Salama Jabir afunguka alichokipost kuhusu Ugomvi wa Diamond na Ali Kiba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Kwenye XXL ya Clouds FM

Komentáře • 58

  • @aurapanorama1634
    @aurapanorama1634 Před 4 lety +2

    Last year pia nilimwambia naseeb kwa page yake ya insta bro chunga na hizi team zisije zikakushusha kimziki those days naseeb ilikua akitajwa ana kuja kujibu concetrate wit ur career bro. Nowadays naona amebadilika naseeb. Big up

  • @joanolisa1
    @joanolisa1 Před 9 lety +8

    This chic is very intelligent!! Big up!!

  • @famenaluck567
    @famenaluck567 Před 8 lety +7

    Salama Jabir, you are damn perfect! I like you

  • @nadyakisho811
    @nadyakisho811 Před 4 lety +3

    ni kweli salam wal so uongo mambo ya timu ndo yanayo fanya wasan wetu kuzid kuwa madui man ukiangalia wote ni wasani wetu ikitokea moja kashuk aibu ni kwetu sisi watanzani mondy kiba wana wakilisha tz mm nawaombea2 amani

  • @jumaamaitha2277
    @jumaamaitha2277 Před 9 lety +10

    Salam uko juuu! Vyenye umewajibu hlo swali MBNA interview dakika kidogo

    • @octagraphy
      @octagraphy  Před 9 lety

      Jumaa Maitha Nilifanikisha kupata kipande hicho tu!

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997

    Masha Allah, mm nakupenda sana daa salama kwa busara yako

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana Před 9 lety +3

    ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia habari hizi za kuchosha kati ya wasanii hawa ambao wote ni wapenzi kwetu. sasa ni wakati wa kuwakutanisha kwa pamoja kupitia Mkasi au chombo chochote cha habari ili waweze kuzungumza kwa pamoja na kuvunja hili zogo lisilokuwa na mpango. Salama Jaber waalike wote katika Mkasi please. Maana it is too much!!!

  • @rahmasalum6420
    @rahmasalum6420 Před 9 lety +3

    I just loved everything about you wallah and you are absolutely right

  • @adijaniyonkuru1968
    @adijaniyonkuru1968 Před 9 lety +11

    wape ukweli my sister Salama

    • @kwangumakwaia3823
      @kwangumakwaia3823 Před 7 lety +1

      Kweli salama sisi mashabiki ndio tuna mattz ya kudisi watu, mtu unafikia mpaka unatukana duuuuh kisa Ali kiba na Daimond wakati wenzetu wanapambana na hari zao na sisi tupambane na hari zetu!

  • @cheupegmailcomHhcheupe
    @cheupegmailcomHhcheupe Před 9 lety +2

    Hizo team zaaminisha nini? Kiukweli tanzania mnaweza mziki mko sawa, uigizaji mko sawa, lakini acheni mambo ya team peaneni support na inshallah kazi zeni zitakuwa nzuri zaidi.

  • @bone102
    @bone102 Před 9 lety +5

    Nakukubali kisenge Salama upo juu

    • @aishambise6529
      @aishambise6529 Před 4 lety

      Nilisha.muona.huyu.Dada.Nairobi..jamaninapenda.vayake.sn

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 Před 5 lety

    Uzeee bhana haubishi odi unakuja penda husipende, ila cha msingi nikuacha Good history like salama

  • @shariffamasoud3424
    @shariffamasoud3424 Před 5 lety +1

    Hii interview imekaa poa sana jabir nakukubal mama

  • @sumashare
    @sumashare Před 9 lety +1

    Umeongea poa sana, hongera sana

  • @ananiasangwa7761
    @ananiasangwa7761 Před 9 lety +2

    Wasanii wa Kibongo acheni vibifu Vya kitoto. Pigeni kazi! Alikiba na Diamond kila siku bifu bifu. Tatizo ni uchanga wa fikra. Ninachoamini kila msanii ana upekee wake wa kipaji. Diamond hawezi akawa Alikiba halikadhalika kwa Alikiba. Mkigombana sana wadogo zenu watachukua fursa zenu. Music is a game you can make at least one attempt to be a superstar but you can't always maintain the consistency of being a superstar of all Decades till termination of your existence from the earth planet.

    • @TradingPHD
      @TradingPHD Před 5 lety

      Anania Sangwa bila Beef mziki huunogi

  • @maryamelyas9382
    @maryamelyas9382 Před 7 lety

    love you miss jabir

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly6900 Před 6 lety

    xana 2 jabir nilkuelewaga xana hii interview unawaza kile nachokiwaza cna team mond na kiba wote wanajua nafurahia kazi zao

  • @ommyclassictz3098
    @ommyclassictz3098 Před 7 lety +2

    safi sana ukweli ndo huo

  • @danielmnzava6907
    @danielmnzava6907 Před 9 lety +1

    Ombi langu siku Waite wrote kwenye kipindi chako cha mikasi ili waonye kykomaa kwa kimziki ili na wasanii wengine waige sema salam upo juu

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 Před 5 lety

    Safi dada ila mwenye akili anajua ila mshamba lazima alazimeshe kuwa wana ugomvi mm naamini kabsa hawana bifu na Mungu awapiganie kwenye kazi zao na kama kuna hata mmoja wao mwenye kitu moyoni akiachilie ili apate afya ya moyo

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Před 7 lety

    Ila dada unajieleza vizuri....good....

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 5 lety +4

    Huyu m.mke nataka nimuoe nimuhifdhishe qur ani arudi kwrnye line

  • @kulwaabdulrahman6196
    @kulwaabdulrahman6196 Před 6 lety

    pole sana

  • @mangenjile6384
    @mangenjile6384 Před 9 lety +8

    kusema kweli salama ukopoa sana ila nataka kuuliza wewe. na dj ffetr bona mwa fanana

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 Před 5 lety

      Hujui kufananisha Dogo, na kama wamefanana unadhani ukijibu VP?

  • @pammmoja2429
    @pammmoja2429 Před 6 lety

    Pole dada

  • @daeaglechams9182
    @daeaglechams9182 Před 8 lety

    salma😍😍😍😍😍

  • @fredyfilberty6647
    @fredyfilberty6647 Před 8 lety

    safi sana salama hawana bifu lolote wanatuzingua tyu

  • @nellyesendi9160
    @nellyesendi9160 Před 6 lety

    Damn she's hooooooooot

  • @saumus5771
    @saumus5771 Před 9 lety

    Nicy alivyoongea salama good

  • @mzeemtopa9131
    @mzeemtopa9131 Před 5 lety

    Duh, salama unazeeka mama weee

  • @elenkilistian4005
    @elenkilistian4005 Před 5 lety

    Wape ukweli kaka salama

  • @rahimstamil7369
    @rahimstamil7369 Před 8 lety +1

    Yah am imu mondy
    Nimechagua mondy because ndio msanii anaenitia moyo plz lets see him for suvces@diamondplatnumz

  • @christde1
    @christde1 Před 7 lety +1

    girl can i marry u.

  • @leviticuslevis3867
    @leviticuslevis3867 Před 5 lety

    Yo it boy’s close

  • @bianaramadhani5406
    @bianaramadhani5406 Před 7 lety

    saf

  • @sande6410
    @sande6410 Před 5 lety

    Umbea reloaded

  • @freemasonkingdom2847
    @freemasonkingdom2847 Před 6 lety

    Salama nataka nikuoe

  • @omsnomsjd4899
    @omsnomsjd4899 Před 6 lety

    VP.salama.kushapata.bwana.au

  • @dingotv382
    @dingotv382 Před 5 lety

    d

  • @abdinassir154
    @abdinassir154 Před 9 lety

    Lakini mbona diamond akihojiwa anakana kua hawana ugonvi kwa hio anamuogopa ally kiba

  • @sadypapa530
    @sadypapa530 Před 9 lety

    Tuache majungu izo kazu tu

  • @augustinowilliam6530
    @augustinowilliam6530 Před 5 lety

    Sss

  • @josephpilla382
    @josephpilla382 Před 7 lety

    L.

  • @isacanania2543
    @isacanania2543 Před 7 lety

    h

  • @missesdaniel6686
    @missesdaniel6686 Před 9 lety +1

    alikiba ana dharau xana xana nilisililiza interview yake ya e fm alichoongea kinaniumiza xana .yaani ukweli haupingiki bwana diamond yuko juu .kazi aliyofanya ni kubwa .alikiba kinachomfanya amchukie diamond ni mafanikio tu aliyoyapata diamond basi