Mbarikiwa amshauri Makonda busara ya kumaliza mgogoro wa mchungaji huyu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 05. 2024

Komentáře • 155

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před měsícem +2

    Muungano wa makanisa ya KIDHALIMU kutoka Nje ya nchi, Ndo kwa sehemu kubwa Umetufikisha hapa tulipo katika
    ( DIMBWI LA UMASKINI ).
    Tanzania Tuachane kuwa na Muungano wa Makanisa ya UDHALIMU kutoka Nje ya Nchi;
    kama Tutakuwa tunataka Maendeleo ya nchi yetu kwa "DHATI" kutoka "Moyoni" ya hapa TANZANIA 🇹🇿 Na.
    TANGANYIKA ❤❤❤.

  • @leinaamos
    @leinaamos Před měsícem +5

    Makonda anaongozwa na Mungu

  • @madarakambode7072
    @madarakambode7072 Před měsícem +3

    Mbarikiwa, ubarikiwe kwa ushauri wako. Mm binafsi nimeukubali huyo Dc anachanganya hekima yake ya kidunia na ya kiroho. Ukiona kanisa limesimama kuna mbeba maono na wala sio makaratasi au jina la dhehebu..

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga9707 Před měsícem +6

    Ahsante pastor kwa Ushauri wenye suluhisho la migogoro ya mali za kanisa ndio huu. Halafu sio sawa hata kidogo kufananisha kanisa na vyama vya siasa hata namna za usajili wa kanisa ziangaliwe upya kwa sababu zimechangia kudhoofisha nguvu na maana ya kanisa.

    • @melkizedck
      @melkizedck Před měsícem

      Ule ulikuwa ni mfano tu. Yule mchungaj alikuwa Chini ya kuvuli Cha kanisa, sas Kama anaamua kuhamia kwingine si aache na vitu vya kanisa la watu? Kwni kule anakohamia hakuna vitu Kama vile?

    • @nicasissa
      @nicasissa Před měsícem

      Kwani kufananisha ni shida? wewe na wewe😂

    • @user-vn9om8wg2h
      @user-vn9om8wg2h Před měsícem

      Hizi kanisa za siku hizi ni kama vyama vya siasa tu haina tofauti ata kdgo

    • @isaacsanga9707
      @isaacsanga9707 Před měsícem

      @@nicasissa Shida sio kufananisha ila kuna mifano yenye hila inaweza kukutoa kwenye hoja ya msingi na hutaamini kabisa.

    • @isaacsanga9707
      @isaacsanga9707 Před měsícem

      @@melkizedck Ndugu Tafakari tena kuhusu dhuluma ni nini na viwango vyake na madhara yake. Halafu huko atakakohamia kwenye vitu vingine alivyotafuta nani?? Usilichukulie jambo hili kiwepesi hivyo.

  • @amoniTv1148
    @amoniTv1148 Před měsícem +3

    Wewe ni mtetezi wa wanyonge tanzania asante sana mgumu

  • @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr

    Kamanda hongera sana Kwa kuwa mtu wakiroho

  • @cngeze
    @cngeze Před měsícem +6

    Pastor omba sana hekima kutoka kwa Mungu unapigana sana vita mwilini badala ya magoti . Unapenda sana umaharufu

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před měsícem

      Amekuambia anapenda umarufu?

    • @youngtone4333
      @youngtone4333 Před 19 dny

      Ila harmonize

    • @user-vo6fu3pp1p
      @user-vo6fu3pp1p Před 13 dny

      Duuuuuh Kama hii ni njia ya KUPATA UMAARUFU BASI NA WEWE UTAKUWA MAARUFU SANA HAPA TANZANIA!!! Naona comment zako zitakupaisha sana kwani mliojaa DHULUMA HAPA DUNIANI MNAZIDI KUONGEZEKA SIKU HADI SIKU.

  • @MwandaAmiry
    @MwandaAmiry Před měsícem +3

    Kuna kiongozi mmoja alisikika akisema, hakuna nchi ngum kuiongoza hapa Afrika km Tanzania, lakini tena akasema hakuna nchi ni rahisi mno kuiongoza hapa Afrika km Tanzania, maneno haya ukiyapokea haraka kana kwamba unasoma vichwa vya magazeti, tutaendelea kutofautiana mitazamo na kurushiana maneno makali, lakini itoshe tu kusema mie binafsi kwa utashi wangu namuombea Mbarikiwa azidi kuwa na afya njema, asipatwe na madhila yoyote, nina hakika huyu ni miongoni mwa wachungaji wachache watakao kumbukwa ck zijazo, endelea kuishi kwenye misingi, kanuni, na taratibu au miiko ya dini inavyotaka uenende pasipo kuvunja sheria kwani hujawahi kuwa muumini wa unafiki, "TUOGOPE SANA TECHNOLOGY "

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před měsícem

      Ukiwambia hawasikii, mtaji wa ujinga unaribiwa kweli kweli katika angle zote, kisiasa, kiuchumi, kidini, kijamii n.k na wanufaikao na mtaji huo Kwa mda mrefu wamepanic. Ubarikiwe mnoo!!!

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 Před měsícem +4

    Nimekuelewa Sana mbarikiwa nakukubali Sana baba

  • @fransiscondyanabo9154
    @fransiscondyanabo9154 Před měsícem +4

    Mchungaji ni mchumia tumbo kwa nini aganganie mari sa

  • @davidmdadila4080
    @davidmdadila4080 Před měsícem +2

    We mbarikiwa mambo mengine unaweza ukayaacha tu ndugu yangu.sio kila kitu kuingilia.mtumishi wa MUNGU.ni ushauri tu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +2

      Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Ayubu 29:15-16 Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza.

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před měsícem +1

      Ndo AMETOA ushauri na elimu pia! Mtambiwa ukweli Kwa namna yoyote hasa kizazi hiki!!!!

    • @mariandesario6468
      @mariandesario6468 Před 24 dny

      ​@@Mbarikiwa_Mwakipesileunatafuta kiki kwa watu maarufu!?

  • @LucyTesha
    @LucyTesha Před měsícem +1

    Mchungaji asante sana umeongea kama watu milioni barikiwa sana

  • @josephatmahango3869
    @josephatmahango3869 Před měsícem +3

    Makonda Amezungukwa na mashetani kila kona kwahiyo anahitaji maombi Private Sana ili kupenya ktk mashetani hao wotee

  • @LameckLameckmjwanga
    @LameckLameckmjwanga Před měsícem +2

    ❤❤hiiloho yangu kabisa

  • @lembricejamestukai6594
    @lembricejamestukai6594 Před měsícem +5

    Mbarikiwa uwezi kujua kila kitu.baki katika kutafuta uso wa MUNGU acha vita vya kimwili huta fanikiwa bali utapata anguko.pigana kiroho utashinda na utafanikiwa.

    • @jacksonmkuye7739
      @jacksonmkuye7739 Před měsícem

      Mbona wewe umecomment kimwili hujaenda kupigana kiroho?

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před měsícem

      Atafute uso wa Mungu! DAUD, Joshua n.k walipigana kiroho au unalea ujinga Ili mwendelee na mtaji huu Kwa manufaa Yako!!!

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 Před měsícem +1

    Musiwe natudanganya munamtolea Mungu kumbe baadaye mutadai murudishiwe! Ikiwa hauko tayari kuacha kwa kanisa baki na vitu vyako.
    Basi murudishie na waumini wote!😢

  • @EliaYeremia
    @EliaYeremia Před měsícem +1

    Hujui unachokiongea na hujui katiba zote za makanisa umeingilia ugomvi usiokuhusu kila mali inaendeshwa kwa katiba na kila sehem kuna katiba yake hio sio huduma ya mtu binafsi hio ni taasisi ambayo inaendeshwa kwa katiba kwa hio sheria itafata mkondo wake pole kwa kuwa hujui

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 Před měsícem +1

    Point sana mbarikiwa

  • @Mrauto12679
    @Mrauto12679 Před měsícem +1

    Kuna wakati unaongea mambo ya maana,ila kuna wakati unapuyanga😂inatakiwa serikali iingilie kati sana makanisa yote iwe mari za taasisi husika ili kuepusha wachungaji wenye makusudi mabaya kwa washirika maana walio wengi ni wapigaji tu,serikali yetu iko makini sana ongera sana makonda kwa kazi nzuri.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Mali ziwe za taasisi? Hao taasisi sio wapigaji?

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před měsícem +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 serikari yenu iko makini au makonda ndo Yuko makini

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem +1

      Umeongea vyema ila mimi nakuongezea points hapooo!!!!!
      Anza wewe kuongea bila kuchanganya pumba na maneno ili Mbarikiwa ajifunze kwako

    • @user-sc2yw5kk5r
      @user-sc2yw5kk5r Před měsícem

      ❤😂​@@sifawayesu7079

  • @ibrahimmsengi4344
    @ibrahimmsengi4344 Před měsícem +2

    Daaah !
    KUmbe hata we hujui kitu Ivo !
    Mtu anapotoa anakuwaametoa Kwa Mungu kupitia dhehebu husika !
    Je jaribu kuwaza itakuwaje akihama Tena avihamishe Tena ?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Anakuwa ametoa kwa Mungu ikiwa kitatumika kufanya mema SIYO VIJEMBE NA DHULUMA.

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem

      Mhhhhhhhhh
      Kwa komenti hii bila shaka wewe ni kiongozi ambae umepata utajiri kwa kuwadanganya watu wa Mungu na kujifichia kwenye maandiko maana usingeweza kuongea hivyo bila kuwa na maslahi mapana ya tumbo lako

  • @shikombetvshikombe897
    @shikombetvshikombe897 Před měsícem +1

    Makanisa ya miliki Mali kwa kuzichangia na kuzidai taarifa pale Kila muda. Ili migogoro ikitokea kusuwe na maswali

  • @melkizedck
    @melkizedck Před měsícem +2

    Hivi Mbarikiwa! Unataka kutuambia kunena kwa lugha imetoka kwa wazungu? Hivi Upoje? Au umetania? SIKUELEWI.

    • @user-rl5qu4zj9b
      @user-rl5qu4zj9b Před měsícem

      Hata mimi sijaelewa labda sijasikiliza vinzur ngoja niludie kusikiliza huwenda nikaelewa hap

    • @melkizedck
      @melkizedck Před měsícem

      @@user-rl5qu4zj9b du! Hawa wachungaj vip? Mbona wanatuchanganya?

    • @annabyekwaso-wt7oi
      @annabyekwaso-wt7oi Před měsícem +2

      Hata mimi hilo limenishangaza maana ninachojua kunena kwa lugha ni karama ya Roho mt ,sasa wazungu wapi wapi jamani

    • @HenrickMhema
      @HenrickMhema Před měsícem

      Kwani wew ulikua huelew kua kanisa lake hawaamini kuhusu kunena kwa lugha ,hicho kitu wao hawaamini kabisa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +1

    ww sio mchungaji kabisa kila kitu unajifanya unajua ulikuwa vizuri sana lakini mhuuú

  • @alfredbyangwamu9821
    @alfredbyangwamu9821 Před měsícem +2

    SASA HAPA MBARIKIWA NIMENG'AMUA KWAMBA WEWE NI KIPOFU!!! KAMA UWEZI KUONA HAKI ILIYOAMRIWA HAPA!!! ILA UNAAMUA KWA VIGEZO VYA KWAMBA HUYU ALITAABIKA!!! UMEKUWA KIPOFU!!! HUYO MCHUNGAJI AMETAABIKA CHINI YA TAASISI IPI??? KAMA NA WEWE UKO HIVI IVI!!! POLE SANA!!!

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.

    • @alfredbyangwamu9821
      @alfredbyangwamu9821 Před 28 dny

      POLE SANA!!! WOTE MWENDELEE KUWA VIPOFU!!!

  • @fadhilishabani4368
    @fadhilishabani4368 Před měsícem +1

    Migogoro ya kikanisa migumu!

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před 24 dny

    😅Ati kunena kwa lugha kweenda hiyo lugha wamebuni tu ni ya kishetani 😅maneno hayaeleweki yapo ktk lugha gani duniani maana nyie mnafata israel sasa israel kuna kabila 12 za wana wa Yakobo ni ipi moja wapo ktk hizo acheni utapeli 😅

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 Před měsícem +4

    Hapana hilo Jambo linamhusu kwa sababu anajihusisha na taasisi za kiroho Kama hizo.Hivyo anashauri tu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 23 dny

    Lakin mm kama mm imeandikwa sheri udhulumiwe.kuliko kudhulumu mm kama nimenunua vyombo vya kanisa mtu kakatalia namuachia

  • @damiankilyenyi5367
    @damiankilyenyi5367 Před měsícem +1

    Mm nashangaa watumishi wa siku hizi, yaani mchungaji amekuwa mpaka askofu alikuwa askofu wa kanisa gani? Yeye akinunua kwa gharama zake maadamu amejiunga na hilo kanisa na akapata na washirika kwa mwavuli wa kanisa hilo hiyo mali ni mali ya kanisa akitoka lazima ibaki kwani kwa nini hakuanza kwa kusajili kanisa la kwake kwanini apitie kwenye dhehebu lingine?

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem

      Mhhhhhhhhh
      Yaliyopo kwenye dini ni mazito sana mtu wa Mungu

  • @user-bg3id3vo3x
    @user-bg3id3vo3x Před měsícem +1

    🎉Haya kuhusu

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 Před měsícem +1

    Huyu kashazoea kuongea ongea yasio mhusu hizi viwes 😂alizileta sasa badala uingie magotini uhubiri ushazoea jela😂

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.

  • @MelesArra
    @MelesArra Před měsícem

    Nashauri makanisa yetu ya kipentekoste angalau wamnunulie ploti ya kanisa kila mtumishi/mchungaji anayeanza Kanisa ili wawe na haki ya kunyang'anya Kanisa/mali wakati mchungaji anapohama dhehebu hilo, ni ushauri tu! Sihitaji malumbano na mtu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    👊👍✌️.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Před měsícem

    Mabango ya Mch. Mbarikiwa Makonda aliya kwepa makusudi maana kulikuwa na msukumo mkubwa mno kwa wana kikosi kazi kufanya yaonekane dhahiri lkn hapa Makonda alifumba

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před měsícem

    Kanisa ni taasisi lazima iongozwe na sheria na kanuni iliyojiwekea, kama taasisi inaseme mali zote ni za taasisi mana yake. Mchungaji ukiondoka unaacha mali chini ya taasisi. Vinginevyo wachungaji mnaopinga anzisheni kampuni zenu(ministry) maisha yaendelee. Imagine kikosi kazi asipokuwapo Mbarikiwa je mke wake atakubali mtu mwingine aongoze?

  • @user-do1ug7de3g
    @user-do1ug7de3g Před 27 dny

    Mchungaji shikamoo

  • @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr

    Yana mhusu Kwa sababu nitasisi ya kiroho naye nikikyoo wa kiroho

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před měsícem

    Msilete vitu viwili baba watumishi, sheria haihitaji siasa,wala mambo ya kiroho hayahitaji siasa,siasa ina mahali pake, viongozi wasimamie haki,kwani haki huinua Taifa,watumishi kama hawa hawatafuti haki,wanatafuta vita,mfano kama Dc hakufunga kanisa kipi kingetokea?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Ni kwa sababu umefunikwa na roho ya utapeli tu na ukatili ndio maana umeshindwa kufahamu kuwa SIASA, DINI KIROHO, SHERIA VYOTE VINATAKA HAKI ITENDEKE. Kwa ubaya wa limoyo lako unaiona njia pekee ya kuzuia mapigano ilikuwa ni kufunga kanisa NA KUMBE ILIKUWA KUWAKAMATA WADHULUMAJI NA MATAPELI WANAOTUMIA MGONGO WA SHERIA NA KUWASHIKISHA ADABU. HAPO PASINGEKUWA NA MALUMBANO YOYOTE.

  • @hubman6780
    @hubman6780 Před měsícem

    Jamani muacheni Mbarikiwa mkisema hana kazi tayari anachofanya ni kazi ya kutafuta habari na kuzichambua na yuko sahihi sababu ni eneo la kazi yake

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 Před měsícem

    Mtumishi hebu omba HEKIMA YA MUNGU IWE JUU YAKO. Achana na mambo yasiyokuhusu, epuka usionekane kama vile unajua sana kuongea. Mungu akusaidie katika hilo. Maliza hayo uliyo nayo mbele yako yanakutosha. HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA ya Mungu ikusaidie. Kwani ukinyamaza kimya inakugharimu nini?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.

  • @user-kk6dp1wc7f
    @user-kk6dp1wc7f Před měsícem

    Mmezidi na Kiki zenu hata cwaelewi wachungaji wa leo

  • @Furahamwasyika
    @Furahamwasyika Před měsícem

    Baba uliona mbali sana

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct Před měsícem

    UPO VIZUR SANA

  • @benjamingilbert603
    @benjamingilbert603 Před měsícem

    Mchungaji utajiumiza sana ukikaa kimya utaona matunda yake sio Kila unachokiona unatakiwa kusema

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem

      Anza wewe kwa kukaa kimya wala hakuna haja ya kukomenti hadharani

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem

      Anza wewe kwa kukaa kimya wala hakuna haja ya kukomenti hadharani

  • @user-nt1lf8rr9g
    @user-nt1lf8rr9g Před měsícem

    Mbarikiwa kwa Usajili ni wanani afuji aondoke nayo, ushauri wako ni0

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Kwa hiyo usajili ndio unatafuta mali?
      Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před měsícem +1

    Huyu baba msenge

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před měsícem

    Jina lako ni Mbarikiwa? Jina lako la kupewa na wazazi, unanitwa nani rafiki?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Mbarikiwa Kwa kinyakyusa ni Nsajigwa. Hilo ndio jina ambalo wazazi wengi wakinyakyusa huwapa watoto wao.

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před měsícem +1

    Mbalikiwa wewe ulishashindwa,kila kitu wewe ni mjuaji na mkosoaji wewe ukipewa mamlaka utafanyaje,fundisha Neno la Mungu waumini wako waende Mbinguni sio kujionyesha kwa watu ,tafuta Roho za watu na sio umalufu kwa watu,

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 Před měsícem +1

    Mbarikiwa unafeli kilakitu unadakia tuuu😢

  • @samsonissangya6733
    @samsonissangya6733 Před měsícem

    Wewe hujui sheria za vyama

  • @benjamingilbert603
    @benjamingilbert603 Před měsícem

    Kaa kimya wewe sio msemaji wa Kila jambo. Maneno mengi hayakosi kuwa na uovu

  • @EliaYeremia
    @EliaYeremia Před měsícem

    Hata sielewi ni nini unaongelea

  • @esthermwanaidi3645
    @esthermwanaidi3645 Před měsícem

    Sawewe unaingia kwa siasa

    • @amoniTv1148
      @amoniTv1148 Před měsícem +2

      SIKIA SIASA NI MFUMO WA UONGOZI KTK JAMII UNAWAHUSU WOTE JAMII YOTE

  • @esthermwanaidi3645
    @esthermwanaidi3645 Před měsícem

    Badala aende akahubiri nikama alichanganyikiwa

    • @amoniTv1148
      @amoniTv1148 Před měsícem

      ESTA MWANAIDI ACHA UTOTO

    • @frenkfarm1139
      @frenkfarm1139 Před měsícem

      nenda wewe ukahubili kwani tatizo liko wapi jamani

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem

      ​@@frenkfarm1139sio kuhubili ni kuhubiri🤪🤪🤪🤪

  • @JONASNGHOKA
    @JONASNGHOKA Před měsícem

    Wee Nsajigwa ni Mchungaji kweli wa kiroho unafanya dhihaka ya kunena kwa lugha?Kila unapochangia mpaka useme mtoto wako?Hakuna wa kukukumbuka wewe.Ushauri huwa ni wa kuasi tu.Nakumbuka ulimshaur Mch Kimaro aasi lakin kwa kupima ufaham mdogo akakapuuza.Usijifanye kuwa kila jambo unalifaham.A big NO Bwana mdogo

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +1

      Hata shetani tulimuasi. Hivyo kundi ovu tunaliasi hata Musa aliasi utawala wa Farao.
      Kutoka 2:11-14 Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake. Basi akatazama huko na huko, na alipoona ya kuwa hapana mtu, akampiga Mmisri yule, akamficha ndani ya mchanga.
      (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Před měsícem

      Mbona hujielewi mzee point yako ni ipi

    • @user-sc2yw5kk5r
      @user-sc2yw5kk5r Před měsícem

      We jamaaa unashida, umemsikuliza alichongea Mbarikiwa au umejisikia tu kuandika ili mrad umrsndika....

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema Před měsícem +1

    Mwanasiasa huyu bwana tunachoka kumsikiliza sada

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema Před měsícem

    IlA mbarikiwa ko alipokuja mbeya ulitaka lazma azungumzie na jambo lako! Mambo mengne acha yapite bwana

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Unaongea kwa kuwa sio unayeumizwa. Kama ungekuwa ni wewe mtoto wako ameuwawa na umefungwa gerezanj kwa kuonewa, huoni kama ungetaka kujua kwanini unateswa hivyo kwenye nchi yako??

    • @HenrickMhema
      @HenrickMhema Před měsícem

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile Kutoka 14:14 Bwana atawapigania Nanyi mtanyamaza kimya ,usemayo ni kweli Ila usisimame ukajipigania hutaweza kabisa ktka Hali ya mwili huu achia Mungu nafasi yake atatenda.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      @@HenrickMhema jifunze Kiswahili unachosoma. Amesema "atawapigania" NDIPO MTAKAA KIMYA. Yaani mpaka atakapowapigania ndipo mtakaa kimya. Hapo Musa hakusema nyamazeni kwa kuwa Bwana atawapigania au anawapigania, bali amesema kuwa ATAKAPOWAPIGANIA NDIPO MTAKAA KIMYA.

    • @HenrickMhema
      @HenrickMhema Před měsícem

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile Ahaaa sawa mwl wa Kiswahili mekuelewa bas endeleeni na mapambano

    • @HenrickMhema
      @HenrickMhema Před měsícem

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile Lakn mtumishi pia kuna zabur 37:7-9 na Amos 5:13 na maombolezo 3:28,mhubir3:28 vipi kuhusu maandiko hayo ni vema tukaendelea kujipigania?

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge9092 Před měsícem

    Before the downfall of a man he is proud!

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Před měsícem +1

    Tatizo unazunguka Sana maelezo yako hayawi direct, inachusha kusikiliza

  • @ludigoludigo3010
    @ludigoludigo3010 Před měsícem

    Akapime akili huyu

  • @joycerwabanu5961
    @joycerwabanu5961 Před měsícem +1

    Hivi mbarikiwa wewe hunaga kazi?mpaka kila kitu unakorukia?

    • @MussaLuswetula
      @MussaLuswetula Před měsícem

      Kazi sio kulima au kutafuta pesa, kazi ni kile kipaombele chako kinacholeta matokeo yakutuliza moyo.NB: injili nizaidi ya kazi.
      Acha ubeya, dhuluma, na fitna,
      Okoka Sasa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Hiyo ndiyo kazi pekee ninayotakiwa kufanya (kurukia). Ayubu 29:15-16 inasema kuwa; Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza.
      Ni kawaida watu wajinga kama akina Ayubu, Yesu, Yohana kurukia kila jambo.

  • @ipyanamwakyeja1453
    @ipyanamwakyeja1453 Před měsícem

    Mimi niliwahi kutoa ushauri kwake kwamba kwamba sio kila jambo la kulizungumzia pengine ni aina nyingine ya utumishi wake yeye ila aangalie isije ikawa lengo ni kujaza viewers.I once said mbona mafuta uliyo nayo yanatosha sana kukutangaza na utmishi wako kujulikana.angalia ulivyoanza usipotelee mwishoni na kuharibikiwa hizi media zisikuharibie upako na wito wako.jikite kumtangaza kristo na sio watu au kupambana na watu.unawrza ukafa mapema ksbb tu ya stress zahizu kesi na kujitengenezea maadui wengi kila uchao.Honestly and frankly speaking i'm not so sure with the type of ur gospel if is that how Sir God called u?try to take enough time to go back to God and beseech Him to reveal a full ministry that u ought to dwell in,if it is! KEEP IT UP!if wrong,stop ur run.Jesus is at hand mire than we think

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +1

      Hiyo ndiyo kazi pekee ninayotakiwa kufanya (kurukia). Ayubu 29:15-16 inasema kuwa; Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza.
      Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Ni kawaida watu wajinga kama akina Ayubu, Yesu, Yohana kurukia kila jambo.
      Zaidi ya hayo kufa mapema ndio njia pekee ya kupumzika.

    • @happymfiomy4673
      @happymfiomy4673 Před měsícem

      Exactly

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo Před měsícem +1

      @ipyanamwakyeja, inaonekana hata uelewa juu ya unachokizungumza ni mdogo sana, jambo la kwanza ufahamu, kazi ya uhubiri ni kusema kosa lililofanywa na mtu wa aina yoyote, huwezi ukasema unawaleta watu kwa Yesu ilihali wanamaumivu ya kudhurumiwa, kuonewa, kusingiziwa n.k, huyo mtu hata akija kanisani hataelewa chochote kwasababu anamaumivu ya alivyotendewa vibaya.
      Jambo la pili, naomba ujifunze kuwa na akili, biblia inaposema "jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa;mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane" ISAYA; 1:17. Sasa haya maandiko yanamhusu sana mtu mwenye utu, sio mhubiri tu!, kwa lugha nyingine kufanya hayo, ndiyo maana ya injili na uhubiri sio hii mliokaririshwa kusema mnaleta watu kwa yesu bila kujua huyo mtu kaumizwa kiasi gani na wewe haukumtetea ukijua sio injili.

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Před měsícem

    Hili jamaa lijinga sana kila kitu lazima liseme! Kwani likinyamaza linashindwa kiongozi wa kanisa akikosa elimu anakuwa kama punguan

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
      Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.

    • @shigongoshuli6320
      @shigongoshuli6320 Před měsícem +1

      Wewe ndo mjinga .kwani hutaki kukemea dhambi?

    • @Mrauto12679
      @Mrauto12679 Před měsícem

      Inaonekana makonda amepiga kwenye mshono

    • @musajulias3392
      @musajulias3392 Před měsícem

      Huna akili wewe erick

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před měsícem

      Erick TOFAUTI ya mjinga na punguani ni nini? Wewe kipimo Cha kupima mjinga nani? Na unapimaje?

  • @damiankilyenyi5367
    @damiankilyenyi5367 Před měsícem

    Na wachungaji wengine ni matapeli wanachangisha washirika mali zikanunuliwa na baadae huandika majina yao.

  • @user-tr5yv1fo9o
    @user-tr5yv1fo9o Před měsícem +1

    Huyu jamaa hapoi Kila jambo analijua anaingilia mambo ambayo hayamhusu

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +2

      Dunia hii tuishiyo ni moja.

    • @amoniTv1148
      @amoniTv1148 Před měsícem +1

      USER KUMBUKA UYU NI MTETEZI WA WATU WANYONGE WOTE WA TANZANIA

    • @gotafostv7305
      @gotafostv7305 Před měsícem +1

      Mbona nawewe umeingilia video hii isiyokuhusu?

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před měsícem

      ​@@gotafostv7305Ubarikiwe ndugu yangu. useri kalewa dini badala ya kulewa neno

  • @fransiscondyanabo9154
    @fransiscondyanabo9154 Před měsícem

    Mchungaji ni mchumia tumbo kwa nini aganganie mari ujanjaunja aunatija

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +2

      Anayeng'ang'ania mali ni yule anayetaka kuzimiliki wakati hajui zilivyopatikana.

    • @Mrauto12679
      @Mrauto12679 Před měsícem

      Mwenye uchungu na mali za kanisa ni taasisi maana taasisi ndio wenye maono ya kudumu wachungaji wenye madaraka makubwa kwenye makanisa Yao ni wapigaji tu

    • @simonphabiano9050
      @simonphabiano9050 Před měsícem

      @Mrauto12679 Pointi sana hii

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      @@Mrauto12679 Taasisi iwe na uchungu na mali ambazo haikutafuta! Hao taasisi ni wanyamapori? Kama ni watu wenyewe wana maono gani ambayo hayana makusudi mabaya? Taasisi hiyo ni ipi kati ya hizi za matapeli watupu?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem

      ​@@Mbarikiwa_Mwakipesiletabu sana