Asee ni Mimi kabisa.. nikasafiri kumfuata mtoto wa mama mkwe kipindi hicho kazi Bado sijapata aliponiona nilivyovaa kasema hapana.😢😢😢. Nikatafuta katoto nikatia kwenye omo week nne na kukanywesha supu buana buana wee ...katoto kakaiva mtaa mzima OMARY kaoa muarabu..❤❤❤😂😂. Yule tena akataka kulidandia wakati nampeleka wife chlini lazima nipige picha tunatembea niiweke status... Maua kipenzi nakupenda sana
Huwa naipenda lakin nikisikiza nalia wakat nyimbo inatoka nilikuwa single nikawa namkumbuka niliachana nae mana nilimpenda akanites nakunipiga ilikuwa ngum kusahau but maisha yakaenda nayo furaha sasa nimeolewa na alhamdulilah
Asee ni Mimi kabisa.. nikasafiri kumfuata mtoto wa mama mkwe kipindi hicho kazi Bado sijapata aliponiona nilivyovaa kasema hapana.😢😢😢.
Nikatafuta katoto nikatia kwenye omo week nne na kukanywesha supu buana buana wee ...katoto kakaiva mtaa mzima OMARY kaoa muarabu..❤❤❤😂😂.
Yule tena akataka kulidandia wakati nampeleka wife chlini lazima nipige picha tunatembea niiweke status...
Maua kipenzi nakupenda sana
Hii kanyimbo kazuri sana shikamoo mapenzi
Imenigusa sana mpaka nahisi kulia perfect one
Naumizwa sana ktk mapenz,nilaumu macho yangu au moyo nambien
Nampenda sana mumewangu najikuta machozi yananitoka
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Laumu vyote viwili usi laumu kimoja macho ndio ya awali mashakan kukutia moyo ukawa wa pili lawamani kuingia moyoo hauna akili jicho halina pazia
Dahh...noma sanaa namkubali sanaa huyuu jamaa mana anaimba kwa hisia zaidii
Asante kaka kwakunipokea nakaziyangu
Anajua maashaallh
@@tamtamband maashaallh Maashaallh
Jamani Zanzibar ni asili yao Taarab. Kwa makini mtu anaimba maneno ya maana na watu wanasikiliza. Ndio maana ya Taarab❤❤❤❤❤❤
Huu wimbo Huwa unanifariji baada ya kupenda paspo pendwa...nyie shikamoo mapenz
Masha Allah nyimbo imenilenga mimi.wakumshauri cna akajua hali yangu.amenikimbia .😢😢😢😢
Huwa naipenda lakin nikisikiza nalia wakat nyimbo inatoka nilikuwa single nikawa namkumbuka niliachana nae mana nilimpenda akanites nakunipiga ilikuwa ngum kusahau but maisha yakaenda nayo furaha sasa nimeolewa na alhamdulilah
Ishalla mungu azid kukufungulia kher maisha yawe mazur kwakila hatua amin
Mashallah 🥰
Usiuraumu MOYO yaraumu macho ndio yalioanza kuona na moyo umepokea daaaaaah neno kubwa sana from Mafia island Tam Tam band
Mashallah nyimbo imenigusa sana sababu nipo ktk hali yamateso yamapenz
Pole Sana kaka
Tupo wengi tunaoteseka na mapnz
@@faridamahir2338 hata weee mwnamke wateseka??
Mm nilijua tunaoteseka n cc wanaume
@@juxjemc5768 mapenzi hayana mke wala mume kaka
@@faridamahir2338 tobaaaa!!!!
Baaas sawa tuendeleee kuteseka mwenzangu ila ukipata suluhisho utaniambia maana mm nitaaban tena
Umetisha mpendwa tarabu safi sana kiboko
Huyo Dada hajapendezesha, kukatamauno , taarabu safii saana
baba anacharaza kinanda km hana akili vzr dahh salute sana afu uku anaimba saf salute once again big up aisee.
Hii songs nilikuw nkitaft kwli kwli nilion titok. Ila leo nmeipt daa. Song nzr sn inajumbe mzito 🇧🇷🇧🇷🇹🇿🇹🇿💯🔥
Asante
Kijana safi sana unaimba vizuri sana hlafu twaarab yenyewe kabisa haina shaka
Vitaaa umetisha broooo Safi sana kazi mzuri na tabasamu lako zuri au moyo nambieni teynaaaa lete matamu broooo
Mm natokea lamu hunipa faraja naipenda sana hapo cna mume ❤
Umetonesha kidonda professor imewezaaa Sanaa 🔥🔥🔥
😭😭😭😭😭😭😭🙌navyokupenda we kaka na huwa unaimba taarabu nizipendazo ..allah akuweke tu 🥰🥰🥰♥️
Asante sana nawe mungu akupe umrimrefu pia
From Mombasa 🇰🇪 hii ndio Taarab sasa nice song MashAllah
Asante
Mashallaa
nyimbo ndio , ila bado hujamfikia mwenye nyimbo
@@tamtambandin
From Tanzania or
Full stres but sauti ndo imenkosha baba hongeraaaaaaaaaaaa😍wimboo umengusa nilaumu macho au moyo
Asante
Naomba ufanye cover ya sema kweli yako. Unapendeza zaidi ukiimba taarab za zamani
Mashallwaa 👍👍
Mashaallah naipenda sana hii taraab natokea lamu hunipa faraja
Mie Hilo Piyano Nakupa Ene Kofiiiii. Tenaaaaa Naaa Athilika Kupendaaa Kitu Sichanguuu. Nilaumu Machooo Yangu Au Moyooo...NAMBIEEENI
Asante
Kaka ongera sana umeimba kweli
Asante sana
Kwa kweli sichoki kuisikiza hii nyimbo hongera prof umeweza
Asante sana
Yani sisi watanzania kwa muziki mungu ametujalia hongera
Asante
❤❤❤namm umenigusa hatar❤❤❤
Kweli nalaum macho yngu
Laumu moyo macho kazi yake kuona moyo ndio unachagua
Wp weeh tam tam bend akuna kma w am from Oman 🇴🇲 ndugiako kutoka unguja nakukubal miaka mianane 🥰💯😅😅
Unajua mpaka unajua teeeena go bro
MaashaAllah nme ipenda sanaa yani
Mashaallah napo sikia hii nyimbo najiskia raaha Sana hizo ndio taarab
Nice sauti mashallah nakupnda Bure 😘
Duh umenirogha kaka nahisi kisunzi cha mapenzi
💯💯💯💯 nyimbo inagusa na haichoshi kuskiza
Pambeeee Sana kiboko ya stress 😘
Kwa kweli kibogo ya stress uwiiih
😭💯
Naaam
Nyimbo nzuri lakini hawa kina dada wana laana na pia musituonyeshe ujinga wao
Ongereni kwa kazi zenu nzuri ila mnachelewa kupoosti kazi zenu
Asante kaka tutajitahid tusichelewe maana tulikua tunajipanga natayar kazi zipo zakutosha
@@tamtamband nashkulu tunawasapoti kwa vyovyote vile ili Bendi yetu ifkie malengo
Kazi nzuri brother....nitfurah sana ukiirudia Mazoea yana Tabu
Ok
Nyimbo nzuri sana 🇿🇦 home sweet home
Asante sana
Mungu abariki kipaji chako kaka angu man hii nyumbo sio poka kabisa yaani sija wahi kuichoka kila ninapo sikiliza nyimbo nziri broo❤❤
Amin Asante sana
Kweli moyo umesalitika sababu ni macho yng
Hilo bonge linajizalilisha tu hapo kiuno chenyewe kigumu
Mashaalla nyimbo nzuri sanaa waoooo
Asante
Nyimbo inanigusa panapo hasaaa cnt get tired of listenin to it
kwely
Wacha weee shuushah!
Good music
Nipogeto nakurasabun Niko mpweke nani wakunipenda Dada vuvuzera no
Nasikiliza hapa inanifanya nikumbuke mbali Sana hii bonge la mwambao
Asante
Yenyewe iko juu sana 🔥🔥🔥🔥
MASHALLAH PONGEZI ZAIDI KWAKO KIPAJI KIKUBWA SANAAAAAA 👏🏽
Asante udugu
Mashallah nyimbo hii mtunzi katunga jamani
Hii song ukimtumia mtu mpenzi wako.. usiku aipate asubuhi..ushammaliza😂😂
MashAllah ♥️♥️♥️ moyo wangu husikii jamanii...nilaumu lipi mie
Nawal bibie upo hapa pia hahaha
Nyimbo mzuri sana mashallah unajuwa unajuwa na tena yani nimeupenda sana😍😍
Asante sana
Unalau macho yake
Mm husikiza kila siku Yani haiishii siku bila 😘😘😘😘😘😘 ❤️
Asante sana
Many people don’t understand the talent this guy has, singing and playing piano simultaneously , this is a very difficult task
Listen from Qatar wimbo mzuri sana
HONGERA KAKA keep it up 😍👊🔥💯❤
Asante sana
Nakwalika mombasa uniimbia kwa harusi yangu Ishallah
Ok Asante
All the way from Qatar bro ….hii nyimbo yaniliza 😢sjui nilaumu macho yangu au moyo nambieniii🥹nimpendae sjui ajua kma aniumiza
Best song sijawahi sikia Fz from kenya
U need to listen the original from bakari abedi
Hii nyimbo umeitendea haki hongera yako🥰
Asante sana
Bado sijaipata ile ladha kamili
Bado Yuko hai huyu Kaka?
Nimependa sana nikiongeza mkee nitakuleta uniimbie
Asante sana
Umeichapuza inekolea.kweli kweli
Shukran sana
Wow!! Sauti tamu hii, na mpangilio wa ngoma ni wa ajabu
Asante sana
Sanaaaaa tu
Unamanisha mambo mengi sana huwo wimbo kwakweli
Uko vizuri mzee
Nalamu macho yg sioni wa kumpenda 😂😂
Najikuta machozi yananitoka sielewi napendwa au sipendwi😭😭
Getting goosebumps when listening... A Song with so many feelings 💖💖💖💖
Mashaallah bro imeweza sanaa.nilaumu macho yangu au moyo.imeningusa hongera
I listen to this song 30 times a day month I mean daily it's super hot ❤..#kenya Lamu
Nice one .... imetrend mombasa ....nauliza kwani hiii nyimbo haipatikni kwa Instagram
Nitafute wsp nikutumie 0715116051
@@tamtamband I want it on Instagram story.....
Mashaallah sichoki kuisikiliza
Nyimbo kali imenifanya nkapata nimpendae siku nilio iskiza hii nyimbo
Hahahahah
Maasha Allah
Safi sana mzee baba
Asante
Hatareee, hii ndo taarabu inagonga kumoyoo
Daaah jamaa mkali xna umetixha
Asante
Mashallah nyimbo nzuri sana🇰🇪💃🙏
great!.
Sanaa
Nzuuri saana tena saana ❤
Huyu mwanamke wa kwanza kulala chin ni kujiainisha tu
Mashaallah unanikumbusha mbali yakhee
From tanzania🇹🇿hii ndio taarab asilia maqam ajam
Moyo na macho kipi chakulaumiwa
Nauwomba uwo wimbo uwo ni meupenda San ni laum mcho yangu au moyo nambien uko swa honger
Listen from Qatar, MASHALLAH umetisha bro I can see you on another level bro.
Apewe sifa kwakweli ameitendea haki sana huyo kaka ❤❤❤❤❤❤
Asante
Umeonaeeee
Huyo dada hajapendezesha ameharibu
Daah nyimbo imenikosha sanaa
Professa wallahi umenigusa nabalikiwa Sana na nyimbo na sauti na uimbaji wako. Ongera sana
Asante sana
Asante sana
Wonderful song Mashaallah I salute you haki
Honger San mk uko pwa honger kaka hongra San
Hongera San
Asante
Asante Sana
Huu wimbo unanugusa na ndo nilivo hautoshi kusikiliza
Napenda Sana nyimbo zako good idea
Asante sana
Mumeee akiongezaaa mkeee uwaaa unatakiwaaa kuona raaah kwani kapunguxa ka,z
Can't get enough of this song wallai❤
Uko vizur sana utafika mbali
Mashallah saut tamu hongera sana
Excellent prof mk
Mashallah nilaumu macho yangu au moyo nambieni
Mashaallah umenikumbushambali jitahidi utoweqasweda😂😂👏👏