I am so tickled. I have fallen in love with this genre. This is my JAM! I grew up in a small town in the US. I had no idea such a beautiful genre exists. This song right here, I know this is a classic bop and I am not even from there but this vibe makes me feel something special.
Nilipokuw mtoto kiukwel nilizichukia sana hiz nymbo taarab ila akil yngu ilkuw ndog baad ya kusikilza ujumbe wa hz old taarab kwa kwel ndio zimekuw zinaniliwaz Allah awafanyie wepes katk kila hali kwa kwel ujumbe ni mzito sana
Nilipokuaa mdogo kdgo nikisikiaa nyiinbo zaake niliwahi kumwambia baba akaniposeee huuyuu nilimpeendaa sanaa mashair yaake na maneno mazuur sanaa , Mungu akupe kipaaj had pepon,
Hawa ndio wasanii sio tarabu zeni makwapa njee mikorogo mlokosa haya jifunzeni kwa wenzenu mnaijua tarabu njie nani alokupeni kibali cha kuimba tarabu mmeharibu tarabu yetu nyie kaziyenu kibao kata
Kiukweli nimezaliwa 1968 na wimbo huu nilianza kuusikia miaka ya 1990 nikiwa nimetembelea sheji yangu pale Tanga mjini. Nika muuliza huyo muimbaji anaitwa Nani? Akaniambia ni Fatma Isa !! Nika muuliza hivi alifanywa nini katka maisha yake mpaka akatoa huu ujumbe mzito? Akaniambia yeye ni msanii mwenye kipaji hivyo Anajua Mambo mengi . Ki ujumla ninampenda Fatma na wimbo huu toka auimbe mpaka Leo sijapata mbadala wake. Hongera bi Fatma kwa kazi nzuri
I am so tickled. I have fallen in love with this genre. This is my JAM! I grew up in a small town in the US. I had no idea such a beautiful genre exists. This song right here, I know this is a classic bop and I am not even from there but this vibe makes me feel something special.
Mungu akupe maisha marefu mama inshaallah.........kheri adui shetani kuliko adui kiumbe wallah naielewa hii nyimbo htr
Cute song
Nilipokuw mtoto kiukwel nilizichukia sana hiz nymbo taarab ila akil yngu ilkuw ndog baad ya kusikilza ujumbe wa hz old taarab kwa kwel ndio zimekuw zinaniliwaz Allah awafanyie wepes katk kila hali kwa kwel ujumbe ni mzito sana
Hi nyimbo nakupenda toka niko mdogo
MashaAllah MashaAllah MashaAllah raha jaman raha kusikiliza huchoki waishia kurudia irudia tu
Nilipokuaa mdogo kdgo nikisikiaa nyiinbo zaake niliwahi kumwambia baba akaniposeee huuyuu nilimpeendaa sanaa mashair yaake na maneno mazuur sanaa , Mungu akupe kipaaj had pepon,
Mnyasa mnyasa kwann tena hujaposewa
😃😃😃😃😃
@@nurualihamad895 😅😅
Yaani mimi nikiicikia nyimbo hiiii nakumbuka wachawi walivo yatia mafuta ya taaa maisha yangu
Mi pia nakumbuka mbali nikiskia wimbo huu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
ah yani hii nyimbo bibi ang anaipenda ananimalizia mb zang kila sku jamani lkn nzuriiiii mpaka bibi anaipenda mashaalah
haaaaahaaaaaaaaa hichi kitu co mchevo voooo thuwaiba
Warereeeee ! Waaaaaah ! Mashairi Mazuri sana... Na Sauti Maashallah keep it up !!!
Tena dada heri adui shetani kuliko adui kiumbe but malipo ni duniani akhera huenda hisabu saddaqta mwahhhhh🙏🙏🙏🙏
2021 gonga like 😛
Ni kweli kabisa hawana tofauti hasidi na fisadi ni kheri adui shwetani kuliko adui kiumbe
Yaan mashairi matam zanzibar kunawaimbaji wazurisana sautinjema sana pia mapigo yahizo dufu
Tupo sawa 🤣🤣🤣
Masha Allah amakweli dafatuma issa una sauti nzuri mwenyezi akulinde na husuda
ahsant bint issa,mashaallah!!! mashairi murua!!!! adui kiumbe! daima asikusifu!!! hata kuchoka hachoki!! hata km kitu huna!!!!!
Wallahiiiiiii
Alaaaa Mwambie mmakonde
Mwisho Wa mwaka 2020 dec 25 leo, kama upo like
Yani siichoki kuisikilza hii nyimbo jinsi nilivyo zungukwa na Madui viumbe
Hata mimi naamini ni bonge la nyimbo na nimeipenda
Heri adui shetani...km adui kiumbe...akhera kwenda....hesabu..maneno grade A...
kweny mnanda me ndo namalizika😍😍😍😍
umeona heeee yan hatar sanaaaa uchoki kusikiliza jaman
Upo saw
hiiiii ngoma hata ikae miaka 100 bac bac bado itakuwa juu
Kabisakabisa
Fantastic 2022 adui kiumbe
Hongera Sana wallah nyimbo nzuri saana
Mashallah Mashallah sauti nzuri maneno mazuri saana
Mdaa wa chuo ndio inapigwa nyimbo hii had raha jmn dah
dah hii nyimbo naipenda mno nakumbuka kipindi hicho mida ya saa nane nikienda madrassa dah welldown mama fatma issa
Hahaha na ukiisikia tu popote pale unajua mida imefika hahaha mule muleeeeee
hhahaaa kweli bana
Vyakale ni dhahabu ata na mimi nimeliona ilo
@salumgiriki4779 hivi tulikua tunaishi mtaa mmoja nini maana namimi naikumbuka kwa hivyo hivyo pamoja na ile ya Asia alkindy😂😂😂
Kabisa mida hiyo mama kashamaliza kunisuka nshalala naamshwaa haya chuoni sasa😂😂
Enzi za utoto: tukiimba Kama burudani
Ukubwani: ndio tunaelewa maana
😂😅😂❤
hatr
Adui kiumbe!! 👌👌👊👊
Ilove Zanzibar from kp
nampenda Fatma issa anajua kuimba
hujanishinda mimi...yani huyu mama wallah kama ningelikuwepo enzi zake ningemuoa habibt wangu kipenda roho.
@@mohamedsuleiman7215 mie kama namjuwa anapoishi ivyo ivyo kazeeka namuowa tu
Salaam alekum kweli yako shetan na kiyumbe wote siwazuri kheri pakaa na mbuzi niwazuri umenifurahisha sana Allah akujazi wape kweli
Ok
Mashallah I like the lyrics...
Adui kumbe 2021 tujuane
Ulipo nipo
Kuna mtu kanikwaza,ngoja niukonge moyo wangu kwa huu wimbo,Fatma mwaaaa
Hahahahaaa nimeipenda
Hongera mama fatma
Mungu atuepushie na adui kiumbe
Mungu aninusuru na adui kiumbe
mungu akubariki mamangu
Mwema rafiki hanae
NI BONGE LA NYIMBO NAIPENDA SANAAAAA
Huyu Mama anastahiki tunzo ya uwimbaji bora kwa upande wa taarab maana hatokei kama yeye kwa upande wa taarab kabisa yaani kwa ninayosema
Ni kweli mana hii yimbo ina ujumbe mzuri sana
2020
🔥🔥🔥🔥🔥2022 yan hajakosea maneno yake kbsaa
Mashallah.....
2023 comment zenu😂
Hiyo ni kwaniaba ya watu wenye roho mbaya wenyewe wanajijua
Ni kweli kabisa duniani ni Mapito but akhera ndio kwetu kwa hivyo wataishi n'a hizo adhabu za . Mungu kwa yote waliyatendea wenzao🙏🙏🙏
Legend
Bora adui shetani kama kiumbe malipo duni ahera kuisabu fatuma Issa maaneno kabisa maaneno yako
snt kheri adui shetan km adui kiumbe
Kwanini na si wazanzibar tukaeka play graund song kama India nazani tuta uzamichezo yetu
Old is gold
Japo mwenyewe chako kakubariki wabudyyyyy watakiendea mbio hadi lao litimie huyo ndie aduiiiiiiii kiumbeeeeee
Waaaaaooooooo
Mda wa chuoni ukipita njiani lazma uiskie hiyo kusklza unataka na bakora chuoni zinakungoja sa8
July's 2022
02/02/2023 like
Mashaa Allah
🥰🥰
😊😊😊
Hii nyimbo nikiisikia nakumbuka enzi zile za kwenda chuoni inapigwa kwenye kipndi cha burudani na sauti ya Zanzibar ama sivyo
100%
100
Siku hizi inaitwa ZBC Radio zama hizo ikiitwa sauti ya Tanzania Zanzibar
Yaan mm na ww mawazo sw enzi izo ukiisikia 2 wimbo huu ujuwe muda wa chuon tyr da 😋 zaman raha kwakwel
Upo sahihi ukisikia hiyo unajua mda wa chuoni tyr
Huyu ndio kiboko
Mashallah mama uko vzr
Waa
Hakikaaaaa.jamaniii.yakale dhahabu sn
Xannah kabisa lkn sasa mitusituuuuu
Haitachuja Wala ikae ichuje
Gonga like👍
From 2023 August 20
NI MANENO YA UKWELI MATUPU
Lisemwalo lipo kama halipo ujue laja huyu ndio adui 💆
hili goma balaa
MashaAllah 🎉❤
Wanafki wapoo inawachoma
Mashaalah kwa kweli
Mashallah
31/01/2021 like
Vya kale ni dhahabu....
Bora adui shetani utamwita nakumpa kitakacho nakwenda zake ila adui kiumbe? Utaimaliza dunia na pembe zake
Bora adui shetani kiumbe hatari anataka akutangulize
hehehhe
Nitafute kwa 0769311574
💌
Waooo
mngu akupec
I loved she is the singer I don't speak Swahili but I liked
2024
Huyu mama kabarikiwa nasauti walai yani watamani umsikize
Malipo ni duniani akhera kwenda hisabu viumbe
Mate chini nnatema....tunusuru ya jalia nahisi Tabia mbaya..
Lisemwalo lipo kama halipo ujue lajaaa!! 👹huyo ndio hasidi
Mm ilikua zikipigw tu najua mida ya kula tayr 🤣 daah tuntok mbali
Ama kweli zanzibar ni zawadi kutoka kwa mola kiufupi tunajua kweli na huyu dada hana mbaya na hana utovu wa adui kama mond
😚
Hata kuchoka hachoki adui kiumbe huyo
😀😀😀😀😀😀😀😀
Enzi zimepita binadamu nikiumbe hatali
mhh
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Lmaooooooo...ukweli ama vipiii lmaoooo hahahhahhahahha AUDHUBILLAH
Hawa ndio wasanii sio tarabu zeni makwapa njee mikorogo mlokosa haya jifunzeni kwa wenzenu mnaijua tarabu njie nani alokupeni kibali cha kuimba tarabu mmeharibu tarabu yetu nyie kaziyenu kibao kata
maneno kuntu
Tunatoka mbali sana 🤣
Tujitahazar
Asokasro
Yaani hichi kitu kilikua kinapgwa kweny sala. Sport club saa mbili asbh na saa nane mchane kweny taarabu ya sauti ya tanzania zanzbr miaka 99/2000
loo pooh yasini
Kiukweli nimezaliwa 1968 na wimbo huu nilianza kuusikia miaka ya 1990 nikiwa nimetembelea sheji yangu pale Tanga mjini.
Nika muuliza huyo muimbaji anaitwa Nani? Akaniambia ni Fatma Isa !!
Nika muuliza hivi alifanywa nini katka maisha yake mpaka akatoa huu ujumbe mzito?
Akaniambia yeye ni msanii mwenye kipaji hivyo Anajua Mambo mengi .
Ki ujumla ninampenda Fatma na wimbo huu toka auimbe mpaka Leo sijapata mbadala wake.
Hongera bi Fatma kwa kazi nzuri
Àpppppppppppp
Naam.
Weweweee looo poooo yasini mate chini natema kunusuru ya Julia nahisi tibia mbaya
Boti issa km huna mume mm nipo try kukuowa kwa sauti tu umejaliwa hazina ya zenji.
mwema adui hanaye
Swadaktaaa!
Hana kabisaaaa