BURUDANI AFRICA kuna ile tarabu unasema wewe chokonoa sana mori utanipandisha kwa ungomvi siko tayari. Alafu nyingine inasene unasema nauko kunitukana nakunisemasema aijawa gawe umeenda oja mbovu
Kwanza nikisikilizaga hi nyimb Huwa inanitoa machoz coz mama angu kipenz alikuwa anaipenda xna rest in peace mom love u and miss u mung warehemu ndug zetu wote walio tangulia one day tutaonana 😭😭
Enzi hzo Tot taarabu inawika Rukiya Juma mama wa Isha mashauzi walikuwa wanapenda sana kuja Babati yupo Ally star Msambano Mwanaamiri Mtama Khadija Kopa na wengine ilikuwa moto
NYIMBO ZA KALE NASASA TOFAUT YAANI UKIZISIKILIZA NYIMBO ZA KALE HATA KAM UNA HAJA YAKWENDA CHOONE HUWENDI KWA UTAMU WA WIMBO BUT NOW HAMNA NYIMBO NI MAUZA UZA TO
Enzi hizo Televisheni ya Taifa ndiyo inaanzishwa ikiitwa TVT kabla ya kubadishwa kuwa TbC walikuwa wakipiga sana hizi nyimbo hususani za live.. Wangapi tulikuwepo kipindi icho?
Yaana mpaka choz linantoka nikiskiliza hii nyimbo huyu mama ndo alifanya nikaanza kupenda tarabu zake dahh saahiz hakuna ladha ya tarabu rest in peas Leila
oooh!!... inanikumbusha tulipoagwa Dec.1998 tulipomaliza mazoezi ya btp kisana prymary school jaman ilioko wilaya ya iramba sgd jmn head teachear akiwa sir Tesha na mke wake madam Macha then marehem madam Basila Agustino daah!... R.I.P jmn madam Basila!!
Mm nimesoma komenty tu ila sijui km kuna mtu anapenda taarabu za zamani km mm hz za sasa hv sizielewi kabisa enzi hizo niko tanga sahare kigoli sasa hv nina miaka 36duuu kitambo sana niko bongo mji wa vurugu
nyimbo haniishi hamukuisikiliza hii taarabu kweli ilikuwa zamani ..... kusanya na mashabiki waje wakusaidie imara cbabaiki nitazame ndie mie mungu amrehemu leila khatibu
Enzi nakua miaka ya 97 na mpaka SSA naiimbaga sana Leo nimeipata nimefurahi mno Allha akupunguzie adhabu ya kubur Bado kamba ya mgomba jmn naitafuta mno
Huu wimbo ulitungwa na mheshimiwa Mudhihir M Mudhihir akiwa Waziri katika Wizara fulani wakati huo!! Mudhihir ametunga nyimbo nyingi sana za TOT taarab, lakini pia hata kwenye bendi yake ya Mchinga Sound kama vile 'Kisiki cha Mpingo.'
@@rashidibrahimshemlugu7845 mimi nakaa maeneo ya CCM Mwinjuma Mwananyamala na hata wakati wimbo huu unafanyiwa mazoezi nilikuwepo, mashairi alikuja nayo mwenyewe Mudhihir M Mudhihir na kuwapa wakawea wanaufanyia mazoezi wala si wimbo huo tu!! Mudhihir ametunga nyimbo nyingi sana za Taarabu TOT na Muungano na ni mjuzi sana wa kiswahili na nahau, lakini pia si yeye tu mtunzi wa nyimbo nyingi za taarab, hata mheshimiwa Seif Khatib naye amewatungia Muungano na TOT nyimbo nyingi tu, sema huwa hawataki sana kuweka wazi!!
@@rashidibrahimshemlugu7845 mimi nakaa maeneo ya CCM Mwinjuma Mwananyamala na hata wakati wimbo huu unafanyiwa mazoezi nilikuwepo, mashairi alikuja nayo mwenyewe Mudhihir M Mudhihir na kuwapa wakawea wanaufanyia mazoezi wala si wimbo huo tu!! Mudhihir ametunga nyimbo nyingi sana za Taarabu TOT na Muungano na ni mjuzi sana wa kiswahili na nahau, lakini pia si yeye tu mtunzi wa nyimbo nyingi za taarab, hata mheshimiwa Seif Khatib naye amewatungia Muungano na TOT nyimbo nyingi tu, sema huwa hawataki sana kuweka wazi!!
Asiejua vibaya wala asiye na haya . Miaka mingi sana leo nimemkumbuka mamangu Allah akulinde sana mama na sie pia taarab mujarab nikiona world cup 2022 in qatar
Subscribe for more taarab music czcams.com/users/BURUDANIAFRICA
BURUDANI AFRICA kuna ile tarabu unasema wewe chokonoa sana mori utanipandisha kwa ungomvi siko tayari. Alafu nyingine inasene unasema nauko kunitukana nakunisemasema aijawa gawe umeenda oja mbovu
Kuna huu wimbo wa Ubaya hauna kwao wala hauna kabila, naeza upata wapi?
Na pia, kweli wabaya binadaamu hawana wema, hawana wema wala shukurani...
Babu jinga kafungwa mtoni
M_I kusabscribe anaimisa mara mbili mbili lakini ukimuuliza swali hana mda wakujibu
BURUDANI AFRICA ,naitafuta wimbo wa taarab una hizi mistari Kama maneno fataki, aliyeimba ni nani?
L
Nani anaangalia huku anasoma comment kama mimi tujuane pls! Like here if you wish Her to Rest In Peace In heaven! 🙏
Allah amsamehe na ampe utulivu kwenye kaburi lake 😢
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi tunakukumbuka hakuna kama we we mungu akupe kauli thabit 😭😭😭
2023 sasa lakini nyimbo bado inaishi toka enzi izoooooo
Rest in Peace Mama etu
Ama kwa hakika umaut ni mawaidha tosha, ALLAH akusamehe dhambi zako mamangu
Napenda hii nyimbo hatari na nusu,,for sure haipowi man shall
Binti juma kula nkule................mwaka 2000 enzi hizo niko Gatundu Tanga. leo hii 2020 , na nyimbo haijachuja masikioni mwangu.
2020 ndio imezidi kudamshi aliyeanza naye mwaka kama mimi tuji like pasiiiiiiiii 😘😘😘😘
hv video yake naipataje
Kwanza nikisikilizaga hi nyimb Huwa inanitoa machoz coz mama angu kipenz alikuwa anaipenda xna rest in peace mom love u and miss u mung warehemu ndug zetu wote walio tangulia one day tutaonana 😭😭
Kama mm jmñ nimejikaza tu 😭😭💔
Poleni sana 🙏🙏🙏
Poleni, may their souls rest in eternal peace
Poleni sana
Amin insha'Allah
Nyimbo tamu sana naipenda,,,,kama maneno mkuki jameni,,,kisalata ASIE jua vibaya aiseee
Mungu amrehem Aliemba hii nyimbo
Allah amrehemu ampunguzie adhab ya kabri
Sio powa enzi zire nakubari mungu apunguzie azaba ya kaburi 🎺🎺🎺🎺🎺🎺👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
naipenda sana nyimbo hii ila nilikua ckumbuki jina, kitu kijeba
Enzi hzo Tot taarabu inawika Rukiya Juma mama wa Isha mashauzi walikuwa wanapenda sana kuja Babati yupo Ally star Msambano Mwanaamiri Mtama Khadija Kopa na wengine ilikuwa moto
neno kuntu hilo Leila khatibu mungu akupe kauli thabit by Konga times
Gonga like yangu kama mumeikumbuka hii song raha jamani,,, muacha mila ni mtumwa jamani hoeeeee
Hiz ndo nyimbo unaskilz mpk mwil wasisimka kwel taarb yake ilikuw moto... Mungu akupumzishe kwa aman kwakwel
2022 still listen this kinda of very old song 🎵🎵 you remind me of those good old days ... India 🇮🇳 here Allah amrehem mama Leila
Hii taabu nimeitafuta sana zaidi ya miaka 21 leo ndo naipata
Bashiru Mkoloka pole kaka talabu nzur sana
Mimi pia
Duh pole na hongra
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Zaidi Ya Miaka 21.
@@mwanahalimamwachili9679 ndio toka mwaka 2000 nakumbuka kwa Mara ya mwisho niliisikiliza mwaka 1998 Marehemu kakaangu alikuwa ametoka Mozambique 🇲🇿
Nilikuwa nampenda Sana huyu mama ....rip Leilah
Hivi kifo chake kilitokana na nini!?
mashaallah Leila khatibu 😍 Rest in heaven mamy,
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
R I P MAMY MUNGU AKUPE KAULI NZUR HAKUNA ALIEKAMILIKA KILA MJA ANA MAPUNGUFU
Mashallh Leyla khatib Allah akupe kaulithabit.
Amiin
سعيد الاخزمي *
Amin ya rabil aalamin
Allahuma Amin
nimeitafuta sana hii nyimbo asee tatizo nilikuwa sijui jina kijeba......asante sana mkuu
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Mi nimeitafuta kwa jina la kisalata wa mtaa, nimehangaika mpaka nikaingia google ndio nikalipa hili jina la kijeba.
Nyimbo za zamani zilikua poa sana
NYIMBO ZA KALE NASASA TOFAUT YAANI UKIZISIKILIZA NYIMBO ZA KALE HATA KAM UNA HAJA YAKWENDA CHOONE HUWENDI KWA UTAMU WA WIMBO BUT NOW HAMNA NYIMBO NI MAUZA UZA TO
Kweli kabisa .
Old is gold
So good
Taarabu za zamani bado zinaishi daaah sio poaaa
Kabisaaaaaa
Who is here with me 2019 l can't stop watching this song rest in peace. Leila
mmmm pamoja
me
Hii imenipa kumbukumbu kubwa mpaka nimeamua kitafuta mwenyewe.
Mm
Prinsesi Leila khatibu mungu azidi kumrehemu
Enzi hizo Televisheni ya Taifa ndiyo inaanzishwa ikiitwa TVT kabla ya kubadishwa kuwa TbC walikuwa wakipiga sana hizi nyimbo hususani za live.. Wangapi tulikuwepo kipindi icho?
Old is Gold mashaallah.. Rest in peace beautiful raila khatib
Sema kwl Taarab ilikua zamani bhna.. yaani mpaka mwili unatetema kwa radha ya hawa watu 💖
Pendo haligawanyiki wallah.hauririmi msondo kama hajaja Bi samurongo
price leila khatibu mungu marehemu kwa kweli
mungu amrahamu dadaetu leyla khateeb
Allh amsamehe yeye pamoja na sisi
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Amin
@@BURUDANIAFRICA video yake naipataje ndugu maana umenikumbusha mbali sana
Aiseee long time ago nilikua nipo kijijin naskiliza hii nyimbo
jaman naipenda sanaaaa hii tarabu. thank uuuuu
Hii nyimbo imenikunaaa naipenda mnooo
Yaana mpaka choz linantoka nikiskiliza hii nyimbo huyu mama ndo alifanya nikaanza kupenda tarabu zake dahh saahiz hakuna ladha ya tarabu rest in peas Leila
2023 leyla khatib golden voice MUNGU akusameh dhambi zko amin
mwambie kisalata asinisumbue mwambieni na kijeba.......kusanya nao mashabiki waje wakusaidie imara sibabaiki nitazami ndiemieeeee
oooh!!... inanikumbusha tulipoagwa Dec.1998 tulipomaliza mazoezi ya btp kisana prymary school jaman ilioko wilaya ya iramba sgd jmn head teachear akiwa sir Tesha na mke wake madam Macha then marehem madam Basila Agustino daah!... R.I.P jmn madam Basila!!
Jamani naitafuta Ile sanamu la michelinn siioni
Sanamu la Michelin upendezi hata ukisuka vinywele vinakufumka daah nakumba mbali sana mwenyenayo
Mm nimesoma komenty tu ila sijui km kuna mtu anapenda taarabu za zamani km mm hz za sasa hv sizielewi kabisa enzi hizo niko tanga sahare kigoli sasa hv nina miaka 36duuu kitambo sana niko bongo mji wa vurugu
Hamida Issa .za Zaman zilikua taarabu sio za sasa ivi za viduku
Allah Amrehemu Leyla, Maneno Makali,Mdundo Usiulize,Kila Muhusika Hapa Alicheza Part Yake.
dah kweli taarabu zamani siku hizi mauza uza tu
nyimbo haniishi hamukuisikiliza hii taarabu kweli ilikuwa zamani ..... kusanya na mashabiki waje wakusaidie imara cbabaiki nitazame ndie mie mungu amrehemu leila khatibu
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Wallwahi hii nyimbo ipo kwenye mizani ya sauti na hakika haichoshi kusikiliza
Ukisikia taarabu ndio hii eebwanaeee R. I. P😧😧
Enzi nakua miaka ya 97 na mpaka SSA naiimbaga sana Leo nimeipata nimefurahi mno
Allha akupunguzie adhabu ya kubur
Bado kamba ya mgomba jmn naitafuta mno
R i.p mumy.. tupo nyuma yako. 🥺🥺
Huu wimbo ulitungwa na mheshimiwa Mudhihir M Mudhihir akiwa Waziri katika Wizara fulani wakati huo!! Mudhihir ametunga nyimbo nyingi sana za TOT taarab, lakini pia hata kwenye bendi yake ya Mchinga Sound kama vile 'Kisiki cha Mpingo.'
Adam Fungamwango ckweli hajatunga mudhihir
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Adam Fungamwango day,asant,kwaku2julisha,kuhusu,wmbo,huo,alie,utunga
@@rashidibrahimshemlugu7845 mimi nakaa maeneo ya CCM Mwinjuma Mwananyamala na hata wakati wimbo huu unafanyiwa mazoezi nilikuwepo, mashairi alikuja nayo mwenyewe Mudhihir M Mudhihir na kuwapa wakawea wanaufanyia mazoezi wala si wimbo huo tu!! Mudhihir ametunga nyimbo nyingi sana za Taarabu TOT na Muungano na ni mjuzi sana wa kiswahili na nahau, lakini pia si yeye tu mtunzi wa nyimbo nyingi za taarab, hata mheshimiwa Seif Khatib naye amewatungia Muungano na TOT nyimbo nyingi tu, sema huwa hawataki sana kuweka wazi!!
@@rashidibrahimshemlugu7845 mimi nakaa maeneo ya CCM Mwinjuma Mwananyamala na hata wakati wimbo huu unafanyiwa mazoezi nilikuwepo, mashairi alikuja nayo mwenyewe Mudhihir M Mudhihir na kuwapa wakawea wanaufanyia mazoezi wala si wimbo huo tu!! Mudhihir ametunga nyimbo nyingi sana za Taarabu TOT na Muungano na ni mjuzi sana wa kiswahili na nahau, lakini pia si yeye tu mtunzi wa nyimbo nyingi za taarab, hata mheshimiwa Seif Khatib naye amewatungia Muungano na TOT nyimbo nyingi tu, sema huwa hawataki sana kuweka wazi!!
Pwani raha. Kusini ndo kwetu.
Reminds mi far wallahy 🤗🤗🤗
mwambie kijeba anajitia ndizini
Wimbo mzuri Sana unausukiliza adi laa pumnzika kwa amani
Hizi ndo nyimbo bwana
Wimbo nzr sana
R.I.P mama Leyla Khatibu
+254 💃💃💃 Nyimbo naipendaaa sanaaasanaaa 👊🙏😘
What a Nice Taarab . Sure Old is Gold , much Love from Germany and Thank you for enabling us to get a Touch of Zama zetu . Amazing !! J'adore !!
Greeting from Zanzibar.
Dahh! Zamani raha sana jamani❤
Ajab waahhh what a taaarab.unajikuta stamping your feet.
Kusanya na mashabiki waje wakausaidie imara sibabaiki nitazame ndie mie
Mwaka huu wanasema tunaisoma wote tunaisoma
@@salimaabdulmarick.safisana9647 bibi niache sitaki nimeshasema sitaki nenda usinijie jie
Nice taaraab...wallahi old is and will forever be Gold....
Hakika sisi wa zamani tulifaidi
Kabisa, hizo ndio nyimbo bwana
Kama maneno bunduki lenga unifyatukie maneno kuntu👌
poa sana huu wimbo
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Maashaallah almarhum leyla khatibu
+Dotto Kivambo enjoy the mix na usisahau Ku share na marafiki
Yakale dhahabu. Masha Allah
Who is here with me 2020?
20024 rip mama mungu akupe shifaaa
🎉❤❤ngoma ipo weeeeeee👌👏lenga unifiyatulie👌
OLD IS GOLD
Napata burudan ya Leyla khatibu sauti imepangiliwa jaman
Asiejua vibaya wala asiye na haya . Miaka mingi sana leo nimemkumbuka mamangu Allah akulinde sana mama na sie pia taarab mujarab nikiona world cup 2022 in qatar
Uso umemparamaaa kijeba huyo kijeba😁😃👌
Mungu akusameh dhambi zako
Taarabu ipo tu na itaendelea kuwepo
pumzika kwa amani Leyla Khatib
umeonaaaaaaa nyamahana lkn mh
ALLAH ailaze roho ya mama Leila mahali pema peponi
malikia wa kweli
Alikua sawa sana rip
Mashaallah
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
mashallah. mungu amrehemu.
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Pendo Ali gawanyiki
Ilisumbua sana
Old is gold
Pendo haligawanyiki wangu mwenyewe niachieee
Inshaallah
30/10/2019 bado nasikiliza kijeba
I’m here 2019 Leila rip my mama
Best taarab ever ♥️
I love this song.
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Dah taarab maridadi sana ukiisikiliza uendi hata chooni hataareee.....rest in peace mama .ubavuni habandukiiiiii hatareee
Jmn nazipenda taarab hiz
Taarabu zamani bn mambo cndio haya
Haichoshi 😢 pumzika salama
Kweli bwana
Tarabu. Kwaraha.zangu
Ahlla akurehemu naneno yaliumiza watu kisalata wa mtaa Aisha Oman
Nimekumbuka kitambo sana!!!
2023 bado it’s a hit
Umaskini wa nyama..utajiri wa mifupa...bruh!!!!!
👌🏻👌🏻👌🏻
R.I.P