RC CHALAMILA AMBANANISHA MKANDARASI, ASHINDWA KUJIELEZEA - ''MASWALI MAGUMU, TUKUTANE OFISINI''....
Vložit
- čas přidán 4. 01. 2023
- RC CHALAMILA AMBANANISHA MKANDARASI, ASHINDWA KUJIELEZEA - ''MASWALI MAGUMU, TUKUTANE OFISINI''....
Mkuu wa mkoa wa kagera Albert John Chalamila amesema ajaridhishwa na utekelezaji wa mradi mwenye thamani ya zaidi bilioni 3 wa ujenzi wa shule ya wasichana ya kagera River iliyopo kijiji Rwambaizi kata Kanoni wilaya ya karagwe mkoani humo kutokana na mradi huo kutokamilika kwa mda uliyopangwa, ambapo ametoa maagizo kwa mkrungenzi wa halimashauri ya wilaya hiyo na mkandarasi wa mradi huo wa kampuni ya sure civil and Building contractor LTD pamoja na Lucas Contaractor LTD kwa kuwataka kufika ofisini kwake kwa ajiri ya kujadili kwa kina namn ya kumaliza mradi huo ili wanafunzi waweze kutumia madarasa hayo kama maelekezo ya Raisi Dkt samia Suluhu Hassan yanavyoelekeza.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Kama ni mkuu wa mkoa Kagera tumebarikiwa sana.Mabadiriko makubwa tunayaona.Baada ya masawe uyu ndio mkuu wa mkoa wa kagera nimemuelewa.Kizuri zaidi ni kichwa.Ginga like kama unamkubali RAC Chalamila
Mwalimu Chalamila kazi nzuri.Hata nusu yenu mngelikuwa anaelewa mnachofuatilia kwa kiwango hicho utendaji mbovu unelipungua.
Hapo RC chalamila ameshashiba taarifa kutoka kwa wazee wa kazi...mfumo umeshafanya kazi yake. Anauliza kwa mbwembwe sana.. Miradi mingi ya serikali inasuasua kutokana na watu wa system nao kuwekwa mfukoni
Very wise question!Safi Sana Chalamila!
Mkurugenzi Nyamunda habari na hongera.
Hapo amna kzi hyu jamaa msanii 2
Notable figure
Mambo mengi sana ya ovyo mkuu. Walaji wako mjini ukiendelea hivo utapigwa chini mkuu. Mungu tu atunusuru
Chalamila ni magufulii aseee, iyoo mahesabu alooo noumaaa
Magufuli Huyu🎉
Bigup RC
Swali la Rc zuri mno
Chalamila huyu lazima alikua mwanafunzi wa magu, yani yupo ki professional,
Safi kaka uko vizuri ila uzudi kufatilia wako wengi wanatubambikia wakishirikiana na wahusika wa serikalini waliopewa hayo majukumu
Keep on doing our work Mr Rc😘
Keep up hon.🔥🔥🔥
Mkuu umetisha sana
Genius RC🥳
Magufuli Hoye
Safi sana mkuu wa mkoa
Jamaa kala shule, huyu ni Civil engineering. Anachambua vitu kiufundi
Kiukweli Chalamila ni Jembe. Mfikishieni taarifa aliyemuondoa Mbeya kwamba alituondolea Jembe letu. Mimi no Amos the Great from mbeya town tz
Mkuu wa mkoa chalamila mbane huyo jamaa aseme ukweli
Huyu mkuregenzi wa wapi!!mbna mzigo anangangania mtu slip we utumbo
Halafu kuna wakaguzi wa majengo hapo inakuwaje?
Mambo
Ngangania mkuu wa mkoa hyu mkurugenzu kilaza.
Chalamila.apewe TAMISEMIMNI HAZINA
YA TAIFA
Hawa nao magu magu ye ye ameshamaliza yke
sinaga wacwac ukiwa site chalamila
Kaxi endelea kweli simama imsra msema kweli
mambo ya MKATABA HAYO 😂😅
Magufuli son
Kuna jamaa mmoja amevaa kijani kashiba kweli sijui ndo mmoja wa wajumbe ha ha ha ha sijui kama anapataga njaa
Chalamila upo vizuri, hizi titles za eng.wanazani ni cheo na sifa wakati akili zao zimejaa tope wanazaririsha fani za watu
Kijana wa Magufuli vijana wa Magufuli wana uwezo mkubwa wa kufikiria na kuchambua mambo
Kumbe ni mwanae ni mtoto wa ngapi
charamila akiongea namuona magufuli kabisa
Mfate kaburini
Hamna kitu hapo mkuu wa mkoa rushwa imetembea hapo
Yan mtu Mzima Na Shule kaenda anaogopa kujieleza
Huyu mkuregenzi achunguzwe inaonekana ana maslahi apo!!!
Mradi tuu itokee..kwenye midia tatizo liko wapi..wa chini wote wanaelewa na hata yeye mwenye anajua ukweli
Chalamila umewapiga shule ma fundi
Vijana wa JPM wana akili nyingi sana Comrade Chalamila anachambua mambo kisayansi. Samia ameona aibu hadi amemrudisha ukuu wa mkoa na alitakiwa apewe wizara kama Tamisemi . Na Rais Majaliwa na waziri mkuu Chalamila nchi ingesonga sana
Alikuwa mwalimu wa University huyooo
@@faustinluambano2958 najua yuko smart sana na muda wowote anaweza kurudia kazi yake wakimzingua
Euloo nzao.
Mbona kuna wakagua majengo au inakuwaje?
Na je mkuu wa mkoa ana madaraka gani hasa maana wengine wanakuwa beyond the boundary
Naomba kujua please maana kuna mikoa ambayo tupo na mkuu wa mkoa hayuko kasi kakaa katulia je kwanini wengine wamepoa na wengine wanafuatilia utendaji wa kazi kuna nini?
Huyu mkuregenzi bogasi
Syo mkurugenzi amekaimu tu huyo ni mwamasheria
Haya ndio wanayotaka watanzania wengi huu ndio ukweli utake usitake Kama chalamila anavyofanya ukitaka upendwe shauri lako
naona Chalamila anatafuta kiki utendaji kazi wa kujionyesha kwy TV umepitwa na wkt Magu hayupo tena. evaluator wa majengo ndio anayepaswa umuoji haya maswali kabla ya ujenzi haujaanza
Acheni wivu kwani alikuambia amewaalika watu wa TV? Watu tunachonga sana, jambo likifanywa kimya kimya mnasema pia duh mbongo bwana shida
Acha kiherehere
Chalamila ana akili kubwa kuliko ukoo wako wote ana hoji mambo ya msingi na mfuatilie huyu Magufuli’s son ana thinking capacity kubwa sana kuliko average Tanzanians
Kwahiyo mkuu ulitaka afanyeje na anaeka wazi kwa wananchi na ndio wanalipa makodi, tozo ndani ya nchi kuna ubaya gani wananchi wakifahamu hela zao zinavyotumika kiupuuzi..
@@mathewtwimanye92 aliyewaita ni Chalamila kwa jili ya Kiki maswali anayomuuliza mkandarasi kuhusu vibali ilibidi yaulizwe kabla ya kupewa hiyo kazi. chalamila inabidi akawaulize waliompa kazi mkandarasi kwani hawakujipa hiyo kazi.
Sasa mkuu wa mkoa unaongea nini? Badala ya kufanya ukaguzi kwa vitendo weee unakaaa eti kuonyesha weredi. Umeisha anza Uhaya na wewe. Fanya kazi acha porojoporojo.
Absolutely