Kama omary kopa angekuwa hai TAARAB isingekuwa imekufa kama ilivyokufa. Huyo ndiye hasa angeshindana na mzee yusuph. Kama unakubaliana na mimi gonga like
Daa wakati anaimba wimbo huu ndo alikua anaumwa masikini nakumbuka siku hiyoo mama yake aliimba wimbo wake omari akiwa hospital magala zakhem enzi hizo aliimba huku analia pole sanaa mama sisi sote wapitaji
May his soul r ip...i used to love him..i loves his songs till today..his voice was good anaghani sijasikia saut yake labda kwa ahmed Mgeni may his soul rip too for now hakuna...wanaimba no kughani na mahadhi...
Kifo chake nililia sana. Nikiwa na mimba 2007. Nilitaka kwenda Tanga lkn jamaa nyumbani walinigombanisha sana. Nitoke Mombasa keenda kumzika mtu hata sio jamaa ya gu. Nyinmbo zake zilinijaza mapenzi sana. Mpk leo huwa naskiza
Kama omary kopa angekuwa hai TAARAB isingekuwa imekufa kama ilivyokufa. Huyo ndiye hasa angeshindana na mzee yusuph. Kama unakubaliana na mimi gonga like
KWA MOTO WA MAREHEMU OMARI HATA MZEE YUSUPH HAINGII KABISA.
Kwanza mzee yusufu alikua amfikii omary kopa kabisaa
Xana mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
@@PatrickHebron-ge3xe Ameen😭😭😭
Mzee yusuph huyu angelimuonea kwa mbali sanaa....MashaaAllah alikua anaimba si haba..Allah amfanyie wepesi kwenye adhabu za kabri ,,,ameen yarraby😢
2023 still loving this song💕💕💕💛💚
Allah akupe kauli thabiti huko uliko
Kama upo 2020 na umeiplay hii gonga like twende sawa
I a
Ampekauli thabiti kwa lipi sasa
Kila nikisikiliza hi nyimbo inanikumbusha mbali sana adi sasa naipenda sana2024
Jamani naipenda hiii song love it💯💯💯💯
Huyu jamaa hatotokea mwengine kama yeye nlitokea kukupenda sn toka utoton till now 2024 😢 RIP
2021, Nan tupo pamoja🔥🔥🔥🔥🔥
2019 love you forever omary sijamuona anajua kughan Kama ww
Leo 2021 bado unaishi moyoni mwetu Mungu akuweke sehemu salama omary 😭🙏🙏
05/09/2022 12:55 nasikiliza this song😭😭 Allah amrehem Omar kopa
Kaka anasautiii inasisimuaaaa❤❤❤ hii sasa ndo TAARAB 2024 Still inagusaaa
2024 nipo hapa natafuta nyimbo ya harusi na sijapata bwana harusi 😂😂💔 inshallah ipo siku ntakuja kueka hii nyimbo nikiwa na mume wangu 🙏❤️
12/02/2022 still is one of my best of the best songs
Hi ni bahat yngu kanichaguwa yy
Same here
Daa wakati anaimba wimbo huu ndo alikua anaumwa masikini nakumbuka siku hiyoo mama yake aliimba wimbo wake omari akiwa hospital magala zakhem enzi hizo aliimba huku analia pole sanaa mama sisi sote wapitaji
Alikuwa anaumwaaa nini
Omari kopa na mzee yusufu
Dar Aise Kweli Uyu Bwana mkubwa Ndio alikua mfarume wa Taharabu R.I.p .2019 Bado iko good zaid
Duuuuuuuh!...nyimbo inanikumbusha marehemu Amina chifupa alikuwa anaipenda sana kwenye kipindi chake..
2020, nani tupo pamoja?
Tupo
Ya mola
Kama bado uko hapa 2020 leta likes ya marehemu❤⚘
ok
2021 still🔥🔥🔥 endelea kupumzika kwa amani
KOPAAAAA!!!!!!!alikuwa hatariiiiiiiiii..na Wala hatotokea mwengineeeee
Wallah nyimbo zake pambe 2022 yni haziishi utamuuu
Swadakta
tugombane asubui jion tunaongea kama naimbiwa mm omari mungu akulaze pema pepon
R.I.P OMARI
Saut nzur nimeeanza kumsiliza tangu utoto wang..mpka leo2023 pumzika kwa aman
Alikua karithi sauti kwa mamake Huyu mashallah...Mungu amrehemu aliko...
pumzika Kwa amani kaka yetu kipenzi
Ioyuiuppppl my
Yes sauti kama ya mamaake . He was good kwa kweli. Mungu amrehemu
pole Malkia Khadija Kopaaa kwakupotezaaa hiki kifaaaaaa Daaaah huuuu Wimbooo unaniumizaaaa Pumzikaaaa kwaaa Amani Omari Yusuph Kopaaa
Amigo
Jahaz
Anacheza mechi zangu number zote hucover yeye 👌 Omar hakuna mwengine wallah
Mungu akurehemu, akuswamehe madhambi yako, akueke palipo na wema amin.
Daah umeenda na utamu wako😭😭😭 hakika huu ni msumari na uliwachoma kotekote
21/1/2021 naipata kwa uzur kabisa
Nani yupo hapa 2020 kama mimi
2021
Omari mi shabiki yako mpaka 2021 japo nnapoisikia napata machungu mashaallah Allah akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia.
Eeeeh ,uliye danganyishwa na dunia ,ukafanya mambo mengi una nguvu una jeur hakika ya umauti unakuja ghafla na karibu ni saduku la matendo yk
Yani mpaka 2023 tunasikiliza mziki mzuri
May his soul r ip...i used to love him..i loves his songs till today..his voice was good anaghani sijasikia saut yake labda kwa ahmed Mgeni may his soul rip too for now hakuna...wanaimba no kughani na mahadhi...
minnah minnah hammer q ana ghani Sana pia
Me too I loved him soo much may his soul rest in peace 😥😥😥😥
2021 tupo pamojaa
Lala kwa amani mwamba wewe ndio mfalme wa Taarabu 2022 tuzo zilikuwa zako
Pambeeeee mahaba kama yoteee miaka mia name ntakupenda omary pumzika kwa amani baba Allah akuepushe na adhabu za kabri
Pambeeee naipenda sana hii daaaaah
Daaaah nashukulu Mume Wangu kwa wimbo mzuli nimeupenda sana Mungu tujarie tuzidi kudumu
Nakupenda milele Amina....Mungu akulaze mahala pema peponi Omary Kopa.
2021 nipo nasikiliza tena
Naipenda sana hii nyimbo
@omary copa
Athumani Idd mohammed kamota,, kiukwel Omary Kopa alikua ni mtunz wa mashair na huimba taratiiiib hakua na papara R, p,, Omary Kopa.
Mungu akurehemu inshaallah
Alla amrehemu jamani huyu mtoto alikua anaimba jamani karithi kweli namrithi huzidi jamani pole mama diiii
Yaitwa timeless music. 2023 tupo kujinafas
daaah kam yupo vile MWENYEZ MUNGU akupunguzie adhabu kaka angu.
10 Dec 2023 Still listening 🎧❤
I love 💝 this song nice voice mshllh
kugombana si twabia yetu, kupatana kawaida yetu
Vitu kulishana ndio raha kwetu, Kushikana shikana haina shobo kwetu
2021hapa kwa mfalme wa kughan rest in peace omary
Kifo chake nililia sana. Nikiwa na mimba 2007. Nilitaka kwenda Tanga lkn jamaa nyumbani walinigombanisha sana. Nitoke Mombasa keenda kumzika mtu hata sio jamaa ya gu. Nyinmbo zake zilinijaza mapenzi sana. Mpk leo huwa naskiza
Old is gold listening in 2020 rip kopa
January 2022 tutaona baadae mfalume wa kughani💕👌👌
Allah amlaze pahala pema ampe janna 🤲🌹
Mungu akuraze mahari pema amin
2021 still listening
2023👌👌👌 October
Tugombane asubuhi jioni tunaongea👌👌👌
mambo hayo raha tupu pambeeeee
Kichuna nineye mie,2020
R.I.P omary kopa.. kamanda wa kughan mashairi.. njia ni moja umetangulia na sisi tunafata.
Love ❤❤so much this song
Ulazwe pema ln shaa Allah,
Ameen in shaa Allah
Nice song love it
Inakumbusha mbali sn hii na machozi hutiririKa nikisikia hii R I P Kopa
Jaman napenda hizi melody 2021 wimbo bado mkali
Napenda sana huu wimbo
Kwake khadija kopa.
Pokea salamu kutoka kwa famili yangu kwaujumla.
Ala pia tuna sema pole sana kwa msiba wanguvu ulo kugusa.
regendar Wa taarab rest and piece for ever
9/2023 Nasikiliza song rip omary kopa
20/10/20023 bado kwangu nyimbo nzulii
Lo hatatutoka mioyoni mwetu. Huyu ndiye alikuwa anakuja kuwa kumrithi mama fani yake
Lakini Mungu hakupenda RIP Omary
Akiacha anarud kaowa kwavshindo karud hapahapa huyu niwangu
ameapa hatoki kwangu, mnokerwa mjiueee
Kaa bila kurukaruka baada ya kumchagua mpenziye. Nani amekushurutisha?? Zoea mapema, Kaka wee! Dr. Ogeto International
Aisee huu wimbo unanikumbusha mbali saana
2021.... Rest easy Omary
20mwez 10 2022
Mungu akulaze mahali pema peponi
3/6/2024 pumzika kwa amani omar kopa
Ngoma yamana
❤Haishi ladha...🥰Allah Arehem🤲
💃💃💃
Naomba kujua maana ya neno ushambenga.
Ulikuaga hatari mungu akuweke mahali pema
mood🔥🔥🙌🏼
Naku kubali
Mke wangu
Dah kitambo xn asee mshikaj alkuw fundi mno km mama ake
Rip omary
Repose en paix inchallah amina 🤲
2021
Hivi Omary kopa ndio mume wa Khadija Kopa? Kama ni hivyo basi walichaguana maashallah
Cyo mume alikuwa mwanae
Pumzika kwa amani Omar kopa😭😭😭😭😭
Rip omary koppa
R.i.p.Omary kopa 17/11/2021
29/11/2021
Naomba mtu anijuze maana ya ushambenga.
Ushambenga ni kama ufitinishaji, umbea,
❤❤❤❤❤❤
2021💋
Kweli kabisaaaaa
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Ndio mm ndio mm nani asiyenijua anipatae hupo na anikosae hujutia
10/01/2024 🙏🏽
legend😭
Nasema sitaki ushambengaaa