Alikiba ala dili nono; afunguka haya mbele ya Rais Samia

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 03. 2023
  • Mwanamuziki wa Kizazi Kipya Ally Kiba ameingia kwenye Sekta ya Kilimo ambapo kwa sasa kupitia taasisi yake ya Ally kiba Foundation amekuwa miongoni mwa waliosaini Makubaliano ya Ushirikiano na Wizara ya Kilimo.
    Wakati akimpokea Rais Samia leo Machi 20, 2023 Ally akawa na Haya ya Kueleza.

Komentáře • 104

  • @ibrahimsalim7247
    @ibrahimsalim7247 Před rokem +41

    Huyu jamaa ni Genius kwli na Hua hpndi kujionesha alafu watu wanamchukulia poa tu

  • @JonesIha
    @JonesIha Před rokem +38

    Kupewa nafasi ya kumkaribia Rais wa nchi na kuongea naye karibu na akuskilize kwa makini hivyo sio rahisi.Big up King Kiba,hiyo nafasi sio watu wote huipata.

  • @arafajabir3194
    @arafajabir3194 Před rokem +14

    Kiba kiba❤❤❤❤ Big up

  • @mdta8161
    @mdta8161 Před rokem +13

    Safi sana Alikiba❤

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před rokem +16

    Kilimo kwa vijana ni utajiri kama nia safi kwa wote

  • @allenonesmomwebembezi6248

    Jamaa anazidi kuinspire vijana wengi

  • @johjohns4021
    @johjohns4021 Před rokem +3

    dah mbona ally anaongea kama jitu somi sana safi sana me nmesoma lakn confidence ya kuongea apo ningeishia kusema nashukuru...nashukuruu...nashu...na..nashuku...amen.😂😂😂

  • @user-jl7zm6xw2d
    @user-jl7zm6xw2d Před 10 měsíci

    Mh.Nakupongeza kuirudisha wizara ya mipango uwekezaji nk chini ya prof.Kitila Mukumbo Safi sana 🙏💚👏👏👏👏👏..... Lakini pia kuirudisha ILE NAFASI YA NAIBU WAZIRI MKUU NA PIA NISHATI CHINI YA WAZIRI MH DOTTO BITEKO...💚💚💚👏👏👏👏👏👏😎😎😎😎😎🤠🤠🤠🤠🤠

  • @barakamgongolwa5137
    @barakamgongolwa5137 Před rokem +7

    Alikiba bwana sio Mkulima kiukweli ukweli hilo ni shavuu amekulaa 👏🏼👏🏼👏🏼but Nicee💥💥🔥

    • @jumafarid8861
      @jumafarid8861 Před rokem +1

      Ww ndo hujui jamaa analima cku nyingi sana huku kwao iringa ana shamba kubwa tuh na kila mwaka anakuja zaid ya mara 2 cc tunxajua ww uwez elewa hiz mambo asee

  • @fatumajuma4459
    @fatumajuma4459 Před rokem +10

    Kaka mkubwa ❤tunakupenda sana endelea kuwa elimisha vijana

  • @fatumajuma4459
    @fatumajuma4459 Před rokem +4

    Hawakuwezi pambana king 👑 kiba waoo

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 Před rokem +18

    safi sana Ali Kiba dogo ataiga ila sio vibaya ila tatzo kukubali kua wewe ni mkubwa ndio hawataki ila wanajua

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Před rokem +9

    Allah ibarik fiik ya Ali kiba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +23

    Ali nampenda siyo mtu wa mitandaoni ana heshima sana

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 Před rokem +6

    Safi sana Ali Kiba

  • @asiaasia1069
    @asiaasia1069 Před rokem +3

    ❤Penye nia pana njia hongera sana Mungu abariki kazi ya mikono yako 🤲🤲🤲 inshallah 🙏🙏🙏❤

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před rokem +9

    Nawapenda pule

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před rokem

    Big Up Kipa kwa kuona mbali,,,,Soon utatoka kimaisha na kuwamaendeleo makubwa saana kwasbb kilimo ndio mkombozi wetu

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem +6

    Vijana tunataka range rover.zipo shambani jamani.

  • @shedracktarimo9410
    @shedracktarimo9410 Před rokem +4

    Dah huy braza namkubal san hapend masifa

  • @edithajonh2970
    @edithajonh2970 Před rokem +9

    Safi Sana inapendeza alikiba

  • @michaelmwembezi5998
    @michaelmwembezi5998 Před rokem

    Hongera sana brother hujionyeshag unapo wasaidiwe watu ,,Mungu tu pamoja nawe

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 Před rokem +8

    Kiba km Kiba hongera sana

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Před rokem +9

    Siku zote kilimo akimtupi mtu hongera rais wetu vijana ajira iyooooo

  • @patrickmtweve
    @patrickmtweve Před rokem

    Alikiba umefanya vzr sana utatoboa2 kwa uwezo wa Allah.

  • @ynahmorata7604
    @ynahmorata7604 Před rokem +3

    King is king mond sio vibaya kuiga pia bro wako amefanya lzm ufatishe

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před rokem +2

    Mpeni raha Mh Mama. Vijana msimwangushe Mama. Tumwombe tu trekta kila kijiji cha kilimo vijana mmpige kazi. Mfalme haombwi jambo dogo. Muombeni a merchanise kilimo cha Tz.

  • @estermachea3373
    @estermachea3373 Před rokem

    Wawo very nice

  • @paulkasembe4046
    @paulkasembe4046 Před rokem +3

    King kiba

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Před rokem

    Kilimo mkwanja hapo hajatumia nguvu King kiba nimefahamu kiundani zaidi, 💯😀

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 Před rokem

    Kingkiba salute

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před rokem

    Safi sana kaka ❤

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni Před rokem

    Anza Na Salaam Alikiba Huna adabu Sijui Kwanini aiseee Afu Eti kajitolea nini sasa

  • @officialdesiderius
    @officialdesiderius Před rokem +8

    We Kiba hii speach kama li waziri flan kumbe jaamaa mmoja alieimba mediocre 😂

  • @lilianemmanuel9158
    @lilianemmanuel9158 Před rokem

    Big up king

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před rokem

    Big up❤

  • @desmond-87
    @desmond-87 Před rokem +1

    Kumbe kujitangaza anajihusisha na kilimo ilikuwa kwa ajili ya hii.

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Před rokem

    Good boy, Kiba unajielewa kumbe kuliko wale

  • @adamshabanrashidi1003

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰mi sisemi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤king

  • @nedmonad1175
    @nedmonad1175 Před rokem +1

    Huyu Kaka Yuko saf Sana Hana papara

  • @zakariamachibula1776
    @zakariamachibula1776 Před rokem

    Kumbe hata hulimi king ulikuwa unatudanganya tu masikini tulime 😂😂😂

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před rokem +6

    Mama yangu weeeee jamani daimond kaona hii?!😂😂

  • @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI

    👏👏👏👏

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 Před rokem +3

    Kilimo mkwanja nimekuelewa slogan nzur sana

  • @wcb4life875
    @wcb4life875 Před rokem +1

    🤣🤣🤣 siku nikimshika mama samia nitamtia makofi

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 Před rokem

    Heshima hata hajamsalimia Mh. Rais

  • @davidmutiba3302
    @davidmutiba3302 Před rokem +2

    Siasa ni sanaa: Ali kiba na kilimo?. Nasubiri 2025. Tuombe Bashe na mama warudi tena otherwise wanaweza kuja wengine ikawa mwisho wa story. Katiba mpya muhimu kwa uendelevu wa miradi.

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 Před rokem

      Sasa Kwa Taarifa yako Mpoto,Alikiba nq Wengine Sema hawasrmi na Haonyeshi mambo Yao wanalima Kinomaaa au Unafikiri ni Masanja mnaemjua Kaa kuwaza..Kuna wasani wengi nawafahamu na nna waona wanalima..

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před rokem

      mashamba yao yako wapi, ukulima wa mchongo ndio mnadanganya watu.

  • @WandeLugenzi-zg7jq
    @WandeLugenzi-zg7jq Před rokem

    ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @cuthbertbruce2098
    @cuthbertbruce2098 Před 10 měsíci

    Ali hata hajamuamkia mama mwenye nchi

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před rokem

    Ishu hana points

  • @hamismchoma
    @hamismchoma Před 7 měsíci

    Kiba tetea waxanii wenzako

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před rokem

    Wenye hekima 😩😩😩

  • @user-jl7zm6xw2d
    @user-jl7zm6xw2d Před 10 měsíci

    KWA mh.Rais mamangu chieftenness Nkandu HANGAYA...NCHI YAKO ITAKUWA JANGWA TAFADHALI CHUKUWA HATUA,Hawa mawaziri wako wengine hawakusaidii...HASA KILIMO NA UFUGAJI..😭🙈

  • @mwamrajunior7631
    @mwamrajunior7631 Před rokem

    King is very displined

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Před rokem

    wakulima wa mchongo wanapata madili huku wakulima halisi wakitumika kwenye kupiga kura tu.

  • @daudiayubu4464
    @daudiayubu4464 Před rokem +3

    Kweli kabisa hapo ni njaa tu hakuna lolote mziki umekushinda mmeanza kuunganishiana madili ya jinsi ya kula hela kiuwepesi

    • @anisiakarwani1168
      @anisiakarwani1168 Před rokem

      Km kashindwa imba wewe,, acha wivu

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před rokem

      Kila mtu ana maisha yake... akiamua kuacha mzki akaenda kwenye kilimo, shida iko wap. Kumbuka kuna wasanii wamekuja baada yake na hawafanyi mziki.... wamedumu kwa miaka 5 tu au chini ya hapo

    • @alhamiibrahim1289
      @alhamiibrahim1289 Před rokem

      Hii ☄ atakua kandika mwanamke

    • @sayunibaraza3266
      @sayunibaraza3266 Před rokem

      Vannesa yuko wap now unaweza sema na yeye kashindwa mzk? Think twice

  • @dausondaniel7103
    @dausondaniel7103 Před rokem

    Uyu ni All au ni muhitim wa chuo kikuu uko usa

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Před rokem

    Watoto wa viongozi wa na Lima ?

  • @marcellysumaye341
    @marcellysumaye341 Před rokem +1

    Promon tu hiz !! Mzikii umekuwa mgumu ameamua kuwa baloz wa pembejeo

    • @laulymo2063
      @laulymo2063 Před rokem +1

      Tafuta pesa upunguze makasiliko

    • @ayk20
      @ayk20 Před rokem +2

      Waswahili mnashida sana alikuja Eric omondi kutoka Kenya akapewa ubalozi mkamaind sana sasa kapewa kiba wa nyumbani bado mnachonga mjomba acha makasiriko

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 Před rokem +1

      Hata angekuja Masanja ambae anaonekana analima Sana mngesema Bado..Kwa Taarifa yako Tangu Enzi za JPM alikuwa analima Huyo Mpoto ndio usiseme Shida mshazoea Kila Kitu muonyeshwe na Mtandao..Kaeni Hapo Tafuta Hela acha makasiriko..

    • @maalimumasoudy6746
      @maalimumasoudy6746 Před rokem

      @@blockchain1203 kwakweli wa tz tuna matatizo sana ndugu yangu hatukubali vya kwetu kabisaaaaaa ila aje mzungu sasa daaaah utasikia jamaa mbunifu sana

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před rokem

      ​@@blockchain1203 kabisaa, waambie hao

  • @saidmajeba9791
    @saidmajeba9791 Před rokem +1

    Wanasaka tonge tu
    Hakuna mwenye uchungu na watanzania hapo

  • @mussamussa9446
    @mussamussa9446 Před rokem

    Hamna kitu hapo janja janja tu

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před rokem

      Wewe ndo huna kitu wivu unakusumbua

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před rokem

      wivu upi hao wakulima wa mchongo ndio unawaamin kuliko wakulima wa huku kwetu lalago na sangamwalugesha.

  • @parfaitkalemela8733
    @parfaitkalemela8733 Před rokem

    King kiba

  • @abuomary8715
    @abuomary8715 Před rokem

    Kuongea na raisi Kuna hitaj moyo

  • @kumbushoDonard-mi5kv
    @kumbushoDonard-mi5kv Před rokem

    King kiba

  • @faustindasconkeye8663

    King kiba