NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UCHAWI BILA KUPATA MADHARA (III) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 12. 2021
  • UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our CZcams: czcams.com/channels/67L.html...
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
    and Subscribe Pastor Sunbella Kyando CZcams
    / @pastorsunbellakyando

Komentáře • 31

  • @bettyjohn8933
    @bettyjohn8933 Před 5 měsíci

    Ameen pastor somo nimelielewa yaani nahisi kama hili somo ni langu Mungu akubariki Pastor

  • @user-vt4wj1fr2c
    @user-vt4wj1fr2c Před 7 měsíci

    Mungu ni mwema kila wakati.

  • @lindahkeverenge8496
    @lindahkeverenge8496 Před rokem +1

    Amen GOD bless you Man of GOD 🙏l salute you 🙏 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 Před 2 lety

    Amen amen amen amen amen amen amen asante yesu kwa ujumbeee huuu

  • @gloriachalle4532
    @gloriachalle4532 Před rokem

    Amen

  • @Esther-gy6gl
    @Esther-gy6gl Před 2 lety +1

    Amen.
    26/12/2021
    09:25HRS

  • @bethmbwilo3092
    @bethmbwilo3092 Před 2 lety

    Amina Mtumishi wa Bwana,nabarikiwa sana

  • @dorothyezzie2136
    @dorothyezzie2136 Před 2 lety +1

    Mimi ni mjane naishi Nairobi Kenya na wanangu nabarikiwa sana na huyu mtumishi wa Mungu naweza kuwasiliana vipi nawe mtumishi?

  • @reeneyfredy2569
    @reeneyfredy2569 Před 2 lety

    Amen 🙏

  • @sifasylvie3941
    @sifasylvie3941 Před 2 lety

    glory be to the almighty god amen

  • @barmedastv
    @barmedastv Před 2 lety

    ASANTE BALIKIWA

  • @bennymisheto1655
    @bennymisheto1655 Před rokem

    😊

  • @romanus6219
    @romanus6219 Před 10 měsíci

    Ni kweli mtumishi watu tunaonewa na wachawi lakini kimwilj hatuwaonikwa macho

  • @mosesfrancis3946
    @mosesfrancis3946 Před 2 lety

    Nimejifunza mengi kupitia somo hili.

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 Před 2 lety

    Mhh asanteh najifunza hapa namimi ndio wale wa kutafuta pesa mahusiano nimeyaweka pembeni,nilifungiwa lango la biashara nikaamua mpk kuondoka Tanzania,nilipokuja nilipo ninaona Mungu ananitengeneza sasa kufunga na kuomba kumekua ni kawaida tofauti na mwanzo kifupi nahisi nimeletwa patimo.
    Najifunza hapa Pastor najidisconect ktk miungu na roho za kichawi.

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 Před 2 lety

    Asanteh pastor,kupingwa sio sababu ya kudhani unachofanya sio cha kimungu,nilivunjika moyo nilipopingwa na mbaya zaidi hata niliokua naamini wako upande wangu walinipinga.

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 Před rokem

    Mch unaongea na maisha yangu lakini nikupateje huo mfano wa mtumishi ni mimi kabisa ht mimi imeshindikana kbsaaa kuishi na mume wangu ni mkali balaa huduma imekataatumetengana ni wewe wa kunisaidia mtumishi sipo Tanzania nisaidieni

  • @beastforever734
    @beastforever734 Před rokem

    Kanisa lake liko sehemu gan na mkoa gan msaada jamani

  • @damiandaniel6468
    @damiandaniel6468 Před 2 lety

    AMEN AMEN

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Před rokem

    Ameeeen man of God

  • @annemusau6734
    @annemusau6734 Před 2 lety

    Lango langu please naliona

  • @jacklinemashenene5976

    Mtumishi hiyo siku ya kuonana na mtu mmjammoja nisiku ipi niko shinyanga

  • @Esther-gy6gl
    @Esther-gy6gl Před 2 lety +1

    Yesu Kristo naomba break through Leo uchawi wowote unaofanya kazi kwenye maisha yangu baada ya Maombi haya Yesu unifungue kwa gharama yoyote Ile, katika Jina lako Yesu Takatifu. HAZINA ZANGU ZOTE nazipokea sasa katika ulimwengu wa Damu na Nyama.

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Před 2 lety

    tumbo kumbwaa... wizi wa sadaka tuu

    • @celinamutta5058
      @celinamutta5058 Před 2 lety

      Lazima u-comment? Kwani wanaoibiwa wamekulalamikia? Waache watu na imani zao na wewe baki na yako. Ikikupendeza basi usifungue chanel yake. Kuwa na staha!!

    • @Jastus100
      @Jastus100 Před rokem

      Bwana akukemee

    • @Jastus100
      @Jastus100 Před rokem

      utakuwa mchawi wewe anatoa Siri zako 🤣🤣 Pole sana

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 Před 2 lety

    Nikiwa binti mdogo nilikua naota naendesha gari na nimebeba familia yangu yote lakini mpk sasa sijawahi kununua gari,mwaka jana ndoto hizo zikaanza tena na nikaona nikwa na kijana wangu hapo ndipo nilipoanza kumtafuta Mungu na kumuomba hazina zangu zilizofichw,Pastor naamini unachozungumza.