MASKINI MISS TANZANIA ADONDOSHA MACHOZI, AJUTIA ALIYOPITIA “NILIFIKIRIA KUJITUPA BAHARINI, NISIISHI”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2022

Komentáře • 69

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 lety +5

    Hongera Rose, uko vizuri. Mwandishi umezingua.. sehemu kubwa unauliza mahusiano/mapenzi..kama umedata kwake,... hujajipanga kuongea na miss Tanzania..

  • @rehemarobert516
    @rehemarobert516 Před 2 lety +5

    She is beautful and smart! Urembo haimaanishi tu sura but kile alichokibeba mtu kichwani ambacho kinawwza kuwa msaada kwa jamii na kuonwa na watu. By the way ana sura nzuri pia na muonekano mzuri. Mtu anaweza akawa anapitia changamoto ndogo lakini wa Tanzania tumekuwa ma bully wa mitandao hatujui na kwa kiasi gani tunaweza kumfanya mtu hata awe na hali mbaya hata kujiua kwa sababu ya coments ambazo wakati mwingine hazina ukweli ni chuki tu zisizo na maana. Wa tanzania tubadilike

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly1488 Před 2 lety +1

    This girl is so beautiful in person.... I've seen her she is incredibly beautiful

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před 2 lety +4

    Nashangaa sana kuona maisha ya kula mihogo ni mabaya, sisi hyo mihogo tuliitamani Sana ila hatukuipata ,

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +2

    Beautiful 😍😘

  • @kilianamapunda3170
    @kilianamapunda3170 Před 2 lety +3

    Jamani huyu dada ni mzuri nasema mzuri sababu siwez kujiringanisha nae ni mrembo m ningekua kama huyu duuuuuu ningegombea mis njombe

  • @michaelkisselar5691
    @michaelkisselar5691 Před 2 lety +1

    How did I not see this! I am so proud of her! She accepted the mistake and moved on

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 Před 2 lety +2

    Mimi namjua kwa jina la Manka 😅. Tulikuwa tunamtuma maji ya kunywa tukipita kwao Sahare pale Tanga, eti leo hii ni seleb hahahaa.. Life buanah..

  • @thabitdaudi9815
    @thabitdaudi9815 Před 2 lety +2

    Mi nashauri mamiss wangekua wanakua recruited tu sio kuchukua waliojitokeza. hii ianzie ngaz ya mikoa had wanaongia miss tanzania

  • @thabitdaudi9815
    @thabitdaudi9815 Před 2 lety +2

    Mtangazaj kua proffesional umempenda chukua namba pembeni sio kutupotezea mda watazamaji kuangalia sound zako za hovyo unamuharibia millard ayo big brand

  • @barakaanania7243
    @barakaanania7243 Před 2 lety +3

    Huko mwishon maswali yanayoulizwa jamani 😳😳..vido you're better than this

  • @juhudmedia6674
    @juhudmedia6674 Před 2 lety +1

    Fuatilia channel hii CZcams

  • @princemapozz7072
    @princemapozz7072 Před 2 lety

    Mmmh

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe986 Před 2 lety +1

    Huyo ndio miss tanzania kumbe

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před 2 lety +1

    Ila anaongea vizuri jmn🥺👌

  • @hamadyasin7429
    @hamadyasin7429 Před 2 lety +2

    Iv umiss wanaanglia vgezo gani kwani. maana siku hizi ukiambiwa huyu ndio miss tz unashangaa!

    • @hahmadhabibu2076
      @hahmadhabibu2076 Před 2 lety

      Anavyo jibu maswali kwa judges kipindi cha competition, intelligence, urembo,mwendo,Anavyo pendeza,elimu, anavyo shirikiyana na wenziye wakiwa boot camp and last but no least VOTES...kura zawana inchi

  • @winnieedson4631
    @winnieedson4631 Před 2 lety +1

    Ntarudi badae niko busy

  • @mwanahamisbwanga1184
    @mwanahamisbwanga1184 Před rokem

    Mmmmmmh

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před 2 lety +2

    Rose soma mambo ya umissss aliyetoboa ni flaviana tu wengine wema sepetu odembaaa hawaelewekiii

  • @verdianajosephat5797
    @verdianajosephat5797 Před 2 lety +1

    Utapata chansi nyingine

  • @fredrickjoseph2907
    @fredrickjoseph2907 Před 2 lety

    Hata huyo naye hakupendi

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před 2 lety +3

    Miss tanzania wa sikuiz mmmh akisimama na jack mengi wa mwaka 2000 au miriam odemba vitu viwili tofautiii sijui tatizo nin? Sio mbaya lakini hana sifa wala vigezo

    • @carolinejulius3913
      @carolinejulius3913 Před 2 lety +2

      Ni camera tu nahisi in personal ni mrembo sana with good personality

  • @sifatiiman
    @sifatiiman Před 2 lety

    wa kwanza hapa

  • @basilmswahili3685
    @basilmswahili3685 Před 2 lety +1

    Hana mpenzii..😎😎

  • @troybolton6686
    @troybolton6686 Před 2 lety +1

    Hilo wigi litupe kwa upande wangu miss tanzania kwa kweli hafai tuseme tu ukweli

    • @silyadamian5708
      @silyadamian5708 Před 2 lety

      Mwanzo mwisho wigi tyu mm jmn
      😂😂😂😂uwiiii anyway kajipanga yeye

    • @shimii3662
      @shimii3662 Před 2 lety

      😂😂

  • @wemakingdaily1462
    @wemakingdaily1462 Před 2 lety +3

    Yaani mamiss Wa siku hizi ni wabovu balaaaaaa siwawachukue wamasai wa vijijini huko au mabinti wa singida vijijini warefu wanavigezo vyote sema wamekosa motisha ila masista duu wa mjini chipsi kavu hamna kitu wengi wabovu wanaboronga hawafai kutuwakilisha kimataifa

    • @jacquilinetenth3447
      @jacquilinetenth3447 Před 2 lety +1

      Anzisha yako uwaweke hao unaowataka. Diana mmasai na mbovu kuliko wote waliowahi kuchukua taji

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 Před 2 lety +2

      Miss sio sura boya

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Před 2 lety +1

      Mi nashauri mamiss wangekua wanakua recruited tu sio kuchukua waliojitokeza. hii ianzie ngaz ya mikoa had wanaongia miss tanzania

    • @wemakingdaily1462
      @wemakingdaily1462 Před 2 lety

      @@thabitdaudi9815 Kweli kabisaaaa yaani mfano huyu Binti ukimfananisha na Nancy Sumari utasema Nancy Miss Tanzania 2021 kumbe 2005 dah 🙌

    • @wemakingdaily1462
      @wemakingdaily1462 Před 2 lety

      @@eladiuspeter586 Hujanielewa

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Před 2 lety +3

    mbona dada wa kawaida mno ina maana tanzania hakuna madem wazuri kweli???

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Před 2 lety +2

      Make up boss akiweka make up hutaamini ni yeye. wanaume tunauziwa mbuz kwa gunia sana

    • @newking6497
      @newking6497 Před 2 lety +2

      Hana make up apo

    • @siakiwelu3007
      @siakiwelu3007 Před 2 lety +1

      Kwan huyu ni mbayaa???
      Mbona ni mzur sanaa.

  • @sammychansa1797
    @sammychansa1797 Před 2 lety +3

    duuh huyu ndo miss tz?wamchongo

  • @sbm7319
    @sbm7319 Před 2 lety +2

    Huyu dada anajielewa coz kasema ukweli mungine angepindisha maelekezo

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 Před 2 lety +1

    Bora ya yule mshindi wa pili ndo angekuwa wa kwanza maana uyu (rose) khaa acha nike kimya 😐

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 Před 2 lety

    Mhh ama kweli miss sio uzuri...mpaka huyu miss...basi huku Zanzibar kumejaaa mamis eti...miss ana wigi...huku Kuna watoto wa kimanga warefu nywele ndegu za asili na shepu bomba

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před 2 lety

    Ndo huyu

  • @fikedyngulwa9320
    @fikedyngulwa9320 Před 2 lety

    Tulioelewa kwamba demu alivopitia matatzo jamaa alkuwa anazngua

  • @danielpaul84
    @danielpaul84 Před 2 lety +4

    Mbn wakawaida sana

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Před 2 lety +1

    Ujinga ujiue kuwasononesha Wazazi kuwa Miss Tanzani ni privilege tu wapo wazuri wengi sanaa tu lol!!!!

  • @estercosta8545
    @estercosta8545 Před 2 lety +1

    Camera mbaya mno mmemwaribu dada wa watu

  • @naija6679
    @naija6679 Před 2 lety

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#.*#
    czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Před 2 lety +1

    Sikatai dada ni mzur lakin kwenye miss Tanzania kwa huyu ni uongo kabisa tena majaji waliomchagua huyu dada walitakiwa wafungwe jela miaka 30 kwa kuidhalilisha tz kanakwamba hatuna wasichana wazur zaid pumbavu sana!😂😂

    • @happymarwa4517
      @happymarwa4517 Před 2 lety +1

      Kabisa walibugi vibaya mno bora yule wa pili

    • @marianaemanuel9458
      @marianaemanuel9458 Před 2 lety

      😂😂😂😂

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 Před 2 lety

      @@happymarwa4517 kabisa yani

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 Před 2 lety

      @@marianaemanuel9458 😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Shida warembo hawanachansi ya kuingia kwenye hayo mashindano. Warembo wengine hawapendi kujitokeza ,pia mara nyingi wale waandaaji huwatumia hawa waschana kimwili mno ili wapasishwe

  • @naija6679
    @naija6679 Před 2 lety +1

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#.*#
    czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html