MFANYABIASHARA KARIAKOO AFUNGUKA MAZITO AMUANGUKIA RAIS SAMIA AMSAIDIE ALIPWE FEDHA ZAKE

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 10. 01. 2022
  • MFANYABIASHARA KARIAKOO AFUNGUKA MAZITO AMUANGUKIA RAIS SAMIA AMSAIDIE ALIPWE FEDHA ZAKE
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
    🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáƙe • 123

  • @BonifaceSambo-ze6jh
    @BonifaceSambo-ze6jh Pƙed rokem +4

    Daa,story ndefu nzuri tena ni ya uhalisia na ukweli tena imehusisha marais wa inchi na mawaziri na viongozi mbalimbali, kwanza nakupapole pia nakupongeza,ushauli wangu mungu ananjia nyingi, wewe sasa andaa kitabu kiitwacho njia za kufanikiwa kuwa tajili,ili uanzie hapo na mungu atakufanikisha tu ukimwamini.

  • @isaiahmwasonzwe2486
    @isaiahmwasonzwe2486 Pƙed 2 lety +8

    Pole sana Mzee wangu Kwa mazito unayopitia

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 Pƙed 2 lety +12

    Haki kwa Mungu tu hakuna kwingine

  • @mulebyamatoke3493
    @mulebyamatoke3493 Pƙed rokem +2

    Ewe Mwenyezi Mungu unayesikia na kuona dhuruma Kwa huyu mja wako basi ziguze nafsi za wote walioshiriki na kuikandamiza hii nafsi ulipize kisasi juu Yao.Make sisi tukilipiza tutalipa zaidi Amina.

  • @florameza1028
    @florameza1028 Pƙed 2 lety +7

    Hapo ndio tunamkumbuka JPM watu walifanyakazi sasa hivi wamelala mfani leo kitunda hakuna umeme kuanzia saa 6 mpaka sasa saa 2 usiku wakati enzi za JPM umeme haukukatika

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 Pƙed 4 měsĂ­ci +1

    Allah akbar kabiira alhamdulillah kabiira wasubhanna LLAH bukratan waaswira.a

  • @anytime5685
    @anytime5685 Pƙed 2 lety +3

    Mungu akussidie mz siku moja yatakwisha tu
    Weka imani yako kwa MUNGU

  • @fredmbossa
    @fredmbossa Pƙed 2 lety +4

    Ukiwa tajiri shida ukiwa maskini shida ,,,,kama Mzee halipwi ni Bora awekwe wazi ili aanze safari upya na maisha mapya ,,kuishi na stress ni sumu kubwa sana,,,

  • @winniejeremiah645
    @winniejeremiah645 Pƙed 2 lety +7

    😭😭😭😭😭 nasikitita sana kuoyaona haya kwa mtanzania halali aliepambana kwa jasho lake nakusimama kwa tabu leo hii anadhulumiwa Mali zake na serikali hii hii ya Tanzania nasijajua huu uzalendo na amani ya nchi iko wapi kwa wafanyabiashara ambao wanaiingizia kipato kikubwa nchi hii badala yakuwa marafiki mmewageuza kuwa maadui wenu wakubwa nasikitika sana kwa haya mtu kudai haki yake nakuishia kumwinda kama paka mwizi 😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @samiahmlimanzila6406
    @samiahmlimanzila6406 Pƙed rokem +1

    Pole sana mzee baba nikuombe. Kitu sasa imevunjika vywa kutosha chakukushauri hebu geukia upande wa pili imani upande wa dini iweke pembeni orodhesha majina yote yawatu walio kuzungusha ktk haki yako ili uachie kombora usiue mtu bali achilia gonjwa matata litakalo walaza kitandani wote lile la ukerewe mtu anaoza. Huku anajionađŸ€žđŸ€žđŸ€ž

  • @oman7710
    @oman7710 Pƙed 2 lety +4

    Mungu akufanyie wepesi upate haki zako

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Pƙed 2 lety +5

    Mama samia, huyu mtu alipwe pesa zake, na waliokuwepo tra washtakiwe wizi wakubwa

  • @Mku-wa-waku1
    @Mku-wa-waku1 Pƙed 2 lety +4

    Mungu ibariki Tanzania, wizi mbele, maendeo nyuma.

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 Pƙed 2 lety +3

    Mungu akubarikie zaidi Maa Shaa Allah unazo kumbukumbu nzuri saaana hongera saaana

  • @dorky6483
    @dorky6483 Pƙed rokem +2

    Duuuuuuuuuu!! Angekuwepo Mh na Dr John Joseph Pombe Magufuli mkombozi wa wanyonge heeeee!! Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.. Amini

  • @deusdeditmwombeki8837
    @deusdeditmwombeki8837 Pƙed 2 lety +4

    Jamani nchi imekwisha,mama Rais Samia musiookuwa makini nchi haipo wanakuzunguka na watakuangusha.

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Pƙed 2 lety +2

    Mh mtoa haki ni mungu pekeee ndio mtenda ha Sasa wewe ndugu unahangaishwa na pesa unayo je sisi makapuku ambao hatuna hata pakuanzia kumuita hata huyo mwandishi hakika mungu mungu mungu ndie mtenda haki kama unaamini mungu ndie mtetezi wako wewe na mtenda haki SEMA AMEN🙏

  • @deograciakashaigili5973
    @deograciakashaigili5973 Pƙed 2 lety +5

    Hao ndio Mwanasheria wetu. Wachache sana wanajielewa.

  • @azizamvungi6203
    @azizamvungi6203 Pƙed 2 lety +4

    jamani hata hamuogopi mwenyezi mungu,mtu haki yake kateseka kwakuitafuta mnataka kudhulum..muogopeni mwenyezi mungu,yaani mtawaibia watu mpaka lini?

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Pƙed 2 lety +5

    Hivi kwanini watu wa serikali wanalipwa mishahara kodi yetu, halafu munawaibia walipakodi?nachukia sana suala hili

  • @user-oh8hb2ow8u
    @user-oh8hb2ow8u Pƙed rokem +1

    Pole sana,mungu akujalie ufanikiwe jambo lako

  • @BonifaceSambo-ze6jh
    @BonifaceSambo-ze6jh Pƙed rokem +1

    Daaa na hicho kitabu nitakuwa mteja wako wa kwanza maana inaonyesha unavitu vizito kicwani mwako,story inavutia lakini wewe unaumia pole sana ndg yangu.

  • @jacobkibale4167
    @jacobkibale4167 Pƙed 2 lety +5

    Magufuli amekufa na haki zako zote zimekufa, pole sana.

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Pƙed 2 lety

      Hakuna kupepesa macho uyu unamwanini kua ni shujaa wako kwamba alichemka ndio mana mpaka leo jamaa analialia mika 3 imepita mpaka anakufa wap kama alitoa maagizo why akufatilia acha unafki mfatilie jamaa ndio utajua kuna watu walikua wanateseka na mwamba wenu alikuwepo

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 Pƙed 2 lety

      Hivi jamani kweli haki wapi? Wakati huyu mzee bado hajalipwa wahusika tuambieni inakopatikana kwani huyu mzee anazungushwa sana serikali ilimalize hili suala

  • @editchakoma1113
    @editchakoma1113 Pƙed rokem +2

    Magufuli was everything to his people

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 Pƙed 2 lety +3

    Hivi kama Magufuli alishindwa, Samia ataweza kweli?

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Pƙed 2 lety +4

    Nimeumia sana, hii nchi ndoo ilivo hivi!!!

  • @robathzingu1650
    @robathzingu1650 Pƙed 2 lety +6

    Very sad story
    Hii ndiyo ishara ya serikali ya kiovu na shetani. Yaani viongozi wa taasisi za serikali wanaotakiwa kuhudumia watu/wananchi kwa uaminifu, wao ndiyo wamegeuka kuwa mbwa mwitu

    • @oyay2821
      @oyay2821 Pƙed 2 lety

      Aliesema serikalini/ ikulu kuna ibilisi kumbe hakukosea

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Pƙed rokem +2

    kumbe tangu 2016 jamaa haja lipwa daah asee yani kuidai serikali ni kazi ngumu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Pƙed rokem +2

    Aubu mno Kwa Serikali huu ni uhuni sana Kwa mamlaka za Serikali hasa hasa Kesho la Polisi wao ni kuthibiti wanasiasa na maandamano tu!maskini nchi yetu wapi inakwendaaaa?

  • @paulinasteven6902
    @paulinasteven6902 Pƙed 2 lety +2

    Daa kweli ni vigumu sana kuiona pepo

  • @merrysangamerryaanga3498
    @merrysangamerryaanga3498 Pƙed 2 lety +4

    Wanashindwa kukulipa kwasababu wewe ni mtanzania hii nchi inawajali wazungu 2

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Pƙed rokem +2

    Nitafurahi Mimi siku nikiona huyu jamaa ameshughulikiwa shida yake

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 Pƙed 2 lety +2

    Pole Sana shemeji yangu

  • @user-bz2yc2td3c
    @user-bz2yc2td3c Pƙed 4 měsĂ­ci

    Masha allah pole bro

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 Pƙed 4 měsĂ­ci +1

    Mama Samia jaman mh ni mama ws uhuruma, bila shaka umeona watu wako wanavyo tutesa haki yako jitihada zako za utafutaji zinaweza kukupoteza mtu, ukiwa unajitihada ujikwamue na umaskin kosa ukiwa zembe kosa ukiwa jambazi kosa twende wapi Msma Samia ss wanyonge ndy wspuga kula tunashinda juan kwenye folen kwenxe kampen ila tunayolipwa mwisho wa ck mh acha tu.

  • @salhakristina9434
    @salhakristina9434 Pƙed 2 lety +2

    Inamaana huyu baba hajalipwa hadi leo kweli nimeumia sana tz mbona kimya hiiki ni kibaya sana 😱

  • @mordally
    @mordally Pƙed 2 lety +3

    Yawezekama kabisa baada ya Rais kufariki hii pesa imeshapigwa na wajanja na kudai imeshalipwa. TAKUKURU na TISS hiki kibarua chenu. Haiwezekani amri ya Rais ipuuzwe na watu wa chini. Ninyi ni walinzi wa nchi mnajua wazi nn amri ya Rais

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Pƙed 2 lety +3

    dah hii story bado ipo, hii serikali hebu wapeni watu haki zao mnajirusha tu watu wanateseka

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Pƙed rokem +1

    Sasa kaka ramadhani nafikiri ungerudi kwenye albadili tu hapa , ungewasomea wote , maana naeaza kwa jinsi ulivyo na hekima , subira na uungwan a bado hawaelewi

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Pƙed rokem +2

    TRA mbonanitaasisi yaserikali hamunahofu ya Mungu walakiongozi yoyote walawananchi hamuwaheshimu?wenginisauti yamungu huyojamaa Haoni imuhimuwa wakuzaliwaTanzaniatena.

  • @deusdeditmwombeki8837
    @deusdeditmwombeki8837 Pƙed 2 lety +2

    Hivi Lukuvi Kama alivyoaminiwa na Rais kuwa ikulu uhozo huu atsumaliza ?!!Kuna shida nchi hii

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Pƙed 2 lety +3

    Duu uyu mwamba ,anajua kuitafuta haki yake

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 Pƙed 2 lety +1

    Pole sana. Ila Tanzania aibu.mzee ramazani samia ndo wale wale kuwa makini usije ukauwawa

  • @davidkimaro1860
    @davidkimaro1860 Pƙed 4 měsĂ­ci +1

    Roho hii ipumzike kwa Amani.kuna mengi yaliyopelekea kujimaliza

  • @saidimussa8200
    @saidimussa8200 Pƙed 2 lety +1

    Kazi unayo kazi unayo kweli kweli mzee

  • @winniejeremiah645
    @winniejeremiah645 Pƙed 2 lety +1

    machozi haya yawanyonge yataishia wapi watanzania naninani ataewatetea wanyonge hawa Ee mwenyenzi mungu tusaidie sisi tuliowaamini viongozi hawa wanaotudhulumu haki zetu na kutaka kutuangamiza polee sana kaka ila naamini wakati wa mungu utafika wakufutwa machozi km mpka sasa upo salama na kutupa shuda hii mwenyenzi mungu aendeelee kukulinda kwa ukuu wake đŸ˜­đŸ˜­đŸ˜­đŸ˜­đŸ˜­đŸ˜­đŸ’”đŸ’”đŸ’”đŸ’”đŸ’”đŸ’”đŸ™†â€â™‚ïžđŸ™†â€â™‚ïžđŸ™†â€â™‚ïž

  • @zuhuraadinani8819
    @zuhuraadinani8819 Pƙed 2 lety +1

    Pole baba auja malizatu mgogolo wako toka kipindi cha magu pole bb

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 Pƙed 2 lety +1

    Daaah.nilifikir ulishapata haki yako kaka kumb bad.mi cn cha kukusaidia zaid ya pole sana

  • @maximillianpeter1287
    @maximillianpeter1287 Pƙed 2 lety +2

    darasa la saba hoyeee na huyu jamaa apatiwe PHD

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 Pƙed 2 lety +3

    Bado tu hawajakulipa???

  • @rehanijuma6910
    @rehanijuma6910 Pƙed 2 lety +1

    Dahh inaskitisha sana hii ndio tanzania

  • @dorahmavazi111
    @dorahmavazi111 Pƙed 2 lety +2

    UTASHINDA,MUNGU HAKUACHI

  • @adonaiinternationalministr3762

    Hatari

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Pƙed 2 lety

    👍🙏🙏🙏

  • @user-bz2yc2td3c
    @user-bz2yc2td3c Pƙed 4 měsĂ­ci

    Ila mungu hakwenda likizo haki Yako ipo juu

  • @jekoniafesto523
    @jekoniafesto523 Pƙed 2 lety

    Mungu akusaidie dhidi ya uovu wote.

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Pƙed rokem

    Duh! Hatari sana.

  • @msomiitanga5050
    @msomiitanga5050 Pƙed 2 lety +1

    Sasa nauliza kazi ya IGP SIRO nini? Bora hata angejiuzuru

  • @brunolwambano6752
    @brunolwambano6752 Pƙed 2 lety +2

    Imekula kwa mtu

  • @merrysangamerryaanga3498
    @merrysangamerryaanga3498 Pƙed 2 lety

    Pole baba munngu yupo watakulipa

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 Pƙed 4 měsĂ­ci +1

    Hakika mwenyezimungu hashindwi na lolote na nyote mliohusika dhulma hima ya pesa au fitna wallah Allah atawaadhibu hapa hapa duniani mtaungua hapa dunia na mbingu hamtaiona .mnyonge mnyongen lin haki yake mpeni

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Pƙed rokem

    Masikini uyu kaka ameteseka sana, mimi ndio maana naogopa kufanya Biashara Tanzania, Wanaweza kukuua kwakweli hawa serikali ya Tanzania, yani nakupongeza kwakutokata tamaa, ila mimi ningeshachoka ningewasomea Albadir wahusika wote, tuone sasa hizo dhulma watazifanyia wapi nyambafu hawa, yani Mimi naichukia sana Serikali ya Tanzania. 😱

  • @wilfredmoshi6507
    @wilfredmoshi6507 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Aisee kumbe serikali inamambo mengi hivi. Kweli haki tutaipata mbinguni tu.

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Pƙed 2 lety

    Echt schadeđŸ€”đŸ˜”đŸ˜”đŸ˜”

  • @victorkamala1571
    @victorkamala1571 Pƙed 2 lety

    Pole sana lakini utapata

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Kama Samia na Waziri Mkuu wangekuwa na haja ya kukulipa wangekuwa wamefanya. Ungekywa muwekezaji ungetetewa vilivyo.

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 Pƙed rokem

    Jaman why mzee uyu bado ansumbuliwa na haki yake waziri mkuu na rais mama samia ntawarahumu kweli

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 Pƙed 2 lety

    Mhh huyu baba bado hajalipwaga kweli? Ni heri aende kwa Samia.

  • @humphreymwihambi4330
    @humphreymwihambi4330 Pƙed 2 lety

    Hiki ni kitu kibaya sana. Rais Samia liangalie hili. Siamini kama kuna dhulma kubwa kiasi hiki nchi hii.

  • @linacedon8492
    @linacedon8492 Pƙed 2 lety

    Apewe haki yake jamani mbona mambo yapo wazi? Majaliwa yuko wapi? Mpango yuko wapi? Ndunguru yuko wapi....

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Pƙed 2 lety +1

    Nenda kwa mwigulu moja kwa moja.

    • @verdianabanabi5943
      @verdianabanabi5943 Pƙed 2 lety

      Hata huyo atamdai cha juu.

    • @oyay2821
      @oyay2821 Pƙed 2 lety

      Wote hao ni wamoja, aliesema serikalini kuna ibilisi hakukosea

  • @chidjosh6056
    @chidjosh6056 Pƙed 2 lety +3

    Hivi nyie wafanyabiashara mtalia mpaka lini, dayeni katiba mpya, matatizo yataisha

    • @alexanderdustan8872
      @alexanderdustan8872 Pƙed 2 lety

      Wewe nae katiba mpya ndio itamlipa jiangalie usije ukawa umesoma ila huna akili

    • @rusobapasikal2944
      @rusobapasikal2944 Pƙed 2 lety

      Mtu anangea cha muhimu kulipwa haki zake mataila mengine yanaleta upumbavu wake fala sana

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Pƙed 2 lety

      @@rusobapasikal2944 Ina maana katiba iliyopo inaruhusu mtu kudhulumiwa? Au hiyo katiba itazuia Nini kudhulumiwa

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 Pƙed 2 lety

    Mzee baba, hapo Kaz IPO, tyr tupo utawala mwingine, lkn duuuuh inauma saaana.

  • @rusobapasikal2944
    @rusobapasikal2944 Pƙed 2 lety +4

    Mwenye kujali wananchi wake amesha tutoka tumerudi kulekule kwa mafisadi alisema mtanikumbuka kwa mari sasa ndo tumeanza kukumbuka

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Pƙed 2 lety

      Yeye huyo Mzee wenu ndio aliebariki vitendo hivi vya kiharamia kwa kukusanya kodi kwa kutumia task force..
      Msimtetee yeye kwenye utawala wake wafanyabiashara wakubwa walichukuliwa pesa zao kinyume cha sheria na wengine hadi kufilisiwa mali zao..
      Ila siku zote haki ya MTU haipotei ila inacheleweshwa tu..

  • @fbfabien4709
    @fbfabien4709 Pƙed rokem

    uyo mzee kesi yake hinahendeleyaye

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Pƙed rokem

    Nenda kwa mama Samia atakusaindia

  • @alwyjahdhamy8094
    @alwyjahdhamy8094 Pƙed 10 měsĂ­ci

    Mzee kwanini upate taabu. Si uishtaki TRA kwa kesi la kosa la kufuata maagizo ya Rais magufuli aliposema fidia itekelezwe. Wajua kumewekwa mahakama kwa hali kama hio ya dhulma

  • @oyay2821
    @oyay2821 Pƙed 2 lety

    Huyu mzee amedhulumiwa kupita kiasi. Yaani hakuna katika wakuu serikalini anae ona udhalimu huu? Aliesema serikalini/ikulu kuna ibilisi hakukosea

  • @jojikeneth9024
    @jojikeneth9024 Pƙed rokem

    Ccm mbele kwa mbele 😁😁😁

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Oh Gott huruma kubwa sana kwa Mfanya Biashara alizungushwa kwa nchia za Utapeli na hatari sana katika Maisha yake Utapeli kama huu ni kila mahali katika Dunia nzima na haya yote anayosimulia ni Utapeli natoa pole hayo yalikuwa maneno ya udanganyifu jamani tusimwamini kila Mungu pekee

  • @daudiwambura1675
    @daudiwambura1675 Pƙed 2 lety

    Sasa huu ni upuuzi unahabarisha Nini mnatoa sauti

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Pƙed rokem

    Watakuua mxee hao kama serikali haikujali achananao tu

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Pƙed rokem

    Jamaaa anaofu na kifo 😆😅😅

  • @marahumarwa281
    @marahumarwa281 Pƙed rokem

    Bora tukaibe tu haki Haina haki

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Pƙed rokem

    Kaka cjui!

  • @deusdeditmwombeki8837
    @deusdeditmwombeki8837 Pƙed 2 lety

    Yaani Lukuvi ahanze na Malipo ya mtani wangu muhaya huyu .

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Mali ulitafuta na Mungu mwema bado una uhai achana na utawala huu usije ukapoteza uhai wako. Labda hata pesa imeisha lipwa na wamezopiga tayari. Endelea na biashara zako mimi nakuambia achana na utawala huu usije ukafa na kuacha familia yako. Sijui kama unaiamini serikali hii na CCM yao. Kwa nini wameachana wangekulipa kama Magufuli angaishi. Lakini kwa hali ilivyo Endelea na biashara zako. Mali unazitafuta na tunaziacha hapa hapa. Ndugu yetu mwombe Mungu akuepushe na hawa watu.

  • @imanho_tza9895
    @imanho_tza9895 Pƙed 2 lety +3

    Hii nchi Bora uwe maskin tyuu

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 Pƙed 2 lety

      Umeoneeee

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Pƙed 2 lety

      Utawala uliopita wafanyabiashara wa kariakoo waliumia sana kwa hawa jamaa wa TRA..
      System ile ya task force kwenye kukusanya kodi ilikua na matendo ya uovu sana kwa wafanyabiashara..
      Mungu atakusaidia brother, haki hua haipotei ila hua inacheleweshwa tu..

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 Pƙed 2 lety +1

    Nimeangalia humu nimeona watu wengi wanamihemko Wala hawajui hii kesi imeanza lini rejeeni nyuma jamaa alisha lalama enzi ya magufuri na waziri mkuu majaliwa na wala hakupata haki zake kwa kifupi walishindwa huo ndio ukweli huu mwndelezo tu anatafuta uruma ya mama labda anaweza akapata msaada wa haki yake

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 Pƙed 2 lety +4

    Huyu jomba nizaid ya mtu mwenye PhD

    • @swedihaji5383
      @swedihaji5383 Pƙed 2 lety

      Pole sana mijizi hipo mingi TRA pambana utapata haki yako mungu mwema

  • @erastongonde5121
    @erastongonde5121 Pƙed 2 lety +1

    Mungu huweka watu wake duniani kwa makusudi
    TRA nani alikuwa anayajua madudu yao
    Wezi kabisa.

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    ungejifikiria tu mzehe wale waliounguliwa bidhaa kariakoo walilipwa ? yaani angekuwa maghufuli yupo wangelipwa hata kidogo ila kwa huyo unaesema mavazi yake ya khof unajidanganya kabsa mavazi siyo nafsi ya mtu we baba ungekuwa na akili ungekaa kimya nakuwa unamshitakia Mungu kilasiku kwa dhulma waliokufanyia hao tra nasio hivo unavitumia gharama kwa sasahiv hakuna mlipaji wala mwenye huruma na watanzania hakuna katika rais wa sasa anashindwa kuonea huruma wanamke winzie na watoto wadogo wanalala njaa akuhurumie we unakuja vizur yaani kuna wafrica wajinga jamani awen mavazi yake ya huruma pole sana asee baba acha kumaliza pesa kwa kufatilia kitu hujui utakipata idha lah na mavazi ya mtu yasikudanganye ukamuwamin nandio atekumaliza shaur zako unaonekana mjanja kumbe huna ufahamu 😏😏wamama wa kariakoo wanalia hajawalipwa aje akulipe weye ?

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 Pƙed 2 lety

    Hii nchi niyakijinga sana

  • @jojikeneth9024
    @jojikeneth9024 Pƙed rokem

    Serikali watu wa dili

  • @yakoubmzee1492
    @yakoubmzee1492 Pƙed 2 lety

    Ccm oyeee maana ccm ni watu wa haki

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 Pƙed 2 lety

    Magufuli hakulipa? Dunia hii ni wajanja watupu

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 Pƙed 2 lety +1

      Hili swala Magufuli alitoa maelekezo kwa waziri mkuu majaliwa ili jamaa alipwe pesa yake so alaumiwe majaliwa siyo Magufuli.

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Pƙed 2 lety

      Mi mwenyewe naidai serikali kwenye marimbikizo ya mishahara toka 2015, na magufuri alikuwa anasema amewalipa watumishi wote wanaodai, mpaka Leo sijalipwa Kama walitangaza wamelipwa tutalipwa kweli?hakuna rais aliekuwa anadanganya kwenye haki za watu Kama magufuri

    • @verdianabanabi5943
      @verdianabanabi5943 Pƙed 2 lety

      @@hadijamandanje6189 wewe endelea kudai utalipwa tu.

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Pƙed 2 lety

      @@verdianabanabi5943 Sina hakika ya kulipwa tatizo alitangaza rais na waziri mkuu kuwa wanaodai wote tumewalipa

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Pƙed 2 lety

      @@hadijamandanje6189 Hilo ni kweli Dada yangu, wakati wa utawala wake hela za watumishi za malimbikizo yao alikua anajisifia kua wamewalipa watumishi ilhali hakuna anaelipwa..
      Hao wafanyabiashara hasa wa Kariakoo ndio waliumia zaid kwa mfumo wake alokuja nao wa task force kwenye TRA..
      Mungu mkubwa sana, aliona kama hali za wanaodhulumiwa kwenye biashara zao imezid kapitisha rehma zake utawala umeondoka..
      Me naamini haki ya kila MTU haipotei ila hua inacheleweshwa tu..

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman7892 Pƙed 2 lety +1

    MAGUFULI alisema ulipwe.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Pƙed 2 lety +1

    Uyo mwamba alifaa kuwa waziri