#Live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 19

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 9 dny

    Safi sana! WE WIN TOGETHER,WE LOSE TOGETHER!!! WHAT A STATEMENT! Underated comment!! Hiyo Yanga!

  • @user-sf1ne6tk4u
    @user-sf1ne6tk4u Před 9 dny

    wawoooo iyo nzuriii kaka

  • @hussenmissembe7584
    @hussenmissembe7584 Před 9 dny

    Karibu sana mwamba wa lusaka

  • @AMINIELIHAALI-xv1rd
    @AMINIELIHAALI-xv1rd Před 8 dny

    Hii ya baleke kali

  • @chiefnumborecords4819

    Ndiyo baba viunbe Wa ajabu ni marehemu Hayati John Pombe magufuli marehemu Steven Kanumba marehemu Ruge Mutahaba ,eng Hersi said ,Haji Sande Manara Diamondi platinum hao watu daaaah ni waajabu sana

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w Před 9 dny

    Hii sifa Sasa balleke tena😂😂

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 9 dny +1

    Walimwita aende dubai ili kumshawishi asaini simba mwamba kawatolea nje.

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 9 dny

    Usajiri wa chama na Bakeke binafsi sijafurahi kabisa!

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 9 dny

    Simba hawana kombe au ubingwa uliowapeleka shirikisho. Waishukuru yanga!

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 9 dny

    Yanga HATUJENGI TIMU,TUNABORESHA! USAJILI WA YANGA NI WA CAFCL! PRAYERS WITH QUALITY N EXPERIENCE!!? bongo mpira hamjaujua!

  • @albertmlay8342
    @albertmlay8342 Před 9 dny

    Mume wa mwenyewe unaongea hivyo ila hamtaamini SIMBA itawafunga ngao ya Jamii NBC mtafungwa na SIMBA nyie YANGA

  • @user-yk2mr1uu5i
    @user-yk2mr1uu5i Před 9 dny

    Wazeeee wa makombo

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 9 dny

    Mtangazaji JIONGEZE KWA HIYO MAN CITY,ARSENAL, LIVER POOL BARCA ,MADRID WAKIENDA PRESEASON USA ,ASIA UARABUNI INA MAANA,HUKO NDO KUNA FACILITIES NZURI!? PRESEASON ni ya kibiashara Zaidi kama hujui! Hizi timu zikienda nchi fulani PRESEASON ni kujitangaza ,kutafuta mashabiki ,wafuasi na wapenzi wapya pia kutoa fursa mashabiki wa nchi hizo kuona wachezaji wapya na wazamani na vitu kama hivyo ! Ts not abt facilities! Wabongo fanyieni research na Wewe kama mwandishi uwe na uwezo wa kukosoa na kuelimisha watu!

  • @japhetisraelsmafie997

    Kumbe ndo maana mnaitwa mwiko nyumani,,vyura bhana,mnalete aibu ,mnasubiri simba wachezaji wakichoka mnaona mmefaidi..
    Hivi huyu nyumbu abajulikana kama nani anae ongea

  • @JosephMallya-qh6cf
    @JosephMallya-qh6cf Před 9 dny

    Baleke wa nn bwana😢

  • @hussenmissembe7584
    @hussenmissembe7584 Před 9 dny

    Karibu sana mwamba wa lusaka