"MIMI SIFUNGUI" - MFANYABIASHARA KICHWA NGUMU AMFOKEA RC CHALAMILA - WENZAKE WAMZOMEA.....
Vložit
- čas přidán 23. 06. 2024
- "MIMI SIFUNGUI" - MFANYABIASHARA KICHWA NGUMU AMFOKEA RC CHALAMILA - WENZAKE WAMZOMEA.....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mmachinga halipi Kodi… Kwahiyo wao watashangilia.. ngoja bidhaa iishe.. Ndo ataelewa
Kweli bila kodi asingekuja hapo fact👍
Pole mkuu wa mkoa..hilo zigo si lako umetupiwa zigo la moto
Wizara ya fedha Ihusike kusuluhisha
Waandishi mmekua wanafki sana
Uwezo wake mdogo sana hawa ndio wanaoishi kwa vyeo ambavyo sio vyao ila kwasababu ya kusifu wanawekwa,Taifa linapoelekea ipo siku tutakuja kushindia viazi vitamu mwezi mzima mana bidhaa hazitapatikana madukani
Safi sana huyo ndio mwamba sasa ..
Safi saaana Nchi huru hii wanao fungua wafungue wasio fungua wasifungue Ila wakifungua Kodi iko pale pale haziwasubiri
Mkuu alifeli sana kutumia hasira kumjibu mwananchi!
Aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa
Mwandishi.. hii imekaa kichochezi
Peni yako ni dhamana kubwa..Kazi yenu inamanufaa sana kwa Ukuaji wa nchi yetu, hata kama lengo likiwa kutengeneza msisimko na shauku
Lakini .. Maslahi ya Taifa 🇹🇿 yawe mbele ( umemkandamiza mchangiaji .. si vema) reg. Freedom of speech
Uyu ajakuja kusuluisha uyu amekuja kupiga kelele
Mkuu wa mkoa kazini kwake kuna kazi
Safi sana one day hawa viongozi watakuja kuombuka
African winter is slowly creeping East Africa
Mama ondosha hii nyangarika hawezi kuongoza mji wa biashara nguvu zake aende kulimia mpunga mbea
Kaza sana
Serikali imekalia ufisadi tu,mapato wanagawana tu, mafisadi wa hii awamu ya sita, Rip JPM
Unaenda navibes nawamachinga hapo ndio munapochemka wakubwa lengo nikuchukua maoni yawafanya biashara sio wamachinga.kwamfumo huo tutazid kua felier kilasiku
Mbona husikilizi hoja hatuelew umeenda kusuluhisha au
Km kuna sehemu mama kabugi, humu hamna kitu
Siasa dhidi ya ukweli wa maisha ya watu
Serikali inatupelekesha sana
RC hao watakutumbuwa bure 😮😮,we machie Mwigulu na kodi zake atamalizana nao😮😮
huyooo kijana aloongeee tukipata 5 t tutafika mbali
Huyu chawa tu hamna kitu hapa
RC Chalamila hauna uwezo wa kupambana na wafanya biashara ilo ni kama jeshi la pesa
Analiweza Majaliwa hacjana nao
Hamuwezi kumpa kisipika hicho RC azungumze
GLOBAL wananchi hawajzomea mwenzao wameshangilia hoja za mwananchi msijipendekeze kwa mamlaka
Hawa watu hawana umoja
Watanzania hawana umoja kabisa.
Serekaki ya Tanzania inawapanga wafanya biashara na wao wanasikiliza huo utumbo.
Hapa, je umoja anayo stoke kwake, na wewe hadi ufungue ndio watoto wapate rizki, je utakubali kufunga siku zote kwa kumfwata mtu usiejua anaishije? Mimi watoto wangu wafe na njaa kisha aliekua na chakula cha mwezi ndani kwake tuchkue maamzi sawa? Mi nadhani kila umoja hapo anaangalia faida anayoipata kwa mgomo, maana watu kila siku wanalalamika ila baduliko hamna, kumbe twende sawa na wanavyotak tu
Mitanzaniaaa miogaaa saan
Hawa ndiyo viongozi tunaowategemea kutafuta suluhu ya matatizo yetu eti...... We are going no where TZ.... CCM out for the true freedom of Tanganyika
Mafisadi wanasamehewa kadi, wadogo, kadi 18 vat%
Hao jeuri wanapata wapi
et wenzake wamzomeaa😁😁😁 ila waandshi wa bongoo bnhaaa
Waandishi kwa unafiki
Jamaa namkubi hakuogopa cheo yy kajua uyu binadam km Mimi kamchan kabaki kubwabwaja
..wale wanalipaga Kodi za mwaka wanaweza wakaondoka makwao wakakaa mwaka c hadaiwi Kodi kkoo itakua na hali gani
Tusubili mkeka wa mama utoke
Kaz ipo
Viongozi wengine hawa wako madarakani kwa bahati mbaya tu' kama tunavyoona huyu, yeye analumbana na wananchi tu' na kuwashurutisha kwa zarau zarau tu'
Huyu mkuu wa mkoa sijui anajua nini? Yaan anatoka ofc kwenda kubishana na wamachinga. nikidhani anaenda kutatua tatizo. Jamani hizi nafasi za ukuu wa mkoa na wilaya ziwe za kuomba au zifutwe kabisa, ukuu wa mkoa na wilaya sasa ni tatizo
ASEHE 😂😊
Kubababake watu washajizima data
Ivi uyu mkuu wa mkoa ni tiba au mwiba???
YAN KUONGOZA HUU MKOA LAZIMA UJITOE UFAHAM LA SIVYO HUWEZ KUTOBOA MAKE KUNA VICHWA VIGUMU
Sasa mm hapo mkuu wa mkoa hata sijakuelew
Kuna baadhi wanataka kufungua ila wanaogopa wengine. Hivyo anatoa ulinzi.
Mh, wew ujui maswala ya uchumi ujui watu wanatseka vp kweny iz Kodi Bora ukatulia2
Haya madaraka ya kulevya hayo
Migomo ni haramu.
Hili limeshakushinda wewe. Hujaenda kuwasikiliza machinga, hao wanaopiga kelele ni machinga na hawalipi kodi.
Mwenye akili ni wewe pekeyako mkuu
Hao wanaopiga makofi ni wafanya biashara ama, wabogo wanafki
Wamachinga hao
Watu wa dar chomeni hio karikoo uote iwake Moto, sema tu mtaingua hasara kubwa lakini basi Tu.
Mkuu wa mkoa umeona leo kariakoo wametufunikia maduka zetu nahawa jamaa wamachingaa ,wewe RC umechemkaa hunakitu ka chonjo,naomba mhe,raisi ufanye mabadiliko ya haraka umtoeee huyu mkuu wa mkoa harakaa,aneshindwa kazi anawatisha wafanyabiashara wenye maduka mbona qamachinga anashidwa kutoaa
Toa unafki wako apo, wamachinga wamefunikaje biashara wakati sample za Mali wanaweka mezani maduka yapo wazi, me mwenyew mfanyabiashara lkn hoja mnazotoa kuhusu machinga hazina mashiko mmekalia unafki tu, toa hoja zamsingi msijifanye machinga machinga watu wanafanya biashara miaka nenda rudi na wanauza fresh mwenye duka na machinga nao wanauza leo unaleta Domo lako toa hoja zamsingi zijibiwe Kaz ziendelee acha shobo
Shida matusi,kwanini mnatoa comment za matusi?
Endelee kufunga na shule zinafunguluwa
Uctuchanganye akili zetu kama unagoma mafunga huo mduka wako funga..na ucfungue milele nyie ndio mnaotaka kuleta magomvi kwenye taifa
Wewe Ukifunga Duka Lako Usimtishie Mwenzio Anaefungua. Kila Mtu anashida Zake, Sasa ukilazimisha Mwenzio afunge Je utamsaidia Marejesho ya Mkopo wake..?, Utamsaidia Kulisha Familia yake..??,,,
hii nchi ngumu saana ujuaji kibao hakuna umoja wala nn
Caption 😢😅 ya ndugu mwandishi
Msifungue mpaka wawasikilize kero zenu,,,mana zinatuumiza hata sisi,,kwanza huyo amefeli maongezi yake
Misimamo ipo kwa majiran zetu wakenya wale ndio miamba, afe mtu afe nyani haki ipatikane
Mnataka tuwe kama kenya