EXCLUSIVE: Rachel akiri ameacha bangi, aelezea kupata matatizo Oman.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Rachel ni mwimbaji ambaye ujazo wa jina lake ulianzia alipojiunga na THT, amekaa kwenye Exclusive na Mtangazaji Millard Ayo kwenye studio za TZA.

Komentáře • 219

  • @ErycOyugi
    @ErycOyugi Před 8 lety +3

    waa i just love recho so much, i wish i could get a chance and talk to her

  • @benpaul6697
    @benpaul6697 Před 8 lety +1

    Millard ayo bro unanifurahisha sana
    fan from Istanbul

  • @khloealfan7924
    @khloealfan7924 Před 6 lety +4

    Millardayo sisi tuko Oman tunateseka Sana wallah waarabu mbwa japo wanaswali lkn si watu.....ukifika tu airport wanachukua passport wanakutesa ata njia ya kutoloka huwezi

  • @mimasaidy6087
    @mimasaidy6087 Před 8 lety +1

    poleee Rachel wang.... niliona yalokua yanakukuta hapa oman but yote maisha mamaaa

  • @nasraeidrayul4383
    @nasraeidrayul4383 Před 8 lety +2

    sorry +Nancy Andrew kwenye rial 500 ni sawa na pesa za kitanzania milion 2.50000 au zaidi ya hapo inategemea na upandaji wapesa ila rial 10 ukichange kwa money gram unapata tanzania sh 55000 yani One rial ni sawa na elfu 5 na miatano ya kibongo ......ukiona nakudanganya mda huu chukua rial 12 yako nenda money gram popote iliyopo oman change watakukata rial 2 tu halafu pesa itakayo ingia kwa tanzania kama haitofika elfu 50 basi njoo umuite recho muongo lkn sio kusema mtu muongo wakat hamjafanya resurch ya hicho kitu ..mimi pind nikijisikia huwa natuma rial 10 na inafika kama alivyosema recho

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 Před 3 lety

    Dah Millard ujuwe broo nakukubal mnooo

  • @mamanasramamanasra4018

    Pole recho kwamitihan uliyoipata Oman"
    Mwenyezi mungu yupo anakuona" lshallah" atakutiliya wepes kwa kila jambo"God bless you my❤

  • @jacquelinejackson6124
    @jacquelinejackson6124 Před 8 lety

    your very strong to admit ur mistakes and return to God. Am sure ur in a safe side.

  • @abdulmakopa5695
    @abdulmakopa5695 Před 8 lety +1

    Nampongeza sana Recho kwa maamuz alochukua aendelee kubaki njia kuu

  • @maimuna1275
    @maimuna1275 Před 8 lety +10

    a aaah mm OMAN nimechoka natamani niludi Tz

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi Před 7 lety +3

    Nakupenda recho

  • @suleimanmuscat3496
    @suleimanmuscat3496 Před 8 lety +1

    Ewe ulidanganyika na mapenzi mm nilimpa offer ya ku shuti album lakini hakuwa m kweli Oman watu wazuri sana ila alimpenda huyo kijana mpaka kaji sahaw matatizo aliyataka mwenyewe hakupata watu wa mana hata viwanja alikuwa akipenda kwenda ni cheap quality hakusimama kama recho mwenyewe mbona tulikuwa tayari kwa ku msaidiya kwa amani lakini alikuwa siyo m kweli ili ningemfikisha mbali sana na kumtowa kima isha alipata watu siyo tipe yake kwa kweli na ni mengi tu aliyofanya siyo mazuri

  • @lasoitantoya4260
    @lasoitantoya4260 Před 8 lety +1

    Recho got a Culture shock she needs help. Its not an easy gig any of"those"Countries. Sorry next time becareful where you go Recho coz 500 is like 150$ hiyo si pesa nyingi dada.all in all ur lucky to be back.

  • @hawahamisi6237
    @hawahamisi6237 Před 8 lety +6

    Rachel wangu kuna vitu umeongea hapo umesahau kuna W Tz walikua wankuon 😂😂😂🏃🏃🏃🏃🏃🏃

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 Před 7 lety +7

    kweli recho ulienda oman maana naskia ayo maneno yako tu ewah ..

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 Před 8 lety +2

    Recho mzuri hapo👇👇chini nimesha waona mijitu ya mascat na roho zao mbaya km maboss wao waharabu Big up Recho yr cute Mado mdogo ulipo anguka nyanyuka jikumute endelea na safari achana na na vizee vya mascat stress zinawasumbua

  • @MohamedAhmed-yn1lx
    @MohamedAhmed-yn1lx Před 8 lety +2

    Kapoleee mtulivuu nakiswahili chake chakii Oman maraa laaa hewaaaa hahahahaha hatakama anatumia she is smart kuamua kujirudi

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins9690 Před 8 lety +1

    keep kuomba watu watakosa kukuelewa keep the faith utakamilika All is possible

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 7 lety +4

    wapi waruhusiwa kupigana?

  • @sirhersi
    @sirhersi Před 8 lety +3

    hawa wasanii wanahitaji counseling.....guidance

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 8 lety +3

    Ooh my God,Rachel ukivuta bangi hapo kwisha kaziii,ooohh my God whyyyyy????????she is so pretty na anajua madhara yake jmn

  • @fatmajuma7896
    @fatmajuma7896 Před 8 lety +8

    millard tuko wengi wabongo uku Oman

    • @aminafesali5817
      @aminafesali5817 Před 6 lety

      Fatma Juma awen ww uko oman mawarid Awen yanakauka kwa sku moja??? hemu mwambia huyo ajuwe

    • @kingkiba3728
      @kingkiba3728 Před 6 lety

      Fatma Juma ata Mimi ipo Omani

  • @chibaboy5803
    @chibaboy5803 Před 8 lety +7

    kumludia mung c kuimba gospel ila kumludia mung n kufanya ibada na kufanya mambo yanayompeza yy

  • @ashalikata1417
    @ashalikata1417 Před 8 lety +5

    recho ulienda kujiuza sema ukweli mi najua hizo mambo ulioverstay najua kabisa..eeh na uache kubwia unga ulienda kujiuza unajitetea sana nani akuoe teja

  • @habibuanga347
    @habibuanga347 Před 8 lety +6

    ila watanzania tuache ushamba! yani kukaa muscat miezi saba tu ndio mpaka unaongea kama mwarabu... ptuuuuu!! ujinga

  • @ceciliawambui3203
    @ceciliawambui3203 Před 8 lety

    cool girl. love you

  • @hamiyudramadhanid194
    @hamiyudramadhanid194 Před 6 lety

    Nakupenda sana recho

  • @RoseMary-hp5bz
    @RoseMary-hp5bz Před 8 lety +6

    kwani omni wanapiga muzki ya kibong freva rechooo,,,

  • @g.mapesag.mapesa2391
    @g.mapesag.mapesa2391 Před 7 lety

    Nice nimependa sana

  • @Its_Mndewa
    @Its_Mndewa Před 8 lety +1

    recho anahitaji kusaidiwa millard. mambo ya kukataa yataleta shida baadae mifano inaonekana. msaidieni huyo watanzania.mwenzenu kakwama kule Oman pagumu palikua.JIulize alipata wapi hela ya kulipa?

  • @rahmaseleman3429
    @rahmaseleman3429 Před 8 lety +3

    laaaa, eiwa sio ewaaa recho mushkla

  • @jolondosi3655
    @jolondosi3655 Před 6 lety

    Dada una macho bomba big up

  • @ernestcharles1906
    @ernestcharles1906 Před 8 lety +5

    uyo demu anazingua muongo anavuta anaonekana ivi ivi sema uteja haujifichi ngoja tuangalie uteja kama mimba bwana wadau

  • @totoladinda3028
    @totoladinda3028 Před 8 lety +2

    huyu dem nafiki,Mara hajawai mara ashaacha,ukimuangalia wamjua ni mnafiki

  • @ashagrills1319
    @ashagrills1319 Před 8 lety

    nimecheka sana duuuh Recho swaga zimebadilika eti ewa chezea waarabu

  • @siambuya1691
    @siambuya1691 Před 8 lety +1

    Mdogo sanaa huyo kumbe...

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 Před 8 lety +2

    rachel hahaha habar ndio hiyo.anatamani aongee kilicho mpeleka ila kasita

  • @barakamkongogo9646
    @barakamkongogo9646 Před 8 lety +1

    Rachel bhana we noma hata bangi umepuliza

  • @rashidarajabu7288
    @rashidarajabu7288 Před 8 lety

    pongezi

  • @abdalashaibu489
    @abdalashaibu489 Před 5 lety

    I love you

  • @awhaalih6905
    @awhaalih6905 Před 2 lety

    Aswaa kweli

  • @neemahussein4957
    @neemahussein4957 Před 7 lety +1

    😅chezea Oman wee😭😭😭😭warabu wote nyaso zao

  • @cindybobs4051
    @cindybobs4051 Před 8 lety +1

    miez saba unabadili lugha khaaaaa ila kiukweli unapoelekea sipo wallah but mungu akujaalie ujue wapi umelong / napenda mziki wako ila

  • @muzeeya
    @muzeeya Před 8 lety +1

    Vuta vuta sister life is too short

  • @ashoasho6542
    @ashoasho6542 Před 3 lety

    Mimi nimepachoka APA Oman.sasa laa h ya nini.acha ushamba Sisi tuna miaka zaidi ya Tisa lkn tinaongea kama Kiswahili chetu pimbi wew

  • @zubedamohamedi753
    @zubedamohamedi753 Před 8 lety +1

    Jaman Recho tumekumcje?

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 4 lety

    Rachel ulianza vizuri mziki baadae ukapotea umepoteza raman yaan hadi Millard anakosa maswali ya kimziki ya kukuuliza anakuuliza tu kuhusu Oman ipo je kiufupi umegeuka kua mtalii.

  • @gracemaembe3715
    @gracemaembe3715 Před 6 lety

    aisee mungu ni mwema sana

  • @kemuntoratemo7499
    @kemuntoratemo7499 Před 7 lety

    yaalapii

  • @chepken6074
    @chepken6074 Před 8 lety

    muscat is very beautiful still under development and they maitain nature i bet she was in a diffrent setting but Alhadulilah shes ok and was able 2 pay her pentality overstay. her story doesnt matchup I ges she was lied 2 by the oman guy for a better lyf but 1 thing is for sure this ppl are totally rooted 2 the a cultre. gulf in whole is 1 place u better have a job coz bills knock ur door everyday.

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 8 lety +1

    Ongea ukwel tu money is money ulienda kujiuza everyone knows

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins9690 Před 8 lety

    ehheee waarabu😢😢😢😴😴 anyway ... ni maisha mwisho wa siku Mungu ndo mambo yote

  • @marthamusoma1082
    @marthamusoma1082 Před 8 lety

    hongera mwaya japo watz wengi wanapenda kukataa saa kama ameacha au ajaacha we inakusaidia nini

  • @steyllahzacharia5588
    @steyllahzacharia5588 Před 5 lety

    Wabongo MBNA mnapenda sana kujaj vtu vya MTU negativity msipende kukalili maisha MTU akiamua kubadlka anabadla tu haijalish halkuwa mchafu wa Tania kias gan,,,dhamb unaziona kwa mwenzio maana anajulkana kwwnye media ila wewe ndo unaweza kuwa mchafu kulko hata Huyo MTU anayeonekana kwenye media

  • @goodluckwillium6095
    @goodluckwillium6095 Před 8 lety

    Ni vzr

  • @andrewkauzeni9035
    @andrewkauzeni9035 Před 8 lety +1

    niceeeeeree

  • @saulimwakyusa3859
    @saulimwakyusa3859 Před 8 lety +8

    dah wee kadada kazuri balaaa ila mungu kumbe mnamrudiaga mungu yakiwashinda mwambie na chidy amrudie mungu

  • @rechobushir579
    @rechobushir579 Před 8 lety +1

    nice wajina

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 Před 8 lety +1

    Hehehe hehehehehehe Millard bwana eti wanaongea "KISWAHILI"?

  • @pasariswakiserian7531
    @pasariswakiserian7531 Před 3 lety

    Is this girl rayc's daughter

  • @denisnyererenicesarah3919

    yan MTU kama wewe uolewe na mwarabu au ulikua kujiuza???????????????

  • @dianamsasa6030
    @dianamsasa6030 Před 6 lety

    hongera kwa kuacha bangiii

  • @karinjuma3165
    @karinjuma3165 Před 8 lety +1

    lione sura yake siulisema hujawai kuvuta wewe (eti umemrudia mungu umemrudia au unachezea ndio nyie wachache mnaofanya wengi waonekane wabaya) malaya waheed... majinuuna waheed

  • @carolineingati880
    @carolineingati880 Před 8 lety +5

    haiiiiii washindwa na riyal mia mitano....

    • @riyadhsaid9690
      @riyadhsaid9690 Před 8 lety +4

      Riyal 500 za Oman is equivalent to 5000 UAE Dirhams. 500 Oman Riyals is equivalent to Tz Shilings 2,835,064.94 (milioni mbili laki nane na elfu thelathini na tano).

    • @nancyandrew9273
      @nancyandrew9273 Před 8 lety +3

      +Riyadh Said nimeshangaa ameshindwa kulipia hiyo 5000 aed lol nashow kafanya,,,mmhh

    • @mancankwee5740
      @mancankwee5740 Před 7 lety

      Caroline Ingati co pesa ya mchezo mchezoo iyo. pesa ya tz iko chini sana

    • @saadsalum3253
      @saadsalum3253 Před 5 lety

      Ww unaona dirham 5000 kidogo kwa kuuza mwili tu hahahaha nayeye pengine kapata bwana mzee alafu kibahili km kweli anapesa siange mlipia airpot

  • @samiraavity854
    @samiraavity854 Před 8 lety +1

    ulienda kujiuza omani

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 Před 3 lety

      Samira Avity mmmmh ata bwana,watu tupo uku kama home miaka kama yote ila natamani Tanzania yangu ,uku wanajiuza ukishtukiwa unafukuzwa ,ukitembea na mume wa mtu kunyongwa.

  • @NellyHadrah-wy2vh
    @NellyHadrah-wy2vh Před 4 měsíci

    Nimekumis sana dada angu uko wap

  • @bashiruerio8903
    @bashiruerio8903 Před 8 lety +3

    recho napenda music wako Ila majibu yako yanawasiwasi inaonekana Kama madawa unayatumia so achananayo kabisa

  • @salumsimai2728
    @salumsimai2728 Před 7 lety +1

    ww recho huna ishu, umeeenda kuliwa tigo uarabuni,ukubali tuu unatumia madawa aina ya bange

  • @TanzaniOman
    @TanzaniOman Před 4 lety

    Sasa io la mbona uneka sio sehem yake hm!! Mm niko miaka miaka miwil hajawa ivo km ww

  • @halisonkapongo3855
    @halisonkapongo3855 Před 8 lety +2

    Ajipange zaid

  • @veronicahwambui1406
    @veronicahwambui1406 Před 8 lety +1

    hamna kiswahili uko

  • @kulwachimwejo3379
    @kulwachimwejo3379 Před 7 lety

    big up recho sorry ntakuuzi et,et inasekana et ulikua unatumia madawa ya kulevya et n kwel

  • @aminafesali5817
    @aminafesali5817 Před 6 lety

    dah mongo recho sio yakauka kwa sku moja jaman bas tungikufa tulizaliwa huku na hujatembea inje ya miji ukaona miti iliyo letwa na Allah na ichi yetu safi al hamdulilah

  • @ashiraali3954
    @ashiraali3954 Před 7 lety +2

    wechezea omani wee kira kitu ra

  • @nassorally2480
    @nassorally2480 Před 7 lety +2

    Duuuuu Sio wa kuoa uyuuuuu bangi bdo anavuta

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 Před 8 lety +1

    Nimependa ulinzi wao huzamii ovyo wako vizuri

  • @entertainmentplace3460
    @entertainmentplace3460 Před 8 lety +7

    milard huku Oman is demn very boring country buh we survive

  • @mwanaisha9549
    @mwanaisha9549 Před 7 lety +1

    hahaha hasa matus ya nn khaa.a 😂😂ndio up hata ukikaa mwez lazima ubadili swahil haha watzn mushikkillah😅

  • @osca_kitomari_journalist
    @osca_kitomari_journalist Před 5 měsíci

    Popote alipo LINAH
    RECHO hakosekani😀

  • @jumamaguru6130
    @jumamaguru6130 Před 8 lety +1

    daa yaan hadi recho kavuta bangi? ni shidaaaaaaa

  • @hasnasaid685
    @hasnasaid685 Před 8 lety +1

    kama ameamua kutubu mungu akujalie kila la kheyr sizz

  • @mamutv4945
    @mamutv4945 Před 8 lety +6

    hakuna kiswahili dada myb upatane na mtu wa kwenu ila oman kiswahili zii

  • @aminafesali5817
    @aminafesali5817 Před 6 lety

    nikweli hayo anaongea ndi qanon ya hapa kwetu sahiv hata visa za family zimefungwa kurinw hadi utoke inje ya oman na ukancel visa ya awali

  • @ayoobalqasmi3062
    @ayoobalqasmi3062 Před 8 lety +5

    adi kiarabu umeshajuwa laa hewaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @abdallajuma2181
    @abdallajuma2181 Před 3 lety

    Kwanini umeacha kuvuta bangi kitu kizuri Kama hichi kwanini umeacha kuvuta bangi why why nauliza why

  • @pennystang6065
    @pennystang6065 Před 6 lety

    Is ray c her sis?

  • @zuhuraali9983
    @zuhuraali9983 Před 8 lety

    hhhhhaha recho umenimaliza bado hiyo bangi iko kwa kichwa walahi

  • @kharidyblauda7046
    @kharidyblauda7046 Před 7 lety

    Mungu duujjj!!!!!!!! ila OK kuna miungu weng

  • @kulwachimwejo3379
    @kulwachimwejo3379 Před 7 lety +1

    ww unatumia madawa acha uongo mbona ivo madawa yamekuchanganya ww utakufa sema ukweli tid alisema ukweli

  • @fatmaomar8497
    @fatmaomar8497 Před 4 lety

    Miti haifi kwa cku moja... miti imejaa tele.. mabustani kila aina...umekuja oman lkn hukujui kulivyo... nipe watsap yako nikuoneshe miti

  • @mwajumamapunda624
    @mwajumamapunda624 Před 8 lety +2

    yan ww recho muongo duu ushauza kwa warabu washakula tigo sasa unajishauwa kumludia mungu yan ww adi unga ushakula muongo mkubwa eti liali kumi sawa na elfu 50 muongo ww na lialia 25sawa nabei gan yan ww ujaongea point ata kdg unalolote mdada mnzuli doo wasichana sisi tamaa zinatuponza xn muongo mkubwa ww chezea uwarabun muongo mkubwa wee fyuuuuuu waraabu nyoko

  • @leonellykweka7165
    @leonellykweka7165 Před 8 lety +2

    recho bado ana maigizo fulani labda nisijipe utalaam wa saikolojia...muda utasema...

  • @masungamwandu4960
    @masungamwandu4960 Před 4 lety

    Rachel ww mbona sula yako haifanan na hizo v2 bangi achana nazo rud kwenye game bado unanafax

  • @marrymassawe6267
    @marrymassawe6267 Před 8 lety

    laaaaaa ewaaa nzene recho

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 Před 8 lety +1

    millady de way unavyomuhoji recho inaonekana kuna kitu unakijua kinachomsumbua huyo dada na unatamani akizungumze ili watu wamshauri kiukwel inaonekana bado recho yupo kwenye kipindi kigumu sanaa na asipo kuwa makini anaweza ingia kwny matatizo ya madawa

    • @zuhuraali9983
      @zuhuraali9983 Před 8 lety

      kabisa yani wasiwasi mwingi

    • @aliali189
      @aliali189 Před 8 lety

      +Zuhura Ali na ukiangalia waoman wengi wanaomba msaada serekalin lkn majeuli sana wananyodo

    • @aliali189
      @aliali189 Před 8 lety

      +Zuhura Ali na ukiangalia waoman wengi wanaomba msaada serekalin lkn majeuli sana wananyodo sana

    • @aliali189
      @aliali189 Před 8 lety

      +Zuhura Ali na ukiangalia waoman wengi wanaomba msaada serekalin lkn majeuli sana wananyodo

  • @carolynemwangi7909
    @carolynemwangi7909 Před 6 lety

    Hawa wataisha wote na madawa yakulevya lakini huyu amemgeukia mungu atamponya

  • @Mkrist
    @Mkrist Před 7 lety

    Bora wewe dada yangu unakubali ulikuwa umepotea njia. Wengine wanajifanya wenyewe. Bangi inauzwa na kutumiwa na watu wakuu wakuu. Siyo hao wanyonge.

  • @hilarygodfrey4376
    @hilarygodfrey4376 Před 7 lety

    Mm nawaza kila siku ukowapi dada yang

  • @karinjuma3165
    @karinjuma3165 Před 8 lety

    recho kusema waswahili tuliok oman hatupendan huo ni uongo we sema yaliokuwa yanakusibu lakin sio hilo

  • @toombby471
    @toombby471 Před 8 lety +1

    Muongo mdada huyu ss tupo huku omani mashalla watu huku wanashilikiana sn mbea ww rial kumi sio elfu 50

    • @sanayairani222love2
      @sanayairani222love2 Před 8 lety

      Toom Bby inaweza kufika riali 10 kuwa elfu 50 hadanganyi kila alichoongea Recho nikweli mimi pia niko uku maisha yauku nayajua