Jinsi ya Kuongeza Kujiamini Zaidi | Ezden Jumanne
Vložit
- čas přidán 29. 09. 2018
- Jinsi Ya Kuongeza Kujiamini Zaidi:
Baada ya kutazama video hii hutakuwa tena muoga wa kuongeza mbele ya watu. Na kama bado unapata tatizo wasiliana na mimi kwa Msaada zaidi. (+255)759191076.
.
Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
.
KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
👇🏼👇🏼
Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
NUNUA VITABU:
Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
Ichukue hapa: / @youtubepesa255
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Media Personnel & An Entrepreneur
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ ezden_voiceover
.
KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
Tuwasiliane:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
#kujiamini #thamani #kuzungumza - Jak na to + styl
Safi sana Edzen unafanya kazi nzuri.Bila confidence unapoteza 100% ya uwezo wako.Kila mtu anatakiwa atambue eneo analokosa confidence na aamue kuweka mkakati wa namna ya kuijenga.Keep it up sir
Shukrani sana ndugu yangu. Halafu kuna jambo kuhusu vitabu nitakupigia leo nikujuze. Mchana huu
Kweli kabisa Mwalimu wangu
Asante sana kaka Allah akujalie kwa kila lakher
Asante sana kaka Allah akujalie kwa kila lakher
Such accurate,self-confidence is key
Safi Sana kaka napenda sana kazi yako binafsi kwangu limekua darasa shukuran sana ubarikiwe
Nakufatilia sana brother unafanya vzr sanaaaaah .
Asante sana
Maoni yangu mkuu naomba utusaidie kwa kuanzisha seminar ya namna ya kuzungumza mbele ya watu ni tatizo kwa watu wengi hata kwa kulipia ili tujifunze
Kweli kabisa brother ezden thanks so much 🙏🙏
Yaan iliwah kunikuta hyoo nilichaguliwa kuwa Mc... Wa graduation... Yaan walinshtukiza... Yaan niliona hawakunitendea haki kbsaa Cox nlikuwa cna confidence hta kidogo.... Ila nimejifunza kitu hpo bro.... May Allah blessed u.....
Asante my brother naamin nijifunza vitu vingi kupitia kwako
Asante sana brother kwa darasa naaamini hapa ni Mahali sahihi kabisa kwa kupata vitu vitakavyo tusaidia..
Amini sana kaka hakika watu kama nyinyi mnatusaidia sana uwoga ni kikwazo kikubwa cha maendeleo hata na katika taaluma
MashaAllah kaka umependeza.
Shukran kwa somo Allah akuongezee palipo pungua inshaaAllah🙏
Barakallahu fiyk brother. I can't say that "I wish to be like you " but "I will be like you "
Maa sha Allah...inawezekana kuwa hata zaidi. Tuwasiliane WhatsApp 0759191076
Kaka nafikiri hii inaweza kuwa nzuri.
Waonaje uamue kufika kabsa kwenye vyuo vya Journalism ugusie hapa. Somo hili utatupata wengi .
Nashukuru sana... Wewe uko chuo gani, tuanzie hapo?
Safi sana kaka ezden kwa somo zuri mungu akubariki 🙏
Kila ukiongelea hii mada naona unaniongelea Mimi Nashkuru Sana Bro. Mungu akubariki sana
karibu sana ndugu yangu
Uko vizuri ahsante kwa vipindi vyako hivi vizuri,najifunza mengi kusema ukweli Mungu akubariki Kaka ezden 👈
Asante San broo napata kujifunz mambo mengi San ktoka kwko ,,,,km kujiamin n mengine asante sana broo endelea kutujuza
Asantee sanaa napenda kufatilia video zako Allah Akuhifadhi uendelee tupa ufunguo wa maisha 🙏🙏🙏🙏nipenda pale ulipo sema kuwa kama wataka kuwa unajiamin kuongea kwenye umati wa watu anza kujirekodi kwanza video fupi or ukiongea kama waongea na mtu moja shukrani shukrani nakufatilia hadi insta 🙏🙏🙏🙏🙏
Nimependa hii umenilenga mim pia nimejifunza ahsante
Mungu akbark brada, naomb unxaidie nns tatzo la kuwa na hasra kpta kias cjui unaweza kunisaidia kam hli pia n moja ya kaz yakoo. Tafdhal npe ways nn nfanye kuepuka hii hali
Njoo nikuelekeze kwa jamaa frani fb alinisaidia sana mpaka saiv nina tabasam la mda wote wakati mwanzo nilikua kwenye hali mbaya pia jamaa anauza vitabu kwa soft copy and hard copy ye ni mwana psychology huduma zake ni bule kabisa nina iman utakua sawa kwa mda mfupi tu,
Shukran sana bro good wotk
Safi sana broo. Hilo nitatizo kubwa. Kuzungumza mbele zawatu nitatizo kubwa kwa watu wengi.
Asante bro nmejifunza vingi kutoka kwako coz nnatatizo lakujihisi sina uwezo wa kufanya nachohisi naweza kufanya vizuri kwasababu judgments za watu walionizunguka nashindwa kuzisahau yani kupotezea vile wanasema juu yangu h kama n masikhara so please brother help me on that i wish to be a great and successful gentleman
I get u... Na nafanyia kazi ila bado my mentor Nilikuchagua ezden ujanipa ushirikiano wa kutosha.. #in Allah i trust kila kitu kina mda wake
Asante sana kaka yangu hakika na imani kuanzia leo nitajiamini
MASHA ALLAH SUPER SPEAKER EZDEN AND SUPER SPEAKER JOEL NANAUKA MNAFANYA KAZI NZURI SANA
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Usijali bro kwa ilo TEACH ONE AND EACH ONE MIE NINAIFANYIA KAZI sana Kuanzia kushare kwa wengine na hata kuzichukua mada zenu na kuzibadilisha baadhi ya shehm ndog husuan maelezo na kuongea na watu na zinaleta athari nzuri MASHA ALLAH maan wanatoka kwenye LOW POSITION TO HIGH POSITION kiufup AL HAMDULLILLAH , BARAQAWAHU FII AL HABIB professor ezden JUMANNE fanya kazi kaka utafika unapopataka na unapostahili PULL YOUR SOCK na sisi wadogo zako tupo nyuma yako INSHA ALLAH BIIDHILLAH KAREEM.
Hongera sana kaka hii elimu uliyo barikiwa na ukaitoa sadaka kwetu!
Toka nimeanza kukufuatilia Leo ni Siku ya tatu, na nimeanza kumuona "The new me" Ni kitu ambacho kimenifanya niendelee kukufuatilia Zaidi. Wakati mwingine kusoma vitabu kunahitaji consecration ya hali ya juu, basi kama Nita shindwa kusoma vitabu, sitashindwa na kukusikiliza wewe.
Ngoja Nije Kwenye Point,,,,
Wakati mwingine unapokuwa Speaker mbele za Watu kuna baadhi ya maswali au nyongeza za wasikilizaji zinaweza kuku-discourage au kukupa hasira kiasi cha kukufanya ukatoka nnje ya mstari.
Lakini Nimesha wahi kuwashuhudia baadhi ya wazungumzaji wanaulizwa maswali ambayo hata wewe msikilizaji yanakukera na kuona uyu nae kwanini kauliza hivi. Lakini ni hajabu Speaker ilo Swali analipokea kwa tabasam pasipo hata chembe ya kupanik.
Swali langu! Ni namna gani unaweza kufanya ili kuweza kuipokea comment yoyote wakati umesimama mbele ya hadhara ya Watu bila kukuondolea mood.
Shukran sana kaka!
Inshaallah mwenyezi mungu akikujalia basi tusaidie kwa hili.
Nashukuru kujifunza, barikiwa Kaka
ahsante kwa kuniongezea vitu vizur kichwani mwangu! gid bless you.
Asante kwa education hii .
Naenda kufanyia kazi HV.
Brother please uwe mantor Wangu ktk hili
Asante mie pia mmojawapo. Na mengi ya kuongea. Miele za watu. Nashindwa. Asante kaka.
I like it, thank you.
Kweli kakaangu. Binaadamu hatujakamilika. Mola akubariki kw your good speach, idears n advise😘
Asantee Sana kwa elimu bora🙏
Unafanya vizuri sana brother, I learn!
"Baraka"
Ooopssssiii......Me najihisi kabisa nataka kulia nikiwa naongea mbele za watu. Sijui itakuwaje siku ya harusi yangu.
Confidence is a powerful thing, katika maisha aisee
Thanks bro for your nice advicement
Shukrani sana kaka. Darasa zuri sana hili na tunajifunza sana
Nakupata vilivyo kaka,tuko pa 1 xana
Shukrani sana kaka.... Naomba namba yako kuna zawadi ya kitabu cha Soft Copy ambacho nimetoa ningependa uweze kukipata pia
Thanks bro for what you done..i get your point..and God give you more
Nimejifunza sana Alhamdullillah Allah akupe akujaalie kila la Kher bro
Shukrani sana ukhty
Big up bro God bless you
Kaka uko poa Sana.. Nmejifunza
Nimeelimika kupitia vidio hii. Kujiamini ndo mpango mzima
well done my brother.
Hongera sana kaka Eziden
Pongezi sana kaka kwa mchango wako huu mkubwa ktk kutuelimisha 👊
Thanks bro. be blessed
Wow... Awesome 👏
Points tupo My Brother #EachoneTeachone👏👏👏
Very nice brother. I was among let me out in practice. Never give up brother continue with that spirit.
great staff brother ...thanks
Pamoja sana kaka...shukrani
nimekuelewa kaka nitajitaid
Nimeisomaaa brother
Daaaah brother hli swala la kupotez confidence mbele z wtu me linanitesa sana maan now npo chuo mwaka wa3 lkn lkija swala la kuongea mbele z wtu huwez siwez kbsa n huwa nakimbia presentation zote chuon naomba unisaidie kka maan leo npo chuo nauwez w kutoroka kesho ntakuwa kazin ctawez kuescape so naomb unisaidie kka🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Unapga course gan kak na chuo gan unasom
Kaka Mi Naomba ushauli juu ya matumizi Ya feza make ninapo Pokea camition huwa najikuta nishamaaliza pesa kwa mda mfpi
shukran San bro
Hello Habari Kaka mimi naitaji nikusapoti kwa kitabu
fafanua, unamaanisha kunizawadia kitabu au una maanisha kununua kitabu!
Kazi nzuri kaka unasaidia wengi
Shukrani sana ndugu
Safi. Darasa mujarrab kabisa.
Asante ndugu yangu. mazuri mengi yanakuja.
safi saana kaka
Asante kwa kutuelimisha
Uko na gd voice kka
Shukran...
Nitajitahidi kwa sababu napenda
Unanitiaga moyo Sana brother
Unamaneno mengi mkuu go straity to the point
Barikiwa sana kaka...
MUNGU akubariki ezden
Asante sana, na wewe pia ndugu yangu. mazuri mengi yanakuja. Kaa karibu
@@successpathnetwork thank you bro
Bro umenigusa sana ktk somo hili , na ninazidi kukufuatilia Kwa ukaribu sana.
Kwa point no 1. Imenusumbua kiasi kwamba nikiigusa mic huwa napoteza control confidence inapotea nashukulu Leo nimebaini nn nifanye.
Mr ezden please naomba uniunge ktk groups WhatsApp zako . lengo nikujifunza tu.
shukrani sana kaka. Endelea kufuatilia this week nitafungua hiyo group, nitasema rasmi so fuatilia hizi contents ninazotoa from now...nitaongelea rasmi
Tunashukuru sana Kaka kwa ushauli wako na uzidi kutupa elimu
Good session brother keep it up
Hii issue ya SPEED nakumbuka sana wakati ukiwa Kissfm,Kiss collabo pale!!Ulikua unatiririka sanaaa😊😊..,Bt to be honestly nilikua napenda namna ulivyokua na Accuracy ktk matamshi yako,keep the good work Going brother
Baraka nyingi zikufikie
Thank you so much
Santee kaka sijutii kukusiliza nimependa xana somo lako katika watu wasiojiamini mimi mmojawapo
Nce broo
Safi sana kaka, uko vizuri sana katika taaluma hii. Mimi huwa inasumbua sana lack of cofidence,kupitia hii video nimejifunza mengi sana.
Karibu sana ndugu yangu Francis. Nafurahi kama somo limepatikana. Kama kitu unakipenda hakikisha hauachi kukifanyia mazoezi na siku moja utasahau kama ulikua ukihangaika na tatizo Fulani. Be blessed
Ezden Jumanne Asante kaka Ezden nitafanya mazoezi ya kutosha. Mungu abariki kazi ya mikono yako.
Kaka nimependa sana masomo yako yananinua kiwango fulani mungu akubariki sana
Thank u kaka
Welcome 😊
Broo nakubali saana coz me mwenyewe ni muoga ila ntafanyia kaz kwa hili somo la kujiamini.
Kweli kaka maneno yako sawa
nimefurahi sn
Great session Bro and as a youth i really appreciate what you do cause some of us need this kind of advice so that we can be able to excell in our lives and to do so we need to be confident in ourselves and it all begin with you by believing in yourself that you're capable of doing whatever your mind has concieved ! Untill next time stay blessed Bro 🙋🙏
Thank you so much. A lot more is on the way
Mimi apa muoga mbele ya watu wengi
Nkupndaaaaa sanaaaaaaaaa
Umenujenga sana
Mimi binafsi nimependa namna ya umelekezaji wako lakin pia kwa kuwa tayari kuwa saidia wengine Mungu akubariki sana
Nashukuru sana kaka... Pamoja
Wow, nimejifunza thanks alot 👏
Power, Fact
👏👏👏👏 braza
Km mmi naogopa naona pwent imekuja kwangu kbsaaa
Nimekuelewa broo ila nina shida naitaji kujua jinsi ya kuwasilisha hisia zangu kwa mtu ninae mpenda
Respect
safi bro
Nimependa
Nmependa
Asante baba
Allah akupe umri mrefu wenye mema ndani yke
Asante
Asante kaka
Kazinzuri broo
Thank you bro
Kweli sana
Like you kk