![Masanja TV](/img/default-banner.jpg)
- 1 775
- 20 487 558
Masanja TV
Tanzania
Registrace 11. 01. 2018
Karibu katika Kurasa Rasmi ya Masanja TV.
Ili Usipitwe na Habari Mbalimbali za GOSPEL hakikisha ume SUBSCRIBE katika Channel yetu.
Ili Usipitwe na Habari Mbalimbali za GOSPEL hakikisha ume SUBSCRIBE katika Channel yetu.
Video
MKUU WA MKOA WA DAR ATOA UFAFANUZI KUHUSU SGR NA SAFARI ZAKE
zhlédnutí 64Před 20 hodinami
MKUU WA MKOA WA DAR ATOA UFAFANUZI KUHUSU SGR NA SAFARI ZAKE
MKE WA KIBOKO YA WACHAWI AUNGANA NA MUME WAKE KUOMBA KWA RAIS SAMIA MARUDISHWE NCHINI
zhlédnutí 1,2KPřed 4 hodinami
MKE WA KIBOKO YA WACHAWI AUNGANA NA MUME WAKE KUOMBA KWA RAIS SAMIA MARUDISHWE NCHINI
KIBOKO YA WACHAWI AZUNGUZA KWA MARA YA KWANZA. NIMEFUKUZWA.
zhlédnutí 1,3KPřed 4 hodinami
KIBOKO YA WACHAWI AZUNGUZA KWA MARA YA KWANZA. NIMEFUKUZWA.
WACHUNGAJI WANAOGOPA KWENDA HOSPITALI SABABU WATAONEKANA HAWANA UPAKO
zhlédnutí 101Před 4 hodinami
TANGAZA NASI MASANJA TV. SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 czcams.com/channels/mKRCC5AXn1Hb0ClJx8iZ2w.html
YAISHI MAFUNDISHO YAKO
zhlédnutí 37Před 4 hodinami
TANGAZA NASI MASANJA TV. SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 czcams.com/channels/mKRCC5AXn1Hb0ClJx8iZ2w.html
SNURA WA MAJANGA: AMRUDIA MWEZI MUNGU ASEMA FUTENI VIDEO ZANGU ZOTE CHAFU
zhlédnutí 276Před 4 hodinami
SNURA WA MAJANGA: AMRUDIA MWEZI MUNGU ASEMA FUTENI VIDEO ZANGU ZOTE CHAFU
UPENDO NKONE HAJAKOSEA WAKRISTO ACHENI USHAMBA
zhlédnutí 170Před 7 hodinami
UPENDO NKONE HAJAKOSEA WAKRISTO ACHENI USHAMBA
CHIEF GODLOVE: NIMEFUNGUA KANISA LINAITWA THE REAL WORLD
zhlédnutí 412Před 9 hodinami
CHIEF GODLOVE: NIMEFUNGUA KANISA LINAITWA THE REAL WORLD
CHRISTINA SHUSHO: PAMOJA NA MAGUMU UNAYO YAPITIA AMINI YAKUWA MBELE KUNAKIVULI
zhlédnutí 472Před 9 hodinami
CHRISTINA SHUSHO: PAMOJA NA MAGUMU UNAYO YAPITIA AMINI YAKUWA MBELE KUNAKIVULI
MASANJA MKANDAMIZAJI APONGEZA MRADI WA SGR
zhlédnutí 688Před 9 hodinami
MASANJA MKANDAMIZAJI APONGEZA MRADI WA SGR
BEATRICE MUHONE: KENYA ITALAANI MUNGU AMENIONYESHA
zhlédnutí 114Před dnem
TANGAZA NASI MASANJA TV. SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 czcams.com/channels/mKRCC5AXn1Hb0ClJx8iZ2w.html
NABII APOOZA BAADA YA KUPIGA CHAFYA MASANJATV
zhlédnutí 2,4KPřed dnem
TUAWAOMBEE WATUMISHA WA MUNGU SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 czcams.com/channels/mKRCC5AXn1Hb0ClJx8iZ2w.html
MAYA KIDOTI APEWA ZAWADI YA DUKA NA MUME WAKE
zhlédnutí 248Před 14 dny
MAYA KIDOTI APEWA ZAWADI YA DUKA NA MUME WAKE
LEONARDO:NILTAKA KUJIUNGA FREEMASON.MAISHA YALINIPIGA#MASANJATV
zhlédnutí 189Před 14 dny
LEONARDO:NILTAKA KUJIUNGA FREEMASON.MAISHA YALINIPIGA#MASANJATV
UMASIKINI UNADHALILISHA: MASANJA MKANDAMIZAJI
zhlédnutí 159Před 14 dny
UMASIKINI UNADHALILISHA: MASANJA MKANDAMIZAJI
MASANJA: MABINTI MSIPENDE CHIPSI ZA OFA #masanjatv
zhlédnutí 126Před 14 dny
MASANJA: MABINTI MSIPENDE CHIPSI ZA OFA #masanjatv
WACHUNGAJI WAWAAMBIE WATOTO WAO UKWELI #MASANJATV
zhlédnutí 68Před 14 dny
WACHUNGAJI WAWAAMBIE WATOTO WAO UKWELI #MASANJATV
WATOTO WA WACHUNGAJI SIO WAHUNI #MASANJATV
zhlédnutí 61Před 14 dny
WATOTO WA WACHUNGAJI SIO WAHUNI #MASANJATV
NILISHAWAHI KUFA NA KUFUFUKA TENA #MASANJATV
zhlédnutí 88Před 14 dny
NILISHAWAHI KUFA NA KUFUFUKA TENA #MASANJATV
BABY MAMA: MASANJA NIKIUNGO MUHIMU KWENYE KIPINDI CHETU #MASANJATV
zhlédnutí 174Před 21 dnem
BABY MAMA: MASANJA NIKIUNGO MUHIMU KWENYE KIPINDI CHETU #MASANJATV
IREEN UWOYA: SIWEZI KUFANYA CHOCHOTE BILA KUOMBA#MASANJATV
zhlédnutí 309Před 21 dnem
IREEN UWOYA: SIWEZI KUFANYA CHOCHOTE BILA KUOMBA#MASANJATV
UTACHEKA MANENO YA BISHOP HANANJA KWA MASANJA#MASANJATV
zhlédnutí 8KPřed 21 dnem
UTACHEKA MANENO YA BISHOP HANANJA KWA MASANJA#MASANJATV
ASABWILE:GOODLUCK GOZBERT KANI BLOCK SIJUI KOSA LANGU NINI #MASANJATV
zhlédnutí 300Před 21 dnem
ASABWILE:GOODLUCK GOZBERT KANI BLOCK SIJUI KOSA LANGU NINI #MASANJATV
MASANJA: MCHEKESHAJI KUWA MCHUNGAJI #MASANJATV
zhlédnutí 399Před 21 dnem
MASANJA: MCHEKESHAJI KUWA MCHUNGAJI #MASANJATV
MASANJA: VIJANA KWENYE KUTONGOZA HAMJAMBO#MASANJATV
zhlédnutí 1KPřed 21 dnem
MASANJA: VIJANA KWENYE KUTONGOZA HAMJAMBO#MASANJATV
KAVISHE AFICHUA SIRI UKARIBU WA ZORAVO BELA KOMBO. #MASANJATV
zhlédnutí 116Před 28 dny
KAVISHE AFICHUA SIRI UKARIBU WA ZORAVO BELA KOMBO. #MASANJATV
Mungu nifumbue macho niyajue ya rohoni
Wewe dada mshenzi sana benda huko kwa tapeli wako ukaishi huko muombee vita iishe mke humfata mme nyambafu wewe pamoja na huyo mpaka mikorogo wa jiki😏😏😏😏😏
Mbona sasa hatuelewa iliishaje
Nenda zako huku kwetu hatuna huduma za hivyo
Chukua familia yako mbwa😅
Kwani hamuwez kwenda kusaidia watu kongo? Wachawi wapo uku Tz tu?
Naona wachawi mmefurah xana kuondok kwa nabii kiboko ya wachawi mmmmh!! mama uchaguzi umeanza ngoja watu walonge saaaaaana ndo watamludixha
Ungekuwa muwazi usingetoza hicho unachokifanya
Ushoga unamsumbua huyo
Mfate Congo mkalee popote Africa unaishi
Raisi hawezi kukusaidia kwa kuvunja sheria kichosaidia ni sheria
Akatazwi kurudi kuishi ila kufanya huduma chonganishi no
Nchi inaongozwa kisheria. Kama hajawahi kuhukumiwa wala kupewa onyo, arudi aje alee familia, halafu ashauriwe asirudie makosa. Kuteleza sio kuanguka. Congo ni jirani zetu na wanategemea sana bandari zetu. Kanisa alilolifia Kristo haliwezi kufungwa tukabaki salama
Hata kongo naamini wachawi wapo, bro kaendelee tu na huduma.
Hata kongo naamini wachawi wapo, bro kaendelee tu na huduma.
usirudi tene eti nitaangalia chupi ina rangi gani . we kibaka usirudi hatukutaki
Uyu alitakiwa kupigwa kama mwizi
we tapeli mkubwa
Mungu ata kufanyia wepes tu utarud maan weng wetu umetusaidia sana katika maish yetu
Mungu atafanya wepes achana na walimwengu ni watu tu
Hakuna asirudi huku kabsa.Amfate huko.Ombi hilo lisikubalike kabsa.hayo mazingaombwe akafanyie huko Kongo.Hatumtaki kabsa.
Hii chuki uliipanda wewe mwenyewe, kanisani ulimfukuza rafiki yako ndani ya kanisa,,hicho ndo kimekula, hakuna huruma,...manabii waliopo tz wanatosha
Wewe Nabii Gani Alikua Na Mke Ebu Kwenda Zako Uko Sasa Nabii Umemvulia Nguo Tena Yesu Akua Na Mke Awa Viongoxo Wanakuja Tanzania Kuja Kualibu Akili Za Watanzania Siku Za Mbele Waalibu Amani Ya Nchi Yetu Sasa Kama Yeye Ni Mmeo Iweje Ameacha Kukubeba Ikiwa Wewe Ni Mkewe Raisi Yuko Na Mambo Mengi We Pambana Na Ali Yako Swala La Kusaidia Ni Kivuli2 Aende Congo Kupambana Na M23 Umetumwa Ushindwe Taifa Letu Tunaishi Kwa Amani Anakuja Kuleta Ubaguzi Kugombanisha Familia Eti Aludishwe Tena Waliotoa Vibali Wachunguzwe Ulaiya Wao Kafunga Kabla Ya Muda Anajua Mipango Yao Abaki Congo Nenda Mkapigane Kitandani Congo Kwenda Zako Akuna Kosa Inamana Waliomuondoa Ni Machizi Acha Kuzalau Viongozi Wetu Wewe Hata Wewe Wenda Sio Mtanzania Uchunguzwe Mpaka Kizazi Cha Babu Wa Babu Yako
Bella has a living testimony she has come from far
Mungu atakutetea maana umekuwa mkombozi wa matatizo yetu kuwa na moyo was subra yatapita tunakuombea
Wewe umembeba apate kivuli hapa Tanzania hatutaki kwani huko hakuna watu wa kuwaombea na kuwatoa UCHAWI ni huku TU?
Wee dada Bora huyo mke apelekwe kwa mumewe huko huko kwani huko hakuna watu wakuwafanyia maombi Serikali impeleke mkewe huko,
Kuna vidada vingine havina ufaham jamn kha vinakeraaaaa😂😂😂😂
Kwa kuwibia watu
Wakati mnawaibia watu hukuyaona sasa unaomba msaada
Aliyekushauri amekushauri vibaya
Utarudi TZ saa moja tu baada ya kuapishwa kwa Raisi baada uchaguzi mkuu wa 2025. Nitakushika mkono, Nakupenda na nimekuombea vya kutoshwa...
Wewe msenge kweli umpe na mkundu😂
😮😮😮😮😮😮😮😂😂😂
Maubiri yako ya ovyo mzee, kwenye uchungaji haupo rudi kwa mamb mengne cyo utumishi wa kanisa,
Si uende huko Congo?? Mfate mume wako ktk Nchi yake... Mambo mengine msimsumbue Rais wa Nchi. Rais Hawezi ingilia kesi au shauri kama hili. Kuna wa tanzania wengi wako Jela,wengine wako na Hukumu ya Kifo. Wengine wako Mahabusu, na wana Familia. Wewe dada Acha kusumbua Rais, na unafikiri hizo laki tano tano alizokua akitapeli wa tanzania, dharau, kiburi, kwa Wananchi wetu AKAFANYE KTK NCHI ALIKOZALIWA.. WEWE MFATE HUKO.
Mwambie arundi kwao
Hapana mama asijekukuruhusu naomba ivo
Baba bora jambaz na tapel
Kwendaaaa huko ulisema ww ni mubaya sana kuliko shetani aaaa
Pumbavu kabisa huna pa kwenda mmeo ana pa kwenda mbona mnafanya bongo move mmewafanya watanzania mapoyoyo kwenda huko
Wee hubiri watu injili wacha siasa za kinafiki kumsifusifu rais. Kama unamsifia bila unafiki mbona ungeanza kwanza kumsifia aliyeianzisha SGR hayati Magufuli
Fungua huko kongo huku hatukuhitaji
Mungu ni mwema naamini unarudi
Upumbavu Mtupu
Hili ni jeshi na chuma na mwamba kiboko ya wachawi genius wa kutembea wanaoteséka na kuonewa tunaimani nawewe tunaimani na kiboko ya wachawi chuma ya mwanaume . I remember your words asee nyie ni watu wathaman sana najua mnanipenda NAMI nawapenda pia nipeni Tano kubwaaaaah hahahaha.
😅😅 Kwani shida ni nini! Mbona Congo kuna amani ya kutosha. Mfuate Mumeo Mungu hadhihakiwi Apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Mmesha waibia wajinga wengi sana Hala kibaya zaidi mkijua hizo sadaka mnazo toza kama kodi..lakini bhado mnakuja mitandaoni Nakututambia na kuwaona watu wengine kama takataka. Sasa Wachawi HALISI wa buza waliamua jambo lao. Kwamba huyu mpuuzi anae jiita Kiboko yetu Emb tumrudishe kwao😅 Tena mshukuru ni wastaarabu sana hawaku mdhuru nadhani ni kwa sababu hakuwa na madhara kwao. Angekuwa na Madhara wange mnyoosha. Ulikuwa ni mdomo tuu na tumba nyingi.
We mama ni tapel kama mumeo mwenye mamlaka ni Mungu kauze dagaa na maparachich au uza ayo masofa ufanye mtaj
Ukilud tanzania fungue ofis ya uganga wa kienyeji jambaz wewe hata shetan hajawai kutangaza kushindwa ondoka na uchaw wako pumbavu zako
Umeteka wengi kifkra kwa nguvu za giza,, na kuwadanganya..,,
@@jacksonmachare663 unajiua mwenyew kwa mañeno Yako usijalib kuhukum wewe si mungu ndgu akuna watu hatal dunian kama watu wamngu ongea ila ukibanwa hao ndio msaada wewe jifungie Baraka tu kwa kinywa chako utajifunga mwenyew usitus watumishi be calm
We baki uko uko nabii fake,, unadanganya tuu watu
@@jacksonmachare663 mañeno Yako nibora ukakaa nayo wewe yakusaidie kwannn usiseme mema namema yakujie ni vema ukasema mema ya mtu utamsaidia na kumvusha lkn ukifanya kinyume na hapo huwezi semwa nawe vizur mpende jiran Yako kama nafsi Yako na kama ujipendavyo Wala usimshuhudie uongo Wala kumsingizia kama huna hakika
@@jacksonmachare663 hi chuma ya mwanaume kiboko ya wachawi komesha kipenz Cha watu usiempendaa mezaa mawe ya moto na chimba shimo jifukie
@@JoshuaMziho mmeshatekwa akili zenu na nguvu za giza, za uyo shetani"" ndio mana hamjitambui
Tunakuombea baba uludi sis tupamoja nawewe nimefurahi kusikia saut yako ni radi yenye nguvu katikat ya watu wenye tumain kwa. Mungu utumikiae mungu wa ibrahim isaka na yakobo
Kwan huko huwezi kufanya hiyo Huduma??