SHARIFA: Kutoka UIGIZAJI hadi kutengeneza bidhaa zake mwenyewe za VIPODOZI, avionesha na kuvichambua

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 17

  • @Shareit_Again
    @Shareit_Again Před rokem +6

    Hii ni sehemu ya kutangaza biashara hata sioni kama kuna motivation yeyote. leteni watu waliokuza biashara from nothing to sthng. watu hawa huwa wana experience nzuri ya biashara na si hawa wanafanya baishara kwa mteremko kupitia majina yao hawana cha kueleza.

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 Před rokem +2

    Mtafute haika wa mbezi garden she will motivate thousands of people also biashara connections

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před rokem

    Good job .I appreciate it ❤❤❤

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před rokem +1

    Need to be careful what you use for your skin is very important because sometimes the product can cause a big problem

  • @tensotv
    @tensotv Před rokem +1

    Duuh hii nchi🙄🙄..kumbe maji yanapimwa kwenye kilo na hamtuambii..

  • @user-jb3uq6jg5f
    @user-jb3uq6jg5f Před 6 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem

    Mtafuteni Director Joan mumhoji nae

  • @OnesmoMpetula-cg2ht
    @OnesmoMpetula-cg2ht Před rokem +1

    Bro hii interview umezingua bhana...there is no motivation rather ni kama amekuja kutangaza biashara yake ..next time ngependa kuona unawauliza how they start from scratch cause we are here to be motivated......am stand to be corrected

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Před rokem

    Mmmh hii chenga au wanalpia kuja hapo? Mbona brand ake hata aijulikan ili tu apreciate

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před rokem

    Nilidhani products za Garnier hair food and shampoo nk...some labels and colour mpka packages 🙄

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 Před rokem +1

    No motivation for this😢

  • @lynalyna3968
    @lynalyna3968 Před rokem

    Tuletee mzungu wa kichaga pls

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před rokem

    Sky umezungua 2019 mpaka 2023 miaka 10 umekosea

  • @modestmkali3436
    @modestmkali3436 Před rokem +2

    2019 to 2023 ni Miaka 10? SKY unaanza kuzingua 😂

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Před rokem +1

      Yani ndani ya week mbili umemaliza? Mtaungua ngozi nyie 😮na

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před rokem

      ​@@ednaJF1028 Mafunzo mwendokasi

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před rokem

      Hatari 😂😂😂😂