Muungano wa makanisa ya KIDHALIMU kutoka Nje ya nchi, Ndo kwa sehemu kubwa Umetufikisha hapa tulipo katika ( DIMBWI LA UMASKINI ). Tanzania Tuachane kuwa na Muungano wa Makanisa ya UDHALIMU kutoka Nje ya Nchi; kama Tutakuwa tunataka Maendeleo ya nchi yetu kwa "DHATI" kutoka "Moyoni" ya hapa TANZANIA 🇹🇿 Na. TANGANYIKA ❤❤❤.
Mbarikiwa, ubarikiwe kwa ushauri wako. Mm binafsi nimeukubali huyo Dc anachanganya hekima yake ya kidunia na ya kiroho. Ukiona kanisa limesimama kuna mbeba maono na wala sio makaratasi au jina la dhehebu..
Ahsante pastor kwa Ushauri wenye suluhisho la migogoro ya mali za kanisa ndio huu. Halafu sio sawa hata kidogo kufananisha kanisa na vyama vya siasa hata namna za usajili wa kanisa ziangaliwe upya kwa sababu zimechangia kudhoofisha nguvu na maana ya kanisa.
Ule ulikuwa ni mfano tu. Yule mchungaj alikuwa Chini ya kuvuli Cha kanisa, sas Kama anaamua kuhamia kwingine si aache na vitu vya kanisa la watu? Kwni kule anakohamia hakuna vitu Kama vile?
@@melkizedck Ndugu Tafakari tena kuhusu dhuluma ni nini na viwango vyake na madhara yake. Halafu huko atakakohamia kwenye vitu vingine alivyotafuta nani?? Usilichukulie jambo hili kiwepesi hivyo.
Duuuuuh Kama hii ni njia ya KUPATA UMAARUFU BASI NA WEWE UTAKUWA MAARUFU SANA HAPA TANZANIA!!! Naona comment zako zitakupaisha sana kwani mliojaa DHULUMA HAPA DUNIANI MNAZIDI KUONGEZEKA SIKU HADI SIKU.
Kuna kiongozi mmoja alisikika akisema, hakuna nchi ngum kuiongoza hapa Afrika km Tanzania, lakini tena akasema hakuna nchi ni rahisi mno kuiongoza hapa Afrika km Tanzania, maneno haya ukiyapokea haraka kana kwamba unasoma vichwa vya magazeti, tutaendelea kutofautiana mitazamo na kurushiana maneno makali, lakini itoshe tu kusema mie binafsi kwa utashi wangu namuombea Mbarikiwa azidi kuwa na afya njema, asipatwe na madhila yoyote, nina hakika huyu ni miongoni mwa wachungaji wachache watakao kumbukwa ck zijazo, endelea kuishi kwenye misingi, kanuni, na taratibu au miiko ya dini inavyotaka uenende pasipo kuvunja sheria kwani hujawahi kuwa muumini wa unafiki, "TUOGOPE SANA TECHNOLOGY "
Ukiwambia hawasikii, mtaji wa ujinga unaribiwa kweli kweli katika angle zote, kisiasa, kiuchumi, kidini, kijamii n.k na wanufaikao na mtaji huo Kwa mda mrefu wamepanic. Ubarikiwe mnoo!!!
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Ayubu 29:15-16 Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza.
Mbarikiwa uwezi kujua kila kitu.baki katika kutafuta uso wa MUNGU acha vita vya kimwili huta fanikiwa bali utapata anguko.pigana kiroho utashinda na utafanikiwa.
Musiwe natudanganya munamtolea Mungu kumbe baadaye mutadai murudishiwe! Ikiwa hauko tayari kuacha kwa kanisa baki na vitu vyako. Basi murudishie na waumini wote!😢
Hujui unachokiongea na hujui katiba zote za makanisa umeingilia ugomvi usiokuhusu kila mali inaendeshwa kwa katiba na kila sehem kuna katiba yake hio sio huduma ya mtu binafsi hio ni taasisi ambayo inaendeshwa kwa katiba kwa hio sheria itafata mkondo wake pole kwa kuwa hujui
Kuna wakati unaongea mambo ya maana,ila kuna wakati unapuyanga😂inatakiwa serikali iingilie kati sana makanisa yote iwe mari za taasisi husika ili kuepusha wachungaji wenye makusudi mabaya kwa washirika maana walio wengi ni wapigaji tu,serikali yetu iko makini sana ongera sana makonda kwa kazi nzuri.
Daaah ! KUmbe hata we hujui kitu Ivo ! Mtu anapotoa anakuwaametoa Kwa Mungu kupitia dhehebu husika ! Je jaribu kuwaza itakuwaje akihama Tena avihamishe Tena ?
Mhhhhhhhhh Kwa komenti hii bila shaka wewe ni kiongozi ambae umepata utajiri kwa kuwadanganya watu wa Mungu na kujifichia kwenye maandiko maana usingeweza kuongea hivyo bila kuwa na maslahi mapana ya tumbo lako
SASA HAPA MBARIKIWA NIMENG'AMUA KWAMBA WEWE NI KIPOFU!!! KAMA UWEZI KUONA HAKI ILIYOAMRIWA HAPA!!! ILA UNAAMUA KWA VIGEZO VYA KWAMBA HUYU ALITAABIKA!!! UMEKUWA KIPOFU!!! HUYO MCHUNGAJI AMETAABIKA CHINI YA TAASISI IPI??? KAMA NA WEWE UKO HIVI IVI!!! POLE SANA!!!
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
😅Ati kunena kwa lugha kweenda hiyo lugha wamebuni tu ni ya kishetani 😅maneno hayaeleweki yapo ktk lugha gani duniani maana nyie mnafata israel sasa israel kuna kabila 12 za wana wa Yakobo ni ipi moja wapo ktk hizo acheni utapeli 😅
Mm nashangaa watumishi wa siku hizi, yaani mchungaji amekuwa mpaka askofu alikuwa askofu wa kanisa gani? Yeye akinunua kwa gharama zake maadamu amejiunga na hilo kanisa na akapata na washirika kwa mwavuli wa kanisa hilo hiyo mali ni mali ya kanisa akitoka lazima ibaki kwani kwa nini hakuanza kwa kusajili kanisa la kwake kwanini apitie kwenye dhehebu lingine?
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Nashauri makanisa yetu ya kipentekoste angalau wamnunulie ploti ya kanisa kila mtumishi/mchungaji anayeanza Kanisa ili wawe na haki ya kunyang'anya Kanisa/mali wakati mchungaji anapohama dhehebu hilo, ni ushauri tu! Sihitaji malumbano na mtu
Mabango ya Mch. Mbarikiwa Makonda aliya kwepa makusudi maana kulikuwa na msukumo mkubwa mno kwa wana kikosi kazi kufanya yaonekane dhahiri lkn hapa Makonda alifumba
Kanisa ni taasisi lazima iongozwe na sheria na kanuni iliyojiwekea, kama taasisi inaseme mali zote ni za taasisi mana yake. Mchungaji ukiondoka unaacha mali chini ya taasisi. Vinginevyo wachungaji mnaopinga anzisheni kampuni zenu(ministry) maisha yaendelee. Imagine kikosi kazi asipokuwapo Mbarikiwa je mke wake atakubali mtu mwingine aongoze?
Msilete vitu viwili baba watumishi, sheria haihitaji siasa,wala mambo ya kiroho hayahitaji siasa,siasa ina mahali pake, viongozi wasimamie haki,kwani haki huinua Taifa,watumishi kama hawa hawatafuti haki,wanatafuta vita,mfano kama Dc hakufunga kanisa kipi kingetokea?
Ni kwa sababu umefunikwa na roho ya utapeli tu na ukatili ndio maana umeshindwa kufahamu kuwa SIASA, DINI KIROHO, SHERIA VYOTE VINATAKA HAKI ITENDEKE. Kwa ubaya wa limoyo lako unaiona njia pekee ya kuzuia mapigano ilikuwa ni kufunga kanisa NA KUMBE ILIKUWA KUWAKAMATA WADHULUMAJI NA MATAPELI WANAOTUMIA MGONGO WA SHERIA NA KUWASHIKISHA ADABU. HAPO PASINGEKUWA NA MALUMBANO YOYOTE.
Mtumishi hebu omba HEKIMA YA MUNGU IWE JUU YAKO. Achana na mambo yasiyokuhusu, epuka usionekane kama vile unajua sana kuongea. Mungu akusaidie katika hilo. Maliza hayo uliyo nayo mbele yako yanakutosha. HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA ya Mungu ikusaidie. Kwani ukinyamaza kimya inakugharimu nini?
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Kwa hiyo usajili ndio unatafuta mali? Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Mbalikiwa wewe ulishashindwa,kila kitu wewe ni mjuaji na mkosoaji wewe ukipewa mamlaka utafanyaje,fundisha Neno la Mungu waumini wako waende Mbinguni sio kujionyesha kwa watu ,tafuta Roho za watu na sio umalufu kwa watu,
Wee Nsajigwa ni Mchungaji kweli wa kiroho unafanya dhihaka ya kunena kwa lugha?Kila unapochangia mpaka useme mtoto wako?Hakuna wa kukukumbuka wewe.Ushauri huwa ni wa kuasi tu.Nakumbuka ulimshaur Mch Kimaro aasi lakin kwa kupima ufaham mdogo akakapuuza.Usijifanye kuwa kila jambo unalifaham.A big NO Bwana mdogo
Hata shetani tulimuasi. Hivyo kundi ovu tunaliasi hata Musa aliasi utawala wa Farao. Kutoka 2:11-14 Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake. Basi akatazama huko na huko, na alipoona ya kuwa hapana mtu, akampiga Mmisri yule, akamficha ndani ya mchanga. (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Unaongea kwa kuwa sio unayeumizwa. Kama ungekuwa ni wewe mtoto wako ameuwawa na umefungwa gerezanj kwa kuonewa, huoni kama ungetaka kujua kwanini unateswa hivyo kwenye nchi yako??
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Kutoka 14:14 Bwana atawapigania Nanyi mtanyamaza kimya ,usemayo ni kweli Ila usisimame ukajipigania hutaweza kabisa ktka Hali ya mwili huu achia Mungu nafasi yake atatenda.
@@HenrickMhema jifunze Kiswahili unachosoma. Amesema "atawapigania" NDIPO MTAKAA KIMYA. Yaani mpaka atakapowapigania ndipo mtakaa kimya. Hapo Musa hakusema nyamazeni kwa kuwa Bwana atawapigania au anawapigania, bali amesema kuwa ATAKAPOWAPIGANIA NDIPO MTAKAA KIMYA.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Lakn mtumishi pia kuna zabur 37:7-9 na Amos 5:13 na maombolezo 3:28,mhubir3:28 vipi kuhusu maandiko hayo ni vema tukaendelea kujipigania?
Kazi sio kulima au kutafuta pesa, kazi ni kile kipaombele chako kinacholeta matokeo yakutuliza moyo.NB: injili nizaidi ya kazi. Acha ubeya, dhuluma, na fitna, Okoka Sasa
Hiyo ndiyo kazi pekee ninayotakiwa kufanya (kurukia). Ayubu 29:15-16 inasema kuwa; Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza. Ni kawaida watu wajinga kama akina Ayubu, Yesu, Yohana kurukia kila jambo.
Mimi niliwahi kutoa ushauri kwake kwamba kwamba sio kila jambo la kulizungumzia pengine ni aina nyingine ya utumishi wake yeye ila aangalie isije ikawa lengo ni kujaza viewers.I once said mbona mafuta uliyo nayo yanatosha sana kukutangaza na utmishi wako kujulikana.angalia ulivyoanza usipotelee mwishoni na kuharibikiwa hizi media zisikuharibie upako na wito wako.jikite kumtangaza kristo na sio watu au kupambana na watu.unawrza ukafa mapema ksbb tu ya stress zahizu kesi na kujitengenezea maadui wengi kila uchao.Honestly and frankly speaking i'm not so sure with the type of ur gospel if is that how Sir God called u?try to take enough time to go back to God and beseech Him to reveal a full ministry that u ought to dwell in,if it is! KEEP IT UP!if wrong,stop ur run.Jesus is at hand mire than we think
Hiyo ndiyo kazi pekee ninayotakiwa kufanya (kurukia). Ayubu 29:15-16 inasema kuwa; Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza. Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Ni kawaida watu wajinga kama akina Ayubu, Yesu, Yohana kurukia kila jambo. Zaidi ya hayo kufa mapema ndio njia pekee ya kupumzika.
@ipyanamwakyeja, inaonekana hata uelewa juu ya unachokizungumza ni mdogo sana, jambo la kwanza ufahamu, kazi ya uhubiri ni kusema kosa lililofanywa na mtu wa aina yoyote, huwezi ukasema unawaleta watu kwa Yesu ilihali wanamaumivu ya kudhurumiwa, kuonewa, kusingiziwa n.k, huyo mtu hata akija kanisani hataelewa chochote kwasababu anamaumivu ya alivyotendewa vibaya. Jambo la pili, naomba ujifunze kuwa na akili, biblia inaposema "jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa;mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane" ISAYA; 1:17. Sasa haya maandiko yanamhusu sana mtu mwenye utu, sio mhubiri tu!, kwa lugha nyingine kufanya hayo, ndiyo maana ya injili na uhubiri sio hii mliokaririshwa kusema mnaleta watu kwa yesu bila kujua huyo mtu kaumizwa kiasi gani na wewe haukumtetea ukijua sio injili.
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?... Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Mwenye uchungu na mali za kanisa ni taasisi maana taasisi ndio wenye maono ya kudumu wachungaji wenye madaraka makubwa kwenye makanisa Yao ni wapigaji tu
@@Mrauto12679 Taasisi iwe na uchungu na mali ambazo haikutafuta! Hao taasisi ni wanyamapori? Kama ni watu wenyewe wana maono gani ambayo hayana makusudi mabaya? Taasisi hiyo ni ipi kati ya hizi za matapeli watupu?
Muungano wa makanisa ya KIDHALIMU kutoka Nje ya nchi, Ndo kwa sehemu kubwa Umetufikisha hapa tulipo katika
( DIMBWI LA UMASKINI ).
Tanzania Tuachane kuwa na Muungano wa Makanisa ya UDHALIMU kutoka Nje ya Nchi;
kama Tutakuwa tunataka Maendeleo ya nchi yetu kwa "DHATI" kutoka "Moyoni" ya hapa TANZANIA 🇹🇿 Na.
TANGANYIKA ❤❤❤.
Makonda anaongozwa na Mungu
Mbarikiwa, ubarikiwe kwa ushauri wako. Mm binafsi nimeukubali huyo Dc anachanganya hekima yake ya kidunia na ya kiroho. Ukiona kanisa limesimama kuna mbeba maono na wala sio makaratasi au jina la dhehebu..
Ahsante pastor kwa Ushauri wenye suluhisho la migogoro ya mali za kanisa ndio huu. Halafu sio sawa hata kidogo kufananisha kanisa na vyama vya siasa hata namna za usajili wa kanisa ziangaliwe upya kwa sababu zimechangia kudhoofisha nguvu na maana ya kanisa.
Ule ulikuwa ni mfano tu. Yule mchungaj alikuwa Chini ya kuvuli Cha kanisa, sas Kama anaamua kuhamia kwingine si aache na vitu vya kanisa la watu? Kwni kule anakohamia hakuna vitu Kama vile?
Kwani kufananisha ni shida? wewe na wewe😂
Hizi kanisa za siku hizi ni kama vyama vya siasa tu haina tofauti ata kdgo
@@nicasissa Shida sio kufananisha ila kuna mifano yenye hila inaweza kukutoa kwenye hoja ya msingi na hutaamini kabisa.
@@melkizedck Ndugu Tafakari tena kuhusu dhuluma ni nini na viwango vyake na madhara yake. Halafu huko atakakohamia kwenye vitu vingine alivyotafuta nani?? Usilichukulie jambo hili kiwepesi hivyo.
Wewe ni mtetezi wa wanyonge tanzania asante sana mgumu
Kamanda hongera sana Kwa kuwa mtu wakiroho
Pastor omba sana hekima kutoka kwa Mungu unapigana sana vita mwilini badala ya magoti . Unapenda sana umaharufu
Amekuambia anapenda umarufu?
Ila harmonize
Duuuuuh Kama hii ni njia ya KUPATA UMAARUFU BASI NA WEWE UTAKUWA MAARUFU SANA HAPA TANZANIA!!! Naona comment zako zitakupaisha sana kwani mliojaa DHULUMA HAPA DUNIANI MNAZIDI KUONGEZEKA SIKU HADI SIKU.
Kuna kiongozi mmoja alisikika akisema, hakuna nchi ngum kuiongoza hapa Afrika km Tanzania, lakini tena akasema hakuna nchi ni rahisi mno kuiongoza hapa Afrika km Tanzania, maneno haya ukiyapokea haraka kana kwamba unasoma vichwa vya magazeti, tutaendelea kutofautiana mitazamo na kurushiana maneno makali, lakini itoshe tu kusema mie binafsi kwa utashi wangu namuombea Mbarikiwa azidi kuwa na afya njema, asipatwe na madhila yoyote, nina hakika huyu ni miongoni mwa wachungaji wachache watakao kumbukwa ck zijazo, endelea kuishi kwenye misingi, kanuni, na taratibu au miiko ya dini inavyotaka uenende pasipo kuvunja sheria kwani hujawahi kuwa muumini wa unafiki, "TUOGOPE SANA TECHNOLOGY "
Ukiwambia hawasikii, mtaji wa ujinga unaribiwa kweli kweli katika angle zote, kisiasa, kiuchumi, kidini, kijamii n.k na wanufaikao na mtaji huo Kwa mda mrefu wamepanic. Ubarikiwe mnoo!!!
Nimekuelewa Sana mbarikiwa nakukubali Sana baba
Glory to God the Almighty
Mchungaji ni mchumia tumbo kwa nini aganganie mari sa
We mbarikiwa mambo mengine unaweza ukayaacha tu ndugu yangu.sio kila kitu kuingilia.mtumishi wa MUNGU.ni ushauri tu
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Ayubu 29:15-16 Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza.
Ndo AMETOA ushauri na elimu pia! Mtambiwa ukweli Kwa namna yoyote hasa kizazi hiki!!!!
@@Mbarikiwa_Mwakipesileunatafuta kiki kwa watu maarufu!?
Mchungaji asante sana umeongea kama watu milioni barikiwa sana
Makonda Amezungukwa na mashetani kila kona kwahiyo anahitaji maombi Private Sana ili kupenya ktk mashetani hao wotee
Unamaanisha ana pepo...basi aombewe...
❤❤hiiloho yangu kabisa
Mbarikiwa uwezi kujua kila kitu.baki katika kutafuta uso wa MUNGU acha vita vya kimwili huta fanikiwa bali utapata anguko.pigana kiroho utashinda na utafanikiwa.
Mbona wewe umecomment kimwili hujaenda kupigana kiroho?
Atafute uso wa Mungu! DAUD, Joshua n.k walipigana kiroho au unalea ujinga Ili mwendelee na mtaji huu Kwa manufaa Yako!!!
Musiwe natudanganya munamtolea Mungu kumbe baadaye mutadai murudishiwe! Ikiwa hauko tayari kuacha kwa kanisa baki na vitu vyako.
Basi murudishie na waumini wote!😢
Swala la sadaka, we toa tu.
Hujui unachokiongea na hujui katiba zote za makanisa umeingilia ugomvi usiokuhusu kila mali inaendeshwa kwa katiba na kila sehem kuna katiba yake hio sio huduma ya mtu binafsi hio ni taasisi ambayo inaendeshwa kwa katiba kwa hio sheria itafata mkondo wake pole kwa kuwa hujui
Point sana mbarikiwa
Kuna wakati unaongea mambo ya maana,ila kuna wakati unapuyanga😂inatakiwa serikali iingilie kati sana makanisa yote iwe mari za taasisi husika ili kuepusha wachungaji wenye makusudi mabaya kwa washirika maana walio wengi ni wapigaji tu,serikali yetu iko makini sana ongera sana makonda kwa kazi nzuri.
Mali ziwe za taasisi? Hao taasisi sio wapigaji?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 serikari yenu iko makini au makonda ndo Yuko makini
Umeongea vyema ila mimi nakuongezea points hapooo!!!!!
Anza wewe kuongea bila kuchanganya pumba na maneno ili Mbarikiwa ajifunze kwako
❤😂@@sifawayesu7079
Daaah !
KUmbe hata we hujui kitu Ivo !
Mtu anapotoa anakuwaametoa Kwa Mungu kupitia dhehebu husika !
Je jaribu kuwaza itakuwaje akihama Tena avihamishe Tena ?
Anakuwa ametoa kwa Mungu ikiwa kitatumika kufanya mema SIYO VIJEMBE NA DHULUMA.
Mhhhhhhhhh
Kwa komenti hii bila shaka wewe ni kiongozi ambae umepata utajiri kwa kuwadanganya watu wa Mungu na kujifichia kwenye maandiko maana usingeweza kuongea hivyo bila kuwa na maslahi mapana ya tumbo lako
Makanisa ya miliki Mali kwa kuzichangia na kuzidai taarifa pale Kila muda. Ili migogoro ikitokea kusuwe na maswali
Hivi Mbarikiwa! Unataka kutuambia kunena kwa lugha imetoka kwa wazungu? Hivi Upoje? Au umetania? SIKUELEWI.
Hata mimi sijaelewa labda sijasikiliza vinzur ngoja niludie kusikiliza huwenda nikaelewa hap
@@user-rl5qu4zj9b du! Hawa wachungaj vip? Mbona wanatuchanganya?
Hata mimi hilo limenishangaza maana ninachojua kunena kwa lugha ni karama ya Roho mt ,sasa wazungu wapi wapi jamani
Kwani wew ulikua huelew kua kanisa lake hawaamini kuhusu kunena kwa lugha ,hicho kitu wao hawaamini kabisa
ww sio mchungaji kabisa kila kitu unajifanya unajua ulikuwa vizuri sana lakini mhuuú
SASA HAPA MBARIKIWA NIMENG'AMUA KWAMBA WEWE NI KIPOFU!!! KAMA UWEZI KUONA HAKI ILIYOAMRIWA HAPA!!! ILA UNAAMUA KWA VIGEZO VYA KWAMBA HUYU ALITAABIKA!!! UMEKUWA KIPOFU!!! HUYO MCHUNGAJI AMETAABIKA CHINI YA TAASISI IPI??? KAMA NA WEWE UKO HIVI IVI!!! POLE SANA!!!
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
POLE SANA!!! WOTE MWENDELEE KUWA VIPOFU!!!
Migogoro ya kikanisa migumu!
😅Ati kunena kwa lugha kweenda hiyo lugha wamebuni tu ni ya kishetani 😅maneno hayaeleweki yapo ktk lugha gani duniani maana nyie mnafata israel sasa israel kuna kabila 12 za wana wa Yakobo ni ipi moja wapo ktk hizo acheni utapeli 😅
Hapana hilo Jambo linamhusu kwa sababu anajihusisha na taasisi za kiroho Kama hizo.Hivyo anashauri tu
Lakin mm kama mm imeandikwa sheri udhulumiwe.kuliko kudhulumu mm kama nimenunua vyombo vya kanisa mtu kakatalia namuachia
Mm nashangaa watumishi wa siku hizi, yaani mchungaji amekuwa mpaka askofu alikuwa askofu wa kanisa gani? Yeye akinunua kwa gharama zake maadamu amejiunga na hilo kanisa na akapata na washirika kwa mwavuli wa kanisa hilo hiyo mali ni mali ya kanisa akitoka lazima ibaki kwani kwa nini hakuanza kwa kusajili kanisa la kwake kwanini apitie kwenye dhehebu lingine?
Mhhhhhhhhh
Yaliyopo kwenye dini ni mazito sana mtu wa Mungu
🎉Haya kuhusu
Huyu kashazoea kuongea ongea yasio mhusu hizi viwes 😂alizileta sasa badala uingie magotini uhubiri ushazoea jela😂
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Nashauri makanisa yetu ya kipentekoste angalau wamnunulie ploti ya kanisa kila mtumishi/mchungaji anayeanza Kanisa ili wawe na haki ya kunyang'anya Kanisa/mali wakati mchungaji anapohama dhehebu hilo, ni ushauri tu! Sihitaji malumbano na mtu
👊👍✌️.
Mabango ya Mch. Mbarikiwa Makonda aliya kwepa makusudi maana kulikuwa na msukumo mkubwa mno kwa wana kikosi kazi kufanya yaonekane dhahiri lkn hapa Makonda alifumba
Kanisa ni taasisi lazima iongozwe na sheria na kanuni iliyojiwekea, kama taasisi inaseme mali zote ni za taasisi mana yake. Mchungaji ukiondoka unaacha mali chini ya taasisi. Vinginevyo wachungaji mnaopinga anzisheni kampuni zenu(ministry) maisha yaendelee. Imagine kikosi kazi asipokuwapo Mbarikiwa je mke wake atakubali mtu mwingine aongoze?
Mchungaji shikamoo
Yana mhusu Kwa sababu nitasisi ya kiroho naye nikikyoo wa kiroho
Msilete vitu viwili baba watumishi, sheria haihitaji siasa,wala mambo ya kiroho hayahitaji siasa,siasa ina mahali pake, viongozi wasimamie haki,kwani haki huinua Taifa,watumishi kama hawa hawatafuti haki,wanatafuta vita,mfano kama Dc hakufunga kanisa kipi kingetokea?
Ni kwa sababu umefunikwa na roho ya utapeli tu na ukatili ndio maana umeshindwa kufahamu kuwa SIASA, DINI KIROHO, SHERIA VYOTE VINATAKA HAKI ITENDEKE. Kwa ubaya wa limoyo lako unaiona njia pekee ya kuzuia mapigano ilikuwa ni kufunga kanisa NA KUMBE ILIKUWA KUWAKAMATA WADHULUMAJI NA MATAPELI WANAOTUMIA MGONGO WA SHERIA NA KUWASHIKISHA ADABU. HAPO PASINGEKUWA NA MALUMBANO YOYOTE.
Jamani muacheni Mbarikiwa mkisema hana kazi tayari anachofanya ni kazi ya kutafuta habari na kuzichambua na yuko sahihi sababu ni eneo la kazi yake
Mtumishi hebu omba HEKIMA YA MUNGU IWE JUU YAKO. Achana na mambo yasiyokuhusu, epuka usionekane kama vile unajua sana kuongea. Mungu akusaidie katika hilo. Maliza hayo uliyo nayo mbele yako yanakutosha. HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA ya Mungu ikusaidie. Kwani ukinyamaza kimya inakugharimu nini?
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Mmezidi na Kiki zenu hata cwaelewi wachungaji wa leo
Baba uliona mbali sana
UPO VIZUR SANA
Mchungaji utajiumiza sana ukikaa kimya utaona matunda yake sio Kila unachokiona unatakiwa kusema
Anza wewe kwa kukaa kimya wala hakuna haja ya kukomenti hadharani
Anza wewe kwa kukaa kimya wala hakuna haja ya kukomenti hadharani
Mbarikiwa kwa Usajili ni wanani afuji aondoke nayo, ushauri wako ni0
Kwa hiyo usajili ndio unatafuta mali?
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Huyu baba msenge
Tena msenge kweli
Yupi huyo
Jina lako ni Mbarikiwa? Jina lako la kupewa na wazazi, unanitwa nani rafiki?
Mbarikiwa Kwa kinyakyusa ni Nsajigwa. Hilo ndio jina ambalo wazazi wengi wakinyakyusa huwapa watoto wao.
Mbalikiwa wewe ulishashindwa,kila kitu wewe ni mjuaji na mkosoaji wewe ukipewa mamlaka utafanyaje,fundisha Neno la Mungu waumini wako waende Mbinguni sio kujionyesha kwa watu ,tafuta Roho za watu na sio umalufu kwa watu,
Mbarikiwa unafeli kilakitu unadakia tuuu😢
Wewe hujui sheria za vyama
Hiyo niliyosoma hapo ni sheria ya nini?
Kaa kimya wewe sio msemaji wa Kila jambo. Maneno mengi hayakosi kuwa na uovu
Mbona wewe hujakaa kimya,umecomment?
Hata sielewi ni nini unaongelea
Ni kwa sababu umenogewa /umelevwa na Mali za utapeli
Sawewe unaingia kwa siasa
SIKIA SIASA NI MFUMO WA UONGOZI KTK JAMII UNAWAHUSU WOTE JAMII YOTE
Badala aende akahubiri nikama alichanganyikiwa
ESTA MWANAIDI ACHA UTOTO
nenda wewe ukahubili kwani tatizo liko wapi jamani
@@frenkfarm1139sio kuhubili ni kuhubiri🤪🤪🤪🤪
Wee Nsajigwa ni Mchungaji kweli wa kiroho unafanya dhihaka ya kunena kwa lugha?Kila unapochangia mpaka useme mtoto wako?Hakuna wa kukukumbuka wewe.Ushauri huwa ni wa kuasi tu.Nakumbuka ulimshaur Mch Kimaro aasi lakin kwa kupima ufaham mdogo akakapuuza.Usijifanye kuwa kila jambo unalifaham.A big NO Bwana mdogo
Hata shetani tulimuasi. Hivyo kundi ovu tunaliasi hata Musa aliasi utawala wa Farao.
Kutoka 2:11-14 Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake. Basi akatazama huko na huko, na alipoona ya kuwa hapana mtu, akampiga Mmisri yule, akamficha ndani ya mchanga.
(MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Mbona hujielewi mzee point yako ni ipi
We jamaaa unashida, umemsikuliza alichongea Mbarikiwa au umejisikia tu kuandika ili mrad umrsndika....
Mwanasiasa huyu bwana tunachoka kumsikiliza sada
IlA mbarikiwa ko alipokuja mbeya ulitaka lazma azungumzie na jambo lako! Mambo mengne acha yapite bwana
Unaongea kwa kuwa sio unayeumizwa. Kama ungekuwa ni wewe mtoto wako ameuwawa na umefungwa gerezanj kwa kuonewa, huoni kama ungetaka kujua kwanini unateswa hivyo kwenye nchi yako??
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Kutoka 14:14 Bwana atawapigania Nanyi mtanyamaza kimya ,usemayo ni kweli Ila usisimame ukajipigania hutaweza kabisa ktka Hali ya mwili huu achia Mungu nafasi yake atatenda.
@@HenrickMhema jifunze Kiswahili unachosoma. Amesema "atawapigania" NDIPO MTAKAA KIMYA. Yaani mpaka atakapowapigania ndipo mtakaa kimya. Hapo Musa hakusema nyamazeni kwa kuwa Bwana atawapigania au anawapigania, bali amesema kuwa ATAKAPOWAPIGANIA NDIPO MTAKAA KIMYA.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Ahaaa sawa mwl wa Kiswahili mekuelewa bas endeleeni na mapambano
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Lakn mtumishi pia kuna zabur 37:7-9 na Amos 5:13 na maombolezo 3:28,mhubir3:28 vipi kuhusu maandiko hayo ni vema tukaendelea kujipigania?
Before the downfall of a man he is proud!
Tatizo unazunguka Sana maelezo yako hayawi direct, inachusha kusikiliza
Ni kwa sababu mnaoweza kuzungumza direct hamfanyi hivyo.
Kasikilize BBC siyo lazima hapa!
Akapime akili huyu
Hivi mbarikiwa wewe hunaga kazi?mpaka kila kitu unakorukia?
Kazi sio kulima au kutafuta pesa, kazi ni kile kipaombele chako kinacholeta matokeo yakutuliza moyo.NB: injili nizaidi ya kazi.
Acha ubeya, dhuluma, na fitna,
Okoka Sasa
Hiyo ndiyo kazi pekee ninayotakiwa kufanya (kurukia). Ayubu 29:15-16 inasema kuwa; Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza.
Ni kawaida watu wajinga kama akina Ayubu, Yesu, Yohana kurukia kila jambo.
Mimi niliwahi kutoa ushauri kwake kwamba kwamba sio kila jambo la kulizungumzia pengine ni aina nyingine ya utumishi wake yeye ila aangalie isije ikawa lengo ni kujaza viewers.I once said mbona mafuta uliyo nayo yanatosha sana kukutangaza na utmishi wako kujulikana.angalia ulivyoanza usipotelee mwishoni na kuharibikiwa hizi media zisikuharibie upako na wito wako.jikite kumtangaza kristo na sio watu au kupambana na watu.unawrza ukafa mapema ksbb tu ya stress zahizu kesi na kujitengenezea maadui wengi kila uchao.Honestly and frankly speaking i'm not so sure with the type of ur gospel if is that how Sir God called u?try to take enough time to go back to God and beseech Him to reveal a full ministry that u ought to dwell in,if it is! KEEP IT UP!if wrong,stop ur run.Jesus is at hand mire than we think
Hiyo ndiyo kazi pekee ninayotakiwa kufanya (kurukia). Ayubu 29:15-16 inasema kuwa; Nalikuwa macho kwa kipofu, Nalikuwa miguu kwa aliyechechemea. Nalikuwa baba kwa mhitaji, Na daawa (KESI) ya mtu nisiyemjua naliichunguza.
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Ni kawaida watu wajinga kama akina Ayubu, Yesu, Yohana kurukia kila jambo.
Zaidi ya hayo kufa mapema ndio njia pekee ya kupumzika.
Exactly
@ipyanamwakyeja, inaonekana hata uelewa juu ya unachokizungumza ni mdogo sana, jambo la kwanza ufahamu, kazi ya uhubiri ni kusema kosa lililofanywa na mtu wa aina yoyote, huwezi ukasema unawaleta watu kwa Yesu ilihali wanamaumivu ya kudhurumiwa, kuonewa, kusingiziwa n.k, huyo mtu hata akija kanisani hataelewa chochote kwasababu anamaumivu ya alivyotendewa vibaya.
Jambo la pili, naomba ujifunze kuwa na akili, biblia inaposema "jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa;mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane" ISAYA; 1:17. Sasa haya maandiko yanamhusu sana mtu mwenye utu, sio mhubiri tu!, kwa lugha nyingine kufanya hayo, ndiyo maana ya injili na uhubiri sio hii mliokaririshwa kusema mnaleta watu kwa yesu bila kujua huyo mtu kaumizwa kiasi gani na wewe haukumtetea ukijua sio injili.
Hili jamaa lijinga sana kila kitu lazima liseme! Kwani likinyamaza linashindwa kiongozi wa kanisa akikosa elimu anakuwa kama punguan
Kutoka 2:13-14 (MUSA) Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako? Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu?...
Tapeli kama wewe lazima uone huyu ni mjinga.
Wewe ndo mjinga .kwani hutaki kukemea dhambi?
Inaonekana makonda amepiga kwenye mshono
Huna akili wewe erick
Erick TOFAUTI ya mjinga na punguani ni nini? Wewe kipimo Cha kupima mjinga nani? Na unapimaje?
Na wachungaji wengine ni matapeli wanachangisha washirika mali zikanunuliwa na baadae huandika majina yao.
Huyu jamaa hapoi Kila jambo analijua anaingilia mambo ambayo hayamhusu
Dunia hii tuishiyo ni moja.
USER KUMBUKA UYU NI MTETEZI WA WATU WANYONGE WOTE WA TANZANIA
Mbona nawewe umeingilia video hii isiyokuhusu?
@@gotafostv7305Ubarikiwe ndugu yangu. useri kalewa dini badala ya kulewa neno
Mchungaji ni mchumia tumbo kwa nini aganganie mari ujanjaunja aunatija
Anayeng'ang'ania mali ni yule anayetaka kuzimiliki wakati hajui zilivyopatikana.
Mwenye uchungu na mali za kanisa ni taasisi maana taasisi ndio wenye maono ya kudumu wachungaji wenye madaraka makubwa kwenye makanisa Yao ni wapigaji tu
@Mrauto12679 Pointi sana hii
@@Mrauto12679 Taasisi iwe na uchungu na mali ambazo haikutafuta! Hao taasisi ni wanyamapori? Kama ni watu wenyewe wana maono gani ambayo hayana makusudi mabaya? Taasisi hiyo ni ipi kati ya hizi za matapeli watupu?
@@Mbarikiwa_Mwakipesiletabu sana