MFANYABIASHARA KARIAKOO AFUNGUKA MAZITO AMUANGUKIA RAIS SAMIA AMSAIDIE ALIPWE FEDHA ZAKE
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 10. 01. 2022
- MFANYABIASHARA KARIAKOO AFUNGUKA MAZITO AMUANGUKIA RAIS SAMIA AMSAIDIE ALIPWE FEDHA ZAKE
đJE, NA WEWE UNA HABARI?
đWASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
đWhatsApp ( +255 692 318213)
đEmail: mwanahalisitvnews@gmail.com
đKWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Daa,story ndefu nzuri tena ni ya uhalisia na ukweli tena imehusisha marais wa inchi na mawaziri na viongozi mbalimbali, kwanza nakupapole pia nakupongeza,ushauli wangu mungu ananjia nyingi, wewe sasa andaa kitabu kiitwacho njia za kufanikiwa kuwa tajili,ili uanzie hapo na mungu atakufanikisha tu ukimwamini.
Pole sana Mzee wangu Kwa mazito unayopitia
Haki kwa Mungu tu hakuna kwingine
Ewe Mwenyezi Mungu unayesikia na kuona dhuruma Kwa huyu mja wako basi ziguze nafsi za wote walioshiriki na kuikandamiza hii nafsi ulipize kisasi juu Yao.Make sisi tukilipiza tutalipa zaidi Amina.
Hapo ndio tunamkumbuka JPM watu walifanyakazi sasa hivi wamelala mfani leo kitunda hakuna umeme kuanzia saa 6 mpaka sasa saa 2 usiku wakati enzi za JPM umeme haukukatika
Allah akbar kabiira alhamdulillah kabiira wasubhanna LLAH bukratan waaswira.a
Mungu akussidie mz siku moja yatakwisha tu
Weka imani yako kwa MUNGU
Ukiwa tajiri shida ukiwa maskini shida ,,,,kama Mzee halipwi ni Bora awekwe wazi ili aanze safari upya na maisha mapya ,,kuishi na stress ni sumu kubwa sana,,,
đđđđđ nasikitita sana kuoyaona haya kwa mtanzania halali aliepambana kwa jasho lake nakusimama kwa tabu leo hii anadhulumiwa Mali zake na serikali hii hii ya Tanzania nasijajua huu uzalendo na amani ya nchi iko wapi kwa wafanyabiashara ambao wanaiingizia kipato kikubwa nchi hii badala yakuwa marafiki mmewageuza kuwa maadui wenu wakubwa nasikitika sana kwa haya mtu kudai haki yake nakuishia kumwinda kama paka mwizi đđđđđđđđ
Pole sana mzee baba nikuombe. Kitu sasa imevunjika vywa kutosha chakukushauri hebu geukia upande wa pili imani upande wa dini iweke pembeni orodhesha majina yote yawatu walio kuzungusha ktk haki yako ili uachie kombora usiue mtu bali achilia gonjwa matata litakalo walaza kitandani wote lile la ukerewe mtu anaoza. Huku anajionađ€žđ€žđ€ž
Mungu akufanyie wepesi upate haki zako
Mama samia, huyu mtu alipwe pesa zake, na waliokuwepo tra washtakiwe wizi wakubwa
Mungu ibariki Tanzania, wizi mbele, maendeo nyuma.
Mungu akubarikie zaidi Maa Shaa Allah unazo kumbukumbu nzuri saaana hongera saaana
Duuuuuuuuuu!! Angekuwepo Mh na Dr John Joseph Pombe Magufuli mkombozi wa wanyonge heeeee!! Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.. Amini
Ilianza 2018 alikuepo
Jamani nchi imekwisha,mama Rais Samia musiookuwa makini nchi haipo wanakuzunguka na watakuangusha.
Mh mtoa haki ni mungu pekeee ndio mtenda ha Sasa wewe ndugu unahangaishwa na pesa unayo je sisi makapuku ambao hatuna hata pakuanzia kumuita hata huyo mwandishi hakika mungu mungu mungu ndie mtenda haki kama unaamini mungu ndie mtetezi wako wewe na mtenda haki SEMA AMENđ
Hao ndio Mwanasheria wetu. Wachache sana wanajielewa.
jamani hata hamuogopi mwenyezi mungu,mtu haki yake kateseka kwakuitafuta mnataka kudhulum..muogopeni mwenyezi mungu,yaani mtawaibia watu mpaka lini?
Hivi kwanini watu wa serikali wanalipwa mishahara kodi yetu, halafu munawaibia walipakodi?nachukia sana suala hili
Pole sana,mungu akujalie ufanikiwe jambo lako
Daaa na hicho kitabu nitakuwa mteja wako wa kwanza maana inaonyesha unavitu vizito kicwani mwako,story inavutia lakini wewe unaumia pole sana ndg yangu.
Magufuli amekufa na haki zako zote zimekufa, pole sana.
Hakuna kupepesa macho uyu unamwanini kua ni shujaa wako kwamba alichemka ndio mana mpaka leo jamaa analialia mika 3 imepita mpaka anakufa wap kama alitoa maagizo why akufatilia acha unafki mfatilie jamaa ndio utajua kuna watu walikua wanateseka na mwamba wenu alikuwepo
Hivi jamani kweli haki wapi? Wakati huyu mzee bado hajalipwa wahusika tuambieni inakopatikana kwani huyu mzee anazungushwa sana serikali ilimalize hili suala
Magufuli was everything to his people
Hivi kama Magufuli alishindwa, Samia ataweza kweli?
Nimeumia sana, hii nchi ndoo ilivo hivi!!!
Very sad story
Hii ndiyo ishara ya serikali ya kiovu na shetani. Yaani viongozi wa taasisi za serikali wanaotakiwa kuhudumia watu/wananchi kwa uaminifu, wao ndiyo wamegeuka kuwa mbwa mwitu
Aliesema serikalini/ ikulu kuna ibilisi kumbe hakukosea
kumbe tangu 2016 jamaa haja lipwa daah asee yani kuidai serikali ni kazi ngumu
Aubu mno Kwa Serikali huu ni uhuni sana Kwa mamlaka za Serikali hasa hasa Kesho la Polisi wao ni kuthibiti wanasiasa na maandamano tu!maskini nchi yetu wapi inakwendaaaa?
Daa kweli ni vigumu sana kuiona pepo
Wanashindwa kukulipa kwasababu wewe ni mtanzania hii nchi inawajali wazungu 2
Nitafurahi Mimi siku nikiona huyu jamaa ameshughulikiwa shida yake
Pole Sana shemeji yangu
Masha allah pole bro
Mama Samia jaman mh ni mama ws uhuruma, bila shaka umeona watu wako wanavyo tutesa haki yako jitihada zako za utafutaji zinaweza kukupoteza mtu, ukiwa unajitihada ujikwamue na umaskin kosa ukiwa zembe kosa ukiwa jambazi kosa twende wapi Msma Samia ss wanyonge ndy wspuga kula tunashinda juan kwenye folen kwenxe kampen ila tunayolipwa mwisho wa ck mh acha tu.
Inamaana huyu baba hajalipwa hadi leo kweli nimeumia sana tz mbona kimya hiiki ni kibaya sana đą
Yawezekama kabisa baada ya Rais kufariki hii pesa imeshapigwa na wajanja na kudai imeshalipwa. TAKUKURU na TISS hiki kibarua chenu. Haiwezekani amri ya Rais ipuuzwe na watu wa chini. Ninyi ni walinzi wa nchi mnajua wazi nn amri ya Rais
dah hii story bado ipo, hii serikali hebu wapeni watu haki zao mnajirusha tu watu wanateseka
Sasa kaka ramadhani nafikiri ungerudi kwenye albadili tu hapa , ungewasomea wote , maana naeaza kwa jinsi ulivyo na hekima , subira na uungwan a bado hawaelewi
TRA mbonanitaasisi yaserikali hamunahofu ya Mungu walakiongozi yoyote walawananchi hamuwaheshimu?wenginisauti yamungu huyojamaa Haoni imuhimuwa wakuzaliwaTanzaniatena.
Hivi Lukuvi Kama alivyoaminiwa na Rais kuwa ikulu uhozo huu atsumaliza ?!!Kuna shida nchi hii
Duu uyu mwamba ,anajua kuitafuta haki yake
Pole sana. Ila Tanzania aibu.mzee ramazani samia ndo wale wale kuwa makini usije ukauwawa
Roho hii ipumzike kwa Amani.kuna mengi yaliyopelekea kujimaliza
Kazi unayo kazi unayo kweli kweli mzee
machozi haya yawanyonge yataishia wapi watanzania naninani ataewatetea wanyonge hawa Ee mwenyenzi mungu tusaidie sisi tuliowaamini viongozi hawa wanaotudhulumu haki zetu na kutaka kutuangamiza polee sana kaka ila naamini wakati wa mungu utafika wakufutwa machozi km mpka sasa upo salama na kutupa shuda hii mwenyenzi mungu aendeelee kukulinda kwa ukuu wake đđđđđđđđđđđđđââïžđââïžđââïž
Pole baba auja malizatu mgogolo wako toka kipindi cha magu pole bb
Daaah.nilifikir ulishapata haki yako kaka kumb bad.mi cn cha kukusaidia zaid ya pole sana
darasa la saba hoyeee na huyu jamaa apatiwe PHD
Bado tu hawajakulipa???
Dahh inaskitisha sana hii ndio tanzania
UTASHINDA,MUNGU HAKUACHI
Hatari
đđđđ
Ila mungu hakwenda likizo haki Yako ipo juu
Mungu akusaidie dhidi ya uovu wote.
Duh! Hatari sana.
Sasa nauliza kazi ya IGP SIRO nini? Bora hata angejiuzuru
Imekula kwa mtu
Pole baba munngu yupo watakulipa
Hakika mwenyezimungu hashindwi na lolote na nyote mliohusika dhulma hima ya pesa au fitna wallah Allah atawaadhibu hapa hapa duniani mtaungua hapa dunia na mbingu hamtaiona .mnyonge mnyongen lin haki yake mpeni
Masikini uyu kaka ameteseka sana, mimi ndio maana naogopa kufanya Biashara Tanzania, Wanaweza kukuua kwakweli hawa serikali ya Tanzania, yani nakupongeza kwakutokata tamaa, ila mimi ningeshachoka ningewasomea Albadir wahusika wote, tuone sasa hizo dhulma watazifanyia wapi nyambafu hawa, yani Mimi naichukia sana Serikali ya Tanzania. đą
Aisee kumbe serikali inamambo mengi hivi. Kweli haki tutaipata mbinguni tu.
Echt schadeđ€đđđ
Pole sana lakini utapata
Kama Samia na Waziri Mkuu wangekuwa na haja ya kukulipa wangekuwa wamefanya. Ungekywa muwekezaji ungetetewa vilivyo.
Jaman why mzee uyu bado ansumbuliwa na haki yake waziri mkuu na rais mama samia ntawarahumu kweli
Mhh huyu baba bado hajalipwaga kweli? Ni heri aende kwa Samia.
Hiki ni kitu kibaya sana. Rais Samia liangalie hili. Siamini kama kuna dhulma kubwa kiasi hiki nchi hii.
Apewe haki yake jamani mbona mambo yapo wazi? Majaliwa yuko wapi? Mpango yuko wapi? Ndunguru yuko wapi....
Nenda kwa mwigulu moja kwa moja.
Hata huyo atamdai cha juu.
Wote hao ni wamoja, aliesema serikalini kuna ibilisi hakukosea
Hivi nyie wafanyabiashara mtalia mpaka lini, dayeni katiba mpya, matatizo yataisha
Wewe nae katiba mpya ndio itamlipa jiangalie usije ukawa umesoma ila huna akili
Mtu anangea cha muhimu kulipwa haki zake mataila mengine yanaleta upumbavu wake fala sana
@@rusobapasikal2944 Ina maana katiba iliyopo inaruhusu mtu kudhulumiwa? Au hiyo katiba itazuia Nini kudhulumiwa
Mzee baba, hapo Kaz IPO, tyr tupo utawala mwingine, lkn duuuuh inauma saaana.
Mwenye kujali wananchi wake amesha tutoka tumerudi kulekule kwa mafisadi alisema mtanikumbuka kwa mari sasa ndo tumeanza kukumbuka
Yeye huyo Mzee wenu ndio aliebariki vitendo hivi vya kiharamia kwa kukusanya kodi kwa kutumia task force..
Msimtetee yeye kwenye utawala wake wafanyabiashara wakubwa walichukuliwa pesa zao kinyume cha sheria na wengine hadi kufilisiwa mali zao..
Ila siku zote haki ya MTU haipotei ila inacheleweshwa tu..
uyo mzee kesi yake hinahendeleyaye
Nenda kwa mama Samia atakusaindia
Mzee kwanini upate taabu. Si uishtaki TRA kwa kesi la kosa la kufuata maagizo ya Rais magufuli aliposema fidia itekelezwe. Wajua kumewekwa mahakama kwa hali kama hio ya dhulma
Huyu mzee amedhulumiwa kupita kiasi. Yaani hakuna katika wakuu serikalini anae ona udhalimu huu? Aliesema serikalini/ikulu kuna ibilisi hakukosea
Ccm mbele kwa mbele đđđ
Oh Gott huruma kubwa sana kwa Mfanya Biashara alizungushwa kwa nchia za Utapeli na hatari sana katika Maisha yake Utapeli kama huu ni kila mahali katika Dunia nzima na haya yote anayosimulia ni Utapeli natoa pole hayo yalikuwa maneno ya udanganyifu jamani tusimwamini kila Mungu pekee
Sasa huu ni upuuzi unahabarisha Nini mnatoa sauti
Watakuua mxee hao kama serikali haikujali achananao tu
Jamaaa anaofu na kifo đđ đ
Kufa wewe
Bora tukaibe tu haki Haina haki
Kaka cjui!
Yaani Lukuvi ahanze na Malipo ya mtani wangu muhaya huyu .
Mali ulitafuta na Mungu mwema bado una uhai achana na utawala huu usije ukapoteza uhai wako. Labda hata pesa imeisha lipwa na wamezopiga tayari. Endelea na biashara zako mimi nakuambia achana na utawala huu usije ukafa na kuacha familia yako. Sijui kama unaiamini serikali hii na CCM yao. Kwa nini wameachana wangekulipa kama Magufuli angaishi. Lakini kwa hali ilivyo Endelea na biashara zako. Mali unazitafuta na tunaziacha hapa hapa. Ndugu yetu mwombe Mungu akuepushe na hawa watu.
Hii nchi Bora uwe maskin tyuu
Umeoneeee
Utawala uliopita wafanyabiashara wa kariakoo waliumia sana kwa hawa jamaa wa TRA..
System ile ya task force kwenye kukusanya kodi ilikua na matendo ya uovu sana kwa wafanyabiashara..
Mungu atakusaidia brother, haki hua haipotei ila hua inacheleweshwa tu..
Nimeangalia humu nimeona watu wengi wanamihemko Wala hawajui hii kesi imeanza lini rejeeni nyuma jamaa alisha lalama enzi ya magufuri na waziri mkuu majaliwa na wala hakupata haki zake kwa kifupi walishindwa huo ndio ukweli huu mwndelezo tu anatafuta uruma ya mama labda anaweza akapata msaada wa haki yake
Huyu jomba nizaid ya mtu mwenye PhD
Pole sana mijizi hipo mingi TRA pambana utapata haki yako mungu mwema
Mungu huweka watu wake duniani kwa makusudi
TRA nani alikuwa anayajua madudu yao
Wezi kabisa.
ungejifikiria tu mzehe wale waliounguliwa bidhaa kariakoo walilipwa ? yaani angekuwa maghufuli yupo wangelipwa hata kidogo ila kwa huyo unaesema mavazi yake ya khof unajidanganya kabsa mavazi siyo nafsi ya mtu we baba ungekuwa na akili ungekaa kimya nakuwa unamshitakia Mungu kilasiku kwa dhulma waliokufanyia hao tra nasio hivo unavitumia gharama kwa sasahiv hakuna mlipaji wala mwenye huruma na watanzania hakuna katika rais wa sasa anashindwa kuonea huruma wanamke winzie na watoto wadogo wanalala njaa akuhurumie we unakuja vizur yaani kuna wafrica wajinga jamani awen mavazi yake ya huruma pole sana asee baba acha kumaliza pesa kwa kufatilia kitu hujui utakipata idha lah na mavazi ya mtu yasikudanganye ukamuwamin nandio atekumaliza shaur zako unaonekana mjanja kumbe huna ufahamu đđwamama wa kariakoo wanalia hajawalipwa aje akulipe weye ?
Hii nchi niyakijinga sana
Serikali watu wa dili
Ccm oyeee maana ccm ni watu wa haki
Magufuli hakulipa? Dunia hii ni wajanja watupu
Hili swala Magufuli alitoa maelekezo kwa waziri mkuu majaliwa ili jamaa alipwe pesa yake so alaumiwe majaliwa siyo Magufuli.
Mi mwenyewe naidai serikali kwenye marimbikizo ya mishahara toka 2015, na magufuri alikuwa anasema amewalipa watumishi wote wanaodai, mpaka Leo sijalipwa Kama walitangaza wamelipwa tutalipwa kweli?hakuna rais aliekuwa anadanganya kwenye haki za watu Kama magufuri
@@hadijamandanje6189 wewe endelea kudai utalipwa tu.
@@verdianabanabi5943 Sina hakika ya kulipwa tatizo alitangaza rais na waziri mkuu kuwa wanaodai wote tumewalipa
@@hadijamandanje6189 Hilo ni kweli Dada yangu, wakati wa utawala wake hela za watumishi za malimbikizo yao alikua anajisifia kua wamewalipa watumishi ilhali hakuna anaelipwa..
Hao wafanyabiashara hasa wa Kariakoo ndio waliumia zaid kwa mfumo wake alokuja nao wa task force kwenye TRA..
Mungu mkubwa sana, aliona kama hali za wanaodhulumiwa kwenye biashara zao imezid kapitisha rehma zake utawala umeondoka..
Me naamini haki ya kila MTU haipotei ila hua inacheleweshwa tu..
MAGUFULI alisema ulipwe.
Uyo mwamba alifaa kuwa waziri