NIKO SINGLE, NIMEAMUA KUSEMA,HAKUA MTU SAHIHI :Bella kombo (Sauti therapy).

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 03. 2023

Komentáře • 40

  • @barnabazawadi9433

    Linapokuja suala la mwanamke kumtii mwanaume, wanawake wanakuja juu kwamba huo ni utumwa. Na linapokuja suala la mwanaume kumpenda mwanamke, wanaume nao wanakuja juu!! Usipompenda mke itakuwa vigumu kwake kukutii! Mwanamke yuko china yako, wewe ndo unatakiwa uoneshe upendo kwake kwanza na bila kutazamia chochote kutoka kwake. Hapa ndio kuna mgogoro mkubwa!

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Před rokem +6

    Bella, don't feel proudly to mention you're single. Kwa watu wa MUNGU sio kitu kuzuri, lkn pia inaondoa utukufu, sijaelewa Kwa nini unaeleza kitu kibaya lkn in a good way, 😭😭, nilikuwa nasikia utukufu ndani Yako lkn Sasa nasikia uzuni, unapoteza ushuuda na nguvu za MUNGU pia

  • @heavensent2526

    Kuna kitu kiko nyma ya waimbaji kwani Wakisha anza kuimba gospel wanakosana na waume zao something is wrong in the realm of spirit

  • @fadhilibarnabas3438
    @fadhilibarnabas3438 Před rokem +2

    Daaa!! Why gospel singers, pole saana dada . Mungu akusaidie ufike alipokupangia. But naumia saana hii kwa waimbaji asilimia 90 ni hivyo.

  • @DaimonMwapelele

    Mashetan wanawamaliza wanawake wanaoim a nyimba za injil za kuzim pumbavu kabisa mnavaa kishenz kishenz pumbavu zenu nyie mnafanyoaa bongo move mwenyez mungu pumbavu kabisa umalaya

  • @josephmpanda306

    kama ilikuwa ndoa kweli natamani utengeneze na mwenzio, maana nafasi ya ndoa nyingine kibiblia inakosekana

  • @laurentraphael5470

    Huduma imevamiwa na waabudu mashetani.

  • @mercyetago4020

    Bora wasameheane na warudiane.

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Před rokem +1

    eti kazunguka ili apewe majibu kirahisi

  • @ezekielmichael9431

    Ni kwa nini wanawake wengi waimba injili wakitoka tu kimziki..,ndoa zao zinavunjika?

  • @tausimwinuka

    Iko spirit kwa hiyo Beba mzigo kwa ajili Yetu Tuombee sana kwa kweli 😢

  • @SamweliFelix-ij2pc

    Nahitaji kuonan na wew mm samwel

  • @stellarjovitas5473

    🧔:swali gani upendi?!

  • @upendojoseph7912
    @upendojoseph7912 Před rokem +1

    Ukutane na mtu sahihi dada bella wangu

  • @vincentonsomu8372

    Msameane na murudiane

  • @patricklaurent3741

    Bella mbona mkubwa hvyo hijaoa bado

  • @zuberimohamed43

    Kwani si hakunaga kuachana huko au??

  • @opukjaboda7839
    @opukjaboda7839 Před dnem

    I am a big fun from Kenya but this I can tell you without fear will bring you down. God hates divorce. go back to your man and submit before you preach to us. Dont let the devil take over you