She is beautful and smart! Urembo haimaanishi tu sura but kile alichokibeba mtu kichwani ambacho kinawwza kuwa msaada kwa jamii na kuonwa na watu. By the way ana sura nzuri pia na muonekano mzuri. Mtu anaweza akawa anapitia changamoto ndogo lakini wa Tanzania tumekuwa ma bully wa mitandao hatujui na kwa kiasi gani tunaweza kumfanya mtu hata awe na hali mbaya hata kujiua kwa sababu ya coments ambazo wakati mwingine hazina ukweli ni chuki tu zisizo na maana. Wa tanzania tubadilike
Anavyo jibu maswali kwa judges kipindi cha competition, intelligence, urembo,mwendo,Anavyo pendeza,elimu, anavyo shirikiyana na wenziye wakiwa boot camp and last but no least VOTES...kura zawana inchi
Miss tanzania wa sikuiz mmmh akisimama na jack mengi wa mwaka 2000 au miriam odemba vitu viwili tofautiii sijui tatizo nin? Sio mbaya lakini hana sifa wala vigezo
Yaani mamiss Wa siku hizi ni wabovu balaaaaaa siwawachukue wamasai wa vijijini huko au mabinti wa singida vijijini warefu wanavigezo vyote sema wamekosa motisha ila masista duu wa mjini chipsi kavu hamna kitu wengi wabovu wanaboronga hawafai kutuwakilisha kimataifa
Mhh ama kweli miss sio uzuri...mpaka huyu miss...basi huku Zanzibar kumejaaa mamis eti...miss ana wigi...huku Kuna watoto wa kimanga warefu nywele ndegu za asili na shepu bomba
Sikatai dada ni mzur lakin kwenye miss Tanzania kwa huyu ni uongo kabisa tena majaji waliomchagua huyu dada walitakiwa wafungwe jela miaka 30 kwa kuidhalilisha tz kanakwamba hatuna wasichana wazur zaid pumbavu sana!😂😂
Shida warembo hawanachansi ya kuingia kwenye hayo mashindano. Warembo wengine hawapendi kujitokeza ,pia mara nyingi wale waandaaji huwatumia hawa waschana kimwili mno ili wapasishwe
Hongera Rose, uko vizuri. Mwandishi umezingua.. sehemu kubwa unauliza mahusiano/mapenzi..kama umedata kwake,... hujajipanga kuongea na miss Tanzania..
She is beautful and smart! Urembo haimaanishi tu sura but kile alichokibeba mtu kichwani ambacho kinawwza kuwa msaada kwa jamii na kuonwa na watu. By the way ana sura nzuri pia na muonekano mzuri. Mtu anaweza akawa anapitia changamoto ndogo lakini wa Tanzania tumekuwa ma bully wa mitandao hatujui na kwa kiasi gani tunaweza kumfanya mtu hata awe na hali mbaya hata kujiua kwa sababu ya coments ambazo wakati mwingine hazina ukweli ni chuki tu zisizo na maana. Wa tanzania tubadilike
This girl is so beautiful in person.... I've seen her she is incredibly beautiful
Nashangaa sana kuona maisha ya kula mihogo ni mabaya, sisi hyo mihogo tuliitamani Sana ila hatukuipata ,
Beautiful 😍😘
Jamani huyu dada ni mzuri nasema mzuri sababu siwez kujiringanisha nae ni mrembo m ningekua kama huyu duuuuuu ningegombea mis njombe
How did I not see this! I am so proud of her! She accepted the mistake and moved on
Mimi namjua kwa jina la Manka 😅. Tulikuwa tunamtuma maji ya kunywa tukipita kwao Sahare pale Tanga, eti leo hii ni seleb hahahaa.. Life buanah..
Mi nashauri mamiss wangekua wanakua recruited tu sio kuchukua waliojitokeza. hii ianzie ngaz ya mikoa had wanaongia miss tanzania
Mtangazaj kua proffesional umempenda chukua namba pembeni sio kutupotezea mda watazamaji kuangalia sound zako za hovyo unamuharibia millard ayo big brand
🤣🤣🤣🙌😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huko mwishon maswali yanayoulizwa jamani 😳😳..vido you're better than this
Fuatilia channel hii CZcams
Mmmh
Huyo ndio miss tanzania kumbe
Ila anaongea vizuri jmn🥺👌
Iv umiss wanaanglia vgezo gani kwani. maana siku hizi ukiambiwa huyu ndio miss tz unashangaa!
Anavyo jibu maswali kwa judges kipindi cha competition, intelligence, urembo,mwendo,Anavyo pendeza,elimu, anavyo shirikiyana na wenziye wakiwa boot camp and last but no least VOTES...kura zawana inchi
Ntarudi badae niko busy
Mmmmmmh
Rose soma mambo ya umissss aliyetoboa ni flaviana tu wengine wema sepetu odembaaa hawaelewekiii
Utapata chansi nyingine
Hata huyo naye hakupendi
Miss tanzania wa sikuiz mmmh akisimama na jack mengi wa mwaka 2000 au miriam odemba vitu viwili tofautiii sijui tatizo nin? Sio mbaya lakini hana sifa wala vigezo
Ni camera tu nahisi in personal ni mrembo sana with good personality
wa kwanza hapa
Hana mpenzii..😎😎
Hamna msichana anasema ana mpenzi public hivo
Hilo wigi litupe kwa upande wangu miss tanzania kwa kweli hafai tuseme tu ukweli
Mwanzo mwisho wigi tyu mm jmn
😂😂😂😂uwiiii anyway kajipanga yeye
😂😂
Yaani mamiss Wa siku hizi ni wabovu balaaaaaa siwawachukue wamasai wa vijijini huko au mabinti wa singida vijijini warefu wanavigezo vyote sema wamekosa motisha ila masista duu wa mjini chipsi kavu hamna kitu wengi wabovu wanaboronga hawafai kutuwakilisha kimataifa
Anzisha yako uwaweke hao unaowataka. Diana mmasai na mbovu kuliko wote waliowahi kuchukua taji
Miss sio sura boya
Mi nashauri mamiss wangekua wanakua recruited tu sio kuchukua waliojitokeza. hii ianzie ngaz ya mikoa had wanaongia miss tanzania
@@thabitdaudi9815 Kweli kabisaaaa yaani mfano huyu Binti ukimfananisha na Nancy Sumari utasema Nancy Miss Tanzania 2021 kumbe 2005 dah 🙌
@@eladiuspeter586 Hujanielewa
mbona dada wa kawaida mno ina maana tanzania hakuna madem wazuri kweli???
Make up boss akiweka make up hutaamini ni yeye. wanaume tunauziwa mbuz kwa gunia sana
Hana make up apo
Kwan huyu ni mbayaa???
Mbona ni mzur sanaa.
duuh huyu ndo miss tz?wamchongo
Kabisa
Huyu dada anajielewa coz kasema ukweli mungine angepindisha maelekezo
Bora ya yule mshindi wa pili ndo angekuwa wa kwanza maana uyu (rose) khaa acha nike kimya 😐
Umeona eee
Aliyepewa Kapewa dada.. acha roho mbaya
Mhh ama kweli miss sio uzuri...mpaka huyu miss...basi huku Zanzibar kumejaaa mamis eti...miss ana wigi...huku Kuna watoto wa kimanga warefu nywele ndegu za asili na shepu bomba
😀
Huyu ni miss wa kwetu hao wamanga wakwenu.
Sa mbona hukuwapeleka
Ndo huyu
Tulioelewa kwamba demu alivopitia matatzo jamaa alkuwa anazngua
Mbn wakawaida sana
Yani kinomaaa
Ujinga ujiue kuwasononesha Wazazi kuwa Miss Tanzani ni privilege tu wapo wazuri wengi sanaa tu lol!!!!
Camera mbaya mno mmemwaribu dada wa watu
Hhhahahaa
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
.*#.*#
czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html
Sikatai dada ni mzur lakin kwenye miss Tanzania kwa huyu ni uongo kabisa tena majaji waliomchagua huyu dada walitakiwa wafungwe jela miaka 30 kwa kuidhalilisha tz kanakwamba hatuna wasichana wazur zaid pumbavu sana!😂😂
Kabisa walibugi vibaya mno bora yule wa pili
😂😂😂😂
@@happymarwa4517 kabisa yani
@@marianaemanuel9458 😂😂
Shida warembo hawanachansi ya kuingia kwenye hayo mashindano. Warembo wengine hawapendi kujitokeza ,pia mara nyingi wale waandaaji huwatumia hawa waschana kimwili mno ili wapasishwe
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
.*#.*#
czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html