MSTAAFU KARUME AFICHUA - "MAALIM SEIF ALINIOMBA MSAMAHA, AKANITAJI WANA CCM WANAONISEMA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • MSTAAFU KARUME AFICHUA - "MAALIM SEIF ALINIOMBA MSAMAHA, AKANITAJI WANA CCM WANAONISEMA"
    Rais mstaafu wa Zanzibar, Amani Karume, ameshiriki katika Mkutano wa Kumbukumbu ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 25

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety +7

    Kama walivyomusingizia Hayati Magufuli. A katukanwa, akasingiziwa, kila mtu CCM kimya. Mtu aliyewasafishia chama chako, , na kuwatengenezea uchumi na kuwanunulia ndege, leo wanazipanda huku wakimutukana. Binaadamu bwana ogopa. Lala salaama baba Magufuli umepumuzika wanyonge uliokuwa ukiwaterea moto wana uone. Wanakulilia na wanakukumbuka. Yote uliyokuwa ukiyasema kweli tupu. Hayo uliyokuwa ukiyafanya hakuna mwingine anayeweza kuyafanya. .

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 2 lety +3

    Sifa zote hizo Wapemba wanajisikiaje wakati wote wa uhali wa Mzee Maalim Seif waliempenda na kumfuata? Hongereni kumuenzi. Umoja wa Zanzibar ni mkubwa kuliko Mzanzibar mmoja moja.

  • @arafahashi5043
    @arafahashi5043 Před 2 lety +5

    Seif Hamad dedicated his whole life to Zanzibar. A good & humble human being.
    May Allah reward him with Jannah. Amin

    • @jamaaladam6821
      @jamaaladam6821 Před 2 lety +1

      Allaahumma Aamiyn
      Allaahumma Aamiyn
      Allaahumma Aamiyn

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 2 lety +3

    Kufa usifiwa 🤔🤔 pumzika kwa amani Maalim

  • @hajiabdalla770
    @hajiabdalla770 Před 2 lety

    Global tv on line , muko vzr tena matangazo yenu yanatoka bila chenga

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 2 lety +2

    Kweli unafiki ndo unaotafuna watanzania na maendeleo yanakwama

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 2 lety

    🙏🙏

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před 5 měsíci

    Kwa kujisifu uyu Babu uyu

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Před 2 lety

    ♥️

  • @mwajumashauri9674
    @mwajumashauri9674 Před 2 lety +3

    ukifa ndio sifa zako niaonekana

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 Před 2 lety +2

    Dahh Dunia inakwenda mbio unatoa Siri yamarehemu unaficha Siri ya aliehai 😁😀😁😀

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před 2 lety +2

      😂😂😂😂Hao ndo binadamù

    • @sadikidaudi1223
      @sadikidaudi1223 Před 2 lety

      @@khadijahali4837 Tunajifunza mengi kupitia wanadamu yaani ukifa takataka zote zitakua zako sasa anahabari yawatu ambao wapo hai anasema amewastahi nasubilia wafe awaaibishe

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před 2 lety +1

      @@sadikidaudi1223 hana lolote hy nae mnafiki tuu

  • @thanimosi8906
    @thanimosi8906 Před 5 měsíci

    Mh Karume hyo ndo zambi ya uongo tu imeendelea walikusingizia basi na hao alokutajia ni uongo pia hatambui km walitaka kujikosha tu na huyo Jussa ndo tabia yake hadi sasa anamsingizia Mh Rais wa Zanzibar na kumtolea jeuri majukwaani

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 2 lety +1

    "Mimi pia mtoto wa mjini" Wazee wa busara na hekims. Mungu awajali maisha marefu.

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 Před 2 lety

    Amani yupo vizur

  • @mwigaadam9076
    @mwigaadam9076 Před 2 lety

    Waliijuwa na wanaijuwa haki lakini bado wanafanya dhambi ishara ya watu walio pigwa muhuri wa motoni ktk nyuso zao hutubia mchana usiku wakatenda dhambi palepale. Tubuni toba ya kweli na mungu atawapokea.

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před 2 lety

    Leo haongei amekufa mna msingizia Maalim Seif

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před 2 lety

    Maalim Seif amesha enda peponi je wewe utaenda wapi ?

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 Před 2 lety

    Kisa kafa ndiyo mnaongea unafiki mwacheni Maalim apumzike mnaona hawezi kuwajibu ndiyo mmeona mahalo hapo pa kumsingizia?

  • @tetiteti7127
    @tetiteti7127 Před 2 lety

    Wanajisafisha tu hao ni uongo mtupu mbona haja wahi kusema kipindi yupo hapo. Hiyo ndo ccm

  • @luganomwambulutukutu5000

    Kitambo

  • @vuaiabdallah332
    @vuaiabdallah332 Před 2 lety

    Hukuyasema kipnd upo kwenye uongoz unayasema Leo ww mnafiki na hapo hutengezi ila unaboa