Niliingilia holini hii nyimbo siku ya harusi yangu 5 years later muhamad mauti yakakupata ukaniacha dunia nzima na mtoto mdogo.inaniuma sana sjui kwann naskiza naiona kma jana,kufiwa na mume uchungu wake sjui nkama nn sjui ntapoa lini
Dah miaka ya 1997 tot inatamba akiwemo, marehemu leila khatibu khadija kopa, mwanamtama amir marehemu fatma dogodogo Misambano mwenyewe, Dan maisha bana
Mashaaallh naipenda sana hii nyimbo nani tunaesikiliza pamoja nyimbo hii 2023❤️❤️❤️❤️
Tupoooo
Tuko Pamojaaaaaaa
Miye tuko pamoja kuisikiliza
✋
Mm pia naependa sana tusikize pamoya
Nakumkosa n haramu heri niende kaburini. Sathaaa hahahaaaa. Wimbo haujaisha utamu mwenye anaskiliza kila mara agonge tujuane
My wedding song 2023 Inshaallah 🙏🙏
in'sha'Allah
Huu wimbo unaniingia mpaka kwenye roho❤
2020 DRC Congo kama kawaida anaeisikiliza hii hapa gonga like
Masha Allah mpk Leo bado yagonga nyoyo 2024
2020 tujuane 👌 yani wimbo hauchuji
Kwakweli👌👌👌👌
Tunaosikiliza 2021 tupo
October 2022 ...... Beautiful song 🎵 Please every like will remind to listen to it again ..... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii nyimbo haishi ladha ndani ya masikio ukisikiliza mpk vinyweleo husisimka kama na ww ni mmoja wapo tunaesikiliza 2024 ❤❤
Kwakweli Mimi piya nasikiliza sana tu naroho yangu ikarizika tu ❤❤
Mziki huu unangoja harusi yangu, inshallah
inshallah
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣sindo mpka uoeee
@@samirakiango957 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi pia
😘😘 bado iko moto hii nyimbo namiss home jamani tuende nalo
Uko nchi gani?
Wale wa 2021 mupooo❤️❤️in shaa Allah hii nyimbo ndo ntaingia nao harus yangu
MashAllah
Utanialika na Mimi naipenda sana
@@mamajohayna3061 in shaa Alllah karibu mpenz
@@fatmaathman8214 Asante sana
Yetu
Hii nyimbo ndio ntaingilia harusi yangu in sha Allah
InshaAllah
Nzuri saana
Hta mm in shaa Allah
Ameen in shaa Allah
Inshallah maan ata mimi naipend pia
2021 tujuane ngoma bado iko🔥🔥🔥
Tupoo
Mie huku natoa miuno hatariiiii💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾🤸♀️🤸♀️🤣🤣🤣🤣🤣👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣👏🤣
Naikubali saana hii taarabu😘😘😘😘😘😘
Huyu ni namba 1 mambo yake walai ni fire nakupenda mume wangu halali yangu❤❤
Hii song naleo 2023 km ya jana vile
Nakupenda xana we baba nyimbo yanibembeleza hii jamani
Napata mirindimo ya pwani nikiwa oman 💃💃💃💥
My wedding song 2022 🔥 🔥
Kiandaruani uswazi. Jomvu kuu, Miritini, Bokotere, Mwagosi, Mikindani na Sposimani enzi za 90's. Hujaalikwa na Bw/Bi harusi sio lazima kuwajua. Wacha nizeeke polepole!
🤣🤣🤣
Shkamoo @Alex Ooko
@@marjansempa marahabaaa mjukuu wangu. Upo?
Hahah
Umeonaeee jomvu kuu hom hahahahahah raha kama zoote
mziki mzuri kamwe autoisha radha km unakubali hii ni kariiii bx uxipit bila kupiga like yako 2019
Maneno kuntu jaman huyu kaka anabalaa
Najiisi nakuwa kijana
Wewe hadirah jaman naipendamimi asikwambiyemtu❤️😍🤗💃💃💃💃💃
Hata mm innshaallah! Namualika nyote
Mtoto kitu na box......ni🔥🔥🔥🔥🔥mashallah ameimba hapa abdul hodari sana
endelea kutupa vi2 adimu ivyo maxhabiki tuko makini ☝️ 😘😘😘 umetixha xn 💃💃
Ni 🔥🔥 nakupenda kilasiku hii jaman hainikinai❤️❤️❤️❤️
Mambo yake bambam yaliyokwenda shuleniiii,haaaaaa yeye mtaalam haswa kwa mambo furaniii siri yangu kifuaniiii hahahaaaa
😋😋😋hapo chachaaaa wimbo wa arusi yngu ndo huu sasa🥳🥳🥳🥳
😄🤣😂😆😄na siku ukiachwa mziki wake ni upi
au ndoo utakuwa kwa hilo hujanikomoa 😄🤣😂😆😄🤣😂😆
Wadau ntaingilia kw kharous yng inshaallah ❤❤
Mashallah...mtoto kitu na box...wallah huwa nahema anibanapo mwilini....tzezea wadigo....
Sijui nikarudie harusi,jamani maneno matamuu hayooo....
Hhhhj
Code +254🇰🇪 nimecamp hapa 2020. Hulazimika kumlinda asitoke mwangu chumbani...
❤😊napenda nyimbo san
Wimbo mzur sana
Ktk watu muhimu huyu ni namba one💜
Dah uyu kaka anaimba jamani uwiii yaan unasikiliza kitu roho inapenda👌👌wapi Tabora enzi izo 2006 2007 🤣🤣🤣😗😗 wapenzi tujuane hapa
Jamn hii tamu sn, kitu na box
Jmn nipo tabora pia
Noooma Tabora hiyooo duh wastara na shujaaa kagilee
Wamboka🤣🤣🤣
2019 upo? Allahamdulillah...gonga like!!
Nikisahau kwenye ndoa yangu naomba mumkumbushe DJ kuipiga hii taarab .... KITU NA BOX
I like this song maana nilikuwa siipat Kila nikiitafuta🙏🏾
Mpk Sasa 2024 mash Allah bado inakonga nyoyo
ambaye yupo hapa 2019/9 kuskikiza vitu vizuri like plz
Wallah uwa naema anibaaanapo mwilini ata japo jina langu mi mwezenu uwa tahaaban😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Zilipendwa yani tamu mpaka basi ila siku izi vurugu chandaruani🚶♀️🚶♀️🚶♀️
😅😅hakika
Kwel kabxa 🤣🤣🤣
Naipnd xan hii tarab yankmbusha harusi yangu mmwngu aliingia na hii
@@saumsalim9966 teynaaa
Woyoooooooo10/12/2020wanqap twaskiliza nyimbo tamu km iii
Tuko wengi sana song limetulia wewe
Wooo naenjoy nikiwa saudia 😍😍😍😍
Dar long time kwakwer unacheza km
Uchez vire jaman mtoto wakike mwenye
Mashauz yake umkute haa mbona kitu n
Box jaman noma sana misambano
asante mimi na fan ya taarab sana nayipenda sana
Anaicheza ngoma kwa ufundi wa kipwani, maneno yametaradatiiii
Mistari imeenda shule... Santaaaaa
PENZI LAKE HALINISHIHAMU HATA NIPEWE MARA KUMI
Jamani 254 woow
Asantaaa yaani hii ngoma unilaza macho
tuko sote mamaa
Hatari sana
Naku. bali maliza. Mitindo ,yoyote mimi ,ndio, kwako
My wedding entrance song👌👌👌👌👰👰
Nyieee miaka ikawenda jaman kipindi hiki mm nilikuwa bado hata maji sijayajua now bado nausikia hapa na familia yangu
Mtoto kitu na box.2019 nani upo +974 Qatar
True 😜
Tuko pamoja Fatma 974 tunawakilisha
Mm Niko
vin
Pamoja Ssista Ndani Ya Jijin Qatari
Ni taarabu ambayo inanipaga raha bigup Misambano
Upo wapi baba ckuhz hakuna radha baba misambano ludi baba ng'ombe hazeeki maini sauti yko hakuna wa kuisogelea
Penzi lake haliniishi hamu hata nipewe mara 10
Hta sijui nimwimbie nan maana unaweza muimbia mtu kumbe ye anamuimbia mwingine huko....Kwa akili hii hatufikii katu😩😩😩💤💤
hahahaa..dah kweli siri ya mtu kichaka
Burudisha tu nafs yako ndugu.
Niimbie mimi 😎
Muimbie kwa nafasi yako hata akiimbiwa haina shida
Hi nyimbo mke wangu anaipenda sana yaani anapagawa kabisa
❤❤❤
I remember 2006 September date 16 on my wedding day 🥰🥰
Haiishi hamu jamni ❤
Mtoto kitu na boksi🔥🔥🔥2021
Dah hataree,wapi mama Africa mrembo mweusi
Yupo mpaka yaumul qiama.
Penzi Lake haniishi hamu hata nipewe mara 50 wacha 10 Abdul.we jinafi kwa rehabilitation zako
Ktk watu mhimu huyu ndo namba one
wimbo ulinifanya nipate bwana kumbe si bwana ni libwana
Ziada Abdallah 😂😂😂
Hahaha ety ni libwana
😀😀😀😀😀😀
Hahahha
😂😂😂😂
Katika watu muhimu huyu ni number one
Hunisisimua mwili mie jamani
Wallah nikipata mchumba kwenye harusi yangu ndo natokea 😅😅😅😅😅😅😅😅
Nipo mie
Dah na ikubalisana iyo nyimbo yan ina nkosha mpka moyon
Tarabu za zamani ni shida ziko vizuri
Saaaana siku izi dah
Nakumkosa ni haramu,heri nende kaburini, W, DUBAI
asante sina la kusema...
Atajapo jina langu..........huwa taabani ❤❤💋💋❤
Nakumbuka zama zangu uuuwi
Waalahi huwa nahema anibanaapo mwilini, atajapo jina langu...kweli mtoto kitu na boxi chaguo langu ni yeye..
Nyimboii iinikumbusha mbali sana ndio naanza kubalee
Wow nakumic Sana misambano tu nasubir ujio wako mpya juzi nimekuona mlimani city nime enjoy Sana
Mashallah mashallah nyimbo mzuri sana.
Niliingilia holini hii nyimbo siku ya harusi yangu 5 years later muhamad mauti yakakupata ukaniacha dunia nzima na mtoto mdogo.inaniuma sana sjui kwann naskiza naiona kma jana,kufiwa na mume uchungu wake sjui nkama nn sjui ntapoa lini
Pole maskini Mungu azidi kukupa subra amlaze pema Ameen
Pole dear n mpngo w mungu
Pole mpnzi
Pole mpenz muimu dua na yote yatapita🙏
😢umeniumiza jmn pole my wng
Haki sijakaa co kwa radhaaaaa ninayoipata hatariiiiiiiiiiii😍😍😍😍😍
Mtoto huyu mapenzi yake yanaraha kama nini ... Nmekumbuka mbali mno
Utamu wa wimbo huu ni shida,,,🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀👰
Mm pia si weye peke yako
Kitambo sana
Haliniishi hamu hata nipewe Mara 10 👌👌👌
2021 tujuane😍😍😍😍😍
Jamanii misambanooo nilifurahi kukuona kwenye sherehe ya mond
Njoo mpenzi wangu unipe Mambo hilonalo nenoooo
Asante.... mtoto wngu love u so much
penzi lake haliniishi hamu hata nipewe malla10 ....na kumkosa ni kharamu heli niende kabulini jamn babaanaimba uyuuu
Mtoto kitu na Box chaguo langu ni wewe...my habibi.....
Penz lake aliish ham mtt kitu na box naipenda sana coma hii
Dec 2019👌misambano kiboko 🔥🔥🔥🔥
Misambano hoyee👌
Yy ni mtaalam aswa kwa mambo fulan,hatar misambano
❤️❤️❤️❤️penzi lake alitaniisha hamu hata kidogo
Mtoto kitu na box Wallah yanikosha hii nyimbo...kiisikiza napata burdani haswaa
Umenikumbusha mbali Sana, mtoto kitu na box hatari
I was so young that time but till now this song is my #1.....
Old is gold...huu andishi acha
2020 still naickza my wedding song naipnd xan
Same me in shaa Allah soon
Dah miaka ya 1997 tot inatamba akiwemo, marehemu leila khatibu khadija kopa, mwanamtama amir marehemu fatma dogodogo Misambano mwenyewe, Dan maisha bana
Wakati huo tx inatamba. tx anacheti kapasi ujerumaa. Nipasue daktari💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾
taarab ina sisimua bado ipo juu
26/9//2019❤❤