TOT Y2K [Kwa Raha Zangu Taarab] [Kwa Raha Zangu Taarab] Taarab za zamani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2017
  • Usisahau ku subscribe kwenye link hii czcams.com/users/BURUDANIAFR...
    Taarab za zamani
    TOT Y2K

Komentáře • 69

  • @BURUDANIAFRICA
    @BURUDANIAFRICA  Před 6 lety +4

    Subscribe for more taarab music czcams.com/users/BURUDANIAFRICA

    • @mercycarlos7397
      @mercycarlos7397 Před 4 lety

      Mkuu naenda pata ule wimbo wa nipe nipe raha mtoto wakitanzania

  • @hamisimkongo1543
    @hamisimkongo1543 Před 4 lety +8

    Back in 1999 au 98, nice memories from my mom

  • @zuberimkala8273
    @zuberimkala8273 Před 6 lety +7

    Those dayz nkiwa class 2 Kenya nlikua nimeikram yote hii nyimbo pamoja na paka mapepe

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 5 lety +5

    Hapo nilikuwa drs la7 ukitoa madaftar yangu kulikuwa halikos daftar maalumu la nyimbo zote nimehifadhi humo brek ilikuwa nikuimba tu namashost wangu nilikuwa na best mmoja anatokea kigoma alikuwa kiboko wa voice nzur

  • @kinnamaina7548
    @kinnamaina7548 Před 5 lety +6

    Naipenda sana y2k enzi hizo nipo mdogo mwenyew, kwetu hata TV hakuna tunaenda kuangalia mtaa wa saba duuh.

  • @nyangunyangu8679
    @nyangunyangu8679 Před 5 lety +7

    Y2k.Namkumbuka mama kiboko. Ligula"b"Mtwara.

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa4288 Před 4 lety +2

    Y2k na hangaisha wasomi ,doctors na engineers😘😘😘😘😘

  • @rosepeter415
    @rosepeter415 Před 5 lety +4

    Huu wimbo nakumbuka Morogoro nyumbani tulikuwa tunaimba hatariii Khadija wewe ni Mama yao

  • @faizmusaabdallah6430
    @faizmusaabdallah6430 Před 5 lety +4

    Nakumbuka hapo Khadija kopa anatoka na kuanza kujulikana Kenya niko shule ya msingi

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 Před 4 lety +6

    Hiyo ulikuwa ni romours kuwa mwaka 2000 mwisho wa dunia kila kitu kitasimama including computer. Inakumnusha Marehemu Amina Chifupa akitanga Clouds

  • @trizangugi8119
    @trizangugi8119 Před 6 hodinami

    2024 😊😊😊

  • @zakiadaudi2401
    @zakiadaudi2401 Před 5 lety +3

    Y2k haichuji 💞💞🔥💝😘😍cyo mitaarabu ya sasa!

  • @issahasan1299
    @issahasan1299 Před rokem

    Zamani gani ngoma ilitikisa sana hiyo mwenyezi atupe umri mrefu

  • @zaitunadila5688
    @zaitunadila5688 Před rokem

    Jamani kwa raha zangu

  • @victormkongewa5229
    @victormkongewa5229 Před 6 lety +6

    Aa lovely song remember me tanga chumbageni mallet.2000 wapi br Flavian christopher

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  Před 6 lety

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 5 lety +1

    Kibokoo kweeli mammmaaaahhh...penda saana huna mbaya...

  • @kitiarajabu5010
    @kitiarajabu5010 Před 6 lety +13

    nimeomba sana muiweke kinyang'unya jamani hizi mm ndio nyimbo zangu nazipenda sana zinanikumbusha kipindi hicho nikiwa tanga

  • @sahirjuma2266
    @sahirjuma2266 Před 2 lety

    Yaani nakumbuka mdongo kweli mtaani rusharoho dili wiki mzima unavuma kama kunarusharoho siku fulani yaani ya harusi watu wanatoka kaskazini na kusin ile nafsi hupati ya kuangalia

  • @safiababu9266
    @safiababu9266 Před 5 lety +1

    Khadija Kopa zamani sio sasa balaa

  • @mavumbamavumba1927
    @mavumbamavumba1927 Před 5 lety +3

    Wakati huu Khadija kopa ndipo alipokua anaimba, asahivi amekwisha hana lake jipya, hakuna wa kushindana nae.

  • @mwanaharusiabdallah7054
    @mwanaharusiabdallah7054 Před 5 lety +2

    Jamani enzi hizo niko kama wote vilee bado sijaitwa mama

  • @nyangunyangu8679
    @nyangunyangu8679 Před 5 lety +4

    Mambo ya pwani. Yaliyopita yanafuraisha.

  • @ayshaaysha9650
    @ayshaaysha9650 Před 5 lety +5

    YAKALE DHAHABU HADIJA HAP BIG UP BUT NOW NOT NISE

  • @aminaabubakar4784
    @aminaabubakar4784 Před 5 lety +3

    ujana ni moshi jamani

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Před 5 lety +5

    1995 henzi hizo taraabu taraabu kweli,sio sasa mugokaa mtupu tu.

  • @princetevee8663
    @princetevee8663 Před 3 lety +1

    Tunaosikiliza 2021 gonga like tuonane

  • @nganzirashidi1463
    @nganzirashidi1463 Před 5 lety +2

    Enzi za 97 nakumbuka mengi sana

  • @asmaally1621
    @asmaally1621 Před 3 lety

    Naipenda sana hii taarabu

  • @richbird.123
    @richbird.123 Před 5 lety +4

    Yanikumbusha mbali sana yaani hapo bado mdogo na harusi nyumbani zikiwa kwa wingi naomba uniekee ila zoba zoba ilooo

  • @maximobonga9617
    @maximobonga9617 Před 5 lety +3

    safii

  • @farajimtima9331
    @farajimtima9331 Před 6 lety +7

    Hizi ndio taarabu

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  Před 6 lety

      Asante. Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @gideonmsangi3844
    @gideonmsangi3844 Před 6 lety +3

    Safi sana enz hzooooo

  • @halimarajabkenya9413
    @halimarajabkenya9413 Před 4 lety +1

    Hapa raha tuuuu, hizi ndo taarab za kuskiza yaani moto

  • @kacimonpoint4598
    @kacimonpoint4598 Před 2 lety

    Just great

  • @njokasamwel5226
    @njokasamwel5226 Před 6 lety +3

    cool songs

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  Před 6 lety

      Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends

  • @aishaally8062
    @aishaally8062 Před 3 lety

    Pambe tuuuuuuuuuuuuiuuuuu.

  • @naimabwinga8572
    @naimabwinga8572 Před 6 lety +2

    y2k 2000 hii.when i was young

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  Před 6 lety

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @salumally926
      @salumally926 Před 5 lety

      Y2K inanikumbusha nipo form three ilikuwa c mchezo

  • @yegedegede5722
    @yegedegede5722 Před 2 lety

    Mungejua ninavyo jimwayamwaya saa nane hii na nyimbo hii nimekosa usingizi basi burudani tupu

  • @frankfranklyn376
    @frankfranklyn376 Před 3 lety

    Nikisika hii nyimbo najiona bikra vile.. enzi hizo sijui madem n nn.. enzi hizo nategemea kuletewa sio leo naenda mbio ndio nile.

  • @farajimtima9331
    @farajimtima9331 Před 3 lety

    Marekani na Japan walikaa kunifikiria

  • @lizzygold2484
    @lizzygold2484 Před 6 lety +3

    ezi zetu temeke kata kumi na mne lrikuwa sio powa

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  Před 6 lety

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @jafaripaje5366
      @jafaripaje5366 Před 4 lety

      Hahahahaha!! Kulikuwa na vibaka sana akina Kadasi, Jumanne n.k. Nilikuwa naishi Vertinary kituo Cha magari ya Mwenge Tazara.

  • @jumadea6899
    @jumadea6899 Před 4 lety

    hatariiii

  • @mohammedmtinangi846
    @mohammedmtinangi846 Před 6 lety +1

    Laa hee hapa ndo pake

  • @jumadea7957
    @jumadea7957 Před 6 lety +3

    kipindi hicho wanachuana na Nasma kidogo

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  Před 6 lety

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @azizaharuna6508
      @azizaharuna6508 Před 3 lety

      Mama tupia homa la jiji humu

  • @williammatayo2811
    @williammatayo2811 Před 3 lety

    CZcams

  • @zainabujafari4542
    @zainabujafari4542 Před 5 lety +2

    Nilikua bado mdogonikiisiliza kama imeimbwa leo