Tundu Lissu Swali Halali, Je Kaimu Jaji Mkuu Anakuwa Madarakani Muda Gani
Vložit
- čas přidán 11. 09. 2024
- Msemaji wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mheshimiwa Tundu Lissu Ameyasema Hayo wakati akiwasilisha Maoni ya kambi ya Upinzani wakati wa uwasilishwaji wa bajeti ya wizara ya katiba na sheria
Simba anguruma kweli kweli 👍👍👍👍👍👍
Mh unastail kuwa rais kwa ho2ba zqko na uerewa ulio nao hongera kiongoz bora
Waziri Kabudi anatakiwa kujivunia sana huyu mtu, alimfundisha akafundishika
Tatizo kabudi mwenyewe ndumi la kuwili
kama wanatumia vichwa kufikir wameelewa ila kama ni yale yaliyosemwa na marehemuuuu basi yatapita kimya.
Wenye akili ndo hukuelewa tu.
Always ur talk good
Good
Yes our hero in law
una maana our in law yaani shemeji
Always my icon
Kamanda mungu akutie nguvu
rais wa nchi 2020
Waliobahatika kusoma kitabu cha uraia kilichoandikwa na Jaji Samatta naombeni watakuwawanaelewa
Always you is exclussive
Msema kweli ni mpenzi WA Mungu
Aimeni
Lissu rais
uko vizur lisuu
huyu jamaaaa ni mtu matata saaana he z ma role model!!
yes
Salutiiiii kwk lissuuuuu
good lisu we hear you Godbless you love you
Kelvin Mbena q
kiukweli tundu lisu Hana mpinzani
magazeti
lissu my hero
hamna kitu wewe mpumbavu tu waliokuchagua wanataka maendeleo wewe unajifanya mbunge wa kitaifa
Wewe nae hazitoshi
Akili ndio hauna, ukiwa nazo utamwelewa Lissu
Kijana we akili yako inawaza unapo kanyaga angalia mbele unakua masikini hadi kwenye kufikiria ebooooh
Kijana we akili yako inawaza unapo kanyaga angalia mbele unakua masikini hadi kwenye kufikiria ebooooh
Good
good
Good
rissu bhana nakuombea kwa mwenyezi miaka mingi uzidi kutupambania
good
Lisu ni kichaa Kama vichaa wengine