Jinsi ya Kuongeza Kujiamini Zaidi | Ezden Jumanne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 09. 2018
  • Jinsi Ya Kuongeza Kujiamini Zaidi:
    Baada ya kutazama video hii hutakuwa tena muoga wa kuongeza mbele ya watu. Na kama bado unapata tatizo wasiliana na mimi kwa Msaada zaidi. (+255)759191076.
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @youtubepesa255
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
    #kujiamini #thamani #kuzungumza
  • Jak na to + styl

Komentáře • 195

  • @joelnanauka
    @joelnanauka Před 5 lety +63

    Safi sana Edzen unafanya kazi nzuri.Bila confidence unapoteza 100% ya uwezo wako.Kila mtu anatakiwa atambue eneo analokosa confidence na aamue kuweka mkakati wa namna ya kuijenga.Keep it up sir

  • @bashashapascazia7498
    @bashashapascazia7498 Před 4 lety +2

    Safi Sana kaka napenda sana kazi yako binafsi kwangu limekua darasa shukuran sana ubarikiwe

  • @ibrahimntagae9041
    @ibrahimntagae9041 Před 4 lety +1

    Nakufatilia sana brother unafanya vzr sanaaaaah .

  • @sharonleomaurice1438
    @sharonleomaurice1438 Před 4 lety +1

    Asante sana
    Maoni yangu mkuu naomba utusaidie kwa kuanzisha seminar ya namna ya kuzungumza mbele ya watu ni tatizo kwa watu wengi hata kwa kulipia ili tujifunze

  • @tinahosea4031
    @tinahosea4031 Před 2 lety +2

    Kweli kabisa brother ezden thanks so much 🙏🙏

  • @tawoostanzania9602
    @tawoostanzania9602 Před 5 lety +2

    Yaan iliwah kunikuta hyoo nilichaguliwa kuwa Mc... Wa graduation... Yaan walinshtukiza... Yaan niliona hawakunitendea haki kbsaa Cox nlikuwa cna confidence hta kidogo.... Ila nimejifunza kitu hpo bro.... May Allah blessed u.....

  • @lydiashadrack3589
    @lydiashadrack3589 Před 3 lety +1

    Asante my brother naamin nijifunza vitu vingi kupitia kwako

  • @azariayohana6716
    @azariayohana6716 Před 5 lety +2

    Asante sana brother kwa darasa naaamini hapa ni Mahali sahihi kabisa kwa kupata vitu vitakavyo tusaidia..

  • @obedimwambapa5654
    @obedimwambapa5654 Před 4 lety +1

    Amini sana kaka hakika watu kama nyinyi mnatusaidia sana uwoga ni kikwazo kikubwa cha maendeleo hata na katika taaluma

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 3 lety +1

    MashaAllah kaka umependeza.
    Shukran kwa somo Allah akuongezee palipo pungua inshaaAllah🙏

  • @ZilfatAlly-lv1rw
    @ZilfatAlly-lv1rw Před 8 měsíci +2

    Barakallahu fiyk brother. I can't say that "I wish to be like you " but "I will be like you "

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 8 měsíci

      Maa sha Allah...inawezekana kuwa hata zaidi. Tuwasiliane WhatsApp 0759191076

  • @leoncealex7343
    @leoncealex7343 Před 9 měsíci +1

    Kaka nafikiri hii inaweza kuwa nzuri.
    Waonaje uamue kufika kabsa kwenye vyuo vya Journalism ugusie hapa. Somo hili utatupata wengi .

  • @abubakariwaziri2521
    @abubakariwaziri2521 Před 3 lety +2

    Safi sana kaka ezden kwa somo zuri mungu akubariki 🙏

  • @emmychristopherndelwa1683

    Kila ukiongelea hii mada naona unaniongelea Mimi Nashkuru Sana Bro. Mungu akubariki sana

  • @dannyerasto137
    @dannyerasto137 Před 4 lety +1

    Uko vizuri ahsante kwa vipindi vyako hivi vizuri,najifunza mengi kusema ukweli Mungu akubariki Kaka ezden 👈

  • @mussaali4702
    @mussaali4702 Před 5 lety +2

    Asante San broo napata kujifunz mambo mengi San ktoka kwko ,,,,km kujiamin n mengine asante sana broo endelea kutujuza

  • @fadhilaally9708
    @fadhilaally9708 Před 3 lety +1

    Asantee sanaa napenda kufatilia video zako Allah Akuhifadhi uendelee tupa ufunguo wa maisha 🙏🙏🙏🙏nipenda pale ulipo sema kuwa kama wataka kuwa unajiamin kuongea kwenye umati wa watu anza kujirekodi kwanza video fupi or ukiongea kama waongea na mtu moja shukrani shukrani nakufatilia hadi insta 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @amandi6123
    @amandi6123 Před 5 lety +1

    Nimependa hii umenilenga mim pia nimejifunza ahsante

  • @rehemasadick2685
    @rehemasadick2685 Před 5 lety +2

    Mungu akbark brada, naomb unxaidie nns tatzo la kuwa na hasra kpta kias cjui unaweza kunisaidia kam hli pia n moja ya kaz yakoo. Tafdhal npe ways nn nfanye kuepuka hii hali

    • @nulujackson44
      @nulujackson44 Před 3 lety

      Njoo nikuelekeze kwa jamaa frani fb alinisaidia sana mpaka saiv nina tabasam la mda wote wakati mwanzo nilikua kwenye hali mbaya pia jamaa anauza vitabu kwa soft copy and hard copy ye ni mwana psychology huduma zake ni bule kabisa nina iman utakua sawa kwa mda mfupi tu,

  • @kayubaemmanuel247
    @kayubaemmanuel247 Před 4 lety +2

    Shukran sana bro good wotk

  • @alijuma6502
    @alijuma6502 Před 4 lety +1

    Safi sana broo. Hilo nitatizo kubwa. Kuzungumza mbele zawatu nitatizo kubwa kwa watu wengi.

  • @azizahmady1742
    @azizahmady1742 Před 5 lety +4

    Asante bro nmejifunza vingi kutoka kwako coz nnatatizo lakujihisi sina uwezo wa kufanya nachohisi naweza kufanya vizuri kwasababu judgments za watu walionizunguka nashindwa kuzisahau yani kupotezea vile wanasema juu yangu h kama n masikhara so please brother help me on that i wish to be a great and successful gentleman

  • @bilalijr5659
    @bilalijr5659 Před 5 lety +3

    I get u... Na nafanyia kazi ila bado my mentor Nilikuchagua ezden ujanipa ushirikiano wa kutosha.. #in Allah i trust kila kitu kina mda wake

  • @iamvogah
    @iamvogah Před 5 lety +1

    Asante sana kaka yangu hakika na imani kuanzia leo nitajiamini

  • @khalidhaji8570
    @khalidhaji8570 Před 2 lety +1

    MASHA ALLAH SUPER SPEAKER EZDEN AND SUPER SPEAKER JOEL NANAUKA MNAFANYA KAZI NZURI SANA

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

    • @khalidhaji8570
      @khalidhaji8570 Před 2 lety

      Usijali bro kwa ilo TEACH ONE AND EACH ONE MIE NINAIFANYIA KAZI sana Kuanzia kushare kwa wengine na hata kuzichukua mada zenu na kuzibadilisha baadhi ya shehm ndog husuan maelezo na kuongea na watu na zinaleta athari nzuri MASHA ALLAH maan wanatoka kwenye LOW POSITION TO HIGH POSITION kiufup AL HAMDULLILLAH , BARAQAWAHU FII AL HABIB professor ezden JUMANNE fanya kazi kaka utafika unapopataka na unapostahili PULL YOUR SOCK na sisi wadogo zako tupo nyuma yako INSHA ALLAH BIIDHILLAH KAREEM.

  • @Forthegoodlegacy
    @Forthegoodlegacy Před 5 lety +2

    Hongera sana kaka hii elimu uliyo barikiwa na ukaitoa sadaka kwetu!
    Toka nimeanza kukufuatilia Leo ni Siku ya tatu, na nimeanza kumuona "The new me" Ni kitu ambacho kimenifanya niendelee kukufuatilia Zaidi. Wakati mwingine kusoma vitabu kunahitaji consecration ya hali ya juu, basi kama Nita shindwa kusoma vitabu, sitashindwa na kukusikiliza wewe.
    Ngoja Nije Kwenye Point,,,,
    Wakati mwingine unapokuwa Speaker mbele za Watu kuna baadhi ya maswali au nyongeza za wasikilizaji zinaweza kuku-discourage au kukupa hasira kiasi cha kukufanya ukatoka nnje ya mstari.
    Lakini Nimesha wahi kuwashuhudia baadhi ya wazungumzaji wanaulizwa maswali ambayo hata wewe msikilizaji yanakukera na kuona uyu nae kwanini kauliza hivi. Lakini ni hajabu Speaker ilo Swali analipokea kwa tabasam pasipo hata chembe ya kupanik.
    Swali langu! Ni namna gani unaweza kufanya ili kuweza kuipokea comment yoyote wakati umesimama mbele ya hadhara ya Watu bila kukuondolea mood.
    Shukran sana kaka!
    Inshaallah mwenyezi mungu akikujalia basi tusaidie kwa hili.

  • @marrytonny8953
    @marrytonny8953 Před 3 lety +1

    Nashukuru kujifunza, barikiwa Kaka

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv Před 5 lety +3

    ahsante kwa kuniongezea vitu vizur kichwani mwangu! gid bless you.

  • @noahfilimoni4703
    @noahfilimoni4703 Před 5 lety +2

    Asante kwa education hii .
    Naenda kufanyia kazi HV.
    Brother please uwe mantor Wangu ktk hili

  • @ashabakke4733
    @ashabakke4733 Před 5 lety +1

    Asante mie pia mmojawapo. Na mengi ya kuongea. Miele za watu. Nashindwa. Asante kaka.

  • @stevenchusi8559
    @stevenchusi8559 Před 5 lety +3

    I like it, thank you.

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 Před 5 lety +2

    Kweli kakaangu. Binaadamu hatujakamilika. Mola akubariki kw your good speach, idears n advise😘

  • @ukhtyhalimasubscribedismai6497

    Asantee Sana kwa elimu bora🙏

  • @t.a.glangolabarakamorogoro1957

    Unafanya vizuri sana brother, I learn!
    "Baraka"

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 4 lety +1

    Ooopssssiii......Me najihisi kabisa nataka kulia nikiwa naongea mbele za watu. Sijui itakuwaje siku ya harusi yangu.

  • @latestinfos7013
    @latestinfos7013 Před 5 lety +2

    Confidence is a powerful thing, katika maisha aisee

  • @edgarmsomi7796
    @edgarmsomi7796 Před 4 lety +2

    Thanks bro for your nice advicement

  • @Footballskill01
    @Footballskill01 Před 5 lety +1

    Shukrani sana kaka. Darasa zuri sana hili na tunajifunza sana

  • @nsikakuamos5279
    @nsikakuamos5279 Před 5 lety +1

    Nakupata vilivyo kaka,tuko pa 1 xana

  • @LazaroSamwel
    @LazaroSamwel Před 5 lety +6

    Shukrani sana kaka.... Naomba namba yako kuna zawadi ya kitabu cha Soft Copy ambacho nimetoa ningependa uweze kukipata pia

  • @christophersigareti2453
    @christophersigareti2453 Před 5 lety +2

    Thanks bro for what you done..i get your point..and God give you more

  • @ZawiyaJumanne
    @ZawiyaJumanne Před 5 lety +4

    Nimejifunza sana Alhamdullillah Allah akupe akujaalie kila la Kher bro

  • @geofrayreuben1090
    @geofrayreuben1090 Před 5 lety +3

    Big up bro God bless you

  • @pauloawe7338
    @pauloawe7338 Před 5 lety +1

    Kaka uko poa Sana.. Nmejifunza

  • @jannejoshua6905
    @jannejoshua6905 Před 5 lety +1

    Nimeelimika kupitia vidio hii. Kujiamini ndo mpango mzima

  • @ubuyutv2577
    @ubuyutv2577 Před 5 lety +3

    well done my brother.

  • @theonilachaula1064
    @theonilachaula1064 Před 3 lety +1

    Hongera sana kaka Eziden

  • @frankjohn47
    @frankjohn47 Před 3 lety

    Pongezi sana kaka kwa mchango wako huu mkubwa ktk kutuelimisha 👊

  • @racheljulius6489
    @racheljulius6489 Před 5 lety +2

    Thanks bro. be blessed

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 5 lety +1

    Wow... Awesome 👏

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 4 lety +1

    Points tupo My Brother #EachoneTeachone👏👏👏

  • @michaelmayunga5301
    @michaelmayunga5301 Před 5 lety +2

    Very nice brother. I was among let me out in practice. Never give up brother continue with that spirit.

  • @pagallohumphrey722
    @pagallohumphrey722 Před 5 lety +4

    great staff brother ...thanks

  • @bachelaog8797
    @bachelaog8797 Před 5 lety +4

    nimekuelewa kaka nitajitaid

  • @zebedayodaniel6630
    @zebedayodaniel6630 Před 2 lety

    Nimeisomaaa brother

  • @josephpaul4986
    @josephpaul4986 Před 5 lety +2

    Daaaah brother hli swala la kupotez confidence mbele z wtu me linanitesa sana maan now npo chuo mwaka wa3 lkn lkija swala la kuongea mbele z wtu huwez siwez kbsa n huwa nakimbia presentation zote chuon naomba unisaidie kka maan leo npo chuo nauwez w kutoroka kesho ntakuwa kazin ctawez kuescape so naomb unisaidie kka🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @juliusfungo2754
    @juliusfungo2754 Před 5 lety +4

    Kaka Mi Naomba ushauli juu ya matumizi Ya feza make ninapo Pokea camition huwa najikuta nishamaaliza pesa kwa mda mfpi

  • @shabanibinhaji3293
    @shabanibinhaji3293 Před 5 lety

    shukran San bro

  • @topazmjackison7294
    @topazmjackison7294 Před 3 lety +1

    Hello Habari Kaka mimi naitaji nikusapoti kwa kitabu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      fafanua, unamaanisha kunizawadia kitabu au una maanisha kununua kitabu!

  • @clevernoddy5877
    @clevernoddy5877 Před 5 lety +3

    Kazi nzuri kaka unasaidia wengi

  • @maundumwingizi8027
    @maundumwingizi8027 Před 5 lety +8

    Safi. Darasa mujarrab kabisa.

  • @hamisjuma4175
    @hamisjuma4175 Před 4 lety

    safi saana kaka

  • @godifreykagosha9833
    @godifreykagosha9833 Před 3 lety

    Asante kwa kutuelimisha

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 Před 5 lety +5

    Uko na gd voice kka

  • @mariamnahodha2390
    @mariamnahodha2390 Před 5 lety +2

    Nitajitahidi kwa sababu napenda

  • @asifiwekayole2335
    @asifiwekayole2335 Před 4 lety

    Unanitiaga moyo Sana brother

  • @bensonmahenge889
    @bensonmahenge889 Před 3 lety

    Unamaneno mengi mkuu go straity to the point

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 Před 5 lety

    Barikiwa sana kaka...

  • @consciousupdatespangani4844

    MUNGU akubariki ezden

  • @noahfilimoni4703
    @noahfilimoni4703 Před 5 lety +3

    Bro umenigusa sana ktk somo hili , na ninazidi kukufuatilia Kwa ukaribu sana.
    Kwa point no 1. Imenusumbua kiasi kwamba nikiigusa mic huwa napoteza control confidence inapotea nashukulu Leo nimebaini nn nifanye.
    Mr ezden please naomba uniunge ktk groups WhatsApp zako . lengo nikujifunza tu.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety +1

      shukrani sana kaka. Endelea kufuatilia this week nitafungua hiyo group, nitasema rasmi so fuatilia hizi contents ninazotoa from now...nitaongelea rasmi

  • @gorethminani3311
    @gorethminani3311 Před 4 lety

    Tunashukuru sana Kaka kwa ushauli wako na uzidi kutupa elimu

  • @flavianayusuph1309
    @flavianayusuph1309 Před 3 lety

    Good session brother keep it up

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Před 5 lety +1

    Hii issue ya SPEED nakumbuka sana wakati ukiwa Kissfm,Kiss collabo pale!!Ulikua unatiririka sanaaa😊😊..,Bt to be honestly nilikua napenda namna ulivyokua na Accuracy ktk matamshi yako,keep the good work Going brother
    Baraka nyingi zikufikie

  • @nizigamabosco2095
    @nizigamabosco2095 Před 3 lety

    Thank you so much

  • @hamisadodo453
    @hamisadodo453 Před 5 lety

    Santee kaka sijutii kukusiliza nimependa xana somo lako katika watu wasiojiamini mimi mmojawapo

  • @musbenmustard9218
    @musbenmustard9218 Před 4 lety

    Nce broo

  • @francismkufya8183
    @francismkufya8183 Před 5 lety +2

    Safi sana kaka, uko vizuri sana katika taaluma hii. Mimi huwa inasumbua sana lack of cofidence,kupitia hii video nimejifunza mengi sana.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety +1

      Karibu sana ndugu yangu Francis. Nafurahi kama somo limepatikana. Kama kitu unakipenda hakikisha hauachi kukifanyia mazoezi na siku moja utasahau kama ulikua ukihangaika na tatizo Fulani. Be blessed

    • @francismkufya8183
      @francismkufya8183 Před 5 lety +1

      Ezden Jumanne Asante kaka Ezden nitafanya mazoezi ya kutosha. Mungu abariki kazi ya mikono yako.

    • @loserinigeorge901
      @loserinigeorge901 Před 5 lety

      Kaka nimependa sana masomo yako yananinua kiwango fulani mungu akubariki sana

  • @SamiaRamadan-us4zp
    @SamiaRamadan-us4zp Před 2 měsíci +1

    Thank u kaka

  • @kinlee8035
    @kinlee8035 Před 4 lety

    Broo nakubali saana coz me mwenyewe ni muoga ila ntafanyia kaz kwa hili somo la kujiamini.

  • @mamashemsasaid9483
    @mamashemsasaid9483 Před 4 lety

    Kweli kaka maneno yako sawa

  • @gracenjoroge6890
    @gracenjoroge6890 Před 5 lety +1

    nimefurahi sn

  • @pascalmethod9271
    @pascalmethod9271 Před 5 lety +3

    Great session Bro and as a youth i really appreciate what you do cause some of us need this kind of advice so that we can be able to excell in our lives and to do so we need to be confident in ourselves and it all begin with you by believing in yourself that you're capable of doing whatever your mind has concieved ! Untill next time stay blessed Bro 🙋🙏

  • @farajaalex4481
    @farajaalex4481 Před 5 lety

    Nkupndaaaaa sanaaaaaaaaa

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Před 5 lety

    Umenujenga sana

  • @jibriltz6685
    @jibriltz6685 Před 5 lety +2

    Mimi binafsi nimependa namna ya umelekezaji wako lakin pia kwa kuwa tayari kuwa saidia wengine Mungu akubariki sana

  • @sfcompany2191
    @sfcompany2191 Před 3 lety

    Power, Fact

  • @hyahasisimsigala4346
    @hyahasisimsigala4346 Před 4 lety

    👏👏👏👏 braza

  • @farajaalex4481
    @farajaalex4481 Před 5 lety +2

    Km mmi naogopa naona pwent imekuja kwangu kbsaaa

  • @hemedimuna1400
    @hemedimuna1400 Před 5 lety +1

    Nimekuelewa broo ila nina shida naitaji kujua jinsi ya kuwasilisha hisia zangu kwa mtu ninae mpenda

  • @abdallahkigube2897
    @abdallahkigube2897 Před 5 lety +1

    Respect

  • @emmanuelmselestine3960
    @emmanuelmselestine3960 Před 5 lety +1

    safi bro

  • @abdulyshabani9357
    @abdulyshabani9357 Před 5 lety

    Nimependa

  • @charleskimario7299
    @charleskimario7299 Před 5 lety

    Nmependa

  • @sandrauwasezoe1031
    @sandrauwasezoe1031 Před 5 lety

    Asante baba

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 Před 5 lety

    Allah akupe umri mrefu wenye mema ndani yke

  • @oranwateroranwater6356

    Asante

  • @aishamwaiposa9468
    @aishamwaiposa9468 Před 5 lety

    Asante kaka

  • @ayoubissa977
    @ayoubissa977 Před 3 lety

    Kazinzuri broo

  • @inspectinglife4211
    @inspectinglife4211 Před 4 lety +1

    Kweli sana

  • @sweetbertmbowe3284
    @sweetbertmbowe3284 Před 5 lety

    Like you kk