Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Nakubar kipenzi❤❤❤❤❤❤❤😂
Hatoiri sana🇰🇲
Nakupenda Sana kama hujaowa naomba niwe mkeo kama umeowa niwe mke wa pili❤️
Hujambo
Ww hijaolewa
Hahahah jee waja nayo sasa ata MK hajaona hii?😂😂😂
Iv huwa mnapiga live km vile lango la jiji kwa hapa dar mnakuwa mnapiga lin na wapi maan napenda sna ulavyoimba wallahi ❤❤❤
Sisi tunapiga Zanzibar sio dar
Njoo tanga ww sio dar
mie pale tu kiumbe mapenzi jomon wazimu wallah
Uko vizuri kwa kweli cjawahi kukupinga 🥰😍😍😍😍
Hujawahi kuniangusha umeumeundea haki wimbo mzur❤️
Asante sana
Powasanaaa😮😮😮baba utatiza ndotozakoo jikazeeee
Good
Naipenda sanaa
Nakubali.kwahili.asilimia.hata.mm.kwasasa.nikoivo❤😂
Tujuani tulioacha nawapenzi weto
Ww mkali bhanaaa❤❤❤❤❤
Naenjoy sana na na hii Ngoma nikiwa kenya
Msalimie huyo mrembo kavalia dress ya chui chui mwambie ani DM ❤
Kutwa kucha unalia yani huu ni ujumbe sahihi na yanakuaga yanatokeaga...umetugusa wengii sana tunaojuwa mahabaa wallahi hadi raha tena.nimerudia huu wimbo mpaka nimeurudia tenaa.....pongezi upewa wallahi
Ni kweli kabisaa
Pendo halijali kama wewe wateseka😭
Mashaalla mungu akuweke muimbaji❤❤❤
Amin kwasote
Prof MK is the best in modern taarabh
Tuko mbele pamoja
Hongera bosi wangu namie twende kazi hatumwi mtoto chezea tam tam ww
Asante
Hongera hongeraa safi sanaaa
Mashairi ya uhakika kabisaa... Ukipenda kweli daah, umetishaa profesaa 💞💞🙌
My favorite song🔥🔥🔥 huna baya MK🎉
Yan unajuaaa had unakeraa😘😘😘😘😘😘😙😙😘😘😘😘
Hongera nyimbo nzur huwez kuskiliza mara 1 km hujarudia tena
Hongera kaka
Nakuona BROTHER. Safi sana
Kwa sasa wakubali wakatae ww ni king wa haya majambo
Sw
Kusikiliza mara moja kweli haitoshi..nyimbo safi...unaimba kwa Ari in action.
Nyimbo km hz ..zataka ukae uskilize na mtu mwenye akili timam!!! Yaan hubby anaejielewa wallah...daah mapenz khatar sana
Nice music...ujumbe adhwiim
Nawako mpenz humuon kakiimbia mk professor
Naam naam
Yaan hii nyimbo roho kitu inapenda mzur hongera kaka
We Kaka apa najiona mm
Hatwari sana
Professsor MK mbona hii kwenye digital platforms haipo.
Umenikumbusha Egption taarbu. Umeutendea haki.
Pamba sanaaa mwaa
Jamani mwenyenayo naiitaji
Nikweli 👍
Kaka nakukubal sana unajua
Mtunzi bora .....PK.....
nimeinjoy kuipata yote full. unajua mpk unakera
Safi sana bro...
Daa, jiandae mwezi wasita ujee tanga upije shoo
Ok nitakuja
nikifika bongo lazima nitafute hii😂
Ma shaallah
Nzuri sanaaa ❤
😍😍❤️❤️❤️
pambeee natk cd
❤❤❤
Jaman pambe🥰💞
Tamu
😍😍
Broo unajua hadi unakeraa voo
Hahahaha Asante
Endeleea kutoa vitu vizuri kaka yaani broo vibao vyako vinafanya stress ziishe kabisaaaaa broo
Sijui lini huyu kaka atatufikia mji wa malindi Kenya wallah tunapenda sana nyimbo zake
Sauti mubashalaa
Judy😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
ipo wapi hii band?
Zanzibar mitaa ya kibanda mait
Nakubar kipenzi❤❤❤❤❤❤❤😂
Hatoiri sana🇰🇲
Nakupenda Sana kama hujaowa naomba niwe mkeo kama umeowa niwe mke wa pili❤️
Hujambo
Ww hijaolewa
Hahahah jee waja nayo sasa ata MK hajaona hii?😂😂😂
Iv huwa mnapiga live km vile lango la jiji kwa hapa dar mnakuwa mnapiga lin na wapi maan napenda sna ulavyoimba wallahi ❤❤❤
Sisi tunapiga Zanzibar sio dar
Njoo tanga ww sio dar
mie pale tu kiumbe mapenzi jomon wazimu wallah
Uko vizuri kwa kweli cjawahi kukupinga 🥰😍😍😍😍
Hujawahi kuniangusha umeumeundea haki wimbo mzur❤️
Asante sana
Powasanaaa😮😮😮baba utatiza ndotozakoo jikazeeee
Good
Naipenda sanaa
Nakubali.kwahili.asilimia.hata.mm.kwasasa.nikoivo❤😂
Tujuani tulioacha nawapenzi weto
Ww mkali bhanaaa❤❤❤❤❤
Naenjoy sana na na hii Ngoma nikiwa kenya
Msalimie huyo mrembo kavalia dress ya chui chui mwambie ani DM ❤
Kutwa kucha unalia yani huu ni ujumbe sahihi na yanakuaga yanatokeaga...umetugusa wengii sana tunaojuwa mahabaa wallahi hadi raha tena.nimerudia huu wimbo mpaka nimeurudia tenaa.....pongezi upewa wallahi
Asante sana
Ni kweli kabisaa
Pendo halijali kama wewe wateseka😭
Mashaalla mungu akuweke muimbaji❤❤❤
Amin kwasote
Prof MK is the best in modern taarabh
Tuko mbele pamoja
Hongera bosi wangu namie twende kazi hatumwi mtoto chezea tam tam ww
Asante
Hongera hongeraa safi sanaaa
Asante
Mashairi ya uhakika kabisaa... Ukipenda kweli daah, umetishaa profesaa 💞💞🙌
My favorite song🔥🔥🔥 huna baya MK🎉
Yan unajuaaa had unakeraa
😘😘😘😘😘😘😙😙😘😘😘😘
Asante
Hongera nyimbo nzur huwez kuskiliza mara 1 km hujarudia tena
Hongera kaka
Nakuona BROTHER. Safi sana
Asante
Kwa sasa wakubali wakatae ww ni king wa haya majambo
Asante
Sw
Kusikiliza mara moja kweli haitoshi..nyimbo safi...unaimba kwa Ari in action.
Asante sana
Nyimbo km hz ..zataka ukae uskilize na mtu mwenye akili timam!!! Yaan hubby anaejielewa wallah...daah mapenz khatar sana
Nice music...ujumbe adhwiim
Nawako mpenz humuon kakiimbia mk professor
Naam naam
Yaan hii nyimbo roho kitu inapenda mzur hongera kaka
Asante
We Kaka apa najiona mm
Hatwari sana
Professsor MK mbona hii kwenye digital platforms haipo.
Umenikumbusha Egption taarbu. Umeutendea haki.
Asante
Pamba sanaaa mwaa
Jamani mwenyenayo naiitaji
Nikweli 👍
Kaka nakukubal sana unajua
Mtunzi bora .....PK.....
nimeinjoy kuipata yote full. unajua mpk unakera
Safi sana bro...
Daa, jiandae mwezi wasita ujee tanga upije shoo
Ok nitakuja
nikifika bongo lazima nitafute hii😂
Ma shaallah
Nzuri sanaaa ❤
Asante
😍😍❤️❤️❤️
pambeee natk cd
❤❤❤
Jaman pambe🥰💞
Tamu
😍😍
Broo unajua hadi unakeraa voo
Hahahaha Asante
Endeleea kutoa vitu vizuri kaka yaani broo vibao vyako vinafanya stress ziishe kabisaaaaa broo
Sijui lini huyu kaka atatufikia mji wa malindi Kenya wallah tunapenda sana nyimbo zake
Sijui lini huyu kaka atatufikia mji wa malindi Kenya wallah tunapenda sana nyimbo zake
Sauti mubashalaa
Judy😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
ipo wapi hii band?
Zanzibar mitaa ya kibanda mait