Unakipaji...ila tu nikushauri tu kwa wema hayo mavazi...yakuvaa suruali...yatakuondolea utukufu japo kwa leo uko juu ila utashuka hutaamini...vaa vizuri kama mlokole...mimi sioni utofauti wako na mwinbaji wa bongofleva...
Yalishatabiriwa haya kwenye maandiko matakatifu kuwa manabii wa Uongo wengi watatokea siku za mwisho na kuwadanganya wengi hata walio WATAKATIFU. SO wasomao maandiko hatuyashangai hayo na wala hatudangangiki na hizo ROHO ZA MANABII WA UONGO
nashangaa wa2 wanamubishia huyu dada wakati sio wasanii yy anaonge coz kayapitia hayo ko walionielewa gong like twende pamoja
Unakipaji...ila tu nikushauri tu kwa wema hayo mavazi...yakuvaa suruali...yatakuondolea utukufu japo kwa leo uko juu ila utashuka hutaamini...vaa vizuri kama mlokole...mimi sioni utofauti wako na mwinbaji wa bongofleva...
Mungu wangu tupe mwongozo wako mfalme
Jamanii Bella,ila Mungu ni mwema.
Ni kweli dada. Jeki hizo ni bure tu.Bila Mungu sisi ni bure.
Hadanganyi nikweli kabisa
Pole sana nilazima kweli
With God everything is possible sio wote wanatumia madawa ni ujasiri na mungu
She is beautiful.
Amen! your story touched me
Ndio nasikia wasanii wengi wanavuta bangi na wengine nilikuwa nawaona
in God we trust
Part one iko wapi?
Hayo Masuruali tena yanakubana bado umeyavaa na matatoo bado umeyaacha mwilini.KWELI UNAHITAJI MSAADA WA KINA WA MAANDIKO YA MWENYEZI MUNGU
Dont judge any person are yuo perfect???
Wew Dada Nan alikwambi tatoo inafutika
ooooh pole Sana mpendwa Mungu akutie nguvu
Kufuu cha nazi
Kifuu cha nazi
Pole dear
Mungu akuongoze maana umepotea
kwani lazima mutumie kengele jamani, haya mapya
Mzur
Wewe dada nitafute nikwambie unachokosea serious very important
Dada muongo sana na uwache kuharibu kazi za watu kama wewe ulifanya ivyo ni wewe na utaahira wako acha kuchafua wasanii
God is real and works on different pple.
Sio wote wengine wana karama zao.
Ndio sio wote
Chizi Huyo dada
hio ni mambo yakimajini sio kuokoka walanini
Ila una bayondo ya nguvu.. my type..!
Kifuu cha Nazi nanyi.
Et watanzania hawajui kifuu ata mzungu aliekuwa amerik anajua😁😁
Eti nimelia
sio wote Dada labda pekeyako
Kabisa
Yupo sahihi 90%
Yalishatabiriwa haya kwenye maandiko matakatifu kuwa manabii wa Uongo wengi watatokea siku za mwisho na kuwadanganya wengi hata walio WATAKATIFU. SO wasomao maandiko hatuyashangai hayo na wala hatudangangiki na hizo ROHO ZA MANABII WA UONGO
Umeonaeeee
Kisuruali dada kinakuondolea utukufu ungevaa vazi la wokovu
Nkt acha ufala
acha uongo wako.
Muongo wewe
Muongo wewe sio wote. Labda wewe uko ulikokuwa sio kuzuri
Sitaki kukuamini maneno yako hata kidogo sio wotee wengine stimu nature akwendeeeeee ukoooo
Huyu dada ni muongo mbona kuna watoto wadogo wana mizuka na ndio kipaji na kipaji sio ulevi acha ujinga we dada
Hao watoto ni kina nani, Ckliza na tunia akili kuchambua kiongelewacho ,sawa
Kwa hiyo diamond atakuwa anatumia nn kupata mizuka!
Free. ....
Unga... Chunguza ndio mana hapati mwili
Fm
Cha Arusha
Muongo wewe usijifanye umeokoka