Video není dostupné.
Omlouváme se.

AZIZ ANDAMBWILE NA KIBWANA WATOA YA MOYONI BAADA YA KUSAIN MKATABA MPYA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Komentáře • 93

  • @protasmalala7559
    @protasmalala7559 Před měsícem +18

    We jamaa kwa mwandishi WA habari mzuri kuwahi kuwashuhudia!maswali ya msingi Sana unauliza..hongera Sana.

  • @AbrahamanHussein
    @AbrahamanHussein Před měsícem +10

    Ishallah nakuamin mdogo wangu uko pow💚💛🖤🫶✍️✍️✍️💪💪💪

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před měsícem +12

    MUNGU ni mwema karibu Sana AZIZ kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p Před měsícem +22

    Ikawe heri kwenu na timu nzima kwa ujumla, kwa neema ya Mungu mjaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa zaidi.

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Před měsícem +1

    Karibu sana Aziz jagwani,team kubwa,changamoto kubwa pambana tu💪💪💪

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm Před měsícem +10

    Naipenda Yanga sanaaaaa nipo tayari kufia hii logo thankyou God 💋💋🙏🙏

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Před měsícem +5

    Waallaah mm nimefurahi sana mwanangu kibwana kuongeza mkataba mungu akupambanie nakupenda sana

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Před měsícem +6

    Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 Před měsícem +8

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote twende zetu KUJISAJILI. Ila Tuwe juu zaidi

  • @EllyTeddy
    @EllyTeddy Před měsícem +1

    Andambwile umeingia sehemu sahihi sana karibu yanga Africa mungu akusaidie

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před měsícem +6

    Kila la kheri inshallah maendeleo mazuri na kazi Iendelee

  • @claratango9262
    @claratango9262 Před měsícem +9

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh Před měsícem +7

    Karibu sana midfielder ya boli#Aziz

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Před měsícem +6

    Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 Před měsícem +3

    Tuna wategemea Sana Mungu awatunze 🔰🔰💪

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +16

    Ko Aziz andambwile atacheza😂😂😂 CAF champion 🏆 league,lkn timu nzima ya makolo watakua shirikisho 😂😂😂

  • @AlenAlen-m2e
    @AlenAlen-m2e Před měsícem +2

    Nakutakia msimu mzuri kak fanya san mazoez ongeza juhudii kak unanuka shida

  • @user-tf2kr5hv7z
    @user-tf2kr5hv7z Před měsícem +3

    Kalibu sana jangwan aziz andambile

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises Před měsícem +7

    Aziz karibu jangwani pia

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Před měsícem +3

    Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 Před měsícem +2

    Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Před měsícem +1

    Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před měsícem +4

    Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey9668 Před měsícem +1

    your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚

  • @davismwape7500
    @davismwape7500 Před měsícem +5

    Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri

  • @fosteryona7581
    @fosteryona7581 Před měsícem +5

    Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa

  • @Fine_boe_11
    @Fine_boe_11 Před měsícem +5

    Young African champion of caf champions league 24/25 🔰

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Před měsícem +5

    Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 Před měsícem +4

    Karibu sanaaaaa Aziz

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 Před měsícem +1

    Karibu sana andambwile

  • @ceciliadaudi1632
    @ceciliadaudi1632 Před měsícem +4

    All the best champ 🎉🎉

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa7723 Před měsícem +4

    Ni Andabwile sio Andambwile

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya8466 Před měsícem +6

    Ckaribu kamanda🎉🎉🎉

  • @RenatusKasinga
    @RenatusKasinga Před měsícem +3

    Nakubari kaka angu kibwana

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed Před měsícem +4

    Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂

  • @DaudFulberth
    @DaudFulberth Před měsícem +7

    Good💪💪💪💪💪💪

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +3

    Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Před měsícem +2

    Chief kingalu waukae

  • @EsterPeter-h9d
    @EsterPeter-h9d Před měsícem +3

    Yangaaaa tamuuu

  • @abdullatifuhashimu4594
    @abdullatifuhashimu4594 Před měsícem +1

    Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika

  • @IsmailKipande-ss1ty
    @IsmailKipande-ss1ty Před měsícem +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk Před měsícem +2

    Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem +2

    Karibu kijana

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu Před měsícem

    Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před měsícem

    Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.

  • @brandinamwakasendeka4756
    @brandinamwakasendeka4756 Před měsícem +4

    Am the first today

  • @user-to9xw2mc9m
    @user-to9xw2mc9m Před měsícem

    Karibu jangwani🎉azizo

  • @emanuelyngoi4440
    @emanuelyngoi4440 Před měsícem +1

    Good ❤ yanga 🎉🎉🎉

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno6255 Před měsícem

    Chief baba...🔥🔰🇹🇿

  • @SylvesterSafari-nf4fy
    @SylvesterSafari-nf4fy Před měsícem +2

    Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 Před měsícem +2

    Yanga bingwa

  • @yusuphkimomwe4276
    @yusuphkimomwe4276 Před měsícem +1

    Toa vitaulo baba,chief kingalu

  • @StavoBella-pf6hu
    @StavoBella-pf6hu Před měsícem +3

    Mwamba kutoka mbeya sas

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 Před měsícem

    Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr Před měsícem +4

    Wasenge mnanipelekesha kinoma na sitaki kukosa kitu daaah😅😅😅😅

    • @fatmasaaed144
      @fatmasaaed144 Před měsícem +1

      Yani utake usitake utakopa ata Bandon tuu izi raha😂😂😂😂😂😂

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr Před měsícem

      @fatmasaaed144 sina namna hii ni familia yangu napaswa kuihudumia kama hivi,lipa ada,nunua bidhaa zao na angalia contents zao🪡💚👌🧘‍♂️

    • @barakamwafwalo4680
      @barakamwafwalo4680 Před měsícem +1

      Yaani ukikosa bando tu video kadhaa zimemwagika 😂😂

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr Před měsícem

      @@barakamwafwalo4680 ni marufuku kukosa

    • @JamesMeshack-y8
      @JamesMeshack-y8 Před měsícem +1

      😂😂😂😂😂

  • @user-zx9jd4jt8e
    @user-zx9jd4jt8e Před měsícem +2

    Gud signing

  • @salumkitam6960
    @salumkitam6960 Před měsícem +1

    Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo

  • @JordanKaunga
    @JordanKaunga Před měsícem

    Mh unaoji vizul sana

  • @saididuri3518
    @saididuri3518 Před měsícem

    ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f Před měsícem

    Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔

    • @mamuwadomu8448
      @mamuwadomu8448 Před měsícem +1

      Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Před měsícem +2

      Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před měsícem

      Wewe @user-hy3en6vk5f nakuona unajaribu kuanzisha vugvugu uwachanganye wananchi

  • @user-cl4dx3kc6k
    @user-cl4dx3kc6k Před měsícem

    Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b Před měsícem +2

    Muñgu mwema

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud Před měsícem +2

    💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥

  • @Samweldlemaanda
    @Samweldlemaanda Před měsícem

    Kila la kher xana mwaang

  • @samsonkomba0000
    @samsonkomba0000 Před měsícem +2

    N andabwile

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Před měsícem +2

    Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 Před měsícem

      Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +2

    Rafu zmeongezeka😂😂😂

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad Před měsícem

    kiukweli mashabiki yanga tunainjoi tenakwasana tu nawatakia kwakilalaeli nimwana Mozambiquei 🇲🇿

  • @Chinaomary-rn3qf
    @Chinaomary-rn3qf Před měsícem +2

    Mmh

  • @DismasPhidason-vu6bt
    @DismasPhidason-vu6bt Před měsícem +1

    Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??

  • @AgnesNangale
    @AgnesNangale Před měsícem +1

    Nyanga raha san

  • @QuilalaselemaneSaide
    @QuilalaselemaneSaide Před měsícem +2

    ❤❤❤

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 Před měsícem +1

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +1

    Kibwana katoa wapi madevu

  • @dastankhalifa5672
    @dastankhalifa5672 Před měsícem

    Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake

  • @mariamjuma1670
    @mariamjuma1670 Před měsícem +1

    👏💛💚

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Před měsícem

    NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 Před měsícem

      AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE

  • @zakayomaendeleo
    @zakayomaendeleo Před měsícem

    😊😊😊

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow Před měsícem +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo Před měsícem

    Yanga bingwa

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 Před měsícem +2

    Bwana kibwana,