Ewe mwenyezi mungu muumba wa mbingu na ardhi mkumbuke mama yetu @upendo nkone na neema imbebe na ivunje Sheria🙏🙏🙏wapendwa tusimame na mama yetu na neema itubebe sote🙏🙏🙏
Napenda sana nyimbo zako sana zinagusa sana moyo wangu.miaka ya 2000 nilikuwa na mikanda 4 ya kwaya, upendo Nkone, Bahati Bukuku, Matha mwaipaja na Rozy Muhando. Hongera mama!
Uimbaji injili ni kifaa,kipawa,kitumikacho kuhudumia watu,na kumuhudumia Mungu kwa kuachilia maneno yenye nguvu ya kiroho,katika kumwabudu,kufundisha,kuomba,kusifu,kuinjilisha etc. Na huu wimbo ni wabaraka sanaaaa,katika kumuongoza mtu anapohitaji kukoka au kutubu makosa kwa Baba! Yamkin si yeye atubuye wakati huo,ila ametumia sanaa yakuimba ka niaba ya kila mwenye uhitaji watoba atakapo taka kutubu ataimba huu wimbo. ZIDI KUINULIWAAA MY BIG SISTER,WEWE NI HAZINA KATIKA MWILI WA KRISTO.
Hallelujah. Thanks for this good song .God bless you mum for using u to pass this massage in this big way. It's time for the world to take a total repentance. Lord please have mercy upon your people as we are coming back to u
Oh Lord Jesus have your mercy upon me ..am a sinner, my fleshly desires....am single but I admire sex...my heart is full of pride... I dont admit mistakes hence not liking corrections. please forgive me and others.. wash me with the blood of covenant...keep me right on your roots and help me to remain conscious of eternity in Jesus name..Amen🙏😭
I like your honesty,Our God is faithful and just to forgive us all our sin,then pray for the Holy Spirit to help you not to get into temptations again.I wish you well
Upendo Mtumishi wa Mungu, Umebarikiwa na Bwana Yesu Kristo, Nyimbo zako zote zimejaa Neema na Unyenyekevu na Rehema za Mungu wetu aliye Mbinguni. Tunakuombea mioyo mwetu. Asante sana Mpendwa na Dada yetu. ❤❤❤🌹🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘
🙇♀️ 😭 🙌 Hata na mimi mwanao BABA WA MBINGUNI NAOMBA UNISAMEHE MAKOSA,DHAMBI ZANGU ZOTE NATUBU...BABA WA MBINGUNI NISAMEHE....NIOSHE TENA NA DAMU YA MWANAO WA PEKEE YESU KRISTO MKOMBOZI WETU. AMINA 🙏 ❤ MUNGU AKUBARIKI TENA ZAIDI MAMA UPENDO NKONE ❤
Ubarikiwe mama ila kwa ushauri vua hayo mapambo ya yezebeli na uyaache kabisa kwani hata ukibaki bila mapambo unapendeza ili usiji Fanya kazi ya bure na Yesu asije sema ondoka sikujui.ni ushauri wangu kwako ndugu katika kristo.
Amen ubarikiwe sana kwa wimbo ila mama achana na Mapambo hayo si ya Mungu yanaweza kukufanya ukaikosa mbingu kuna watumishi wengi sana wamefunuliwa hayo mapambo yanapeleka wanawake wengi kuzimu ,huduma yako isije ikawa ni bure Mungu akupe neema hiyo ujue hilo ubarikiwe
Ewe mwenyezi mungu muumba wa mbingu na ardhi mkumbuke mama yetu @upendo nkone na neema imbebe na ivunje Sheria🙏🙏🙏wapendwa tusimame na mama yetu na neema itubebe sote🙏🙏🙏
Amen tufanye mpango mama yetu anatubariki mnoo
Mungu nisamehe nimekukosea sana
Nisamehe yesu Mimi ni mwenye nzambi Amen
Napenda sana nyimbo zako sana zinagusa sana moyo wangu.miaka ya 2000 nilikuwa na mikanda 4 ya kwaya, upendo Nkone, Bahati Bukuku, Matha mwaipaja na Rozy Muhando. Hongera mama!
Upendo I love you mama angu
Mungu nisamehe kwakuto kurizika na kile kidogo ulicho nibariki 😢🙏🙏❤️. Umenipa pumzi ya bure, Nina kila sababu yakuliunua Jina Lako 🙏🙏
Nisamehe😢😢😢😢
Forgive me😢😢😢😢😢😢
Forgive UGANDA 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Forgive Africa😢😢😢😢
Forgive the world😢😢😢
God forgive me
God forgive our country kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tusamehe sisi wote baba yetu🙏🙏🙏
Uimbaji injili ni kifaa,kipawa,kitumikacho kuhudumia watu,na kumuhudumia Mungu kwa kuachilia maneno yenye nguvu ya kiroho,katika kumwabudu,kufundisha,kuomba,kusifu,kuinjilisha etc.
Na huu wimbo ni wabaraka sanaaaa,katika kumuongoza mtu anapohitaji kukoka au kutubu makosa kwa Baba! Yamkin si yeye atubuye wakati huo,ila ametumia sanaa yakuimba ka niaba ya kila mwenye uhitaji watoba atakapo taka kutubu ataimba huu wimbo.
ZIDI KUINULIWAAA MY BIG SISTER,WEWE NI HAZINA KATIKA MWILI WA KRISTO.
Kwa kweli dada upendo wewe chombo cha BWANA YESU, MUNGU akukumbuke kama yusufu
Mimi ni mwenye dhambi moyo wangu huwa unatabia ya kufisha naomba toba na msamaha Rehema yako inihurumie mtoto wako ....🙏🙏
Yesu Kristo tusamehe makosa yetu utuoshe kwa Damu Yako yasamani na utuponye magojwa
Forgive us Lord we know we have fallen short of your glory. But cleanse us with the blood of Jesus and create in us a pure heart and a clean spirit.
Nisamehe very wonderful song be blessed.
Yesu nisamehe mimi nirudishie heshia yangu baba
I can NOT stop playing this song. Each time I play it and declare it, everything that I think about manifest. I'm Qualified...It Has Been Established
Hallelujah.
Thanks for this good song .God bless you mum for using u to pass this massage in this big way.
It's time for the world to take a total repentance. Lord please have mercy upon your people as we are coming back to u
What a powerful worship song barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Despite of years of dormancy, Upendo Nkones Voice remains a memory of unchangeable and unaltered one.
Soit béni Maman upendo!
Absolutely 💫😇🤍
@@BoazKisomerya-vc8uzuao😅😊
Nisamehe mungu wangu nakuomba ...,,,I am a sinner may you have mercy upon me plizz I beg you my Lord.,,, Amen
Deep Soul Searching Song. Nihurumie bwana na Unisamehe Yesu
Nakupenda sana mama angu Mungu akutunze sana❤❤😢😢
ee YESU unisamehe ninatubu makosa yangu unisamehe barikiwa sana mama kwa wimbo mzuurii
Oh Lord Jesus have your mercy upon me ..am a sinner, my fleshly desires....am single but I admire sex...my heart is full of pride... I dont admit mistakes hence not liking corrections. please forgive me and others.. wash me with the blood of covenant...keep me right on your roots and help me to remain conscious of eternity in Jesus name..Amen🙏😭
Àmina
I like your honesty,Our God is faithful and just to forgive us all our sin,then pray for the Holy Spirit to help you not to get into temptations again.I wish you well
I pray this prayer too Amen
Amen
Amen
Nisamee baba yangu. Tusamee sote baba tunatubu mbele zako katika jina la YESU CHRISTU
I'm on my knees Lord Jesus forgive me 😭😭😭😭😭😭
Mungu ni mwema barikiwa maman
uturehemu eeeh YESU KRISTO wa nazareti mwana wa MUNGU aliye hai,AMEN
I repent all of my sins known and unknown, Jesus wash me with your blood
Ee Mungu nisamehee niko miguun pako we ulie niumba nisamehe
Ufufio ndio huu wakati tunaitwa tumrudie bwana tuimbe msamaha mungu mbariki NKONe
Mungu azid kukutumia kwa namna apendavyo mama angu
Yesu Nami nisamehe Bwana, naomba ufute jina langu kwenye kitabu cha hukumu, nisamehe Bwana.
Indeed we need msamaha wa Mungu,Dunia imerarura na inararua hata Wakristo Sasa.
Yesu tusamehe ndiposa tupate kupona.
This woman of God is born to worship the Lord.. learning from her
Najitaidi kutenda mema lakini mabaya yananikaribia eh Mungu unisamehe dhambi zangu 🙏🙏. Asante sana👏👏👏 dada Upendo kwa wimbo mzuri wakuombea msamaha @barikiwa ❤
Kiukweli nimebarikiwa sana na huu ujumbe barikiwa Upendo Nkone Mungu akubali
Mama yetu you are a blessing to my soul! I'm blessed
Nisamehe Yesu ,,nitatubu na kuziungama dhambi zangu zito eeh Bwana nitakase kwa damu yako🙏
mama nakupenda sana uzidi kubarikiwa na kutumika kwa wakati wa sasa na badae
Upendo Mtumishi wa Mungu, Umebarikiwa na Bwana Yesu Kristo, Nyimbo zako zote zimejaa Neema na Unyenyekevu na Rehema za Mungu wetu aliye Mbinguni. Tunakuombea mioyo mwetu. Asante sana Mpendwa na Dada yetu. ❤❤❤🌹🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘
Yesu naomba unisamehe Mimi na wafanyazi wenzangu,marafiki zangu,familia yetu na wote wanaonihusu hata na wale wasionihusu
Nisamehe kwa yale yote nimetenda kinyume na neno lako ewe bwana Mungu
Asante sana mama yetu kwanyimbo nzuri sana mungu akulinde na akupe afya nzuri ubarikiwe mama yetu
Am repenting this morning, am a sinner, forgive me ,please my Lord accept me back, amen.
Abba Father, we're not worthwhile before you but we request for your grace to sanctify us , give us a heart that trembles before your word!!
🙇♀️ 😭 🙌 Hata na mimi mwanao BABA WA MBINGUNI NAOMBA UNISAMEHE MAKOSA,DHAMBI ZANGU ZOTE NATUBU...BABA WA MBINGUNI NISAMEHE....NIOSHE TENA NA DAMU YA MWANAO WA PEKEE YESU KRISTO MKOMBOZI WETU. AMINA 🙏 ❤
MUNGU AKUBARIKI TENA ZAIDI MAMA UPENDO NKONE ❤
asante mungu
Ubarikiwe mama ila kwa ushauri vua hayo mapambo ya yezebeli na uyaache kabisa kwani hata ukibaki bila mapambo unapendeza ili usiji Fanya kazi ya bure na Yesu asije sema ondoka sikujui.ni ushauri wangu kwako ndugu katika kristo.
BWANA aturehemu, kwakweli ila pia mama yangu kumbuka haya( 1 Timotheo 2:9-11) 1petro 3:3-6)(1wakorintho 3:16-17)( barikiwa
🙏🙏🙏🙏 MUNGU nirehemu mwana wa David
Natubu toba ya kweli na bendera ya msimamo
Mungu nisamehe kwa huu mlima wa dhambi nilizozitenda.ziondoe na unipe msamaha wa dhambi
Eeeh Yesu nisamehe Mimi niliye mwenye dhambi, nisamehe nisamehe Baba🙏
Aseee!! Yesu nisamehee Nkone nmekuelewa vzr sana mama
Nakupenda sana mama Mungu azidi kukuinuaaa zaidi
God bless you my mom, I love you so much, your song makes the way for me to receive breakthrough and work
Bwana yesu naomba unisamehe makosa yangu ninapo kusea kilauchao.
Yesu nisamehe makosa yangu😢
Lord of compassion,mercy and too much love forgive me,natubu kuputia upako ulioko katika wimbo huu
Naomba usikatae naomba unihurumie ninatubu toba ya kweli mimi ni mwenye dhambi yesu naomba nisamehee
Nisamehe nami bwana natupu makosa yangu ...usikumbuke uovu wangu ...naungama dhambi zangu zote ...Baba wa upendo ..
Nisamehe
Mungu nirehemu I come before you I ask for your forgiveness and mercy upon me 😭
yesu nisamehe natubu makosa yangu nisamehe 🙏🙏🙏🙏
Yesu nisamehe...natubu makosa yangu ...Naomba unisamehe Baba wa Mbinguni
Nisamehe Yesu , Baba wa uruma ,natubu makosa yangu 😭
Natubu zambi nilizike kwakile mungu anacho nijalia pia niludi kundini nimekuwa mwanampotevu.nisamehe munguuu.😢😢😢😢
YESU NISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante mama uzidishiwe tena kipaji ninakufata kilasiku tokea Congo
Hallelujah Hallelujah... Nisamehe ee Bwana🙌🙌🙌🙏.... Uzidiwe na neema Mama.
😢😢😢😢😢waaaah such a wonderful song
May God forgive my sins that I have made both knowingly and unknowingly 👏👏👏
Ho ho ho ho yesu yesu ni rehemu Mimi nioshe uovu wangu makosa yangu nitetee Yesu😭🤲
Ni mara mingi nimekuasi na kutenda maovu mengi yesu nisamehe na kwa huruma zako usifiche uso wako kwangu😢
Wimbo mzuri
Hallelujah 🙏 najua baba nimekosa na nimeenda kinyume na mapenzi Yako lakini natubu unisamehe baba
Mwenyezi mungu naomba unisamehe ❤
God am a sinner please lord have mercy upone me and forgive my sins
Nisamehe Mungu, dhambi , zote nilizozitenda natubu Nisamehe, hata zingali nyekundu naomba zisafishe ziwe nyeupi kama theluji😭😭
Good mama NAONA WALE WAIMBAJI WENYEWE SASA WAMEANZA KUIMBA BORA ❤
Nisamehe Mimi mwenye zambi MUNGU wangu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
Mungu baba bariki mama Nkone,nabarikiwa sana na nyimbo zako,barikiwa sana
Yesu nisamehe now mkosa, nitakase na unioshe upya.
Yesu nisamehe mm ni mwanadam tu sijakamilika unirehemu Bwana
O God forgive me day to day ...all time I confess and cry you take me back into your arms again ...let me be your child forever❤🙏🏻
Nikweli nisamee babaaaaa Niko mbele zako
Upendo nkone my favorite gospel artist...big up the song Is so touching
A great worshipper of our time. I also repent Lord have mercy upon me and my family. 6:04
Nisamehe baba yangu me mweny dhambi 😢yesu wangu nirihemu 😢🙏
mungu nisamehe, forgive me, 🙏🙏🙏🙏
forgive me my lord, I know you know how I feel in my heart and what is going on onto my life...... please forgive us😢😢🙏🙏
Sisi ni wenye dhambi tusamehe Bwana ninaacha nawe Bwana 😭nisamehe dhambi zangu mungu akuna mwingine kama wewe Bwana mungu akutete mummy🇰🇪
Amen ubarikiwe sana kwa wimbo ila mama achana na Mapambo hayo si ya Mungu yanaweza kukufanya ukaikosa mbingu kuna watumishi wengi sana wamefunuliwa hayo mapambo yanapeleka wanawake wengi kuzimu ,huduma yako isije ikawa ni bure Mungu akupe neema hiyo ujue hilo ubarikiwe
Nisamehe yesu kwakilakosa nilokutendea mimi silolote sochochote naomba unisafishe nakunitakasa
Am a sinner for give me My God,have mercy on me 🙏
Mama wetu tunakupenda sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮ubalikiwe Sana
Yesu mwokozi naomba unisamehe kwa makosa niliyo yatenda kinyume na mapenzi yako
Yesu nisamehe Bwana wangu.😢
Kwa hakika mimi ni mwenye dhambi nisamehe Yesu
Nisamehe Bwana Yesu. Mimi ni mkosaji.
Oooh Lord i repent my sins before forgive me Father
Mungu abariki kipaji chako 🙌
God please forgive me I have sinned before thee , forgive my family and all my loved ones please Baba tusamehe sote
Natubu makosa yangu nisamehe yesu🙏🙏🙏.
Hii nyimbo ni Sala ya Toba tosha ❤
YESU nisamehe dhambi zangu mim😢😢😢😢🙏🙏🙏😢😭😭🙏🙏🙏
Amen ubarikiwe Dada yetu Australia tunakupenda
Toka nikiwa darasa la nne ndo niliemuoma ni muimbaji wa Mungu
O LORD JESUS CHRIST our SAVIOR , forgiveness and mercy, belong to you.
Halleluyah Yesu ujumbe mzuri Sana kwa walio kata tamaa na kujichafua roho zao Yesu tusamehe
Ee mungu turehemu ss na uzao wetu uliojaa kiburi