MSIBA wa MAMA wa MISS TANZANIA AMISUU MALICK - MWANAYE AELEZA - "PESA MLIZOCHANGA TATOA SADAKA"...
Vložit
- čas přidán 19. 06. 2024
- MSIBA wa MAMA wa MISS TANZANIA AMISUU MALICK - MWANAYE AELEZA - "PESA MLIZOCHANGA TATOA SADAKA"...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Pole dada Mungu Amrehemu na Amlaze pema peponi na wewe umetengeza pepo yako kwa kumshughulikia mamaako
Pole Dear Kwa kufiwa na mama,ulimpenda mama na umempambania mama lakini Mungu kampenda Zaid
Pole sana dada yangu,sikia kwa mwenzio kufiwa na mzazi.Mungu amlaze mahali panapo stahili
Pole sana ndugu yangu umempambania sana mma yetu yote kimapenzi yamungu mungu amaze mahari pema peponi
Pole sana ndugu yetu na In shaa Allah Mola atamueka mahala pena peponi . Amiin
Alhamdulilah umeweza kumsimamia mama mpk dakika ya mwisho umefanya wajibu wako Mola atakulipa na akupe subra ktk kipindi hiki kizito
Amiin
Pole Sana ALLAH amrehem mama na ww akupe shifaa yaarabb
Inna lillah wayna ilayhi roojioon Allah amsamehe makosa yake Yaa Raab In Shaa Allah Allah amjaalie awe ni miongoni mwa waja wake wema
Innalillah wainnaillah raiiun pole kwa familia yote ya marehemu Bali hizo pesa n halali yake asiwe na wasi binafs nmeguswa sana na huu msiba kilichobaki n kumwombea huko aliko
Pole sana kwa msiba wa mama
Pole sana allah akujaalie kheri
😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️inalilah wainailah rajiun allah ampe kauli thabiti kaburini mwake inshallah 🤲🤲🤲umempigania sana mamako mdogo angu pole sana 😢😢
Pole sana😢inauma najuwa pole
Dah! Masikini,😢 pole Sanaaa my dear...mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu!🙏🏻😭
Pole mrembo Allah akupe nguvu kwa wakati hu mzito
Pole dada ni kazi ya Mungu ,kila kitu kinaenda na mipango!
ALLAH amlaze mahali pema peponi amin. Pole dada .kwa msiba mama anauma sana.
Innalillah wainnah lillah rajun pole Sana mrembo wetu 😢 uchungu wa mama
Pole sana ndo hatma yetu sote mdogowangu kua na subra
Pole sana
Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa mola ampe khauli thabiti mama yetu
Pole Sana dada
Da! Pole sn ulijitoa sn kumuokoa mama
Pole sana mama yetu amepumzika
Pole sana dada Mungu akutie nguvu
Duh mbona Sauti ya Imelda?🙄🙄
Nikweli Sauti kama Emelda.Mtema
Mie mwenyewe na shangaaa
😭😭Pole sana mrembo kwa kuondokewa na mzazi
Huyu Mama alikuwa anaumwa kweli alikuwa anajikaza mbele ya watoto wake maskini.Pole kipenzi ni mipango ya Mungu hata ungefika India labda ingekuwa hivyo hivyo.
Huyu mtangazaji jaman nilijua imelda😢
Hata Mimi nilijua hivyo
Duh ata mimi😅😅
😂😂😂😂niliju mm masikio yangu sisafishi vizur sisikii vizur kumbe nilikuwa sahihi
Innalilah wainnailah rajihun Polesana Allah kachukua kiumbechake sisi woteniwamola kwake tutarejea
Pole sana Allah ampe kauli thabiti
Swali langu nauliza mbona huyu dada alisema hana ndugu hapa Tanzania hiyo imekaaje😢
Labda alimaanisha ndugu waliozaliwa pamoja
Inna lillah wainna illaih rajiun. Pole sana. Allah wapeni subira
Machati sehemu gani
Pole kwa msiba wa mama
Ina lillah wainaillah rajiun
Voice ya mtangazaji😢
Tehe😅
Innalillah wainnailahy rajiun pole sana kwa familia
Pole Sana rip
Poleni sana😢
R.i.p mom Poleee mnoo kipienz kwa kumpoteza mama
Pole kipenz tumuombee mama etu
Inalilah wainalilah rajinu
Pole sana dear 😢😢😢
Pole sana mamy 😭
Inalillah waina illah rajoun
😢😢😢😢Pole sana dear
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun
inalilahi wainailaihi rajiuni 😭
Sauti ya Imelda ila Sura ya mkaka 😢
😂😂😂
😂😂😂😂
Anayemhoji ni mwanaume sio Imelda
Kweli saut ya imelda
Pia mm nimejiuliza 😁
Poleee mamy
Pole sana dada yangu,sikia kwa mwenzio kufiwa na mzazi.Mungu amlaze mahali panapo stahili
Pole sana
Pole sana
Pole sana