Alikiba ala dili nono; afunguka haya mbele ya Rais Samia
Vložit
- čas přidán 19. 03. 2023
- Mwanamuziki wa Kizazi Kipya Ally Kiba ameingia kwenye Sekta ya Kilimo ambapo kwa sasa kupitia taasisi yake ya Ally kiba Foundation amekuwa miongoni mwa waliosaini Makubaliano ya Ushirikiano na Wizara ya Kilimo.
Wakati akimpokea Rais Samia leo Machi 20, 2023 Ally akawa na Haya ya Kueleza.
Huyu jamaa ni Genius kwli na Hua hpndi kujionesha alafu watu wanamchukulia poa tu
Hana ishu diamond ndio kila kitu ibrah
Genius mpaka anakera broo hana mbambamba
@@abdissalamhassan7881 Diamond nd nani mzee?
@@abdissalamhassan7881 Eeeee Diamond kaingiaje Tena Hapaa..Ila Akili za wabongo Wengine Zina tope
Kupewa nafasi ya kumkaribia Rais wa nchi na kuongea naye karibu na akuskilize kwa makini hivyo sio rahisi.Big up King Kiba,hiyo nafasi sio watu wote huipata.
Kabisa
Kweli kabisa
Kiba kiba❤❤❤❤ Big up
Safi sana Alikiba❤
Kilimo kwa vijana ni utajiri kama nia safi kwa wote
Jamaa anazidi kuinspire vijana wengi
dah mbona ally anaongea kama jitu somi sana safi sana me nmesoma lakn confidence ya kuongea apo ningeishia kusema nashukuru...nashukuruu...nashu...na..nashuku...amen.😂😂😂
Mh.Nakupongeza kuirudisha wizara ya mipango uwekezaji nk chini ya prof.Kitila Mukumbo Safi sana 🙏💚👏👏👏👏👏..... Lakini pia kuirudisha ILE NAFASI YA NAIBU WAZIRI MKUU NA PIA NISHATI CHINI YA WAZIRI MH DOTTO BITEKO...💚💚💚👏👏👏👏👏👏😎😎😎😎😎🤠🤠🤠🤠🤠
Alikiba bwana sio Mkulima kiukweli ukweli hilo ni shavuu amekulaa 👏🏼👏🏼👏🏼but Nicee💥💥🔥
Ww ndo hujui jamaa analima cku nyingi sana huku kwao iringa ana shamba kubwa tuh na kila mwaka anakuja zaid ya mara 2 cc tunxajua ww uwez elewa hiz mambo asee
Kaka mkubwa ❤tunakupenda sana endelea kuwa elimisha vijana
Hawakuwezi pambana king 👑 kiba waoo
safi sana Ali Kiba dogo ataiga ila sio vibaya ila tatzo kukubali kua wewe ni mkubwa ndio hawataki ila wanajua
Dogoo mgani uyo 😂😂
Allah ibarik fiik ya Ali kiba
Amiin Inshaallah
Ali nampenda siyo mtu wa mitandaoni ana heshima sana
Dini na malezi aliopitia af hayup kweny ushetani
Safi sana Ali Kiba
❤Penye nia pana njia hongera sana Mungu abariki kazi ya mikono yako 🤲🤲🤲 inshallah 🙏🙏🙏❤
Nawapenda pule
Big Up Kipa kwa kuona mbali,,,,Soon utatoka kimaisha na kuwamaendeleo makubwa saana kwasbb kilimo ndio mkombozi wetu
Vijana tunataka range rover.zipo shambani jamani.
Dah huy braza namkubal san hapend masifa
Safi Sana inapendeza alikiba
Hongera sana brother hujionyeshag unapo wasaidiwe watu ,,Mungu tu pamoja nawe
Kiba km Kiba hongera sana
Siku zote kilimo akimtupi mtu hongera rais wetu vijana ajira iyooooo
Alikiba umefanya vzr sana utatoboa2 kwa uwezo wa Allah.
King is king mond sio vibaya kuiga pia bro wako amefanya lzm ufatishe
Mpeni raha Mh Mama. Vijana msimwangushe Mama. Tumwombe tu trekta kila kijiji cha kilimo vijana mmpige kazi. Mfalme haombwi jambo dogo. Muombeni a merchanise kilimo cha Tz.
Wawo very nice
King kiba
Kilimo mkwanja hapo hajatumia nguvu King kiba nimefahamu kiundani zaidi, 💯😀
Kingkiba salute
Safi sana kaka ❤
Anza Na Salaam Alikiba Huna adabu Sijui Kwanini aiseee Afu Eti kajitolea nini sasa
We Kiba hii speach kama li waziri flan kumbe jaamaa mmoja alieimba mediocre 😂
😂
🤣🤣🤣 dah Ile mediocre nayo sio poa
Hahahaha we jamaa wewe
Big up king
Big up❤
Kumbe kujitangaza anajihusisha na kilimo ilikuwa kwa ajili ya hii.
Good boy, Kiba unajielewa kumbe kuliko wale
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰mi sisemi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤king
Huyu Kaka Yuko saf Sana Hana papara
Kumbe hata hulimi king ulikuwa unatudanganya tu masikini tulime 😂😂😂
Mama yangu weeeee jamani daimond kaona hii?!😂😂
Kazimia uko aliko
@@ramamtanga3482 🤣🤣
👏👏👏👏
Kilimo mkwanja nimekuelewa slogan nzur sana
🤣🤣🤣 siku nikimshika mama samia nitamtia makofi
😂😂😂😂
Heshima hata hajamsalimia Mh. Rais
Siasa ni sanaa: Ali kiba na kilimo?. Nasubiri 2025. Tuombe Bashe na mama warudi tena otherwise wanaweza kuja wengine ikawa mwisho wa story. Katiba mpya muhimu kwa uendelevu wa miradi.
Sasa Kwa Taarifa yako Mpoto,Alikiba nq Wengine Sema hawasrmi na Haonyeshi mambo Yao wanalima Kinomaaa au Unafikiri ni Masanja mnaemjua Kaa kuwaza..Kuna wasani wengi nawafahamu na nna waona wanalima..
mashamba yao yako wapi, ukulima wa mchongo ndio mnadanganya watu.
♥️♥️♥️♥️♥️
Ali hata hajamuamkia mama mwenye nchi
Ishu hana points
Kiba tetea waxanii wenzako
Wenye hekima 😩😩😩
KWA mh.Rais mamangu chieftenness Nkandu HANGAYA...NCHI YAKO ITAKUWA JANGWA TAFADHALI CHUKUWA HATUA,Hawa mawaziri wako wengine hawakusaidii...HASA KILIMO NA UFUGAJI..😭🙈
King is very displined
wakulima wa mchongo wanapata madili huku wakulima halisi wakitumika kwenye kupiga kura tu.
Kweli kabisa hapo ni njaa tu hakuna lolote mziki umekushinda mmeanza kuunganishiana madili ya jinsi ya kula hela kiuwepesi
Km kashindwa imba wewe,, acha wivu
Kila mtu ana maisha yake... akiamua kuacha mzki akaenda kwenye kilimo, shida iko wap. Kumbuka kuna wasanii wamekuja baada yake na hawafanyi mziki.... wamedumu kwa miaka 5 tu au chini ya hapo
Hii ☄ atakua kandika mwanamke
Vannesa yuko wap now unaweza sema na yeye kashindwa mzk? Think twice
Uyu ni All au ni muhitim wa chuo kikuu uko usa
Messias
❤
Watoto wa viongozi wa na Lima ?
Wanalima ndio
Sio watoto hao viongozi wenyewe sana maeneo makubwa
Promon tu hiz !! Mzikii umekuwa mgumu ameamua kuwa baloz wa pembejeo
Tafuta pesa upunguze makasiliko
Waswahili mnashida sana alikuja Eric omondi kutoka Kenya akapewa ubalozi mkamaind sana sasa kapewa kiba wa nyumbani bado mnachonga mjomba acha makasiriko
Hata angekuja Masanja ambae anaonekana analima Sana mngesema Bado..Kwa Taarifa yako Tangu Enzi za JPM alikuwa analima Huyo Mpoto ndio usiseme Shida mshazoea Kila Kitu muonyeshwe na Mtandao..Kaeni Hapo Tafuta Hela acha makasiriko..
@@blockchain1203 kwakweli wa tz tuna matatizo sana ndugu yangu hatukubali vya kwetu kabisaaaaaa ila aje mzungu sasa daaaah utasikia jamaa mbunifu sana
@@blockchain1203 kabisaa, waambie hao
Wanasaka tonge tu
Hakuna mwenye uchungu na watanzania hapo
Kiba wewe nifano wakiugwa nakukubali sana mfalume wetu
@@mikidadiabdul4010 mfalme ni mmoja ambaye ni kingkiba
Pambana dogo, punguza makasiriko.. 😝
Hamna kitu hapo janja janja tu
Wewe ndo huna kitu wivu unakusumbua
wivu upi hao wakulima wa mchongo ndio unawaamin kuliko wakulima wa huku kwetu lalago na sangamwalugesha.
King kiba
Kuongea na raisi Kuna hitaj moyo
King kiba
King kiba