MAZIKO ya MWANAFUNZI FORM 3 ALIYEUAWA kwa KISU - "TUKIO HILI LIMEUMIZA WENGI" - POLISI WAONGEA...
Vložit
- čas přidán 20. 06. 2024
- MAZIKO ya MWANAFUNZI FORM 3 ALIYEUAWA kwa KISU - "TUKIO HILI LIMEUMIZA WENGI" - POLISI WAONGEA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Duuuuuuuuuuuuuu pole Sana ndugu na wazazi wa mtoto huyu
Msiba unauma Sana Sana polen kwa familia polen kwa marafik wa marehem najua mmeumia mno ila hao walio fanya hvyo' watalipwa kwan malipo n dunian😭🙏
Jamani poleni.Mungu naomba uwalinde watoto wetu
Mungu hawatie nguvu katk kipindi kingumu hichi hakika mungu hatapigania haki yake 😭😭mungu hamlaze mahali pema peponi apumzike kwa amani amen
😢😢😢😢pole bibi umeniliza mungu akutie nguv
Wafiwa poleni sana. Wauaji matendo yao yanawangojea mlangoni kwao.
Mwenyezi mungu Akuweke pema peponi Amin
Kuzaliwa kwangu Temeke lkn Mikoroshini kuelekea huko ABC sijui hd kuvuka reli darajani huko na huku mtoni kuelekea Mtongani siwezi ishi hizo sehemu aah kuna matukio ya ajabu mno
nimezaliwa ABC hadi nahama huko 2012 hakukuwa na matukio kama miaka ya hivi karibuni aisee
Poleni wanafamilia
Najikuta nalia kwa uchungu. Mnamuua mwenzenu sabab ya simu 😢😢😢😢😢kila alie husika Mungu atamuhukum😢😢😢😢
💔💔💔💔namuombea kijana wetu na hao vibaya mungu assume wasilale damu yake iwatafune
Poleni sana
Mungu alali wamekatisha ndoto zako baba jaman usilale😢😢😢
Imeniuma sana! Bado mdogooooo yani
Mungu awape wepes jmn
Kwa kweli kimeniliza Sana tunaomba jeshi la polic hakikisheni hao watuumiwa wanakamatwa
Mungu awahukumu Jaman
Maskini kaondoka bado mdogo sana 😢
M/MUNGU ilaze roho ya marehem mahalipema peponi pole kwa familia
Innalillahi wainnalillah rajiun 😭
SHIDA VIONGOZI WA KATA ZA TEMEKE RUSHWA NYINGI UNAKUTA MTOTO MZOGO NI MWIZI ILA MAMA WA MTOTO NA MWENYEKITI WANA MAHUSIANO KWAHIYO NIKUFICHANA 😭 RIP DOGO
Inauma sana jaman
Haaaa nimajonzi lakini nimefurahi kumuona mwalimu wangu Enzo hizo tulikua tuna muita (red week😂😂)
Tunamwombea mama yke apate amani.Lakini tuñaomba jeshi lapolice hilishindwi kitu,mkono wake nimrefu sana,wakomeshwe hwa vijana kukatisha uhai wamtu kwasababu yasimu jmn.Simu nishingapi watakayokaenda kuuza hwa vibaka jmn.Nawanawazi wao wanajua Tabia zawtoto wao.Kweli imauma sana,wakamatwe wauwae kbisa wakome nawengine
Pole kwa family's
Pole kwa family
Tumepata pigokubwa San katika shule ye2 😭😭
😢😢😢
Innalilah wainnalilah laijiun subhanna Allah😢 mbona naona.kaburi ni fupi kwenda chini au ndo wanavyo chimba kwa wakristo!
Uwenda
Aya
Pole sana jmn
😭
Innalilah wainailah rajun
Miaka 15 maskin 😢
Innalilah wainnailahy rajiun
Bd mdogo cn jmn yn inauma cn 😢😢😢😢😢
Dah inaumaa sana nimejikuta nalia😢
Ila jeshi letu la polisi linaangaika na madada poa kuwakamata matukio kama aya wako kmya
Pole Sana ndugu jamaa na wazazi wote
MUNGU akawe faraja kwa wote walofikwa na msiba huu, fanyeni juhud kutafuta waharifu walokatisha uhai wa rafik etu Josee ili kupunguza IDADI ya waharifu Mtaani
dah jamn dunia imeish
Innalillah Wainna ilayah Rajiun
Unahoji utadhani unaongeana mpenzi wako. Uliza kwa kujiamini kijana au jifunze Kwa wabobezi wanavyouliza maswali.
Wa Malegend mnaanza kukandia wenzenu😂😂😂
Polen sana duuuuh
Mungu awatie nguvu wazazi
Watakamatwatuu
Ila nikweli mtu Akiuwa nae Auliwe
inalilahi wainailaihi rajiuni 😭
Jamani ni uchungu sana,R.I.P mwanangu
😭😭😭poleni sn wanafamilia
Makonda jamani ona matukio baba mangufuri kakuachia kazi kubwa sana ungekuwa raisi wewe historia kubwa kwa watanzania
Diwani mjinga kweli eti ajira, kibaka na kuajiriwa wapi na wapi?
Du! Wamemkatisha mtoto uhai wake da! Ila damu ya mtu haiendi bure
Maskini bd mdogo cn mtt
Jamani Tanzania mangufuri ukowapi baba ona matukio nchiyoko
Magufuli Kwan hi habali yazamani au
Mkuu wa mkoa uko wapi
Vifo vingi sana yo
Selekali ingeweka azabu yakunyongwa wenye matukiomazito kamahawa tenahadharani ndiowatu wataogopa kufanya uharifu kuliko kauliwanayosema kwendakulaugaliwabule wanatoka kwa msamahawa raisi matukiohayataisha
Mbona kaburi fupi hivyo jamani
Mungu kaumba vimo mbali mbali warefu,wafupi,wanene,wembamba,
@@Chakol123-k7s sijamanisha hivyo,ni fupi kwenda chini maana hata hao wakiingia shimo liko magotini wanga wanafukua maiti usiku
Kweli shimo la kaburi ni fupi
Fupi sana ona hata jeneza lipo juuu juu
We unataka liwe refu kufa wewe uchimbiwe refuuu
😢😢😢