"MIMI SIFUNGUI" - MFANYABIASHARA KICHWA NGUMU AMFOKEA RC CHALAMILA - WENZAKE WAMZOMEA.....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • "MIMI SIFUNGUI" - MFANYABIASHARA KICHWA NGUMU AMFOKEA RC CHALAMILA - WENZAKE WAMZOMEA.....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 69

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 3 dny +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 3 dny +11

    Mmachinga halipi Kodi… Kwahiyo wao watashangilia.. ngoja bidhaa iishe.. Ndo ataelewa

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Před 3 dny +3

    Kweli bila kodi asingekuja hapo fact👍

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 Před 3 dny +5

    Pole mkuu wa mkoa..hilo zigo si lako umetupiwa zigo la moto
    Wizara ya fedha Ihusike kusuluhisha

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 4 dny +11

    Waandishi mmekua wanafki sana

  • @richardmbugi2746
    @richardmbugi2746 Před 3 dny +2

    Uwezo wake mdogo sana hawa ndio wanaoishi kwa vyeo ambavyo sio vyao ila kwasababu ya kusifu wanawekwa,Taifa linapoelekea ipo siku tutakuja kushindia viazi vitamu mwezi mzima mana bidhaa hazitapatikana madukani

  • @Movies_Digest
    @Movies_Digest Před 3 dny +3

    Safi sana huyo ndio mwamba sasa ..

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 2 dny

    Safi saaana Nchi huru hii wanao fungua wafungue wasio fungua wasifungue Ila wakifungua Kodi iko pale pale haziwasubiri

  • @peterandrew4910
    @peterandrew4910 Před 2 dny +1

    Mkuu alifeli sana kutumia hasira kumjibu mwananchi!

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f Před 4 dny +6

    Aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa

  • @josephmwavangila1633
    @josephmwavangila1633 Před 3 dny +2

    Mwandishi.. hii imekaa kichochezi
    Peni yako ni dhamana kubwa..Kazi yenu inamanufaa sana kwa Ukuaji wa nchi yetu, hata kama lengo likiwa kutengeneza msisimko na shauku
    Lakini .. Maslahi ya Taifa 🇹🇿 yawe mbele ( umemkandamiza mchangiaji .. si vema) reg. Freedom of speech

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g Před 4 dny +7

    Uyu ajakuja kusuluisha uyu amekuja kupiga kelele

  • @uwesusaid5334
    @uwesusaid5334 Před 3 dny +4

    Mkuu wa mkoa kazini kwake kuna kazi

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před 2 dny

    Safi sana one day hawa viongozi watakuja kuombuka

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 3 dny +2

    African winter is slowly creeping East Africa

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 Před 2 dny

    Mama ondosha hii nyangarika hawezi kuongoza mji wa biashara nguvu zake aende kulimia mpunga mbea

  • @matikowambura7657
    @matikowambura7657 Před 3 dny

    Kaza sana

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 3 dny +8

    Serikali imekalia ufisadi tu,mapato wanagawana tu, mafisadi wa hii awamu ya sita, Rip JPM

  • @minaziparasu9074
    @minaziparasu9074 Před 4 hodinami

    Unaenda navibes nawamachinga hapo ndio munapochemka wakubwa lengo nikuchukua maoni yawafanya biashara sio wamachinga.kwamfumo huo tutazid kua felier kilasiku

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x Před 3 dny +2

    Mbona husikilizi hoja hatuelew umeenda kusuluhisha au

  • @DennisFandi
    @DennisFandi Před 3 dny

    Km kuna sehemu mama kabugi, humu hamna kitu

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Před 3 dny

    Siasa dhidi ya ukweli wa maisha ya watu

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 3 dny

    Serikali inatupelekesha sana

  • @user13375
    @user13375 Před 3 dny

    RC hao watakutumbuwa bure 😮😮,we machie Mwigulu na kodi zake atamalizana nao😮😮

  • @nuryati4966
    @nuryati4966 Před 3 dny +5

    huyooo kijana aloongeee tukipata 5 t tutafika mbali

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před 2 dny

    Huyu chawa tu hamna kitu hapa

  • @cosmaslunyembeleka251

    RC Chalamila hauna uwezo wa kupambana na wafanya biashara ilo ni kama jeshi la pesa
    Analiweza Majaliwa hacjana nao

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 3 dny +1

    Hamuwezi kumpa kisipika hicho RC azungumze

  • @abdullasali4773
    @abdullasali4773 Před 3 dny

    GLOBAL wananchi hawajzomea mwenzao wameshangilia hoja za mwananchi msijipendekeze kwa mamlaka

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 3 dny

    Hawa watu hawana umoja

  • @carendoraany
    @carendoraany Před 3 dny +1

    Watanzania hawana umoja kabisa.
    Serekaki ya Tanzania inawapanga wafanya biashara na wao wanasikiliza huo utumbo.

    • @user-cq2lt6ho5w
      @user-cq2lt6ho5w Před 2 dny

      Hapa, je umoja anayo stoke kwake, na wewe hadi ufungue ndio watoto wapate rizki, je utakubali kufunga siku zote kwa kumfwata mtu usiejua anaishije? Mimi watoto wangu wafe na njaa kisha aliekua na chakula cha mwezi ndani kwake tuchkue maamzi sawa? Mi nadhani kila umoja hapo anaangalia faida anayoipata kwa mgomo, maana watu kila siku wanalalamika ila baduliko hamna, kumbe twende sawa na wanavyotak tu

  • @joyceambakisye877
    @joyceambakisye877 Před 3 dny

    Mitanzaniaaa miogaaa saan

  • @emmanuelpeter9744
    @emmanuelpeter9744 Před 3 dny

    Hawa ndiyo viongozi tunaowategemea kutafuta suluhu ya matatizo yetu eti...... We are going no where TZ.... CCM out for the true freedom of Tanganyika

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 3 dny

    Mafisadi wanasamehewa kadi, wadogo, kadi 18 vat%

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 3 dny

    Hao jeuri wanapata wapi

  • @user-jb7of2oq7k
    @user-jb7of2oq7k Před 3 dny

    et wenzake wamzomeaa😁😁😁 ila waandshi wa bongoo bnhaaa

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 Před 3 dny

    Waandishi kwa unafiki

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 3 dny

    Jamaa namkubi hakuogopa cheo yy kajua uyu binadam km Mimi kamchan kabaki kubwabwaja

  • @kakabeka2515
    @kakabeka2515 Před 3 dny

    ..wale wanalipaga Kodi za mwaka wanaweza wakaondoka makwao wakakaa mwaka c hadaiwi Kodi kkoo itakua na hali gani

  • @peternguluchuma
    @peternguluchuma Před 3 dny

    Tusubili mkeka wa mama utoke

  • @IddiHasani-vq4rd
    @IddiHasani-vq4rd Před 4 dny +3

    Kaz ipo

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Před 3 dny

    Viongozi wengine hawa wako madarakani kwa bahati mbaya tu' kama tunavyoona huyu, yeye analumbana na wananchi tu' na kuwashurutisha kwa zarau zarau tu'

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p Před 3 dny

    Huyu mkuu wa mkoa sijui anajua nini? Yaan anatoka ofc kwenda kubishana na wamachinga. nikidhani anaenda kutatua tatizo. Jamani hizi nafasi za ukuu wa mkoa na wilaya ziwe za kuomba au zifutwe kabisa, ukuu wa mkoa na wilaya sasa ni tatizo

  • @leshaTV99
    @leshaTV99 Před 3 dny

    ASEHE 😂😊

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz Před 3 dny

    Kubababake watu washajizima data

  • @salumally-jz5lj
    @salumally-jz5lj Před 3 dny

    Ivi uyu mkuu wa mkoa ni tiba au mwiba???

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 3 dny

    YAN KUONGOZA HUU MKOA LAZIMA UJITOE UFAHAM LA SIVYO HUWEZ KUTOBOA MAKE KUNA VICHWA VIGUMU

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 3 dny

    Sasa mm hapo mkuu wa mkoa hata sijakuelew

    • @zobakazizi7637
      @zobakazizi7637 Před 3 dny

      Kuna baadhi wanataka kufungua ila wanaogopa wengine. Hivyo anatoa ulinzi.

  • @patisondidas6720
    @patisondidas6720 Před 3 dny +1

    Mh, wew ujui maswala ya uchumi ujui watu wanatseka vp kweny iz Kodi Bora ukatulia2

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 3 dny

    Haya madaraka ya kulevya hayo

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 3 dny

    Migomo ni haramu.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před 3 dny

    Hili limeshakushinda wewe. Hujaenda kuwasikiliza machinga, hao wanaopiga kelele ni machinga na hawalipi kodi.

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw Před 3 dny

    Mwenye akili ni wewe pekeyako mkuu

  • @user-sy5lx7el4z
    @user-sy5lx7el4z Před 3 dny

    Hao wanaopiga makofi ni wafanya biashara ama, wabogo wanafki

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester Před 3 dny

    Watu wa dar chomeni hio karikoo uote iwake Moto, sema tu mtaingua hasara kubwa lakini basi Tu.

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 Před 3 dny

    Mkuu wa mkoa umeona leo kariakoo wametufunikia maduka zetu nahawa jamaa wamachingaa ,wewe RC umechemkaa hunakitu ka chonjo,naomba mhe,raisi ufanye mabadiliko ya haraka umtoeee huyu mkuu wa mkoa harakaa,aneshindwa kazi anawatisha wafanyabiashara wenye maduka mbona qamachinga anashidwa kutoaa

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 Před 3 dny

      Toa unafki wako apo, wamachinga wamefunikaje biashara wakati sample za Mali wanaweka mezani maduka yapo wazi, me mwenyew mfanyabiashara lkn hoja mnazotoa kuhusu machinga hazina mashiko mmekalia unafki tu, toa hoja zamsingi msijifanye machinga machinga watu wanafanya biashara miaka nenda rudi na wanauza fresh mwenye duka na machinga nao wanauza leo unaleta Domo lako toa hoja zamsingi zijibiwe Kaz ziendelee acha shobo

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 3 dny

    Shida matusi,kwanini mnatoa comment za matusi?

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 3 dny

    Endelee kufunga na shule zinafunguluwa

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 Před 3 dny

    Uctuchanganye akili zetu kama unagoma mafunga huo mduka wako funga..na ucfungue milele nyie ndio mnaotaka kuleta magomvi kwenye taifa

  • @shaban6644
    @shaban6644 Před 3 dny

    Wewe Ukifunga Duka Lako Usimtishie Mwenzio Anaefungua. Kila Mtu anashida Zake, Sasa ukilazimisha Mwenzio afunge Je utamsaidia Marejesho ya Mkopo wake..?, Utamsaidia Kulisha Familia yake..??,,,

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 Před 3 dny

      hii nchi ngumu saana ujuaji kibao hakuna umoja wala nn

  • @bigboys016
    @bigboys016 Před 3 dny

    Caption 😢😅 ya ndugu mwandishi

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před 3 dny +1

    Msifungue mpaka wawasikilize kero zenu,,,mana zinatuumiza hata sisi,,kwanza huyo amefeli maongezi yake

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 3 dny

    Misimamo ipo kwa majiran zetu wakenya wale ndio miamba, afe mtu afe nyani haki ipatikane

  • @kingnass6410
    @kingnass6410 Před 3 dny

    Mnataka tuwe kama kenya