MAARIFA YANAVYOWEZA KUKUSAIDIA KUZISHINDA NGUVU ZA GIZA -PASTOR SUNBELLA KYANDO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 09. 2021
  • Hosea 4:6
    [6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
    Maarifa ni taarifa sahihi juu ya jambo fulani.Taarifa sahihi ni ufunguo ambao utakusaidia kufungua malango ambayo unapaswa kuingia.
    Watu wanaozungumziwa hapa sio watu wasiomjua Mungu,Mungu anawaita "watu wangu" maana yake ni watu wanaomjua Mungu.Na anavyosema kuwa "umeyakataa maarifa..." ni kwamba aliwapelekea hao watu maarifa lakini wakayakataa na athari yake ndio hiyo wanaangamizwa.Na Mungu anasema kwa sababu hiyo Yeye(Mungu) atawakataa wasiwe makuhani wake.
    Maarifa sahihi ni muhimu kwa sababu yatakufanya ufanye kazi yake kwa urahisi na ufanisi.
    Katika somo hili utajifunza maana halisi ya maarifa,ni maarifa gani unayopaswa kuwa nayo,kwanini Mungu anataka uwe na maarifa sahihi, na athari za kukosa maarifa.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our CZcams: czcams.com/channels/67L.html...
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
    and Subscribe Pastor Sunbella Kyando CZcams
    / @pastorsunbellakyando

Komentáře • 72

  • @patrickmwakai5545
    @patrickmwakai5545 Před 3 měsíci +1

    God bless you the man of God i like your teachings ,i am in kenya the way we teach it's really kabisa ,natamani nipoker upako Kama wako ,just pray for me

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před 2 lety +5

    Asante poster ubarikiwe mungu azidi kukutumia nikiwa muislam umenifundisha jinsi ntaongeza maarifa ktk swala zangu Asante sanaaaa 🤲🤲🤲

  • @ruthie8466
    @ruthie8466 Před 2 lety +6

    Just discovering this great man of God,he is awesome,baraka,more grace.

  • @andrewsenyagwa
    @andrewsenyagwa Před 5 měsíci +1

    Sure relationship with holy spirit is the key

  • @Devotamlelwa9239
    @Devotamlelwa9239 Před 2 měsíci

    Nashukuru Kwa mafundisho Yako myumish

  • @elizabethmwamdanga7377
    @elizabethmwamdanga7377 Před 2 měsíci

    AMEEN

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un Před 7 měsíci

    Amina

  • @mariamzambi1995
    @mariamzambi1995 Před 2 lety +1

    Yesu nipe maarifa ya jinsi ya kujiombea nipate uponyaji. Najiungamanisha na madhabahu hii nipate kibali cha uponyaji wa mwili na wa roho AMEN.

  • @veronikaaugustino2258
    @veronikaaugustino2258 Před 2 lety +2

    Asante MUNGU kwa Kila maarifa ktk Kila NENO lako Nisiangamie mm na family yangu AMINA

  • @mustafagehonde1154
    @mustafagehonde1154 Před 2 lety +2

    Somo zuri Sana nimelipenda limenifundisha Mambo mengi ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @elvaidaernest6210
    @elvaidaernest6210 Před 2 lety +2

    Aminaaaa ubalikiwe sanaa mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sanaa

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439 Před 2 lety +2

    Mungu akueke na azidi kupanua your ministry. B blessed 🙌 😇 🙏 thanks so much

  • @ntulisuzan897
    @ntulisuzan897 Před rokem +1

    Ubarikiwe mtumishi mifano inatufanya tukuelewe sana 🙏

  • @magrethsomi4318
    @magrethsomi4318 Před 2 lety +2

    Ameen mtumishi. Somo zuri sana.

  • @user-ok3gy6nc7w
    @user-ok3gy6nc7w Před měsícem

    ❤❤❤❤

  • @timotheomahala373
    @timotheomahala373 Před 2 lety +2

    Amen

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 Před 2 lety

    Namuomba MUNGU aniwezeshe siku moja kukutana na wewe Mtumishi Sunbella hakika naamini nami nina Jambo nahitaji kupokea kutoka kwako Mtumishi wa Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 Před 2 lety

    Asante sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga sana kiroho

  • @jameskoome1607
    @jameskoome1607 Před rokem

    Nasukuruu kutoka Kenya

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Před rokem

    Ameen asante kwa hili somo sina cha kuongea zaod ya kusema asantee Yesu

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Před 2 lety +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @liliankeyabaraka8195
    @liliankeyabaraka8195 Před rokem

    Asante sana pastor nabarikiwa sana na MUNGU akubariki sana 🙏💕

  • @nasrakitwana4744
    @nasrakitwana4744 Před 2 lety

    Ubalikiwe mtumishi kwa masomo yako hakika yananijenga sana

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 Před 2 lety +1

    Amen barikiwa mutumishi kwa somo zuri

  • @wilbard3692
    @wilbard3692 Před 2 lety +1

    Somo zur sana barikiwa Min Sun

  • @elishajailosy8346
    @elishajailosy8346 Před 2 lety +1

    Maarifa ni MUHIMU sanaa

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 Před 2 lety +2

    Thanks so much dady🙏🙏🙏

  • @shedrack4694
    @shedrack4694 Před rokem

    absolute

  • @aisiamkonyi4977
    @aisiamkonyi4977 Před rokem

    Ameen, umenibariki sana pastor sunbella.ubarikiwe

  • @erastomendamenda172
    @erastomendamenda172 Před rokem

    Mungu akubariki we baba mch

  • @florenceflorence1170
    @florenceflorence1170 Před 2 lety +1

    Amen pastor

  • @lucilamushi2894
    @lucilamushi2894 Před 2 lety

    Nimebarikiwa Sana na Neno zuri la maarifa.Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.

  • @leytcastle9402
    @leytcastle9402 Před 2 lety +1

    Namwomba Shetani mmoja😃😃 ... Barikiwa Mchungaji

  • @florencemueni7598
    @florencemueni7598 Před 2 lety +1

    Amen Asante pastor

  • @stellanamunaba813
    @stellanamunaba813 Před rokem

    Amen.Thankyou LORD for using your servant to help me understand well your word.

  • @cocubanza1049
    @cocubanza1049 Před 2 lety

    Mtumishi ,Bwana yesu asifiweee...
    Mm nahitaji maombi kwa habari ya ndoto niliyoota nikwamba niliota nimeng'atwaa mkononii na mwanangu halafu baada ya siku moja sehemu ya mkono niliyong'atwa ikaanza kuuma..

  • @philipmaina9046
    @philipmaina9046 Před rokem

    Amen amen man of God am blsd from Kenya,am a pastor I wish i ca meet you one day for impartation

  • @hendrykingmecky3922
    @hendrykingmecky3922 Před 2 lety +2

    Amen somo lilikuwa ni moto nimelielewa

  • @tatukadope7213
    @tatukadope7213 Před rokem

    Amen mtumish

  • @user-gm7pe1rd8z
    @user-gm7pe1rd8z Před rokem

    Amina sana❤

  • @ezekielluhas3351
    @ezekielluhas3351 Před 2 lety

    🙌Mungu azidi kukuinua Pastor

  • @graceneema5569
    @graceneema5569 Před 2 lety

    Amen papa pastor

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 Před rokem

    Nimekuerewa pasta

  • @agnesalex4761
    @agnesalex4761 Před 2 lety

    Ubarikiwe mchungaji

  • @vailetheanyambilile9749

    AMEEEN AMEEEN

  • @rahabusanga1559
    @rahabusanga1559 Před 2 lety

    amen,God is good

  • @anaaanick4187
    @anaaanick4187 Před 2 lety

    Amen Ameen

  • @edwarddaud6785
    @edwarddaud6785 Před 2 lety

    Thanks

  • @estherlukawe5435
    @estherlukawe5435 Před rokem

    Efaha church

  • @vailetheanyambilile9749

    Marifa ni muhimu

  • @vailetheanyambilile9749

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @yaotv360
    @yaotv360 Před 2 lety

    Mweee umenifungua mch

  • @4gtradingimpex201
    @4gtradingimpex201 Před rokem

    wakati nafuatilia somo ulipofikia swala la kuhani kabra hujamnyanyua mimi nimeletewa picha haraka huyo mtumishi amekuja kutoa ibada kwangu na anaondoka na binti zangu kutoka nyumbani kwangu kwenda nao sehemu kwa ajili ya masomo zaidi.Naamini haya ni maarifa yanaweza kutoa kutoka sehemu fulani.

  • @bettymwigune8150
    @bettymwigune8150 Před rokem

    Hekima ya ajabu

  • @estherkillango5867
    @estherkillango5867 Před rokem

    sio mitatu tuuu hata ishirini

  • @salamamapendo6461
    @salamamapendo6461 Před 2 lety

    Jambo jina langu ni Salama Mapendo nawapata nikiwa marekani naitaji namba ya mtumushi uyu Mungu kwa musaada ya maombezi

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  Před 2 lety

      Wasiliana na nasi kwa namba hii hapa +255 657 173 322

    • @marymlewa8682
      @marymlewa8682 Před 2 lety

      @@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe

    • @injili658
      @injili658 Před 2 lety

      @@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe sana. Anauliza kama mnaweza kumpa kijana counseling na mwongozo wa kichungaji. Anachukua theology hapo Rhema bible college na hana kipato kwa hiyo anataka kukata tamaa kabisa. Naweza kumsaidia?

  • @cocubanza1049
    @cocubanza1049 Před 2 lety

    Halafu baada ya siku moja mkono huo huo wa kuliaa kidole cha pili baada ya kidole gumba kikanzaa kuvimbaa sehemu ya ukucha, huku maamivu ni makali saana...mdudu namsikia anatemvbea mbele mara nyuma, na ukucha unazidi kuuma...

  • @blessingyusuphu504
    @blessingyusuphu504 Před rokem

    Amina

  • @priscaibrahim5660
    @priscaibrahim5660 Před rokem

    Amen

  • @vailetheanyambilile9749

    Asante 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mtumushi kwa somo

  • @rehemakatana1137
    @rehemakatana1137 Před 2 lety

    Amen

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 Před 2 lety

    Amina

  • @renaldleonard5956
    @renaldleonard5956 Před 2 lety

    Amen

  • @gilbertwanje
    @gilbertwanje Před 2 lety

    Amen

  • @Willyb254
    @Willyb254 Před 2 lety

    Amen

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km Před 2 lety

    Amen