MAARIFA YANAVYOWEZA KUKUSAIDIA KUZISHINDA NGUVU ZA GIZA -PASTOR SUNBELLA KYANDO
Vložit
- čas přidán 14. 09. 2021
- Hosea 4:6
[6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Maarifa ni taarifa sahihi juu ya jambo fulani.Taarifa sahihi ni ufunguo ambao utakusaidia kufungua malango ambayo unapaswa kuingia.
Watu wanaozungumziwa hapa sio watu wasiomjua Mungu,Mungu anawaita "watu wangu" maana yake ni watu wanaomjua Mungu.Na anavyosema kuwa "umeyakataa maarifa..." ni kwamba aliwapelekea hao watu maarifa lakini wakayakataa na athari yake ndio hiyo wanaangamizwa.Na Mungu anasema kwa sababu hiyo Yeye(Mungu) atawakataa wasiwe makuhani wake.
Maarifa sahihi ni muhimu kwa sababu yatakufanya ufanye kazi yake kwa urahisi na ufanisi.
Katika somo hili utajifunza maana halisi ya maarifa,ni maarifa gani unayopaswa kuwa nayo,kwanini Mungu anataka uwe na maarifa sahihi, na athari za kukosa maarifa.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our CZcams: czcams.com/channels/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando CZcams
/ @pastorsunbellakyando
God bless you the man of God i like your teachings ,i am in kenya the way we teach it's really kabisa ,natamani nipoker upako Kama wako ,just pray for me
Asante poster ubarikiwe mungu azidi kukutumia nikiwa muislam umenifundisha jinsi ntaongeza maarifa ktk swala zangu Asante sanaaaa 🤲🤲🤲
Just discovering this great man of God,he is awesome,baraka,more grace.
Sure relationship with holy spirit is the key
Nashukuru Kwa mafundisho Yako myumish
AMEEN
Amina
Yesu nipe maarifa ya jinsi ya kujiombea nipate uponyaji. Najiungamanisha na madhabahu hii nipate kibali cha uponyaji wa mwili na wa roho AMEN.
Asante MUNGU kwa Kila maarifa ktk Kila NENO lako Nisiangamie mm na family yangu AMINA
Somo zuri Sana nimelipenda limenifundisha Mambo mengi ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Aminaaaa ubalikiwe sanaa mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sanaa
Mungu akueke na azidi kupanua your ministry. B blessed 🙌 😇 🙏 thanks so much
Ubarikiwe mtumishi mifano inatufanya tukuelewe sana 🙏
Ameen mtumishi. Somo zuri sana.
❤❤❤❤
Amen
Namuomba MUNGU aniwezeshe siku moja kukutana na wewe Mtumishi Sunbella hakika naamini nami nina Jambo nahitaji kupokea kutoka kwako Mtumishi wa Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.
Asante sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga sana kiroho
Nasukuruu kutoka Kenya
Ameen asante kwa hili somo sina cha kuongea zaod ya kusema asantee Yesu
Amen mtumishi barikiwa sana
Asante sana pastor nabarikiwa sana na MUNGU akubariki sana 🙏💕
Ubalikiwe mtumishi kwa masomo yako hakika yananijenga sana
Amen barikiwa mutumishi kwa somo zuri
Somo zur sana barikiwa Min Sun
Maarifa ni MUHIMU sanaa
Thanks so much dady🙏🙏🙏
absolute
Ameen, umenibariki sana pastor sunbella.ubarikiwe
Mungu akubariki we baba mch
Amen pastor
Nimebarikiwa Sana na Neno zuri la maarifa.Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.
Namwomba Shetani mmoja😃😃 ... Barikiwa Mchungaji
Amen Asante pastor
Amen.Thankyou LORD for using your servant to help me understand well your word.
Mtumishi ,Bwana yesu asifiweee...
Mm nahitaji maombi kwa habari ya ndoto niliyoota nikwamba niliota nimeng'atwaa mkononii na mwanangu halafu baada ya siku moja sehemu ya mkono niliyong'atwa ikaanza kuuma..
Amen amen man of God am blsd from Kenya,am a pastor I wish i ca meet you one day for impartation
Amen somo lilikuwa ni moto nimelielewa
Amen mtumish
Amina sana❤
🙌Mungu azidi kukuinua Pastor
Amen papa pastor
Nimekuerewa pasta
Ubarikiwe mchungaji
AMEEEN AMEEEN
amen,God is good
Amen Ameen
Thanks
Efaha church
Marifa ni muhimu
👏👏👏👏👏👏👏
Mweee umenifungua mch
wakati nafuatilia somo ulipofikia swala la kuhani kabra hujamnyanyua mimi nimeletewa picha haraka huyo mtumishi amekuja kutoa ibada kwangu na anaondoka na binti zangu kutoka nyumbani kwangu kwenda nao sehemu kwa ajili ya masomo zaidi.Naamini haya ni maarifa yanaweza kutoa kutoka sehemu fulani.
Hekima ya ajabu
sio mitatu tuuu hata ishirini
Jambo jina langu ni Salama Mapendo nawapata nikiwa marekani naitaji namba ya mtumushi uyu Mungu kwa musaada ya maombezi
Wasiliana na nasi kwa namba hii hapa +255 657 173 322
@@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe
@@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe sana. Anauliza kama mnaweza kumpa kijana counseling na mwongozo wa kichungaji. Anachukua theology hapo Rhema bible college na hana kipato kwa hiyo anataka kukata tamaa kabisa. Naweza kumsaidia?
Halafu baada ya siku moja mkono huo huo wa kuliaa kidole cha pili baada ya kidole gumba kikanzaa kuvimbaa sehemu ya ukucha, huku maamivu ni makali saana...mdudu namsikia anatemvbea mbele mara nyuma, na ukucha unazidi kuuma...
Glory
Mtumishi mwezi wasita huu umefikia mwanza itakua wapi maana tunakusubiri
Amina
Amen
Asante 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mtumushi kwa somo
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Glory b to God man of God