Indeed East Africa is full of democracy.A Muganda girl from Uganda taking the crown of Miss Tanzania am really happy and so thankful of the East African people at large❤One Africa
Miss mzuri kwa kweli. Ila mbona kama Mama yake anaongea rafudhi sio ya kitanzania ( ni watanzania kweli hawa ? ) au mshua ndio alikuwa Mtanzania ? RIP mshua wa Miss wetu 🙏
Sending lots of love from Australia. Africa is beautiful and so is 'miss Tanzania'
Indeed East Africa is full of democracy.A Muganda girl from Uganda taking the crown of Miss Tanzania am really happy and so thankful of the East African people at large❤One Africa
Nimeyasikia Haya siku ya event sikuamini
Ngoja tumuulize Shilawadu🚶🏿♀️🙌🏾
Hv n mss Tanzania au n miss dar zone
She is beautiful ❤
Such a beautiful girl!hongera Sana
jamani nimekuwa wa kwaza nipeni like zenu na kwa wale abao wamependa misiwetu watowe like 😂😂🥰🥰🥰
👊👊👊
thank you so much👊
Miss Tanzania ni mrefu kuliko wazazi🎉🎉
Hongera sana kwake
Ona mzazi anavyo tabasam 😊❤
kazuri jomoni😙 hongera babygirl.
Hii tabia ya watoto kuwa warefu kuliko wazazi sijapenta.
😂😂😂😂😂unawazim ww sio bure
😂
Kavaa viatu virefu 😂😂😂
@@mamachris6811 Sasa c kazaliwa hvyo huko mgodin😁😁😁😁
😅😅
Bahati mbaya zaidi adi kushinda miss Tz kashachezea miti kibao haah natania😂😂
🎉🎉
Mzuri mashaallah
Mama kama kiswahili sio lugha yake vile " Alifanya kazi bidii" By the way hongera sana Miss wetu mzuri
Tupeni namba zake basi tumchangie chochote
Shkamoo high heels
Tupo busy na usajili wa simba.Simba bingwa mwaka huu mtupishe
Miss alikuwa WEMA BHANA,HAJAWAHI KUCHUKA,UTADHANI KAVISHWA CROWN JANA
Imepoa
Ongera yake aisee
Ni mil 10 kweli au kelele tu
Miss mzuri kwa kweli. Ila mbona kama Mama yake anaongea rafudhi sio ya kitanzania ( ni watanzania kweli hawa ? ) au mshua ndio alikuwa Mtanzania ? RIP mshua wa Miss wetu 🙏
Nabukeera is a Ugandan name
She is Ugandan. And a muganda by tribe.
Zimepowa siku izi
Sana😂
Miss Tz ya sasa Haina mashiko kama enz za
Jocket, Wema, Nancy
You talking truth
Kweli kabisa na ndio maana hawasikiki kabisa
Kabsa mm nilijua miss kinondoni kumbe miss Tanzania
Dah DPW imemeza mashindano watu tuko kwenye mkatabaaa tuu
imepoaaaaaaa
Urefu umembeba
Uyoo baba yake mtu warwanda nahisi Tanzania hapana niwabantu sura pana
Mother amefulai jmn huyu mbk rahaa😂😂😂🙏