Upendo Nkone - UTABAKI NA MIMI (Official Audio)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 163

  • @ebuelaluolo732
    @ebuelaluolo732 Před 4 lety +46

    messaje himefika mamangu , Mungu akubariki sana, walio barikiwa pamoja nami gongeni like hapo chini ili twende sawa

  • @neemalema7981
    @neemalema7981 Před 3 lety +9

    Majaribu ni kama moto yanauchoma moyo, yamenipata mim moyoni mwangu naumia... ilikua ni kwa ajili yangu kabisa,,,katika uchungu uliopitiliza wimbo huu ukawa faraja na uponyaji
    Ubarikiwe sana 🙏
    My song🙏

  • @norbertlubwey7274
    @norbertlubwey7274 Před 10 dny

    MIMI USHAURI WANGU ,naona huu wimbo hauna tofauti nimebaki na Yesu ,sijaona jipya ila naona kiwango chako Cha utunzi kimeshuka ikiwa uimbaji umekuwa wa aina Moja ....ifikie hatua Sasa tumwite Roho Mtakatifu ashushe nyimbo , jitahidi sana kuongea na Roho Mtakatifu tpate vitu vipya ........heri Anayekosa kuliko anaykupamba
    UNIONGOZE
    Upendo wa Yesu
    Na nimebaki na Yesu
    Hivyo hakuna trending song mama ,Mimi sio mnafiki kama hao wengine wanaokusifu
    Na Mimi SHABIKI WAKO BORA SANA

  • @innajonathan8273
    @innajonathan8273 Před 4 lety +10

    Baki na Mimi Yesu. Binadamu wameniacha Yesu baki na Mimi

  • @joskyshams4758
    @joskyshams4758 Před 4 lety +7

    Wow wow wow Asante kwa kwa sababu utabaki na mimi. Mimi wa kwaza kutazama nikiwa 🇰🇪

  • @lulufrance1997
    @lulufrance1997 Před 4 lety +6

    Kweli katika dunia hii hakuna mfariji isipo kuwa YESU......hiv dada upendo umenifanya nilie kwa wimbo wako So pain full Unafariji unatia moyo......MUNGU alie juu akuzidishie.......Baba niinue na mm.....wengine wakiniacha utabaki na mm.....😣😭😭😭😭😭

  • @beatriceshayo8101
    @beatriceshayo8101 Před 4 lety +6

    Yesu pekee tu ndio ndio kimbilio, haijalishi magumu tunayopitia,yesu utabaki na mimi👏👏👏👏

  • @marrykisiki4655
    @marrykisiki4655 Před rokem +4

    Yesu utabaki na Mimi wengine wakiniacha Yesuu!! Utabaki na Mimi🙏🙏🙏

  • @IvyWanjala-wd7wn
    @IvyWanjala-wd7wn Před 2 dny

    Pendo. Mkone ni ombe. Mama ngu. Na tafutamwe mwezangu. Kijana wa ndoa. Ni ombe mama ngu

  • @peterchao9311
    @peterchao9311 Před 4 lety +5

    Hongera Sana Dada yangu hakika nyimbo zako zimekua zikinipatia faraja Sana hasa kwa magumu niliyoyapitia,Mungu aendelee kukupa afya njema na utunzi wenye maono zaidi.

  • @ivyodero6881
    @ivyodero6881 Před 3 lety +2

    Yesu utabaki na Mimi yesu yote ya dunia kwisha utabaki na mimi.asante mama kutumika kuimba nyimbo za kufariji moyo

  • @albertbyendatv7436
    @albertbyendatv7436 Před 4 lety +6

    😭😭😭 wengine wakiniacha , utabaki namimi

  • @shadracknzioka9650
    @shadracknzioka9650 Před 2 lety +4

    Jesus, the ultimate friend who will never forsake us when we call on his name🙏

  • @beatricesanga7856
    @beatricesanga7856 Před 4 lety +3

    Baki na Mimi mungu wangu nimebaki mwenywe Baki na Mimi Leo na kesho na hata milele napitia maumivu makali

  • @Janvierimarairenge-h9d
    @Janvierimarairenge-h9d Před měsícem +1

    Kweli Nafarijika.

  • @EzekieliEmmanuel
    @EzekieliEmmanuel Před 24 dny

    Ubarikiwe mtumishi Mungu akutunze sana uendelee kututoa moyo. God bless

  • @user-yf9cm9nu7w
    @user-yf9cm9nu7w Před 10 měsíci

    Utabaki na mimi wengine wakiniacha utabaki na mimi yesuuu . God bless you mamaaa

  • @mceddie3718
    @mceddie3718 Před 4 lety +2

    Nakupenda Sana Mtumishi Upendo Nkone...Ahsante kwa Mahubiri Yako kwa njia ya uimbaji..Mungu Azidi Kuinua Huduma Yako Kwa Viwango zaidi...na watu wazidi kubarikiwa na nyimbo zako na kuvuka salama kwenye mapito yao.

  • @RehemaEmmanuel-z7g
    @RehemaEmmanuel-z7g Před 7 dny

    Ohhh hallelujah ubarikiwe mtoto wa YESU

  • @yusuphemanuel9711
    @yusuphemanuel9711 Před 2 lety +1

    Napenda sana nyimbo zako mtumishi wa Mungu

  • @theresianyangachi6432
    @theresianyangachi6432 Před 3 měsíci

    Riziki hapa nyimbo zako huwa zina nibarik hii ablam nitaitaifuta je wap nitaipata au kwenye tovutut gan naomba jibu

  • @lionsonlionel2140
    @lionsonlionel2140 Před 4 lety +2

    Songambere na huduma burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunakupenda

  • @genevievesunday
    @genevievesunday Před 7 měsíci

    Hongera mtumishi kwa wimbo mzr unstia moyo.

  • @doreenmukandara6508
    @doreenmukandara6508 Před 4 lety +4

    AMEN.UTABAKI NA MIMI BWANA

  • @dianamilaji5251
    @dianamilaji5251 Před 4 lety +3

    Nakupenda sana mama,yesu azid kukutunza mama

  • @napendammbaga-my6lx
    @napendammbaga-my6lx Před rokem

    Wimbo huu umenifanya nikalia Sana majaribu ni Kama Moto yesu Baki na mm .

  • @falonnetshilongo2438
    @falonnetshilongo2438 Před rokem

    mimi na liya, matshozi yangu uyaone baba, faradja yako iwe na mimi bwana🥲😭😭😭😭😭

  • @evaristmagige6072
    @evaristmagige6072 Před 4 lety +5

    Mamaaaah Napendaah sanaaah Gospel zakoooh usikae kimya mda mrefu sanaaah tafadhar

    • @doradondori4956
      @doradondori4956 Před rokem

      Yani mama hakika Roho mtakatifu anatia maneno yake ndani yako yenye uhai oooo!!! Jesus nisaidie kweli kweli

  • @user-my7ik4hd4p
    @user-my7ik4hd4p Před 6 měsíci

    Hizi nyimbo zako nazipenda sana Mungu akubariki milele

  • @davidobonyo7558
    @davidobonyo7558 Před 4 lety +2

    Yesu ndiye Mfalme Wa kweli hakauki wala hakaukiwi baki nami Yesu

  • @habinamwishoclement8460

    JESUS MY BEST FRIEND OOH ALELUAH my GOD bless you human of GOD

  • @StemcellCellifezTanzania
    @StemcellCellifezTanzania Před 4 lety +4

    Mtumishi tunamis zile nyimbo zako kama Nakuabudu ,uniongoze Yesu uliimba katika Roho Mno. Tunaomba vionjo hivyo Mtumishi Upendo Kwa ujumla zile Album zako za mwanzo was touched when you listen you feel the annointing of Holy spirit Every where. May God of Heaven and Earth continue to bless you. Your a woman of God 💪💪

    • @andersonmwayaya8866
      @andersonmwayaya8866 Před 3 lety

      The only and strong option is God to intervene in our cries our tears are so hot to land on our faces Mungu baki na watu wako tulioachwa we need u

  • @ErizabertMaiko
    @ErizabertMaiko Před 3 měsíci

    Mama nyombo ni nzuri Sana imenichoma moyo

  • @lawrencechibumbu199
    @lawrencechibumbu199 Před 9 měsíci +1

    Your songs always lift me higher any time I play any of them

  • @joycentongani388
    @joycentongani388 Před 4 lety +2

    Hakika utabaki na Mimi Yesu wangu . ahsante mama kwa ujumbe wa wakati.

  • @violetsumba5429
    @violetsumba5429 Před rokem

    Asantee Kwa hii wimbo barikiwa sana violet kutoka kenya Mombasa

  • @doylenzabonimpa6775
    @doylenzabonimpa6775 Před 3 dny

    Mungu ni mwema

  • @orenisrael823
    @orenisrael823 Před 4 lety +2

    Glory to the Most HighLord,Our Darling Father pokea sifa hizi,UTABAKI NA MIMI my Sweet Jesus🙌🙏🙏🙏❤️

  • @user-wu1xq2qp9o
    @user-wu1xq2qp9o Před rokem

    Napenda sana maana nyimbo hiz zinafundisha sana

  • @gracekiarie4259
    @gracekiarie4259 Před 4 lety +8

    Woow God bless u upendo I love u from kenya

  • @ONGospelTv.
    @ONGospelTv. Před měsícem

    Love this song ❤ God keep you woman of God

  • @fridaeligius1321
    @fridaeligius1321 Před 4 lety +3

    Jesus, the one and only Hope,, through thick and thin ..always by my side..

  • @TUMAINIMBEMBELA7
    @TUMAINIMBEMBELA7 Před 4 lety +3

    Wimbo unanipeleka kilindini

  • @glorykamenya2543
    @glorykamenya2543 Před 4 lety +3

    Amen,Yesu utabaki na mimi wengine wakiniacha utabaki na mimi

  • @lozzienimu4866
    @lozzienimu4866 Před 2 lety +2

    Only THE LORD JESUS can remain with me in this storm of sorrow after the demise of my Beloved Mum

  • @brysonmwakina
    @brysonmwakina Před 4 lety +5

    I love this my Mama Nkone

  • @wannaproducts
    @wannaproducts Před 2 lety

    Mungu kimbilio Baki na wote walioachwa

  • @tinetwagirayezu6370
    @tinetwagirayezu6370 Před 2 lety

    Utabaki na mimi BABA GOD🙌🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @joshuakimario1528
    @joshuakimario1528 Před 4 lety +2

    Nimeutafuta siku nyingi sana,saf sana mama

  • @thomasjuma6232
    @thomasjuma6232 Před 4 lety +4

    Oh! I love the king of kings. The comfort God gives me is more than any creature or object will ever give.

  • @napendammbaga-my6lx
    @napendammbaga-my6lx Před rokem

    Yani nimeusikiliza wimbo huu mpaka nimelia Dada upendo mungu akuinue juu juu Sana kwa nyimbo za faraja unazo tupatia Kila siku mungu ukuketishe na wakuu mwisho ufike mbinguni dah!

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Před rokem

    🙏🙏🙏🙏😭😭😭japo pito hili ni gumu najua Bwana utabaki na mimi 🙏🙏🙏

  • @everlight6
    @everlight6 Před 4 lety +2

    Wewe mtumishi Mungu akibariki sana sana jembe la Yesu

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Před 4 lety +2

    Nakuaminia dada lao
    Hubahatisha.

  • @patrickmaina3622
    @patrickmaina3622 Před 2 lety

    Ni kweli Yesu ni rafiki mwema, rafiki wa kudumu siku zote. Neema na uufunuo zaidi Upendo Nkone.

  • @rebekayuda4441
    @rebekayuda4441 Před 3 lety

    Be blessing my Mumy pale ambapo ulipitia MUNGU alikufanya uwe daraja kwa wengn nabarikiwa sana na huu wimbo tena IMAN yang inazd kuongezeka MUNGU azd kukuinua kwa viwango vya juu

  • @bahatisanga1183
    @bahatisanga1183 Před rokem

    Utabaki na Mimi yesu wangu

  • @victoriawilliam3336
    @victoriawilliam3336 Před 2 lety

    Dada unajua mungu akubariki sana

  • @saraodanga3960
    @saraodanga3960 Před rokem +1

    I love your worship.Especially odio it touches the heart of God.Thank you for worshipping God Almighty in a powerful way.

  • @user-vj1ic2hb4u
    @user-vj1ic2hb4u Před 8 měsíci

    Ilove❤mama umekuwa baraka
    Sana

  • @user-nb3uc5er9m
    @user-nb3uc5er9m Před rokem

    AKi.mamaa.mugu.akupe.maisha.marefu.uzidi.kumutumikia.nyibo.zako.zanibariki.🙏🙏🙏🙏

  • @shiipeters8018
    @shiipeters8018 Před rokem

    God ur the only friend who will never forsake me ...in the situation am in please God kuja Baki na Mimi unionyeshe njia ...I know I will came back with testimony 😭😭🙏

  • @andreamutekulwa1092
    @andreamutekulwa1092 Před 2 lety +1

    I wishing you long life and GOD bless you more Mom🙏

  • @henrykanoro2164
    @henrykanoro2164 Před 2 lety

    Asante sana mtumishi wa Mungu kwa nyimbo hii yenye kujaa mafuta. Imenibariki sana. Mungu aendelee ku kupa mafuta na baraka zake tele.

  • @amosmganyizi7544
    @amosmganyizi7544 Před 2 lety

    Amina sana huu wimbo umenibariki sana

  • @neemadawson723
    @neemadawson723 Před 3 lety

    Ubarikiwe dada kwa wimbo huu hili ni ombi langu Yesu naomba ubaki nami baki na familia yangu kama ilivyokua kwa Ibrahimu

  • @mankamacha4383
    @mankamacha4383 Před 2 lety

    Hata nilipoondokewa na mume wangu 😭 wengine waliniacha ila wewe hujawai kuniacha Bwana wangu 🙏

  • @kisanyafrancis6290
    @kisanyafrancis6290 Před 3 lety

    Asante sana mama yangu kwa wimbo huu, umeubariki sana moyo wangu.Bwana akubariki sana.

  • @esther8032
    @esther8032 Před 3 lety +1

    utabaki na mimi astane

  • @aminaaa3227
    @aminaaa3227 Před rokem

    Oooooh Mungu wa urejesho

  • @l.j_gospelmusic
    @l.j_gospelmusic Před 3 lety +1

    𝐔𝐁𝐀𝐑𝐈𝐊𝐈𝐖𝐄 𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔

  • @ndukunancy2560
    @ndukunancy2560 Před rokem

    I swear God is the ultimate answear ... always there with you no matter what happens ... believe in God

  • @saraelias7863
    @saraelias7863 Před 4 lety +2

    Ninavyokupendaga mamy wee acha tyuu

  • @dianakatheu6799
    @dianakatheu6799 Před 3 lety

    Najua Yesu wangu huwezi niacha. Umekuwa nami tangu mwanzo

  • @claudeirakoze2585
    @claudeirakoze2585 Před rokem +1

    Usikie kama moyo wangu unakupenda

  • @corizzahwere7299
    @corizzahwere7299 Před rokem

    I feel blessed with each and every of your songs...May God bless you and feel you with his Grace as you continue in ministering ...Amen

  • @Zenitram-xv1qs
    @Zenitram-xv1qs Před 2 lety +2

    20th June 2020 directly from morning MBCI

  • @jemimahmbilo6341
    @jemimahmbilo6341 Před 6 měsíci

    Mungu ni mwema ❤
    ❤❤❤❤

  • @filbertanthony1707
    @filbertanthony1707 Před 2 lety

    Utabaki na Mimi yesu 🙏

  • @nduwimanalouise9409
    @nduwimanalouise9409 Před rokem

    Amen Uwe na Mimi Yesu

  • @clementchamshama5359
    @clementchamshama5359 Před 2 lety +1

    2022! Mungu akubariki sana Mama!

  • @user-cv9hv3qb6q
    @user-cv9hv3qb6q Před 10 měsíci

    Mungu akubaliki kwahudu

  • @EzekieliEmmanuel
    @EzekieliEmmanuel Před 24 dny

    Ubaki namimi amee

  • @emmysweetz8389
    @emmysweetz8389 Před 3 lety

    Utabaki na mie wengine wakiniacha yesu utabaki na mimi hallelujah yesu apewesifa

    • @nicholasmwadime1101
      @nicholasmwadime1101 Před 2 lety

      Yesu Utabaki Nami, Kwenye Mapito yangu umebaki Nami, wengine wameniacha Bali Wewe Umebaki kua rafiki mwema, naomba urejesho wako tena.

  • @lucyringo6010
    @lucyringo6010 Před 3 lety

    Jmn dada upendo huu wmbo unanbariki Sana haipiti cku bila kuusikiliza...unaimba vtu vya rohoni Sana jmn Mungu akuinue vwango vya juu...stay blessed

  • @user-eb5uc6pk8t
    @user-eb5uc6pk8t Před 10 měsíci

    Nabalikiwa san❤

  • @stephenmusango4723
    @stephenmusango4723 Před 3 lety

    I like this worship song,yes,utabaki nami Yesu wengine wakiniacha,,May God bless you so much Upendo

  • @tumainikenga9944
    @tumainikenga9944 Před rokem

    The God who is ever present ,his name be glorified

  • @dorcaskoech6825
    @dorcaskoech6825 Před 3 lety

    it's true mum upendo our lovely dad will never ever forsake us he will remain with us till the end...mbaki na sisi dad

  • @lumadedem.imeldanyarengine3591

    Asante YESU🤲🙏

  • @ibrahimmkombe4370
    @ibrahimmkombe4370 Před 2 lety

    be blessed mama I loved your songs immediately after I recieved salvation,you ve being my source comfort in times of hardship through your songs.may God keep you for thousands years.

  • @lilianongachi4368
    @lilianongachi4368 Před 4 lety +1

    Amina, Mungu utabaki na mimi wengine wakiniacha

  • @akundanswaa.k.a1556
    @akundanswaa.k.a1556 Před 2 lety

    Dada unanifariji Sana kunasiku ulinishauri kitu kikaniponya

  • @saraelias7863
    @saraelias7863 Před 4 lety

    Barikiwa mama wimbo umebeba ujumbe mzito sana

  • @abigailkavugho2461
    @abigailkavugho2461 Před 4 lety +1

    I really like the way you sing maman upendo Nkone may God bless you

  • @dorcaskoech6825
    @dorcaskoech6825 Před 3 lety

    it's true mum upendo our lovely dad in heaven will never forsake us mbaki na sisi dad...

  • @ritamutinda3703
    @ritamutinda3703 Před 4 lety +3

    Powerful

    • @andrewmulimusembi111
      @andrewmulimusembi111 Před 4 lety

      I love all your songs mama.they are very spiritual and they cool my spirit.continue that way dear

  • @SalomeMndeme
    @SalomeMndeme Před měsícem

    Hakika

  • @florahwambuindungu679
    @florahwambuindungu679 Před 3 lety

    Baki na Mimi Yesu nakusihi 🙏🙏🙏

  • @bonifacekituo2377
    @bonifacekituo2377 Před 4 lety +1

    Yesu utabaki mm,,,, my prayer