Badi umefanya vzr sana kutuekea hii ngoma apa wengine tuko mbalii sana tukiskiazaa tunajiona kama tupp mombasa yaan adi malaika wanisisimkaaa naipenda kwa isharaa jamanii 😍🥰😘
Sio baaadi ni Badiy mimi nimeandika jinsi tu alivoqnza kuimba alisema.Badi nadi hujasikia au mie hao kina Badiy kwetu yapo mwanangu mtoto wakaka angu hilo ndio jina lake na yeye kalirithi kwa bana abgu mkubwa jina lake ndio hilo Badiy nahivi ndio linavoandikqa sio wewe unakosoa still bado unakosea kajambe uko
Nimeingia mahabani kwa mtu asiyejua ..umuona kwa ndotoni penzi amelichukua...mola kanipa subira nisije kufedheeka nampnda kwa ishara naogopa kutamkaa...
Nakosa cha kuandika ninavyoupenda jmn cjui hat niandike nini jmn nampenda kwa isharaaaaa aheliiiii 💋💋💋💞💞💞 schoki kuuskiliza huu wimbo wallah umenikosha from tz
Bado bado loh mungu akuzidiye kuendelea kujuwa nae alivunjaa recd toubaaa huyuu Jawd💕😍😘😆😂👍👌🙏true nkwel kilaa ckuu namuona kwa ucngizi na cjamuona jamini
Ahh jaman ngoma yanimaliza kuna kijana nampenda kutoka Mtongwe nikimuona moyo wangu puh😍anaitwa Hussein mwangangi aka TariQ maskani ya mgokaa pale mweza kwa rasta jaman mtu amfikishie naitwa KICHUNA
Thank you so much ....you can follow my Dj on Instagram or Facebook for updates on my new songs and if you want to can even send them to you ..Instagram Dj_Las1..Facebook Laswan Asuu
Hongera umeimba vizuri nimeupenda Wimbo
Laazizi laazizi hali yngu waijua....meniatha kitandani nna homa naugua.....nimekosa karatasi kukuandikia barua.....
Namshukuru muliwa kuwa yupamoja nami...nae anganiringia nduzangu muambieni ....km mapenzi yauwa badi nitakufa mm......love yuh badi❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
Mashaallah
Hy
@@naswihaali1028 hoyoooo
Mola atakupa subira usije kufedheheka 😢😂
Mashaallah ❤
Heard this song last night at a wedding in Watamu and I can't stop listening to it 😂😂
Aaaaah nampenda kwa ishara..... I remember this in malindi was the first kusikia .. Na ww ndio ulkuwa unaimba
I remember this ,nilisikia nikiwa mikindani waaau amazing songs in my life
Mashallah mekumbuka home Tanga kwani twafanana vingi na Mombasa
Tanga mnyanjani au sahare
@@twahiruhamis5535 makorora mzingani
Woow call me 0715679078
Jirani mapenzi yauwa
Badi umefanya vzr sana kutuekea hii ngoma apa wengine tuko mbalii sana tukiskiazaa tunajiona kama tupp mombasa yaan adi malaika wanisisimkaaa naipenda kwa isharaa jamanii 😍🥰😘
Kweli kabisa
Asalam fatma
So true wallah
Mtu huwa yuaskia rahaa
Nampend kwa ishara
Yaap...Mombasa top
In Sha Allah my fans next week naweka ingine mpya.. Zipo nyingi studio... Thanks for your support.. Tell a friend to tell a friend
Badi wallahy waniliza sina wakuninyamaza,niateni niliye
Mashaallah nyimbo nzuri
Hassan Ali usilie Hassani ... Mola Atakupa subira 😘
@@simpledelicious8482 shukran habiby
Nakupenda sana badi wanimaliza
Wow imekubalika badi safi sana fatma Muhammad nikwa ndani ya saudia
Kwa nn
laazizi laazizi hee aeh hali yangu waijua, meniacha kitandani aeh nahoma naugua arooooo MUNGU akuweke.....
Dj makora#001 aroo laazizi laazizi eeh Hali yangu waijua DJ makoro twende nalo
Nakujua wewe ni Mani
Mashallah mimi kama captain temba mchaga wakwanza kuimba muziki wa taarab Tanzania ni mgumu kuelewa lakini humu nimeelewa haraka mashallah
Asanteni sana my fans... Nawawekea ngoma zengine this week.. In Sha Allah
Napenda sn kuimba badi,nyimbo zako zinazidi kunihamasisha,hongera sn
Badi naomba hii nyimbo naipenda sana +971528447916
Kristine Roco pamoja bna
Abdallakhan Junior io ngoma iko juu bado
Badi,kiukwel nyimbo tamu hongera
Huu wimbo huwa lazima niucheze kwa kipindi yaani huniacha hoi namashabiki hupenda.
husseiny mduney vp bos naomba uniite brow tufanye mahojiano na pia niko na zingine kali pia
husseiny mduney 0722423742 namba yangu hyo brow nitafurahi kama utaniita kama ni hpa msa
Hapo chachaa mahaba niuwe
Toa nyimbo nyingine wafuasi wako tupo lakin za mahaba kama hii twazipenda sana hata sisi tupamoja nawe 😘😘😘😘👌
Hio nayo kali
czcams.com/video/6YQPs-JbMIw/video.html hii hpa mpya ya badi Tora
Wamombasa, Lamu, Malindi, Kwale, Kilifi mko wapi, Pwani hoyeeee
Kama mapenzi yauwa Aisha ntakufa mimi...❣️❣️#nampenda kwa ishara#
Poleee
Thobaaaaaa Badi haimbiii Badi hunena😍😍😍Maini hunitheza mwana.....Kizingitini na Faza hoyeee🙌🙌🙌
Mashallah
czcams.com/video/6YQPs-JbMIw/video.html hii hapa mpya ya badi
nampenda kwa ishara badi hoyeeeeeeeeeeh
Jamani rahaaaaaa yani umenikumbusha nyumbani,,,,,fan wako kutoka kibra,,,,,asanta sanaaaa
Shukran sana.... Manze kibra ndyo imenijenga sana
Wewe badi wachukua nyoyo za watu ukazitesa na haya mashsiri
Swadakta yani nyimbo pambeeeee...tuekee nanyengine tujiliwaze
Baaaaaaadi jamani rahaaaa tupuu hi nyimbo Wala hainishi hamu..
Laazizi wanguu nakupenda Kwa ishara❤️ mungu akupe subira upoo . Asante sana thamuuuuu
Wallah wimbo naupenda huu hatar 🔥🔥🔥😍😍👌👌👌Badi badi MashaAllah
Ni baaadi
Sio baaadi ni Badiy mimi nimeandika jinsi tu alivoqnza kuimba alisema.Badi nadi hujasikia au mie hao kina Badiy kwetu yapo mwanangu mtoto wakaka angu hilo ndio jina lake na yeye kalirithi kwa bana abgu mkubwa jina lake ndio hilo Badiy nahivi ndio linavoandikqa sio wewe unakosoa still bado unakosea kajambe uko
Nyimboo tamuuu ajjaaaab nakumbuka enzi za majengo nairobi🥰🥰🥰 kwa ishara jamanii😘😘😘
Mashaallah
Nimeweka ingine mpya... Badi star watajera
Inshallah nitakualika uje kuimba harusini kwng..mm ni dadake hadija Sadi mnaimba nae
Iko sawa mashallah sichoki kusikiliza 😍😍😍
nice song
Nimeingia mahabani kwa mtu asiyejua ..umuona kwa ndotoni penzi amelichukua...mola kanipa subira nisije kufedheeka nampnda kwa ishara naogopa kutamkaa...
Nimeisikiliza hii nyimbo nawashukuru kutuwekea youtube nasikilia nikiwa hapa doha qatar
Hehehe Shukran Sana.... Nitaziweka sasa zengine.. New are coming soon... Umeskiza nakuomba samahani??
Mola atanipa subra nisije fedheeka niko doha Qatar
@@djlas1597 uko juuu bro
@@yussufabdalla904 shukran sana 🙏🙏🙏
@@djlas1597 mbona sioni video ama haujaeka bado
Asante sana badi star ⭐️ we ndo watutoaa maumivu y gulf tukisikizaa mzikii🤣🤣🤣🤣oyaaa
😂😂😂😂😂
Heee jemeni imenigusa nyimbo hiyo nampenda kwa ishara na yy ajuwaa..kutoka mld khadija said...
Last time niliisikia nyimbo nikiwa Tanga 2020..❤❤❤ mikanjuni mpewe Maua yenu🎉🎉🎉
haya mambo hayoooo BadiBadi nampenda kwa isharaaa manenoooo
Siwezi kumuacha babu
Yani hiii nyimbo kaambe nliimbiwa mimi maana imenilenga ndipp
Mwanaidi Kassim eti eeeeeh
Mwanaidi Kassim kama ulilengwa jieze funguka xx
Hamujambo ingine mpya IPO... Kukupenda sitochoka...
sana. wajua hongereni. badi star
Wp nyengine. Yaani hii yanimaliza naipenda wallah. Allah akujaalie na kutuliwaza
Badi Star hiyo ngoma banana...acha tu
Badi Star hatujambo badi kwa hii nakupenda bure kaka yaliwaza mbaya
Najaribu kudownload audio mbona nashindwaa... Msaada naipenda hii nyimbo
Badi hoyeee 😍😍😍😍
Nyimbo tamu tunaburudika tukiwa mbali asante ubarikiwe.@badi star
santa....badi shiklia hapo hapo raha twaipata...❤❤👌👌💞💞💓💓💓🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Nakosa cha kuandika ninavyoupenda jmn cjui hat niandike nini jmn nampenda kwa isharaaaaa aheliiiii 💋💋💋💞💞💞 schoki kuuskiliza huu wimbo wallah umenikosha from tz
Mashaallah
My lovely song best of the best👌👍
czcams.com/video/6YQPs-JbMIw/video.html here is brand new badi tora song
Nakumbuka Tanga kwenye kijanvi ikipigwa lazima niamke
001 oyeeeee🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Thezea uswazi weeeeee mombasani hoyeee
binti mohammed Rashid Rashid mwenye hii nyimbo anitumie WhatsApp no yangu hiyo 0703391796
taarabu making hongera zako badi maaashalh
Not a taarab fan but am in love if with the song... Lol
Shukran
I like this song plz make more in the future 😁😁
Bado bado loh mungu akuzidiye kuendelea kujuwa nae alivunjaa recd toubaaa huyuu Jawd💕😍😘😆😂👍👌🙏true nkwel kilaa ckuu namuona kwa ucngizi na cjamuona jamini
Lazizi lazizi hali yangu waijua hii bet hatar tam sana kuiskiza na mwenza mambo yanazidi kua mazur ndan❤️
Shukran sana
Hii nyimbo nikisikiza ya nikupusha mambo matamu juu yamaisha yangu
Nampenda kwa ishara, naogopa kutamka
I like it ♥️♥️♥️♥️! Nampenda kwa ishara naogopa kutamka!!
Umeondosha msongo wa mawazo kwa ngoma hii.Allah barik
Uuuui hii itanimaliza walai nampenda kwa ishara naogopa kutamka ..........ila mm nishamtamkia hii ni yako hny wangu popote ulipo
Mola atanipa subira nisije nika fedeheka jamani ahhhh kupenda nako Acha tu badii
Hehehe shukran sana ...waeza follow Dj wangu kwa Instagram Dj_Las1 ama Facebook Laswan Asuu...ukitaka ngoma zangu mpya yuwaeza kutumia
Am napenda Sana😍😍😘😘
Tanks badi.... Vitu vyakutuliwaza moyo
nampenda kwa ishara ayee naogopa kutamka😘
Hizi ni adhabu gni mm zilizonifika....nimekuwa matesoni kutwa kucha nasumbuka.....namuomba kwa hisani awe wngu kwa haraka❤❤🔥🔥🔥🔥
😍😍😍
Acha kumpenda kwa ixhara funguka. Ujieleze ueeleweke vyema
👌👌👌
IPO POA SANA HII NYIMBO NA WAKATI NIPO TANZANIA NILIISIKIA NILIIPENDA SANA NA ISITOSHE IMETULIA SABABU YA MANENO YAKE NA BEAT YAKE"""BY ARBAAB...✍
Santhaa nampenda kwa ishara naogopa kuamka👌tupeni vitu vyengine
In Sha Allah Zaja kwa wingi
antn ml,z
Hongera sana jaman mungu azid kukuongoza vema
Ahh jaman ngoma yanimaliza kuna kijana nampenda kutoka Mtongwe nikimuona moyo wangu puh😍anaitwa Hussein mwangangi aka TariQ maskani ya mgokaa pale mweza kwa rasta jaman mtu amfikishie naitwa KICHUNA
Sana
I was really entertained by Badi Tora at a wedding in malindi💯🔥💪🏽💯💯💯💯
Shukran sana
czcams.com/video/6YQPs-JbMIw/video.html brand new song Badi Tora
Nakumbuka maweni kongoea zamani.sana
Hhhh tuko sote maweni kidogo basi
001 mpango mzima💥💥💥💥💥
Mombasa tuko ndani. We love you 🥰🥰❤
Shukran sana ...love you more
First send to me by one and only one
Nakutakia kila lakheri kwavile unatuburudisha. Umekumbusha kwetu malindi kila nilopokuwa nikipita barani au shela nikisikia sauti ya Bhalo. Hongera ndugu yangu. "Mola atakupa subira usifedheheke"
czcams.com/video/6YQPs-JbMIw/video.html Badi Tora mpya
I danced in a distance this song with my secret admirer. In a engagement party 30th of Aug 2022. Makes my day
czcams.com/video/6YQPs-JbMIw/video.html badi Tora new song
Nasikiliza in London inanikumbusha holiday yangu🇬🇧🇬🇧🇬🇧👍👍👍❤❤❤
Hehehe shukran sana....... Tengeza tour ya London nije niwaburudishe
Nyimbo nzuri ❤
Mashallah ❤
Kutoka Dubai UAE namiss home mombasa imenigusa nyimbo
God loves you all, whoever reading this,may they be blessed.
nampenda kwa ishara na yeye anajua😍😍😍
Nampenda kwa ishara naogopa kutamka 🥰🥰🥰🥰
Nimeitafuta hii nyimbo hongeraa mtunzii,
Mashallah hii ngoma iliweza kali kiukweli
Mashallah
Wapi (nakuomba samahani),my favourite song.
Mashaalah nice song ❤️👌
nice song kwa wapendanao
Napenda vile unavo cheza ukiwa waimba
Saed Bare hahaha
Nilikua naipenda sana nikiwa Kenya sahi naisikia tu U Tube nikiwa Catar
Wanikumbusha malindi n majaoni penda sana n nyimbo hii
wanikumbusha kwetu Ukunda
Wooow!!! This song made my day! Aki I can't stop listening.
yanni nikiskiza hizi nyimbo za badi nahisi kambe nko home
Badi kaliguza hadi mshipa ulojificha jameni,santee♥️
mapenzi ndio yakakosa muguzi yataka moyo daktari wamapenzi wangekua matajiri manake wagonjwa niwengi chungeni msipate hio homa
Anajua Sana kuimba vizuri mungu ambariki
Naomba iyo Nyimbo Jamani
Khadija Hussen sema ulipo
@@starbadibadistar9460 Bahrain+97332204754
Naomba iyo nyimbo jamn
Jamani hata mimi naitaka imenikuna hataree
Badi Boss Wangu,Noma Sana!!!
Uuuuh santhaa uko juu
Pwan Oyeeeeeeeeeeeeeeee
Aysha Mahariq hyee
Me nimeisikia leo nimeipenda sana
Old friend of mine.badi badi (supparr).
Super tune that's for sure 🔥🔥🔥
Nampenda kwa Ishara Naipenda hii nyimbo...!!!!!
Shukran sana
Hii kali Sana Kibadi Kipanga... Nakuombea Kaka
Still strong,from Germany
🔥🔥
Thank you so much ....you can follow my Dj on Instagram or Facebook for updates on my new songs and if you want to can even send them to you ..Instagram Dj_Las1..Facebook Laswan Asuu
Kabisa somo yake bro wangu 😘😘🥰❤️
❤❤❤❤hii nyimbo n kiboko
Saf Sana pwani top, hizo beats zani kumbusha home tu sana
Waooh nyimbo naipenda hatar nikisikiliza mawazo yote yanaisha
Badi jamani acha kulala amsha dude
ausio ni DJ Manu in Blackstar massive
mkali wa mapenzi
Hi
Somewhere @Mwea town.... Memories😢💖💖Naogopa kutamka😄😯
Mashallah 🙏❤️❤️❤️👌👌