ZEMBWELA ACHEZA KARATE, KUMBE AMEJIFICHA KWA MIAKA MINGI, AMCHAKAZA CAMERAMAN WAKE | MSWAHILI
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 5. 06. 2022
- ZEMBWELA ACHEZA KARATE, KUMBE AMEJIFICHA KWA MIAKA MINGI, AMCHAKAZA CAMERAMAN WAKE | MSWAHILI
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Zembwela anajua sana kuendesha interviews tangu enzi hizo, I'm so in love with the interview
Babu kumbe ni fundi aisee!đ„đ„đ„
Thanks sensei taifa,nitawatafuta kuendeleza kilicho kwenye nafsi yangu,we love it from the heart
Sensei Taifa+Babuđ€đ. Asannten Kwa chakula Cha ufahamu Nawatizama Nikiwa Finland đ«đźđ€
Live hicho ni chakula cha uzima
I like the way you done, also you arause me today I learn something due to this enterview.
Umenikumbusha mbali sana, nimechezaga gujuruu miezi tisa ila long sana
hii kipindi ya leo imekuwa bora sana kwangu
Napenda sana karate đ€Œ
Naipenda sama karate bikipata muda nitaisoma
Safi sana napenda sana hii kitu
Master Yuko vizuri Sana
safi sana bwana Zembwela hahahaha
Kak a
Broo zembwera natamani sana kucheza karate
Dahhh sauti microphone mnaweka vibaya kiasi hatusikii vizuri maongezi mengine mpk usogeze simu skioni na huku unataka kuangalia pia
Sensei Taifa,Ahsante sana umeeleweka vzr sana ,oss
Mambo vep ...naweza pata taarifa za sensei taifa wapi yupo nijifunze
Mwnye namba za seisei anisaidie naomba
Karate hapa Marekani inachulia kama dawa kiafya. Wanafundisha karate kwenye chuo hapa.
Safi sanaaa
True unajua babu nimeona '''
Mtafute na sensei Aly Bungon anapatikana
Such a nice interview. I'm enjoying it.
wewe mwarim hatar sana
Amazing babu.
MAMA MIAKA 76 BADO ANAPIGA KARATE YUPO SAWA.
Big up sana zembwela
Safii sanaa
Naupenda mchezo huuu mpaka kufa đđ nidhamu huwa n zaidi sana. Oss
OSs
Nijinsi gani tutapata kazi zako za zamani hususan mizengwe ukiwa na maksi, Babu
Good nimeipenda
Kipindi kizuri sana kinasaidia lakini wana cameraman mmezingua tumecosa baadhi ya details
Nil wapi? Dojo lipo?
3:11 Hahahahah Babu Zembwelaa
Oss!.
Safi sana
Babu msalimie bad boy
Big Brothers! Sensei Taifa na Kiongozi Zembwela! Nawapa Chu (5)
Nimeinjoi sana leo ktk hiki kipindi
Oss
Mpelekee cameraa Mama yake Mwalimu
Mzee Zembwera yuko vizurđđ
Sensei taifa huyu ni ticha wangu wa bagamoyo salamanda sema ulikua unantesa sanađ€Łđ€Ł
Kunatucha yupo kigoma as likua anaita siliaki laia kutoka Burundi ilikua noma Sana enzi hizo tukiwa na iddi matata ambae alicheza kwenye inspector seba akiwa Kama jambazi tulikua dojo moja
Jamaaa Taifa kanifundisha Makumira daaah kanitembeza sana mwendo wa bata đđđ
Ntumie no yake sensei taifa kaka
Chinese kung fuu ndo kila kitu
TAIFA mwalimu wangu wa karate makumira chuo arusha yupo vzur sanaaaaa
Yes Zaman sana nilifanya nae pia miezi kama sita hata ngumi sikurusha ni tizi tuđđđ
Bado upo vizuri zembwela
Ila una takiwa kusoma kitu kina itwa TECHNICAL PRESENTATION
Du! Kumbe zembwela noma
Ooss ooss sensei taifa
kituo kinapatikana wapi?
Makopo ya rangi
Naomba nipate sehemu ya eneo hilii
Nimekoshwa sana
karibu UMOJA SHOTOKHAN KARATE CLUB Korogwe kwa Sensei Jango
Jango huyu aliye kuwa mwenge au yupi
Korogwe kimara au korogwe tanga? Naomba namba zako kaka
Tupe mawasiliano
Zembwela hapa umeigiza tu kwa msaada wa ticha.
Uyu ni mtoto wa sinza kijiweni na Mambo haya kayafanya kijiwe chake kikubwa kilikuwa shule ya regnard mengi sinza
Zembwela kacheza japo sio Sana Ila kacheza cc tunafahamu Alie cheza nilifika mkanda blown
Hapana kacheza kama unajua utamwona
Habari
Nakuona Joo twende Tebain tukakonke!
Ok
Dojo wapi hii nije
Napenda sana hizi mambo sema nimefanya bonge la upasuajiii daaah đđđ
Polee sana
Pole sana brother
@@missmoona4497 đđđ
@@sonnyr1899 đđđ
Ise Mungu akusaidie.
Wekeni number zenu wazee
Kwaiyo mtu akicheza ni kwahajili ya panya road
Morogoro sijajua sehem wanaofundisha ningempeleka mwanangu ajifunze angali mdogo
Jamaa pia anapenda mziki Sana ,na NI producer KITAMBO Sana ,anaishi Yombo kwalimboa maeneo ya kwa Chande)
Mchezo mzuri sana huu,na ninaupenda mno
#AVATASTAR255 đœđ”
Naomba namba zake nataka kujiunga au kama kuna anaejea shule za karate muongozoo
Nimekubari ipo poa sana babu
uwe unarudia rudia tujifunze na sisi uku tulipo
Daaah Taifa jamaaa hatari sanaa
Kipindi chako kaka kizul sana
msenge zembwela anajua fala ngumi
Nitapataje mawasiliano Hapo?
Mbona mmefanana
Nimejifunza vingi sana sasa nikafanyie kazi mtaani đ
đ€Łđ€Łđ€Ł
Karibu kwenue dojo yetu ilala boma bro
Wata kupasua kenge wewđ
Nafikaje ghĂ ra
Wanaume wasasahiv wanahitaji mke alie pitia hii kitu, so nami najiandaa kujisahili huu mchezo kabla ya ndoa yangu ili nikiolewa niwe konkđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łmaana kina said wa mwanza wamekuwa weng sikuhiz kina dada jiungen na hii kitu inafaa sanađđđđ
Tunatumia pistol sikuhizi risasi tuu
Kwakweli đđđ
đđđ
Taifa
Ooohh panya road wana copy baadaee usiku wanaenda kutest
mbona mnafanana sura jaman au nyie ni ndugu đđ
Bro hatar sana huyu
đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł "UNAJUAAAAAA WEEEEEEEE"
đ€Łđ€Łđđđđ
"HUNIAMBIII KITU UJUEEEEEEE"
Daah! Jamani mimi natafuta wanapo fundisha WING CHUN anayejua yeyote naomba anielekezeđđđđ
Njoo ububgo mchichani
Nenda kibaha MLANDIZI SHAOLIN TEMPLE
Nenda jing hu school
Njoo geto
Wingchu
Inachukuwa muda gani kupata mikanda yote 7?
Kama kichwa yako ni smart ni chap saaana tu
10 Pak 15
Sensei taifa nakusikiaga 2 nafrah kukufaham
Eti ukivaa nguo hz ushajua ngumi
ich,ni san,shi,go,ruk,sich,hach,kuu,juu
Mm pia ntajfunza hii ktu kwa ajil ya kujilnda mana dunia ya sasa uonevu umezd nkjua hii ktu mmeisha,uknigusa nakuvunjađ€Łđ€Łđ€Ł
Huu mzezo naupenda sana ila du majukumu noma
Nikweli kaka
Okapi
Zembwela noma sana wewe
As
Sasa nyie chukueni Haya mafunzo ya Babu kwenye video, alafu tukutane mtaani Kama ujafa wewe đ watu tumeshavulugwa đ kaleti za mitaani zina eliminated yake pia đ
đ€Łđ€Łđ€ŁđđHawajui mtaa tupo wazee wa street fighting
Usije ukadanganywa , jaribu uone labda kwa mawe na bunduki!!!
Mmmmhhh Babu kumbe ndo maana ulimpeleka polisi polisi
Master samahani nikitaka kujiunga na wewe kwenye dojo yako utaratibu ukoje?
hiyo vizur hila wengi wanatumia vibaya
đ đ ..kabeba beba Makopo ya rang...đ€Łđ€Łđ€Ł
Mwalimu uyu amewai kutufundisha apa Arusha west coast
Uku mkoa wa Lindi akuna ata seem Moja muje bhana mwalimu ufundishe
Hii ni Baraka sana đ„đ„đ„đ„đ„đ„đđŒđđŒđđŒ
czcams.com/video/cgb-mXBbADk/video.html
Me mwanamke ila napenda sana
Karate haina jinsia dada.
Panya Road wanapiga panga tu đ€Ł
Babu nisaidie no ya mwalimu
Nimecheza mchezo wa Judokan,combat,shotokan kwa sasa nina miaka mitano ndani ya mchezo huu. Judo nimecheza mika 7 na combat miaka 4 namshukuru Mungu.
Combat ni style nawala sio aina ya karate na judokhan ni mtu anaecheza judo
Mimi napenda Sana lakini pia sipendi uogovi
Hiyo ukijifunza huwez kuwa mgomvi hata Kama ulikuwa mgomvi vip
Ugovi tena
Nipo Kibaha naitaji dojoo