Live:Dkt. MPANGO ALIVYOHEMEWA NA SHANGWE LA WANAWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 03. 2024
  • Leo Jumamosi Machi 9, Makamu wa Rais Dkt. Phillip Isidori Mpango ameshiriki Kongamano la wanawake kuhusu nishati safi ya kupikia lililofanyika jijini Dodoma na kuhudhuriwa pia na naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko katika ukumbi wa mikutano wa JAKAYA KIKWETE
    Fuatana nasi hapa kushuhudia namna Makamu wa Rais Mpango alivyoeleza namna alivyohemewa

Komentáře • 2