyo kachanganya Asante sn

  • @ba3206
    @ba3206 Před 9 lety +43

    Unaweza ukadhania wana act kumbe ni kweli ni mama na mwanae...mama anaonekana mdogo sana....I love Isha...hasa mashauzi yako

    • @abbyk_lymo4053
      @abbyk_lymo4053 Před 6 lety

      sijajua kama ni mtu na mama ake kabsaa. aisee safi sana hii nyimbo haiish utamu

    • @pantamagonga9132
      @pantamagonga9132 Před 4 lety

      Penda sana aise inanikumbusha Mbali mno

  • @sammynganga8998
    @sammynganga8998 Před 7 lety +22

    Hongera mama nani kama mama

  • @victorfredrick1423
    @victorfredrick1423 Před 6 lety +40

    Mama ni mama RIP mom

  • @gideonlungwa6555
    @gideonlungwa6555 Před 4 lety +7

    Kuishi na walimwengu yahitaj uvumilivu aisee good song my sister
    from dom tz. 2019

  • @allyduwa9914
    @allyduwa9914 Před 4 lety +2

    Cwez kusema chochote mama yangu ulinifunza jinsi ya kuish na watu pia ulikosa kulala pale me nilipokuwa naumwa ulikosa kula pale nilipokuwa najisikia homa ulipambana wewe na mumeo yaan baba yangu mzaz mzee dua hili me na dada zangu tuweze kusoma na kujitambua mbele ya kikaz hiki jeur

  • @user-cz5ol4kg4t
    @user-cz5ol4kg4t Před měsícem +1

    bila ladhi ya mama peponi uingii ndugu yangu kmukimfulahisha mzazi ndiio umemfurahisha mungu

  • @hassanadamali3382
    @hassanadamali3382 Před 8 lety +28

    kweli wazuri na wabayo wamo duniani waja wana roho mbaya wamesahau hisani penda sana hapo hongera sana na Mungu akujaze na akupe maisha marefu

  • @johnmapunda99
    @johnmapunda99 Před 5 lety +21

    Wimbo huu ambao upo katika mtindo wa call and responding...umeimbwa vizuri sana na kwa utulivu.Pia ala zimepigwa vizuri sana.Hongera kwao.

  • @zahrahabib3177
    @zahrahabib3177 Před 4 lety +6

    2020 sichoki kuisikiza hii nyimbo

    • @mosemose7272
      @mosemose7272 Před 4 lety

      Haiishi ladha kamwe

    • @colethacharles548
      @colethacharles548 Před 3 lety

      Pumzika kwa amani kipenzi Chang u hakika ulikuwa nguzo muhimu sana kwangu na huu wimbo ulikuwaga unaupenda sana kumdedicate Bibi yetu gaani mama yako ambae umetangulia ukamuacha😭😭 mama unaniuma sana bado nilikuwa nakuhitaji mnoooooo ktk maisha yangu😭one year past naona Kama Miaka kumi haupo

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 Před 5 lety +56

    Wanaoutuzama 2019 likes zenu hapa

  • @mwanaidathuman7727
    @mwanaidathuman7727 Před 4 lety +3

    Wanao itazama hii video ya isha hadi sasa tujuane hapa, hii nyimbo imebeba ujumbe mzito sana, uko juu isha ila pole kwa kuondokewa na mama ( Allah ampe amuepushie adhabu ya kabri Inn Shaa Allah )

  • @consolathasaimon2545
    @consolathasaimon2545 Před 7 lety +9

    penda sana mama yng kipenz bi Elizabeth love you my Apple

  • @gabrielambaruku5452
    @gabrielambaruku5452 Před 5 lety +32

    2019 bado wimbo mkali sana kwangu

  • @annamaokola807
    @annamaokola807 Před 5 lety +8

    Kwa kweli hakuna kama mama!!!mama nipe radhi kuishi na watu kazi,,, song litadumu miaka kama yote!big up ISHA

  • @latifacarlos9640
    @latifacarlos9640 Před 6 lety +5

    I love my mom Allah akupe wepes ktk maisha ya dunia na akhera my everything

  • @saidimgoa8593
    @saidimgoa8593 Před 6 lety +18

    Unaweza bi dada, na wala hubahatishi

  • @fatmarashidi8353
    @fatmarashidi8353 Před 5 lety +59

    Wanao tazama 2019 twende sawa apa

  • @abdallahnakamo6031
    @abdallahnakamo6031 Před 7 lety +6

    Nakumbuka Mama yang anapenda sana huu wimbo..nice

  • @ZahraZahra-ex8xx
    @ZahraZahra-ex8xx Před 8 lety +7

    wamesahau hisani kweli mm sema kweli

  • @johnmapunda99
    @johnmapunda99 Před 4 lety +7

    Wimbo mzuri wa muda wote. When taarab was real. Nani kama mama? Wameimba kwa mtindo wa call and responding... Yaani kwa kuitikiana. What a great song!

  • @dadamaisha4470
    @dadamaisha4470 Před 3 lety +11

    Una sauti mashaAllah dada... Queen of best melodies

  • @gladymosha3120
    @gladymosha3120 Před 5 lety +159

    Tulokuja hapa baada ya kusikia kifo cha mama aisha 💁

  • @mwanaidathuman7727
    @mwanaidathuman7727 Před 4 lety +49

    Tunao sikiliza hadi 2020 tujuane jmn, wapenzi wa taarab tupo???

  • @mansourally91
    @mansourally91 Před rokem +7

    MY BEST TAARAB EVER IN TANZANIA 🇹🇿. MWENYEZ MUNGU UWAPE MAMA ZE2 MAISHA MAREFU 🥰🤲

  • @johnpaulluteshi3305
    @johnpaulluteshi3305 Před 10 lety +3

    hata mimi nina mashetani ahsantha mama umenipunga sio siri one love from Kenya now in saudia

  • @JinaMakame-vq8mq
    @JinaMakame-vq8mq Před 15 dny +1

    Mama ninamba moja nakupenda sana mama yanguu mama umenifunza mengi sana ninakuombea kila heri nikisikiliza ngoma hii nakupenda mama

  • @allykaseya388
    @allykaseya388 Před 5 lety +19

    wimbo ukopowa Sana jamani

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +4

    Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Kweli dunia Tunapita.Allah Akurehemu Mama.Wimbo Una Mafunzo Mazuri.

  • @saumjuma7546
    @saumjuma7546 Před 5 lety +137

    wanaotizama 2018 gonga like to show love

  • @mohamedchaugwade6234
    @mohamedchaugwade6234 Před 4 lety +2

    Mohamedi Chaugwade. Tutakukumbuka mama

  • @aishamkadara6752
    @aishamkadara6752 Před 6 lety +16

    100% isha ramadhan mama n mama allahu arhamha. ...R.I.P mom kwa malezi yko 😂

  • @fatmayahya3848
    @fatmayahya3848 Před 6 lety +41

    I LOVE U MAMA

  • @saradaniel1159
    @saradaniel1159 Před 5 lety +8

    R.I.P Bi Rukia Juma tutakukumba daima MUNGU akupumzishe kwa Amani

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 Před 4 lety +2

    Nani kam mama jamani ❤❤