JE MTU ALIYEOKOKA ANAHITAJI KUFUNGULIWA? BY PASTOR SUNBELLA KYANDO
Vložit
- čas přidán 23. 03. 2021
- Kuna watu ambao wanaamini mtu akishaokoka huyo mtu haitaji tena maombi ya kufunguliwa wala nguvu za giza haziwezi kufanya chochote, na wapo wanaoamini hata mtu akiwa ameokoka anahitaji kufunguliwa kutoka kwenye nguvu za giza, wale wanaoamini mtu akiokoka hatakiwikuombewa, mara nyingi wanakata tamaa sana pindi anapoenda sehemu kukawa na maombi alafu gafla akaskia kuna nguvu za giza zimefumuka kwasababu kuna namna alishaamini yupo salama na anapoona hayo yanatokea mambo mengi sana yanakuja kichwani. Ungana nasi kuweza kujua zaidi kimaandiko
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our CZcams: czcams.com/channels/67L.html...
Nakupata vizuri nikiwa Nairobi,kila wakati huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi wa Mungu.Mwenyezi Mungu azidi kukuinua zaidi
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ameeeeeeen
Asante mungu kuna vitu napokea 🙏
Somo zuri sana
I connect myself and my family in Jesus name .. Amen 🙏
Mtumishi wa mungu niko Nairobi mafundisho yako mungu akumbaliki natamani sana kutuma sadaka nisaidie vyenye kufanya Ili sadaka ikufikie plzzz
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu nabarikiwa kwa mafundisho yako Tamani siku moja nikuone
Amen despite all resistance we will overcome . Thank you Lord I will press on
Ameeen mtumishi nimejifunza sana kwa hili somo be blessed am watching yu in 973
Amen.
Hallelujah mtumishi wa mungu haki barikiwa sana sana
Nakupata vizuri mchungaji mungu akubariki
Barikiwa mtumishi unazidi kunifunguwa
Amen
Unafundisha wengi si hao ulionao tu,Barikiwa
Amina mtumshi.Hakika umejaliwa kufundisha
Haaa wewe baba ningekujua unakoishi ningekujA kukushukuru hee aiseee yaani Mungu kakutumia kuniponya ufahamu kweli inatuweka HURU nimeamini
Kaka nikweli hata mimi
Amina baba
Amen baba. Ujumbe umeeleweka
ameeen
Umeniongezea kitu BABA ubarikiwe
Hakika tunabarikiwa sana.Mwanza mtakuja lini? Karibu sana Mwanza
Amina nimekuelewa sana
Ubarkiwe
Hivi nlikua wapi kuyajua haya mafundisho jamani, mbona ningekua mbali kiroho.... Dah.... Ila asante Yesu hata kwa wakati huu.
Heee! baba Ubarikiwe sana yaani tokea nizaliwe sijawahi kusikia mafundisho ya kunizibua fahamu namna hiyo
Sounds like me
Amen
Amen