Hapana ni mama yangu mzazi anaitwa Mwanamkuu Zayumba kaimba akiwa TOT ukitaka kuamini nitafute nikupeleke mpaka nyumbani akikuonesha na picha utaamini kama ulikuwa mfatiliaji wa taarab zamani
Uache kudanganya bora ungeweka audio huo wimbo ulioimbwa na bi mwanamkuu akiwa ToT na video yake si hiyo acha editing aleti ladha unapoteza halo za watu
Rekebisha jina anaitwa mwanamkuu zayumba
This melody, reminds me of my childhood days 🎵🎶🎵🎧❤️❤️💯
Nimeanza kusikia hii nyimbo 2004 or 5 nilipenda sana
Jamani tunaombeni Wimbo wa kiruka njia na Leyla Khatib
Mashaallah Mungu akulaze mahala pema peponi inshaallah 🙏
Mwanamkuu Zayumba badili jina hapo tafadhali
Allah amrehem amsamehe pale alipokosea yarabb
Thank you so much for this song, i have been trying ro get it but in vein. Ma Sha Allah. May her soul rest in peace
💯💯
Allah ampe umri mrefu Aamyn
weuweeeeeeee
Mashallah nace nyimbo
♥️💯
Mwaka uliorikodiwa huo wimbl na kutoka Leyla alishafariki kitambo sasa alifufuka kuja kuimba tena au?
Ni yeye leila khatib 🥰❤
Hapana ni mama yangu mzazi anaitwa Mwanamkuu Zayumba kaimba akiwa TOT ukitaka kuamini nitafute nikupeleke mpaka nyumbani akikuonesha na picha utaamini kama ulikuwa mfatiliaji wa taarab zamani
Swadaktaa mwanamkuu ndio kaimbaaaaa wimbo huu
Aloimba ni mama yangu mazazi hajafa na haitwi leyla
Aloimba nyimbo hii ni mwanamkuu zayumba
@@ramaizagire7608 Aloimba huu wimbo nnan?
Naomba namba ya mamako plizz
@@ramaizagire7608 🤣🤣
Anaitwa Mwanamkuu
Mumerudiana Mtaachana Tuu 💃💃💃💃,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uache kudanganya bora ungeweka audio huo wimbo ulioimbwa na bi mwanamkuu akiwa ToT na video yake si hiyo acha editing aleti ladha unapoteza halo za watu
Mimi mwanamkuu zayumba nakuomba ubadilishe jina la uyo mwimbaji uliye muweka mimi mwenyewe sijafa